HISTORIA YA WAARABU NA ISRAEL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

КОМЕНТАРІ • 279

  • @abdallahsiraji9919
    @abdallahsiraji9919 9 місяців тому +11

    Mimi ni MUISLAMU wa kuzaliwa na naijua Dini yangu vema sana kiasi cha Kumshukuru sana Mungu kwa Hilo..
    Nakiri kusema kuwa Mzee wa Upako mara nyingi unakuwa MKWELI sana na una UTU
    Mara nyingi hupindishi maneno juu ya kile unachoamini ni sawa na ni sahihi.Huna Unafiki na nakupongeza sana kwa Tabia Hizi ambazo ni ktk Mafundisho ya Uislamu na Mtume Muhamad s.a.w
    Umesema kweli juu ya Ubinadamu kuwa Waizrael waonywe wanapokosea pia Wapalestina waombewe na kuonewa Huruma kwakuwa ni wanyonge..
    Kifupi unachotazama ni haki ya Mwanadamu pasi na kupegemea upande wowote kwa kisingizio chochote ikiwemo Imami za kidini..
    Nakupongeza sana na natamani siku nikutane nawe na kufanya Mazungumzo ya Ana kwa Ana...
    Asante

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 8 місяців тому

      Unaijua koran eti kisawasawa si kweli usijidanganye hebu kwanza msikilize huyo mzee wa upako,kasema soma koran au bibilia kisha changanya na akili yako, msikilize....kiufupi anasema tusikalilishwe, hapo hajamtaja Mohammed kama ni mtume....msikilize.

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 8 місяців тому

      ​@@ezekieljacob5795kwa iyo km hajamtaja Mohamad ndo nn sasa ?

    • @user-kp7co8je3l
      @user-kp7co8je3l 2 місяці тому

      Safi dulah kumbe Kuna waislamu wenye hekima nimekupenda bure

    • @user-kp7co8je3l
      @user-kp7co8je3l 2 місяці тому

      ​@@MuuYascohy-oc7osokay mtume Mohamad amekuja miaka mia Tano baada ya Yesu kristo

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 2 місяці тому

      @@user-kp7co8je3l Kwa iyo km amekuja miaka 500 baada ya Yesu ndo nn ??

  • @user-ch8it5jr8m
    @user-ch8it5jr8m 9 місяців тому +4

    Kazi ya mungu ibarikiwe mzee wa upako je. Ni kweli hawa ndio wale waliotokea misri kwa asili.walikuwa weupe hivi kweli.

  • @greshommwakyanjala5933
    @greshommwakyanjala5933 2 місяці тому

    Naikubali elimu unayoitoa Mtumishi wa Mungu

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v 6 місяців тому

    Mungu aliamua matafa yote Kaanani yaangamizwe,Mfalme Sauli hakutimiza,Mungu akasema watskuwa mwiba ,hiyo ni kifuniko Kwa Mzee wa upako kuhusu Myahudi na Mwarabu, Zak 14:--yote. Wewe ni mvuruga lmani ya kweli kuhusu Mungu wa kweli. Amen

  • @user-of7mx6fs2p
    @user-of7mx6fs2p 8 місяців тому +1

    mzee asante Sana sababu umeongea kile unacho kijuwa istoria ya kweli kabisa Dr sule aje umufundishe istoria !!!!

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 8 місяців тому +1

      Mpuuz sana ww hakuna kafiri yoyote anaeweza kumfundisha Dr.Sure

  • @SamwelSoya
    @SamwelSoya 3 місяці тому

    Mzee wa upako hakika historia ya israel na palestina unaijua vema uko vizuri.

  • @damasipipingo271
    @damasipipingo271 3 місяці тому

    UNGEZEKA SANA MZEEE

  • @mdauwetu
    @mdauwetu 9 місяців тому +11

    Mzee akiongea mimi nakimbilia Peni Na Karasasi. Kisima Cha Elimu, Ubarikiwe Baba.

  • @user-xn3gs9qc8u
    @user-xn3gs9qc8u 9 місяців тому +1

    Mimi naitwa Idrisa Simba ni mwislaam Ila nampenda sana Mzee wa upako ni mtu mwenye elimu na mkweli kupita maelezo

    • @user-cl8hf7ev6e
      @user-cl8hf7ev6e 9 місяців тому

      Tatizo huna elimu utamuona km mxom

    • @mosseskanini255
      @mosseskanini255 8 місяців тому

      ​@@user-cl8hf7ev6eww mwenye elimu unajua kip

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому +1

    Kweli kbs mayahudi hawataki wakrsto

  • @rajabjabir2622
    @rajabjabir2622 9 місяців тому

    mzee wa upako hizi ndio sifa njema za maulamaa hawaongee ila haki /kweli, safi sana always hua nakukubali one love my father.

  • @hurumamwakitalima5728
    @hurumamwakitalima5728 9 місяців тому +1

    Ubarikiwe sana Mzee wa upako na Amin Neno la Mungu Kwako

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 9 місяців тому +1

    Nafurahi sana kusikia neno ni tamu sana jina la BWANA litukuzwe

  • @samsonhaule3647
    @samsonhaule3647 9 місяців тому

    Mzee wa upako yupo sawa, kwenye Historia.

  • @BeatriceBahati-op6gl
    @BeatriceBahati-op6gl 9 місяців тому

    Mungu akubari kwafunuo was kweli kabisa Mimi nicongoman

  • @edwinnkwanga6313
    @edwinnkwanga6313 9 місяців тому +1

    Wewe ni Prof wa Bible History salute sana. You have a balanced teachings very objective. Kumbe Waisrael hawatupendi Wakristo? Pia kumbe hata Yesu wetu hawampendi? Bora lakini walimkataa kwa faida yetu

  • @Noellaizerkadoko
    @Noellaizerkadoko 9 місяців тому +1

    Amen amen hili neno lamungu limekua chakulakwangu Mungu akuienguvu mtumishi wa mungu

    • @omarjumaan3061
      @omarjumaan3061 9 місяців тому

      Sasa huyu kachanganyikiwa kasema IRAQI siwarabu alafu asema ismaili ni baba wa warabu ASILI ya warabu ni Yemeni hata wasaudi wenyewe wana kubali.

  • @AbbasSymon
    @AbbasSymon 9 місяців тому

    Ubarikiwe Mzee wa upako

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 9 місяців тому

    Ubarikiwe Mtu wa Mungu. Nice History

  • @raphelabel3618
    @raphelabel3618 9 місяців тому

    Mzee wa upako nimekuelewa vizuri

  • @AlbatSimon-yq5ro
    @AlbatSimon-yq5ro 9 місяців тому

    Ubarikiwe sana kwa kutufundisha

  • @BarnabaBuhoma
    @BarnabaBuhoma 9 місяців тому +2

    Huwa napingana na watu wanaosema kwamba Wayahudi ni weusi… wakati najua kwamba Wayahudi kila walipokuwa wanakwenda utumwani hawakuacha utamaduni wao wa kumwabudu Mungu kwa mjibu wa torati. Hata Wayahudi wanaoishi Marekani, wana dini yao ya Kiyahudi tofauti na Ukristo.

  • @ferdinandusrugeiyamu412
    @ferdinandusrugeiyamu412 9 місяців тому

    Asante kwa ujumbe wa ufahamu

  • @HenryMathias-fe5uh
    @HenryMathias-fe5uh 8 місяців тому

    mungu akubariki

  • @jamesandanje8459
    @jamesandanje8459 9 місяців тому

    Amina 🙏 ubarikiwe sana.

  • @AnastaziaAmasi-yy5vt
    @AnastaziaAmasi-yy5vt 9 місяців тому

    Mungu atusaidie

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 9 місяців тому +1

    Uko sawa

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 9 місяців тому

    Mimi BAdo sijatia comment ila I feel very happy

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 9 місяців тому

    Umeongea maneno ambayo niliyasikia nikiwa mdogo nyumbani kwetu busona kulikua wazee wanaijua bibilia vizuri Mungu amenena nawe ukweli ❤

    • @saidkijazi4228
      @saidkijazi4228 9 місяців тому +1

      Ahh..yote aliyonena miongzi wetu wa dini yameandkwa kwenye vitbu vya mungu Biblia na msahafu napnda mno kusklza ,ubarikiwe,maneno haya ni silaha toka kwa mungu kwa waaminio utukufu wa mungu,Amina.

    • @bensonmanyalape7802
      @bensonmanyalape7802 9 місяців тому

      busona ya wapi au ya tukuyu

  • @jessicajoel6410
    @jessicajoel6410 9 місяців тому +1

    May GOD bless ISRAEL I pray for peace in YERUSALEMU

    • @officialmsigwa5069
      @officialmsigwa5069 9 місяців тому

      2:57 israel ipi? Hyi sasa au israel ipi ambyo tuiombee

  • @musajuma676
    @musajuma676 9 місяців тому

    Asante sana Mzee wa neno

  • @erastuskajuna812
    @erastuskajuna812 8 місяців тому

    Nabii Ibrahim alimwona Mungu! Soma vizuri Biblia ukitafakari kila neno. Hapa utapata maarifa ya kuelewa unachosoma!

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 9 місяців тому

    Salute

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 9 місяців тому

    Asante Asante Asante

  • @rosemrope
    @rosemrope 9 місяців тому

    Amen mzee wa upako

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 9 місяців тому

    Aminaaaa kabisaaa

  • @hosianajolam8695
    @hosianajolam8695 9 місяців тому

    Amina

  • @user-kq5si5pv9n
    @user-kq5si5pv9n 9 місяців тому

    Good Nice waelewe basi hao wa bish

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 9 місяців тому +5

    History is the best teacher✌

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому

    Shida nikua viongozi wetu wadin mnatuvuruga sana huu ngogoro mnautazama kwenye dini mnasahau siasa toka vita1 yadunia ya2 nampk intake kutokea vita ya 3 ile vita yasiku6 napia wana waizrael wanao semwa kwenye dini ndohawa mayahudi wa zayun

  • @hilaryarande-gs8ht
    @hilaryarande-gs8ht 9 місяців тому

    Mzee umeshiba historia ukweli mweupe

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi7837 9 місяців тому +1

    Kwa ujumbe huu, nimekuelewa binfsi

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 9 місяців тому +4

    Mimi ni muislam lakini nakukubaki Kwa kuwa kweli na muwazi katika kuwekeza biblia

  • @febby8308
    @febby8308 9 місяців тому

    Ulev noma kwa hiyo kama wamemkataa yesu hao ni mashetan Alita bak jiwe juu jiwe ile nisehem takatifu ya waliomkubal yesu sio hao myahudi hao wataendea kutanganga na kupigwa kila kona ivyo mzee usitudanganye

  • @priscakwenga7057
    @priscakwenga7057 9 місяців тому

    ❤❤❤

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 9 місяців тому +1

    Huyu freemason ni muongo kweli na historia zake za uongo

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 9 місяців тому

      Duh wacha tu kweli WAGALATIA HAWAJUI HISTORY 🥳🥳🥳🥳🥳HAWA WAACHIENI KUHUSU BANDARI NA KUANDIKA WARAKA MAMBO INGINE ZEROES 😢😢😢😢😢😢

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 9 місяців тому +2

    acha uwongo inamana bs ht. Wanafunzi wa yesu pia hawakumwona ? Kma we huamn kuw hujamwona Mungu je wafuas wko unawapeleka kw mungu yupi kw hyo unawaambia wafuas wawe na Mungu yupi

  • @user-sz4xs1np9b
    @user-sz4xs1np9b 8 місяців тому

    sasa Mzee unaninginiza cheni wew ni ster

  • @user-nd1iv5yp5g
    @user-nd1iv5yp5g 9 місяців тому

    🙏

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 9 місяців тому

    Ukweli ni kwamba dini ni uslamu NA manabi wote wanajua kwamba kuna nabi baada ya yesu atakuja NA akija mfateni huo mtume mohamed yupo kwenye vitabu vyao taurati kwa hiyo waliyo fuwata ni sahihi lakini walikatah kufuta mtume mohamed baada ya kuja NA gruani ndio waliopotea NA ndio walikasrikiwa NA mungu kwa hio dini kwa mungu ni uslaam tu NA ukumbuke kwamba taurati emefutwa futwa NA wayahudi NA emeharibiwa hivyo mtume mohamed wanavyo eleza NA kundi la wayahudi ni watu waongo wauaji makatili hata wameuwa manabi wengi sana

  • @benezethlukubah8569
    @benezethlukubah8569 7 місяців тому

    Hiyo ni kweli isipokuwa Ibrahim ni mzawa wa Iraq lakini sio Muiraq Baba yake Tera alikuwa mchungaji Kanaan mwenye mifugo mingi katika kutafuta machunga ya mifugo yake alijikuta huko Iraq ikiitwa Ukaldayo au Babeli baadaye na Wagiriki waliita Mesopotamia mengine ni sahihi

  • @ClemenceMushi-d8x
    @ClemenceMushi-d8x 20 днів тому

    Kwanini misri ilitumika kama sehemu ya kutesa,kuelimisha viongozi na kama sehemu ambayoviongozi wengi walipatiwa uwezo huko?

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 9 місяців тому

    WAJENZI

  • @shaykhmulabasalehlulat4909
    @shaykhmulabasalehlulat4909 3 місяці тому

    Ngoja nikusaidie. Kama vile Ibrahim alikuja Kanaani na kuwakuta wenyeji na kumuoa pia Ketura na kuzaa masayyid 6, vile vile Ishmael aliwakuta wenyeji na kuoa hapo Makka na kuzaa masayyid 12. Upo?
    Wenyeji hao ndiyo waarabu. Uzao wa Ishmael ni pote ndogo katika waarabu. Katika uzao wa Ishamael ni kabila la maquraysh ambalo ndilo kabila la Mtume Muhammad.

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 9 місяців тому +1

    Saudi Arabia haikuwepo enzi za manabii yala maeneo mengi yalikuwa yanaitwa Hijaxi sasa unaongelea ipi?

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 9 місяців тому

    Mzee umetoa lacture ngumu sanaa leo imebid nurudie rudie ili nielewe

  • @salumuluhanja2049
    @salumuluhanja2049 8 місяців тому

    Duhh uongo unatumika sana hapa hata saudia ilikua haitwi saudia ilikua inaitwa paran

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 9 місяців тому

    Mzee hujuwi chochote kuhusu historia ya Israel Kaa kimya uendelee kunywa makonyagi yako

  • @godfreymuroba7973
    @godfreymuroba7973 9 місяців тому

    Wayahudi hawa wa sasa siyo wale wa kipindi cha yesu hawa ni watu enye itikadi za kiyahudi wakazi wa ulaya waka amina kuanzisha taifa la itikadi ya kiyahudi

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 9 місяців тому

      Laana haichagui ilimradi tu ni Wana Wa Israili;
      👉 Qur'an-Surrat AL-MAIDAH 5 78,
      👉 Biblia-Yoshua 7: 12
      Na hata kama hawa Wayahudi wa Sasa/wa Leo ni Wa Ulaya walaakin Mungu (Allah) Mola Muumba ni yule yule alowaalaani Wana wa Israili.

    • @rosemrope
      @rosemrope 9 місяців тому

      Mtanzania wa Sasa na wazamani wanatofauti Gani ? Myahudi ni Myahudi milele na milele .

    • @PrinceCharlz-pu9ps
      @PrinceCharlz-pu9ps 9 місяців тому

      ​@@alhadajjmohammedsmith9042Quran ni kitabu cha shetan ndio maan waislam weng wanachukia Israel 🇮🇱 taifa la Mungu

  • @GeraldLema-pb5nh
    @GeraldLema-pb5nh 9 місяців тому

    Israel ni taifa la mungu mungu alimbariki Ibrahim Osaka na yakobo ishaell hatumjui ni acha kupotosha mzee

    • @pauldangote4946
      @pauldangote4946 9 місяців тому +1

      Enda kasome kwanza ndo urudi kuskiza story

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 7 місяців тому

      Huna Unachojua Kuhusu Ibrahim Kaa Kimya Kasome Na Ujifunze Tena

  • @mdauwetu
    @mdauwetu 9 місяців тому +3

    29:28 BABA HAPA SIJAKUELEWA

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 9 місяців тому +1

      Amesema kwa mujibu wa biblia sasa kwako inaweza kuwa na history nyingine

  • @shaykhmulabasalehlulat4909
    @shaykhmulabasalehlulat4909 3 місяці тому

    Kisha enzi hizo za Ibrahimu na Ishmael na Ishaq na Israel sio enzi zetu leo. Kusema Misri, Iraq, Syria ,Jordan... Sio waarabu, waarabu ni Saudia ni makosa kabisa. Population hubadilika kwa zama. Ubarikiwe.

  • @mammukaratu2084
    @mammukaratu2084 9 місяців тому

    UNAJUAJE km Yesu anakuja leo

  • @coolpara8192
    @coolpara8192 9 місяців тому

    Mzee wa upaku sijakuelewa hapo kwenye kizazi

  • @mabadamabada8631
    @mabadamabada8631 9 місяців тому

    ipi tofauti ya wazayuni na wayahudi

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 9 місяців тому +1

      Wazayuni ni watu wanao tumia mwamvuli wa uyahudi kufanya siasa ya kutawala dunia. Wayahudi ni watu wanao amini ktk torati.

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 9 місяців тому

    Wangapi wamefunguka km mimi

  • @user-yf1zj1vo1o
    @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому

    Mimi nashindwa kuelewa kuna wayahud wacrsto na waisram mbona mayahudi wana watema mate wacrsto wamelipua ile hospital ya cristo

  • @user-yl3be9ix4y
    @user-yl3be9ix4y 9 місяців тому

    37:07 napenda unijuze watoto wa yakobo nakabilalao jee israel nichi ao kabila nijue hayo yuda ninani

  • @BinHakim
    @BinHakim 9 місяців тому +1

    Ni kweli asilimia 100,ndiomana mi huwa nawashangaa watu eti taifa la Irani wanaliita taifa la kiarabu yaani wanataka kulazimisha Wakorea waitwe Wachina eti kwasababu wamefanana...hawajui kuwa atakama Wachina wanafanana na Wakorea lakini Mchina atabaki kuwa mchina na Mkorea atabaki kuwa Mkorea...ndivyo ilivyo Muarabu ni mtu wa Saud Arabia na wala siyo Iran wala Palestina

    • @salumuluhanja2049
      @salumuluhanja2049 9 місяців тому

      Hik kitu mm nakipinga kwann Saudia iwe waarab? Na misri isiwe waarab?

    • @user-go7yz1hy1h
      @user-go7yz1hy1h 9 місяців тому

      Misri siyo ya waarabu misri ni waafrica watu weusi ndiomaana unambiwa akili yakuambiwa changanya na yako

    • @BinHakim
      @BinHakim 9 місяців тому

      @@salumuluhanja2049 ukiona kitu hukielewi usisubiri mtu akueleze.....soma vitabu na historia za mataifa mbalimbali ata kwenye mtandao soma.....andika asili ya waarabu,Wakemiti ni nani? Waajemi ni watu gani?Wakoptiki ni nani?Wapalestina ni watu gani? Utajua tu tena ukiweza soma maandiko mengi tofauti

    • @floramongi1410
      @floramongi1410 9 місяців тому

      Wakati hekalu linajengwa Kuna watu walitoa maneno ya kashfa kwamba hata mbweha anaweza kuuboa ilikuwa wapi? Maana wametajwa hata waarabu walikuwa ni miongoni kwa walitoa maneno ya kashfa

  • @abdulnasirabdallah3146
    @abdulnasirabdallah3146 9 місяців тому

    Wizrael walipiga maandiko ya mungu na kuua mitume kama yo hana na zakaria na kutaka kumuua yesu mungu akawafanya wawe wanahangaika

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 9 місяців тому +2

      Naww mbona unahangaika sasa umemfanya nn Mungu

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 9 місяців тому

    Waslam wengi kwer wanawachukia wayadi sana

    • @daudinyello4033
      @daudinyello4033 9 місяців тому

      UJUE PIA IDADI KUBWA YA WAYAHUDI HAWAPENDI KUSIKIA YESU.

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os 8 місяців тому

    We mzee ni mpuuz sana unasema Misri,Morocco,Jordan,Algeria,Tunisia,Libya,Qatar,Yemeni,Palestina,Uturuki,Syria ,Iraq n.k siyo waarabu aya tuambie basi hawa ni wakina nani ??

    • @user-yf1zj1vo1o
      @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому

      Wayahudi wenyewe kuna waisram.wa afrika wazungu

    • @user-yf1zj1vo1o
      @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому

      Good

    • @user-yf1zj1vo1o
      @user-yf1zj1vo1o 4 місяці тому

      Kuwaekea vigwazo ningumu mkuu hawa ndo frimason
      Wasasa hawa ndo wanaongozakwa kilakitu hapa Dunian
      Wamekamata kila kitu viongozi wa mataifa kama Marekani wengi niwa yahudi

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 6 місяців тому

    Nabii Ibrahim ametoka iraq

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 9 місяців тому +1

    wayaudi walishamkata yesu na walimsurubisha

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 9 місяців тому

      Hata akiwepo myahudi mmoja tu anaemkubalia inatosha

  • @ME-kb8rk
    @ME-kb8rk 9 місяців тому +1

    Wewe mzee unawapotosha watu! Utahukumiwa hukumu kali kubwa!

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 9 місяців тому +1

    Changamoto ya imani ya dini ni kwamba kubali na amini ilivyo ukihoji unaharibu?wakati wa enzi za Ibrahim wachina,wahindi na wafrica weusi tulikuwa wapi?na Mungu wetu ni yupi kama wayahudi ndio walipendwa na kuwa chaguo lao, sio ubaguzi, huo? Na je kweli Mungu anabagua? Pana shida mahali ktk uandishi wa bibliai?kama Yesu, jesus is God,halafu,wayahudi wenyewe wanamgomea hii masna yake nini?total confusio

  • @JamuhuriIsaya
    @JamuhuriIsaya 9 місяців тому

    Naomba ufafanuzi wahesabu34:1- - -

  • @user-be2xx2cl7n
    @user-be2xx2cl7n 9 місяців тому

    Hi nielim kubwa

  • @ClemenceMushi-d8x
    @ClemenceMushi-d8x 20 днів тому

    Kama wayaudi walikwenda misri,huko misri siwalijaamiana na wenyeji kwa hiyo huko misri kuna wayaudi nikiwa na maana kwamba walichanganya damu siyo? Huko nyumba ulisema kwamba wayaudi Wana elimu kubwa na ujuzi pia,kwahiyo wamisri wamekuwa na ujuzi na maendeleo kwa sababu ya wayaudi?

  • @DicksonMwabungulu
    @DicksonMwabungulu 2 місяці тому

    Mze wa Upako nimekukubali Leo, Je kumkamata Waziri NETANYAHU Nini matokeo yake?

    • @DicksonMwabungulu
      @DicksonMwabungulu 2 місяці тому

      Mzee wa Upako mbona unajichanganya? Vikwazo Kwa Israel ndiyo Nini?

  • @leonardmushi6128
    @leonardmushi6128 9 місяців тому

    Mm naomba ufafanuzi juu ya masjidi 12, ni kitu gani?

  • @samsonmwaipaja4839
    @samsonmwaipaja4839 9 місяців тому

    Joba tata momumo

  • @MidoMidomore
    @MidoMidomore 9 місяців тому

    ataongea masaa 24 huwezi kusikia ukrito hapo,unapoongelea historia ni Uislamu na uyahud tu jiulize ukrito ulianza lini?

  • @AfricabeyondtheLimits
    @AfricabeyondtheLimits 8 місяців тому

    Misri israel war n mwaka 1967 cyo 63

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 9 місяців тому

    Wewe ni mpigaji tuu. Atanzania mtaamuka lini muache kupigwa.na wapa pole
    .

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 9 місяців тому

    Tuambie wasabato wapo sahihi kusali jumamosi

  • @HusseinKarumna
    @HusseinKarumna 9 місяців тому

    Historia hii kwa maelzo yako Imekusanya ukweli na upotoshaji Maoni yako binafsi
    Ama ukweli
    1-kizazi cha Ismail kweli kimebarikiwa na kimeandikiwa kudumu Miongoni mwa barka hizo ni Kupewa mtume Ambae ni Muhammed SW,
    2- Mayahudi hawaamini Ukristo wala kumuamini Yesu (Issa) juu yake Amani ya mungu.
    3- kweli mayahudi wanawapiga Wapalestina wote waislamu na wakristo.
    Swali wengi wenu mnawaunga mkono Mayahudi kwa vitendo vyao vya kinyama je hayo pia ni Maamrishi ya Torati je Wakristo wa Palestin Sio waumini wenzenu

  • @emanuelnjalakila4693
    @emanuelnjalakila4693 9 місяців тому

    Muhamad alikwenda kuswal ktk msikit jerusalem inamaana ulikuepo je aliujenga nani na ni lini ?

  • @RamadhanMohamed-jz6xm
    @RamadhanMohamed-jz6xm 9 місяців тому +1

    Kumbuka wapalestina muda c mrefu walikua wanatumia mawe leo wana roketi ko ucjali

  • @alikamberis
    @alikamberis 8 місяців тому

    Na mu arabu ni mu saudiya ndugu wa mu israeli

  • @ussihamza-xn7bx
    @ussihamza-xn7bx 9 місяців тому

    Mimi Naitwa Ussi,
    Lakini Pamoja na Imani Yangu ya Kiislamu Nimekuelewa Somo Lako na Nimelikubali.

  • @salumuluhanja2049
    @salumuluhanja2049 9 місяців тому

    Sio kwel mmisri, Syria, Iran ,Iraq,Lebanon , Jordan, uturuk wote ni waarab Kuna vitu unavificha hapo kama hahaha kama utakua na elim nyepec huwez kuelewa hapo lkn kma upo dp utaelewa, pale parestina Kuna makabila matano ndio hao waabusi na wengine na kwann unapinga hzo nchii sio za waarab sabab ukwel unaujua nianze na Iraq ni nchi anatokea Ibrahim, ukija misri ni nchii anatokea hajra ni mke wa Ibrahim na vilevile ni nchi alikozaliwa mussa na hata yesu alikimbilia Kule baada mungu kumuamulu Mariam aende misri, na ukija Jordan Kule alikaa nabii rutu na hata Kabuli la imrani Babu yake yesu mzaa mama yake lipo Jordan, na ukija labanon inasemakana ni kizazi Cha Esau mjuukuu wa Ibrahim kwahy Kuna usiri katika nchii hiz za kiarab

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 7 місяців тому

      Hicho Kizazi Cha Esau Kiligawanyika Afghanistan Pia Kipo Kizazi Cha Esau

  • @fredluswetimatafari2517
    @fredluswetimatafari2517 9 місяців тому

    hongera mchungaji Naomba nambar yako ya simu mimimnipo kenya Nairobi

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 9 місяців тому +1

    Kweli akili ya kuambiwa changanya na yakwako, hivi ni nani wanaabudu sanamu? wanakunywa pombe? wanakula nguruwe? ungemalizia yote waliokatazwa akili ya kuambiwa ndo ungechanganya na yakwako vzr

  • @raphaelmitimingi6081
    @raphaelmitimingi6081 9 місяців тому +1

    Vita kati ya Israel na mataifa saba za waarabu kwa siku saba ilikuwa mwaka 1967 na si 1963!

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 9 місяців тому +1

    Hivi tujiulize wale walio kaa utumwani misri walikua ni wazungu hawa tunao waona? Na je kuna hitoria gani ya dunia isemayo kuwa mtu mweupe alikuwa mtumwa? Waafrica tunataabu saaana kujijuwa na kujitambua

  • @bensonmanyalape7802
    @bensonmanyalape7802 9 місяців тому

    Uko sahihi mkiu wasomaji wa bublia ndio watakuelewa

  • @user-hd5ei2ep6f
    @user-hd5ei2ep6f 9 місяців тому

    Masijiid ni nn mzee wa upako?

  • @allykiduli2156
    @allykiduli2156 9 місяців тому +1

    😂😂😂 Huyu mch aliwahi kusema Vita ya urusi na ukrein itaisha kwa wiki moja yeye anatuma malaika wake kwenda kuimaliza na kwamba hawezi kuongopa Sasa tumuulize Leo Ni wiki ya ngapi hio Vita bado unaendelea!!!! Hawa wachumia tumbo Ni shida kweli jina yesu limekua mtaji kwao ?!!!

  • @user-hq5qx1hu2x
    @user-hq5qx1hu2x 9 місяців тому

    Je wale tunaowaona wanaojiita wayahudi ndo wayahudi wanaosemwa katika biblia naomba unisaidie hapo kwanza