HISTORIA YA WAARABU NA ISRAEL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 94

  • @JacobSiame-k6l
    @JacobSiame-k6l Рік тому +1

    Ubarkiwesana mcungaji

  • @HusseinSalehe-gy3px
    @HusseinSalehe-gy3px Рік тому +1

    Mashaaallah mungu akuweke hakika maandiko ayana tofaut sana na Quran mungu akubaliki mchungaji

  • @pascalkiwelu8989
    @pascalkiwelu8989 Рік тому +2

    Kweki dini zinapaswa ziwe na walimu wa historia .nimepata historis nzuri.

  • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
    @NATACIARAPHAEL-iz8kr Рік тому

    Mwanzo 17:20
    Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.

  • @chrishinaphilimon7918
    @chrishinaphilimon7918 5 місяців тому

    Nimebarikiwa Sana Mzee wa upako Uishi sana..Kwann sasa wayahudi walimkataa Yesu? Na kukataa ukristo?

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 Рік тому

    Mzee wa upako nakuelewa sana ila kuna watu wazito kujiongeza awataki kufikili hatari sana kuelimisha watu wa namna hii

    • @mwanamutemi
      @mwanamutemi Рік тому

      Sasa mtafutie Dr Sule Kwa UA-cam usikie Historia mzigo zaidi

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Рік тому

      ​@@mwanamutemiWe kumbe unachuki sasa alichokiongea uyu na Dr.sule kinautofauti gan?? Dr.sule kaeleza Palestina Ibrahim kawakuta wayebusi,waamori,wakaanani,wahiti kaelezea ivyo ivyo na kasema kbsa kihistoria Mayahudi kwao ni kule kipande cha Telaaviv na Jerusalema kaweka wazi sema ww unachuki zako tu na Dr.sule na umeshamezeshwa matango pori kutoka kanisani kwako unaanza kumtoa makosa Dr.sule uyo mzee wa upako mwenyewe dr.sule anamuheshimu

    • @mwanamutemi
      @mwanamutemi Рік тому

      @@MuuYascohy-oc7os wanishangaza ukiongelea chuki ! Ni muhimu hujifunza kusoma mchango bila kutia hisia zako ndani ya mchango wa mtu mwengine, UTACHEKESHA. Bora unyamaze ama uchangie kwenye huo mchango maoni yako. Mimi ni Muislamu Alhamdullilah. Umenipeleka kanisani bure !! Pili sina chuki na sioni wapinimeonyesha chuki, hichin ni kikao cha mjadala wa hotuba ya mzee wa upako, TUNACHANGIA MAONI TU BAADA YA KUMSIKIZA.

  • @Simonikabalika
    @Simonikabalika Рік тому +1

    Nakupata mzee wangu tufundishe

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 Рік тому

      Sema akupoteze sio akufundishe , anasema sisi sote twaenda kwaMungu ambae hatujawahi kumuona , ila nyie wakiristo si mmekwisha Muona Mungu wenu ? Mbona hamna msimamo au Yesu alikua haonekani bali hata wakiristo wazama hizi za sayansi na tecnologia, mna muona kwenye runinga zenu, na mnaamini ndie ndio mkaweka masanamu yake na mama wa Mungu wenu katika milango ya makanisa yenu kila mnapo ingia mnayasujudia

    • @haruniaisha5905
      @haruniaisha5905 Рік тому

      @@huseynmaitaya9002 kuropoka ndo kipaji chako ndo hata wewe meenyewe ujui unaongea nini

    • @Simonikabalika
      @Simonikabalika Рік тому

      Huwezi kumuona Mungu hakika utakufa,,,kwani yesu alisema yeye ni Mungu? Alikuwa mpeleka ujumbe wa Mungu,,,,kwani wewe usomi ujumbe wake?

  • @Eunice71
    @Eunice71 Рік тому

    Mchungaji umeeleza historia nyingi sana ya waarabu, waajemi, mesopotamia nk
    Vipi waafrika nafasi yao iko wapi manake hata wewe ni mwafrika

  • @boscomwangosi1042
    @boscomwangosi1042 Рік тому

    Oko sawa kabisa

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 Рік тому

    Wana agano na Mungu wa baba yao Ibrahimu!
    Wakikosea wakitubu Mungu anakumbuka agano lake anasamehe anawarejesha upya!
    Ni jambo la kibiblia , ngumu kumeza hili

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 Рік тому

    Waamaleki,,waagagi..hao Mtumishi ni wapalestina au wayahudi

  • @RashidiBirukundi
    @RashidiBirukundi 8 місяців тому

    Hujasema kuhusu wayahudi walio sinagogi la shetani ufunuo 9:3

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Mnalijua hilo jipendekpezeni tu

  • @HusseinSalehe-gy3px
    @HusseinSalehe-gy3px Рік тому

    Wapalestina Awana mungu

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Jana sio leo

  • @alihaidary4143
    @alihaidary4143 Рік тому

    Nayamza ndugu yangu

  • @adaNahimana-y7b
    @adaNahimana-y7b Місяць тому

    Inakuwaje Mnamuingiza Yesu Ndani Ya Biblia Wakati Yesu Kitabuchake Ni Injili. Nijuwavyo Mimi Biblia ni Kitabu Hakina Mtume

  • @omaar5693
    @omaar5693 Рік тому

    AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO...
    👆👆👆👆👆
    mwalimu inabidi iyo uifanye kombe watoto wako wanywe hawajiongezi hata chembe..

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Рік тому +6

    Baba mm nilikupenda sana hapo nyuma, kwa jinsi ulivyokuwaga una uwezo mkubwa wa kuchambua biblia na kuifahamu sana. Ulinishawushi sana nikamuomba Mungu anipe kuifahamu biblia. Nililazimika kumuomba Mungu sana, naye alinishushia biblia kichwani mwangu kama ilivyo. Lakini chanzo kilikuwa ni ww kwa kujua kuichambua biblia. Lakini siku hizi Baba umepoteza dira, mara utumie maji, mara mafuta nk.... Baba rudi kwenye line yako usipoteze mm nakupenda na Mungu akusaidie.

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks Рік тому

      Leo humpendi kwa sababu amesema kweli! Elewa kuwa asili ya dini hizi mbili

    • @AliHamad-qy9ks
      @AliHamad-qy9ks Рік тому

      Asili ya dini ya YESU na Muhammad SAW ni moja tu! Baba wa IMANI IBRAHIM!! BABA yuko vizuri! Hana shida na yuko wazi ndo maana anasema akili ya kuchangiwa ongeza na ya kwako!

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Рік тому

      ​@@AliHamad-qy9ksYESU Hana dini .awe na dini ili apapase kumwabudu nani maana dini ni kutembea kweli lkn ni njia isio na Nuru. Ndiposa YESU ni Nuru akiingia moyoni mwa mtu inakua Nuru kwa mtu na atatembea nuruni

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому

      @@AliHamad-qy9ks dini zote asili yake ni uslaam NA mtume kabla ya mohamed issa aliwaambia kundi lake kwamba kuna mtume atakuja jina lake amed yaani mohamed kipenzi cha mungu akija huo mohamed afateni wayahudi alikasirika eti kwanini awe mwarabu wakati wayahudi wengi wamesilimu NA wengi walikatah NA hali wanajua kwamba mohamed ni mtume NA gruani emeteremshwa NA jibril huko makaa hali ya kuwa hajui kusoma wala kuandika

    • @jamesmushi2552
      @jamesmushi2552 Рік тому

      Upo sawa

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 Рік тому

    Wanadamu na viumbe wote ndio watafute ukaribu na urafiki na muumbaji wao.kwani mola kwake viumbe wake wote anawapenda sana nakuwahurumia wote.yeye hana mtoto hana mwenza wala uhitaji wowote kutoka kwa yoyote.kwake wote ni sawa na kipenzi kwake niyule anaejipendekeza kwake kwa kumuabudu yeye pekee.

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Рік тому +1

    Waarab wanapigana NA amerka sio NA wayahudi engekuwa wayahudi peke yao ah wangilipgwa kwa masaa mawili tu

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Рік тому

      Ww hujui kitu kabisa waraabu wa sio kua na tekinologia wampige Israel aliye jaa marifa ya tekinologia hiyo marekani na nchi kubwa za ulaya Zina ongozwa waisrael,vyombo vyote vikubwa vya habar vina milikiwa na waisrael mfumo wa mabenki wote ni wao

    • @mtumishi4094
      @mtumishi4094 Рік тому

      Hv kweli hamuelewi tu

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Mazapuni tu

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому +1

    Wazamo labda hata light yaoo kizaramo

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Рік тому

    Lakini Baba ukumbuke hawa Watu wana nguvu ya Kimungu ndani yao. Wao ni mboni ya jicho la Mungu, hakuna Mtu wa kuwaekea vikwazo akawa salama. Bado wakiwekewa vikwazo ni tatizo kwa wale watakao weka vikwazo, kwa sababu Mungu anawataza sana Wayahudi zaidi ya chochote.

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 Рік тому +1

      mpumbavu auna akiri wewe nyau

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому +1

      Wayahudi waliolaaniwa NA walio chukiwa NA mungu aliwagauza nyani baada ya kua binadamu

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому

      Wayahudi wamechukiwa NA kulaaniwa NA mungu ni wauaji toka zamani waliuwa mitume wa mungu wayahudi ni wabaya hawana huruma wakatili mno roho ya kiyahudi waongo wadanganyifu hawana ahadi wanafiki NA wewe usiwe roho yako mbaya kama myahudi

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Рік тому

      Mpumbavu mkubwa ww fuvu lako limemeza matope kichwani zero kbsa kwa iyo unajiona wayahudi wanautaka ukristo ?? wayahud hakutqki ww unajipendekeza kenge sana ww hujui ata unachokiongea

  • @omaar5693
    @omaar5693 Рік тому

    mwalimu unasema ule ni mji wa daudi
    lakini Daudi mwenyewe si alivamia na akamwamwaga damu??? sasa walouwawa ni akina nani, na si ndio wenye haki?

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Uwongo huo

    • @joelmboya7483
      @joelmboya7483 Рік тому

      Je! Na sisi waafrika asili yetu ni wapi kibiblia

  • @MuuYascohy-oc7os
    @MuuYascohy-oc7os Рік тому

    Sasa unasema tu kwa munibu wa biblia na unatoa hukumu na wanaosema kwa mujibu wa Quran je ?? zungumza uhalisia

  • @kingsolomoni-xp3dv
    @kingsolomoni-xp3dv Рік тому

    Wewe upo upande gani? Umkristo au myahudi maana umekiri kuwa baraka zipo kwa wayaud na mungu ni wa wayahudi sasa huyu mungu kristo au huyu mungu wa wakristo niyupi au wayahudi wanakosea

    • @Harrison-zh9sb
      @Harrison-zh9sb Рік тому

      Mungu wawayahudi ndio Mungu wawakristo wakristo na wayahudi wanaamini na wanaabudu Mungu mmoja tofauti inakuja kwa yesu tu

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Рік тому

    Yaani baada ya mamilion ya miyaka wanakunuka. Leo kwamba hii ni nchi yao ndugu yangu hao wahudi walitaka kuwapa uganda wayahudi walikatah ndio wakapewa phalastina NA sasa wapalastina wanapigania uhuru wao NA wengreza ndio sababu ya blaa sasa esrsil enalindwa NA amerca sio peke yake

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi Рік тому +1

    Mazungumzo yako mazuri Lakini je, si hizo habari unamkashifu Mungu kwamba amekubali watu kuuliwa na kuuwa? Pili umeongelea kuzaa na waso wayahudi Je hawa walotoka Ulaya baada ya 1947 wote hawa ni machotara wa makabila mengi SI LAANA HIYO ? Baada ya Musa kushuka kutoka Mlimani akawakuta watu wake wakiabudu sanamu la Ng'ombe baadhi ya kizazi chake kuasi na wakapotea na laana.Jengine ni kizazi cha Esau aliyeoa upande wa Baba yake Mkubwa Ishmael, kwa hilo kwa Ishmael kuna kizazi cha Abraham safi. Vile vile hili neno la Ibrahimu kuwa uzao wake ni upande mmoja tu wa Isaka imesemwa wapi ?

    • @mhojahlazarus6406
      @mhojahlazarus6406 Рік тому

      Pastor

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 Рік тому

      Ukisema waliotoka Ulaya Ni na machotara je waliotoka Misri baada ya miaka 400 ya kuishi utumwani misri unawaitaje,? Wayahudi damu yao haipotei bint wa kiyahudi akiolewa na mtu asiye Myahudi Bado atatambulika Kama Myahudi vilevile kijana wa kiume akioa mke asiye Myahudi akazaa naye mtoto Bado mtoto huyu atakuwa myahudi.yaani vyovyote ufanyavyo mtoto atakuwa myahudi

    • @mwanamutemi
      @mwanamutemi Рік тому

      @@samsonhamery3809 Wonderful ! kama wao wamejipanga nasaba itokamane na mama zao pia, mbona basi uzao wa Ibrahimu kutoka kwa Ismaili wanautweza, ili hali Ismaili ni mwana wa kwanza wa Ibrahimu ambae baraka zake ziko mara mbili, ahadi ya Mungu na Mzee Ibrahimu ya kizazi chake na ahadi ya Hagar mamake Ismaili na Mungu ?

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 Рік тому

      @@mwanamutemi Una maana msukuma ni kosa kuoana na mngoni maana watazaa chotara? Au una maana chotara ni kwa Watu weupe tu? Je hujui kuna chotara katika mimea,pia kuna chotara katika wanyama na ndege. Je katika Dini yako ya Kiislamu Waislamu waliochanganya damu ni haramu? Je
      Mashehe ambao baba ni mwarabu mama ni mhindi tuwaite wana wa haramu? Je unajua Ishimaili ni Chotara kati ya Mwarabu na Mmisri? Acha chuki zisizo na Tija Mwenyezi Mungu ndiye aliyewaumba binadamu wote.awe chotara asiwe chotara wote viumbe vya Mungu.Sisi wabara tumeoana na wapemba je watoto hao machotara ni haramu kwa mtizamo wako?

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Рік тому

    Palestine watashinda hii vita kwa mujib wa maandiko

  • @addamgeorgeburton1673
    @addamgeorgeburton1673 Рік тому +1

    Umelewaa wewee mpaka biblia inakukataaa iyo biblia kamuulize vizur jedov akwambie iyo inshu ilivyochakachuliwa

  • @youngcee3145
    @youngcee3145 Рік тому +1

    Pasta uchambuzi wako sijauelewa na Bado pia sijaona sababu ya ww kutumia zaid ya masaa 2..nachokiona pia bado hata historian ya biblia hujaielewa vzr sijiu hyo mavyuooo mmaenda kusoma nn ....ebu tutoe mihemko tuzungumz ukweri

    • @omaar5693
      @omaar5693 Рік тому

      wewe hujui
      huyu jamaa amesoma mengi na anajua ukweli ulipo ila hajajiskia tu kuwa muislamu

    • @Alexthadey-lm3ju
      @Alexthadey-lm3ju Рік тому

      @@omaar5693 umemuelewa hivyo kabisa kama mtihani ni ziro kabisa

    • @omaar5693
      @omaar5693 Рік тому

      @@Alexthadey-lm3ju
      mi sikatai zero,
      mfano:
      somo la USHOGA swali linasema
      Ndoa ya jinsia 1 ni Halali jibu ndio au sio...
      mi najibu (SIO) potelea mbali na iyo ZERO...
      huo mfano tu...
      we endelea kugawa maZERO

    • @Alexthadey-lm3ju
      @Alexthadey-lm3ju Рік тому

      @@omaar5693 kweli we ni kweli sasa hiyo ndio maada?

  • @jacksonmwafongo1917
    @jacksonmwafongo1917 Рік тому

    Natakujuwa baada Tito kubomowa hekulu Ninani alilijenga Tena?

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Рік тому

    Anaongea ukweli ila wengine hawautaki

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Рік тому

    Mchungaji wangu mbona unaongea kama umesha kunywa?

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 Рік тому

      Bali ni zaidi ya kunywa, wewe wafanya mchezo na upotevu

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 Рік тому

      Huyu mtu hajui hata kitu , wasudia ndio warabu kwani saudia haijui imenza mwaka upi sasa saudi si la juzi kabisa , haya tifanye , kua ndivyo mtume wetu swala na salami ziwe juu yake ni msaudi 😂😂😂😂

    • @huseynmaitaya9002
      @huseynmaitaya9002 Рік тому

      Kwanzia leo msiwangalie wakina joti (wachekeshaji) mtizameni tu huyu mtu mtacheka mpaka mwisho, ana sema eti waarabu kwa mujibu wa biblia , ni wasaudi, Na wasaudi hawa hata miaka mia sita tangu walipo itwa wasaudi, maana yake biblia ni juzi juzi tu

    • @mkude
      @mkude Рік тому

      ​@@huseynmaitaya9002kwani wasaudia kina nani?

  • @alihaidary4143
    @alihaidary4143 Рік тому

    Hahahahha hapo umechemkaa

  • @hussenaaghe2760
    @hussenaaghe2760 Рік тому

    Hapo huna unasema haki bado mungu njia haki sababu mayahudi haufamu uk into na yesu hambamu na siku ya jumapili hapo umechemka kama wanasemu wa na akili mbona hachukui nchi mwenye akili hàpigani kama ndio unakili Israel maana umepata waumi kwa mabavu ukiunga mkono Israel ndio utajua ni adui wakisto umesema kumbe unafanamu asande maana waislamu na wakristo watambuana

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Рік тому

    Mm nasema, ni bora Waparestina wapigwe sana, kwa sababu ni wachokozi. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kumchokoza Muyahudi, hali ya kuwa Wayahudi nguvu yao inatoka kwa Mungu.

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 Рік тому +1

      razima useme ivyo kwasababu aujuwi kinacho enderea uriza ufundishwe

    • @babuloliondo74
      @babuloliondo74 Рік тому +2

      ao ao warimtundika mungu wako msarabani

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому +1

      Wayahudi waliolaaniwa NA mungu soma surat alfatha

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Рік тому +1

      Hakuna mpalestina alie anza uchokozi, ni Hamas, na Hamas ndo muisrael, hujui chochote wewe kuhusu hili bora unyamaze!sasa kama hujui Hamas baba yake ni Netanyahu,palestrina hana jeshi,acha kushabikia vitu hujui

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому

      Nguvu yao inatoka kwa amerka sio kwa mungu mungu aliwalani NA aliwachukia soma gruani surat alfatha mulize mslaam ye yote watakufahimisha wapalastina wanataka uhuru wao kamili arthi yao emetekwa kijeshi kwa misada ya amerca NA ungereza wayahudi hawana nguvu bila ya amrika ingelikua peke yake ah haichkuwi wiki moja wewe unacheza NA hamasi nini hao hawaogopi kufa kaka

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Рік тому +1

    Kumbe Masanamu MITUME IMEKATAA ?? SASA KWANINI MASANAMU YANAPIGIWA MAGOTI WAKATI YAMEKATAZWA?? MASANAMU HAYAONGEI HATA MTOTO ANAWEZA KUYAPIGA LAKINI YANAPIGIWA MAGOTI ABRAHAM ALIYACHOMA MOTO

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Рік тому

      Maanayake ni nini je huyo anayeeleza hapo anapigia magoti sanamu ? acha unafiki

    • @RamadhanKiseto-ry6vj
      @RamadhanKiseto-ry6vj Рік тому

      Kwani Qibla si imeelekea kwenye sanamu ya Jiwe pale macca na watu wote wanaoitwa waislam duniani kote wanakasujud kale kajumba keusi kaliko na sanamu la jiwe?

    • @sembamaneke6553
      @sembamaneke6553 Рік тому

      Safi sanaaa kwa kiasi Cha elimu ya kidunia.