Lil Wayne "The Best rapper Alive"...kupitia hii simulizi wengi wakijiifunza kuhusu record labels , partnership and all that it is easy to relate wanavyofanya Wasafi na Cash Money records to Young Money ENT to OvO sound; lil Wayne ndo msanii pekee alietoa wasanii Bora na walioshika numbers both kimfuko na charts
Profesor kuna kipengelee kimoja kidogo lakini kikubwa kwa mantiki ..wakati unazitangaza nyimbo zilizofanya vizuri ilipendeza ungekuwa unazipiga ili tuzikumbuke hii itasaidia kwa wale ambao wanajua nyimbo zake kwa kuzisikia tu na sio kwa majina
Lil Wayne ni rapper bora wa siku zote Mirror with Bruno Mars ni ngoma ninayoikubali na ni ngoma yangu bora ya karne Big up Lil Wayne and Big up Jamal April
Lil Wayne """ The best rapper Alive""".... Professor kuna kipengelee kimoja 👆👆👆 kidogo lakini kikubwa kwa mantiki ..... Wakati unazitangaza nyimbo zilizofanya vizuri ilipendeza ungekuwa unazipinga ili tuzikumbuke hiiii itasaidia kwa wale ambao wanajuwa nyimbo zak kwa kuzisikiya tu na sio kwa majina 📝📝📝📝
Umekosea sana na umeukosea utamaduni wa hip-hop duniani mzeee kusema lil Wayne mfalme wa rap kwa kigeze kipi na influence gani endelevu alioifanya mitepesho,vipuli,aseeee Mchambuzi badilisha kichwa Cha abari ulimwengu wa hip-hop unamjua mtu mmoja Anaitwa Rakim ndio alie shape style ya Rap/Hip-hop
Brother Jamal hii story ya Wayne umefanya kwa Ufupi Sana mnoo Kuna baadhi ya mambo ujaweka wazi Zaidi,kwa mfano wasanii haliowatoa na kufanya vzr Duniani kote na kuwa Rapper wazuri kwa kizazi Chao.....by Hans
Hiiii story ujaitendeaaaa hakiiiinkabisaaaaa ....umeachaaaa alot Especially the coming of like father like son 2 Beef ya birdman na lilwayne Kunusurikaaa kifoooo na majambaz walio tumwaaa na Birdman.... Lakin congrats
Simulizi ya lil Wayne ndo nilikua naisubiri kwa hamu lakini it is based mostly on facts and figures mwaka flani alifanya ivi akashika number gani I think kwa mtazamaji wa kawaida mwanzo wa simulizi ndo ulimteka lakini huku mbele mzee apana😂😂😂Kama sio shabiki wa mziki umewakoroga
Hii story ya huyu mwamba liltunech hujatutendea haki umemzungumzia kwa ufupi sana kuna mengi tulikua tunahitaji kusikia kumuhusu yeye na wasanii wake maisha yake ya jela mafanikio yake inabidi utuletee muendelezo
Nawakubali Sana wasafi munatufanya tujuwe mengi Kama tuko wengi tunayo ikubali wasafi gonga like tujuwe the story book ni 💯💯💯💯💯💯
Nusu saa haijamtosha kumwelezea Wayne, Hongera Prof. Jamal kwa kuiandaa hii🙌🙌
my all time favourite rapper, nilikua napenda nyimbo zake hadi watu walinibatiza jina la “ I Wayne “
Lil wayne the true boy of the game to world
I love the way you narrate the storybook. Following from Kenya.
Lil Wayne "The Best rapper Alive"...kupitia hii simulizi wengi wakijiifunza kuhusu record labels , partnership and all that it is easy to relate wanavyofanya Wasafi na Cash Money records to Young Money ENT to OvO sound; lil Wayne ndo msanii pekee alietoa wasanii Bora na walioshika numbers both kimfuko na charts
Jay z aliwatoa mabillionea kama Rihanna Kanye west
El professor......hii simulizi ya Lil wayne yahitaji documentary kwa kweli.... iko fiti sana
Jamal ukitoa story mimi binafsi napenda nakuelewa vizuri sana mungu Akubariki kwa kazi yako Ameen 🤲🇹🇿🇬🇷
Anybody watching this in April 2024
Tuko
@@victorkemei-uq5ii nkbl🫡
Prof. Jamal on his comfort Zone. I adore you Professor
I think Young D was inspired by Lil Wayne too
You can hear the flow and rhythm in his lyrics 🙌🇹🇿
Mr, hata wew pia one day inatakiw utolewe ctor kama legend mcmulizz Tanzania,respect to u man
Actually there are bigger names too such as 2pac Shakur, Snoop Dogg, Nelly etc but lil wayne made a mega hit *MIRROR* ft Bruno Mars in his lifetime 🙌👏
Pac is dead and Lil Wayne is bigger than everybody you just named
I’m an addict, I’m addicted to success. Thankfully, there’s no rehab for success. - Lil Wayne
#official_tella
You are the best history presenter ever .Move with same pace-Paul Vincent from Kenya🇰🇪
Lil Wayne Best Rapper Forever ❤️❤️ #Congratulation Mr Proffessor Jamal April
Itakuwa vyema zaidi ukiandaa historia za Kendrick Lamar na J Cole they are also among the best rappers.
The artist who made me love hip-hop music #Tunchi
Lil Wayne the true 🐐 of the game✊🏽
7@Razzy Mkali Official zw10
kando na lil wayne, suti lenyewe jameni...hongera
Tunaomba sana story book ya pop smoke thanks 🙏🙏 professor Jamal April mustapha
Profesor kuna kipengelee kimoja kidogo lakini kikubwa kwa mantiki ..wakati unazitangaza nyimbo zilizofanya vizuri ilipendeza ungekuwa unazipiga ili tuzikumbuke hii itasaidia kwa wale ambao wanajua nyimbo zake kwa kuzisikia tu na sio kwa majina
Point
It's good but I think because of copyright
💥💥💥
💘💘💘😓😓
Copyright issues
Lil Wayne ni rapper bora wa siku zote Mirror with Bruno Mars ni ngoma ninayoikubali na ni ngoma yangu bora ya karne Big up Lil Wayne and Big up Jamal April
Proffesor ungeweza kutuonjesha vionjo vya nyimbo unazozitaja ingebamba sana
Lil Wayne """ The best rapper Alive""".... Professor kuna kipengelee kimoja 👆👆👆 kidogo lakini kikubwa kwa mantiki ..... Wakati unazitangaza nyimbo zilizofanya vizuri ilipendeza ungekuwa unazipinga ili tuzikumbuke hiiii itasaidia kwa wale ambao wanajuwa nyimbo zak kwa kuzisikiya tu na sio kwa majina 📝📝📝📝
Hawa watoto wakutelekezwa huwa na barka sana jamal naomba utufanyie ya R. KELLY
Jamaal professir mkalii hakikaa lily wyne mkali wa hizi kazii ulingo wa hipop Tng media inatazama
Lil wayne. My mentor. Asante prof. Kubwa sana hii. Ametu inspire wengi sanaa
Nakukubali sana mr. NYOKA. The prof. Jamal
Watu wamealikiwa bwana,,👏👏👏 kwako Mwandishi wa habari hii. Kwan nimependa sana kusikia story tam kama hiii
Jay z has a great history on hip hop I think he's among the greatest
kwani nani hajui??
Prepare for the worst bt still praying for the best
Have been missing you so much Jamal
Welcome back my 💓
Keep the joyful/learning story telling alive Prof. Jamal
Uko
Nice storys , I like thm
Umekosea sana na umeukosea utamaduni wa hip-hop duniani mzeee kusema lil Wayne mfalme wa rap kwa kigeze kipi na influence gani endelevu alioifanya mitepesho,vipuli,aseeee Mchambuzi badilisha kichwa Cha abari ulimwengu wa hip-hop unamjua mtu mmoja Anaitwa Rakim ndio alie shape style ya Rap/Hip-hop
🚮
Mfalme wa rapper sio hiphop
Mfalme wa rapper sio hiphop
My favorite Rapper!😍❤ Weezy Baby!🔥
Tunech🫡
Rudi Class bro, #Lil Wayne Siyo mfalme wa Muziki wa HIP HOP Dunian,
Rapper not hip hop,
.qweli
Huyo ni rapper sio hiphop huu jui mziki wew kasilize singerii
Brother Jamal hii story ya Wayne umefanya kwa Ufupi Sana mnoo Kuna baadhi ya mambo ujaweka wazi Zaidi,kwa mfano wasanii haliowatoa na kufanya vzr Duniani kote na kuwa Rapper wazuri kwa kizazi Chao.....by Hans
Safi sana my brother Jamaal kazi nzuri sana
Huyu jamaa ni jini lil Wayne is a number one rapper namkubali kinoma
Kaka Jamal hauna mpinzini tunashukuru kwakutujuza yale ambayo hatukuwa tukiyafahamu hongera sana
Hiiii story ujaitendeaaaa hakiiiinkabisaaaaa ....umeachaaaa alot
Especially the coming of like father like son 2
Beef ya birdman na lilwayne
Kunusurikaaa kifoooo na majambaz walio tumwaaa na Birdman....
Lakin congrats
👍👍 imetulia sanah
Hustler Musik ,👍👍👍
Hii iwe na part 2 bhana
Imemaliza kindezi sana kuna vingi hatujaviskia kutoka kwa lil Wayne
Pekua zaidi uko Jamal utuletee tafadhali
Hongera profesal jamali kwa story book
Mi best rapper Tunchi,
Jamal April thanks sanaaa
jamal you are the best story teller
Following from Kenya...👏👏👏
Nakuball Sana professor
Naomba umuungalie na mwandishi nguli na mashughuli wa AFRICA (CHINUA ACHEBE)
Simulizi ya lil Wayne ndo nilikua naisubiri kwa hamu lakini it is based mostly on facts and figures mwaka flani alifanya ivi akashika number gani I think kwa mtazamaji wa kawaida mwanzo wa simulizi ndo ulimteka lakini huku mbele mzee apana😂😂😂Kama sio shabiki wa mziki umewakoroga
😂😂😂
🤣🤣
😂😂🤣🤣
Love you jamaly tunakupenda sana
Pro jamal doing his best....keep it G...more IQ's for real
Namkubali sanaa huyu jamaa kiukweli uwa akiwa kwenye kazi zake uwa hakosei
Weezy Baby! Namkubali sanaaa,lil Wayne..😊👍
JAMAL tunaitaji kumuona eminen Pia , just prepare it for us brother ....kazi nzuri
My favourite ❤
He is my favorite raper in the world💯💯
Christopher Dorsey aka B.G huy jamaa noma
Mnaonaje katikati ya the story book mnaweka na tangazo la wasafi bet
Bado history book inaitaji muda ko aina haja yatangazo bado inaitaji kuongeza mashabik
Acha uchawa
@@kulwalikombe4307😂😂😂
Jamaaa namkubali sn Wayne
Hii story ya huyu mwamba liltunech hujatutendea haki umemzungumzia kwa ufupi sana kuna mengi tulikua tunahitaji kusikia kumuhusu yeye na wasanii wake maisha yake ya jela mafanikio yake inabidi utuletee muendelezo
Prof jamal unatishaaaa🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿
If i die today remember me like john legon lil wayne
Tuna kupenda sana jamal❤
The iconic lil Wayne
Thankful for better history of that rapper
Much love from Zambia 🇿🇲🇿🇲
Jamal napeda simuluzi zako from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Napenda sana stori za huyu kaka kiukwel anajua sana kusimulia❤❤
@@mohamedslh5478 😁😁 yaan ww
@@mohamedslh5478 Aya bn
Nakubali sikupingi by weezy baby
Umetisha
Lily wyne my best rapper ever 💪💪💪💪
Leo umenikosha...✊✊✊
Upo smart sana nakaziyako
napeda. sana👏
Brother kwel umetuamulia saiv back to back
Mnyama Lily Wayne penda sana uyoo m2 ni mo🔥🔥🔥🔥
Nairobi tuko pamoja
hapo umenigusa vilivyo💪🔥
Zipi sasa wanastory gani awajalelewa maisha ya kutunza kumbu kumbu
Professor 🔥🔥🙌
Nzury sana
I just like you work.. keep moving big brother
nakubali wajina✊✊
Hongera kwa storii nzuli
Namkubali saan huyu mwamba Lilly Wayne
Next story give us your biography you deserve a nobel peace prize
I like the story book
Iko powa
My all time best rapper.
Back to back thanks Jamal
Hongera kaka kwa kazi nzuri unayoifanya
Ujaongelea story kubwa Lil Wyn Marakadha moyo wake huua unasimam nanitatizo linalo msumbua sana
Good story
Father of new generation
Hatari #official_tella