Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍
Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI
Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi
Mi ntaenda ase nkaishi huko majengo ya bure kabsa izo sauti naweka sabufa naweka nyimbo zangu sitasikia vilio wangap wataniunga mkono tuende wote tuwe majiran like hapo chini haha
@@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah
As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).
Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_- (FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.
Tunaemuelewa mtiga bdalah gonga like kwa upendo nice voice brother
isack peter namuelewa sana
Nakupenda sana
Nimeipenda iiii stoli
Huyu mtu ana talanter ya usimuliaji
Good
Huyu msimulizi anafanya kazi nzuri sana. Inabidi mtu atazame video mpaka mwisho
Ambaye Wana mkubali mtiga Abdallah gonga like tujuwane
na muamini mungu tuh
Ana sauti nzur sana anajua kazi anatulia ,he is just awesome..sijui jina lake but i adore him..
Mtiga abdallah
Weee gonga like apaa kama umepatamani huko kuishi kwá kudra za mwenyenz mungu😂😂❤
Haya twende mtu wangu 😂😂😂😂
I like much the story book ✌️✌️
Hii ni hatari ivi hii dunia ni hatari tunastaili kumuabudu mungu kila wakati
Amen amen amen
Pumpabufu
@@hamidasultan3877 Sasa mpumbavu ni nani ni wew au🙄🙄
Wangapi tunaiangalia hii story 2020 gonga like mtigaa
Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍
Simuizi nzuri sana,ndugu msimulizi wa hadithi unasimulia vizuri sana napenda kwa jinsi unavyoelezea,tunakuelewa vizuri sana.
Aisee km unamkubali huyu jamaa kwa simulizi zake hizi gonga like yako hap
hi story ya kangbashi ni kweli nime angalia kwa Google keep up bro 😱😱😱
daaah wewe una juwa kazi bro the stor book suka na tembe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩blook the stor book i love you bro
Pamoja mon frère congolais na mimi napenda sana the story book.
Kaka unajitaid kutujuza n habar zako respect very looking nc
Ukisikia mapinduzi ya habar ndo haya hongereni wasafi kwa kutupa burudani
KAMA UNAMU AMINI MWENYEZI MUNGU GONGA LIKE HAPO 💓💓👇👇
Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI
Husseiny hassany
Duuuhh kwel mtiga uko frshhh
If u are watch this story up to now just put u are comment here
@@amanismithk Aa
duuh. hataree. Nzuri. Sana'a. kutufahamisha. hongera. uko. vizuri🔥🔥
Mtiga And Jamal you guys are the best
Ukweli zulfa
@@husseinyhassany5696 umeona eeeh these guys i can say ni one of the best presenter na kati ya program zinazoongoza kwa kupendwa wasafi na hii pia ipo
@@creeper6057 hawa wanaabudu shetani
@@husseinyhassany5696 sio kweli bwana wewe umejuaje kama wanaabudi mashetani come on hebu tufurahie wenzetu wanapofanya kitu kizuri basi mshkaji wangu
Mmh
Unasimulia vizuri hongera sana🔥🔥🔥🔥
0688917393
Daah!! Tatizooo Mtiga tunakusublii sanaaa adii jmoc aiseee 😬😬 Kama ulikua unawait jmoc ifikee ili umchekii the real deal gonga like apaah 🙌😆😝😝
Konki
jumamosi saa ngap
Wasaf.
Diamond
Diamond
bongeeeee la Story...MTOGA umetishaaa (WCB)
Sio mtoga mtiga
Hawa Ally nashukr jmn kwa kunirekebisha
Angumbwisye. Asanteee kushukuru
@@frankangumbwisye6624 you're well come
Hawa Ally wow😄thankx
Yaan kila mtu anaye comment apa ni likes anaomba khaa..c mbadilike
king of voice 😍😍😍
Duh inatisha sana
Wangapi Tunapenda The Story book iwe kila Siku
haaas
Hatari sana
Hatari sana
Wasafi 👍👍👍
Nakubali saana simulizi zako kaka🙏
Piteni na like zenu ndugu leo wa 3
The Story Book is the most Episode which preferred with many people at Wasafi TV since created Big Up Mtinga Abdallah #
Bauujajzjkz
Nice
WCB 💥 wabunifu sana.
Upo juu mzee baba mtiga nakukubari sanaaa blooo😀😀👍
I love the water book
kama tunaaangalia wote now gongaaa like twende sawaaaaaa
Story book mnatufundisha mengi sana big up sana
Hua Unanifanya nijisikie mwenye faraja Sana mtiga asante sauti nzuri Sana
Nipeni Mimi mjengo mmoja waone nitakavyoishi kwa furaha kubwa,Yesu ameshinda nasi tutashinda,iko nguvu ndani ya jina la Yesu kristo
Nenda tu watakuruhusu kuingia huko na waumini kadhaaa ujaribu
@@swaumdodoma7591 aaaaaaah
safi sana tunajua vitu vingi kupitia the story book
Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi
Hatar!!!! Mungu ni Mungu tu,atabaki kuwa Mungu tu
Nakubari bro mtiga Asante kwa kuwa chomolea be trip! !☺☺
Duuuu majengomazur inaishimizim namashetani daaaaaaa
kama ndiyo kwanza unawatch honga like tuende pamoja
@Kelvin Novath peeeee
❤️❤️❤️❤️I love his voice ... amazing story 💯💯
Duuuu
Uko vzr brother ASante kwa story
Mi ntaenda ase nkaishi huko majengo ya bure kabsa izo sauti naweka sabufa naweka nyimbo zangu sitasikia vilio wangap wataniunga mkono tuende wote tuwe majiran like hapo chini haha
😅😅
broo upo vizuri
😂😂😂
Twende wote
@@GetrudaNehemiah hahaha shafikaa
Hatari sana aisee mpk naogopa jmn
Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wanaomba like kwenye kaz za watu wengne sijui mnazipeleka wap
😂😂😂🤣
Haaahaa
Washambaa
Story nzuri pia mcmuliz anajua kutulis
BIG UP BROTHER
your the best mtiga abdallah
Hiii Dunia Anaijua ALLAH pekee
Majaab ya Allah
Kwaivo Jehovah, Krishna, Buddha na Mungu Mingine hawajui chochote kuhusu dunia hii?
@@BigZhumbe Yap hawajuwi chochote ktk ufalme wake Allah ila alitakalo Allah ndo watakalolihuwa
@@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah
@@BigZhumbe msubirie uyo yehova wako siku ukifika ndo utajua mbivu na mbichi
Ngoja nikaamie mimi huko nile bata pekee yangu ila kabla sijaenda kwanza napitia kwa bibi sumbawanga kujiboost
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Big up mtigaa 💪💪💪
Story kali na nzuri piaa salout kwako mtiga abdalah
I love the story book 😍
Nakukubali mtiga
nimejifinza yakujifunza kweli dunian kuna mengi! I like it
Thanks for Highlighting Historical teachings.
Its dengarous. Zone
Tigaaaa boy wasafiii bless up
Kama umeichek 2020 gonga like twende sawa
I just love it
simulizi nzuri sana na nimejifunza mengi
hao ndugu zetu wa china watujuze zaidi kuhusu kangbash
*hayah tunaomkubLi mtiga abdallah na kuwachomolea batr wasimuliz wengne tujuwane*
😂😂😂
@@mndigaboy2955 hivi sky na mtga n watu wawili tofauti?
@@hawaally5869 hahaha
Lkn @@hawaally5869swali lako sjalielewa hebu rudia tena swali lako🙏
@@hawaally5869 Sky ni wa sns na mtiga ni wa wasafi. Ni wawili tofauti. Au sijafaham suali?
aisee naikubali sana the story book
Kama unakubali story books na simulizi tamu gonga like
Mtiga Abdala Asante sana kaka,ume fanya tukajua mengi, mwenyezi Mungu akumbariki
As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).
Aa
Duuuuuu...gonga like
Waa!! Sisemi kitu 🤗🤗👌
Mnajua kuzipamba stori kila kitu mnakisema kwa reference
Dah mzee uko vzur kwa hii kitu nakubali na naipenda kizazi Sana ☙💕👏👏👏
Sauti yako nzuri unashawishi mtu asikize story ata kama hakutaka kusikiza hongera
Love u mtiga abdala
What a story amazing sana
Kaka nakuelewa sana
Sioni hasara mb's zangu ziishe kwa ajili yako
Thx kwa ujumbe
Nimependa wasafi TV, story ni nzur sana
mtigwa jmni haludishwe😢😢 huyu kaka anafaa sana kwenye the story book walllah kwanza anakuweka attention na anajua ❤❤ mtwiga mashaaallah mashaaallah❤
Thanx for your teachings.
Jaman kama binge kuwa huk binge karibu kuish manaaaa🥰🥰🥰🥰👍
The story book wakupe tunzo ya uhandishi bro
The story book ninoma xana bro unajua 🙌
Wapi likes za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wanao tazama the story book
Wakenya sisi hatuna ujinga huo wakuombana like na kupeana
Dah noma sana sipati picha ndo ingekuwa Dar!..😅🤣🤣
Kama ni sauti2 mzee baba ipo yaaan 🔥🔥🔥🔥
👍👍👍
Nice voice thanks
Mapeeana nimewah leo ata like moja jamn
Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_-
(FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.
@@allyderossi9742 that is true bro
Anae mkubali mtiga kama mm basi like hapa
Mondi mwenyewe anafuatilia Storybook kwa UA-cam haamini anachokiona Kwa huyu jamaa MTIGA
Hahaha
Sir-idd Ke hahhh
😀😀😀
Sir-idd Ke 😂😂😂😅😅😅
hahahaha
Nilikua naitafutaa sana hii story BT now nimeipataa shukrani kaka
Thanks for the great info
Shukran blue books
Mtiga abdallah unajua kuadithia baba...🙌
Nakuelewa sanaa Mtiga unajuwa unacho fanya
Naipnda the story book wallh daa
Nakupenda sana Mtiga Abdalaah kwa kaz yako nzuri
❤❤❤❤❤❤❤❤
Sijutii kununua smart phone inanipa burudani
Kam@ unamkubali Jamal gonga like hpa chini
Mtiga Abdallah nakukubali sanaaaaa 💪👌
One of the best voices,the narrator.
Love it
I love it
Umetisha sana mtigah rep +254
Nice story salute