MIJI NA VISIWA VYA MIZIMU AMBAVYO WATU WAMESHINDWA KUISHI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • #TheStoryBook #WASAFI FM SIMULIZI KUHUSU MIJI, VISIWA NA MAJUMBA YA KIFAHARI AMBAYO WATU WAMEYAKIMBIA NA SASA WAMEBAKI KUISHI MIZIMU

КОМЕНТАРІ • 1 тис.

  • @isackpeter6729
    @isackpeter6729 5 років тому +314

    Tunaemuelewa mtiga bdalah gonga like kwa upendo nice voice brother

  • @MUTUMAMNAIROBI
    @MUTUMAMNAIROBI 4 роки тому +23

    Huyu msimulizi anafanya kazi nzuri sana. Inabidi mtu atazame video mpaka mwisho

  • @silaprospell9360
    @silaprospell9360 4 роки тому +41

    Ambaye Wana mkubali mtiga Abdallah gonga like tujuwane

  • @idaaman7489
    @idaaman7489 4 роки тому +16

    Ana sauti nzur sana anajua kazi anatulia ,he is just awesome..sijui jina lake but i adore him..

  • @humblegirltz116
    @humblegirltz116 3 роки тому +15

    Weee gonga like apaa kama umepatamani huko kuishi kwá kudra za mwenyenz mungu😂😂❤

  • @josephatmbena8886
    @josephatmbena8886 Рік тому +6

    I like much the story book ✌️✌️

  • @kinglunda_best7616
    @kinglunda_best7616 5 років тому +113

    Hii ni hatari ivi hii dunia ni hatari tunastaili kumuabudu mungu kila wakati

  • @johnsilima6789
    @johnsilima6789 4 роки тому +21

    Wangapi tunaiangalia hii story 2020 gonga like mtigaa

  • @nahyaseif6226
    @nahyaseif6226 4 роки тому +7

    Nampenda bure huyu anajua haswa nilikua sjui kuhusu story book lakn saiv ni mfuatiliaji mkubwa wa hii story book yaan anahadithia kama unaona vile he is great 😍😍😍

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 роки тому +12

    Simuizi nzuri sana,ndugu msimulizi wa hadithi unasimulia vizuri sana napenda kwa jinsi unavyoelezea,tunakuelewa vizuri sana.

  • @danieljames3878
    @danieljames3878 4 роки тому +5

    Aisee km unamkubali huyu jamaa kwa simulizi zake hizi gonga like yako hap

  • @goldenboy8954
    @goldenboy8954 5 років тому +17

    hi story ya kangbashi ni kweli nime angalia kwa Google keep up bro 😱😱😱

  • @salehkamwanga2930
    @salehkamwanga2930 5 років тому +35

    daaah wewe una juwa kazi bro the stor book suka na tembe 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩blook the stor book i love you bro

    • @lupandesimukindje8170
      @lupandesimukindje8170 5 років тому

      Pamoja mon frère congolais na mimi napenda sana the story book.

  • @mudhirikibiwi5131
    @mudhirikibiwi5131 5 років тому +8

    Kaka unajitaid kutujuza n habar zako respect very looking nc

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 років тому +133

    Ukisikia mapinduzi ya habar ndo haya hongereni wasafi kwa kutupa burudani

  • @husseinyhassany5696
    @husseinyhassany5696 4 роки тому +938

    KAMA UNAMU AMINI MWENYEZI MUNGU GONGA LIKE HAPO 💓💓👇👇

    • @amanismithk
      @amanismithk 4 роки тому +2

      Husseiny hassany ISHU SI TU KUMUAMINI MWENYEZI MUNGU !!! HUU USEMI NI WA WATU WASIOJUA UHALISIA WA MUNGU ... BIBLIA INASEMA "" HATA MASHETANI WANAMWAMINI MUNGU NA KUTETEMEKA"" WEWE UNASEMA KWA MDOMO TU UNAMWAMINI !! WAO HADI WANATETEMEKA !! YAKOBO2:19 USIJIDANGANYE KUWA KWA KUSEMA KWAKO ETI UNAMWAMINI MUNGU NDIO UTAINGIA MBINGUNI ...HUJUI MAANDIKO WALA HUJAMJUA MUNGU BADO!! NIKUULIZE SWALI ? JE MASHETANI KWA KUMWAMINI MUNGU HADI KUTETEMEKA JE HIYO ITAWAFANYA WAINGIE MBINGUNI ??? JIBU NI HAPANA !!!! NA MAANDIKO YANASEMA "" MOTO WA JEHANAM AMEWEKEWA IBILISI NA MALAIKA ZAKE(MASHETENI AU MAPEPO NA MAJINI YOOOOTE WALA HAKUNA JINI ZURI KAMA MNAVYOAMBIWA) KUMWAMINI MUNGU NI KWANZA KUJUA YUPO KWA UHALISIA WALA HAPO SI SWALA LA IMANI TUU.. TUNAJUA YUPO KWA UHALISIA MAANA KILA SIKU TUNAONA MATENDO YAKE NA MIUJIZA YA UUMBAJI WAKE AMBAYO HATA WANASAYANSI HAWAJUI VIMEUMBWAJE MFANO MFUMO WA UBONGO UNAOZIDI HATA COMPUTER YOYOTE DUNIANI.... PILI NI KUISHI KWA MATENDO MAMBO YANAYOMPENDEZA MUNGU. SIO UNAKULA RUSHWA UNATUKANA UNAENDA KWA WACHAWI NA WAGANGA NDUGU ZAO UNAIBIA WATU UNARUSHA WATU UNA WANAWAKE KIBAO UNA MAHASIRA YA AJABU AJABU NA KUPIGA WATU HATA MKEO NK HALAF UNASEMA NAMWAMINI MUNGU !!! YUPI??? MSIDANGANYIKE YESU PEKEE ALITUMWA ULIMWENGUNI KUWAPATANISHA WANADAMU NA MUNGU KWA KIFO CHA MSALABA ILI KUBEBA ADHABU YETU WANADAMU. NA ILITABIRIWA TANGU AGANO LA KALE. ISAYA 53 PIA ISAYA 7:14 Inasema bikira (bila mwanaume)atachukua mimba atamzaa Yesu......nk. ANAYEMWAMINI YESU NA KUKUBALI KAZI YA MSALABA NA KUWA ALIKUFA NA KUFUFUKA NA ATAIHUKUMU DUNIA HUYO HATAHUKUMIWA. USIPOMWAMINI YESU JEHANAM INAKUSUBIRI USIJIDANGANYE NA DINI NA KUSHINDANIA DINI.. YESU PEKEE NI NJIA YA UZIMA YOHANA 14:6.. UKIANZA MABISHANO NA USIPOSIKIA NI JUU YAKO. MIMI NIMESHAKWAMBIA NA HUTAJITETEA SIKU YA HUKUMU KUWA HUKUJUA YESU PEKEE NDIO NJIA YA MBINGUNI

    • @mkumbojaphe616
      @mkumbojaphe616 4 роки тому

      Husseiny hassany

    • @abdulkhareemhussein2984
      @abdulkhareemhussein2984 4 роки тому +2

      Duuuhh kwel mtiga uko frshhh

    • @mosesmchicha8557
      @mosesmchicha8557 4 роки тому +1

      If u are watch this story up to now just put u are comment here

    • @chrispmagesa9004
      @chrispmagesa9004 3 роки тому

      @@amanismithk Aa

  • @patnerztz8938
    @patnerztz8938 5 років тому +23

    duuh. hataree. Nzuri. Sana'a. kutufahamisha. hongera. uko. vizuri🔥🔥

  • @creeper6057
    @creeper6057 4 роки тому +8

    Mtiga And Jamal you guys are the best

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      Ukweli zulfa

    • @creeper6057
      @creeper6057 4 роки тому

      @@husseinyhassany5696 umeona eeeh these guys i can say ni one of the best presenter na kati ya program zinazoongoza kwa kupendwa wasafi na hii pia ipo

    • @husseinyhassany5696
      @husseinyhassany5696 4 роки тому

      @@creeper6057 hawa wanaabudu shetani

    • @creeper6057
      @creeper6057 4 роки тому

      @@husseinyhassany5696 sio kweli bwana wewe umejuaje kama wanaabudi mashetani come on hebu tufurahie wenzetu wanapofanya kitu kizuri basi mshkaji wangu

    • @salumujongo8575
      @salumujongo8575 3 роки тому

      Mmh

  • @sophienico4736
    @sophienico4736 3 роки тому +5

    Unasimulia vizuri hongera sana🔥🔥🔥🔥

  • @maesryclassic456
    @maesryclassic456 5 років тому +70

    Daah!! Tatizooo Mtiga tunakusublii sanaaa adii jmoc aiseee 😬😬 Kama ulikua unawait jmoc ifikee ili umchekii the real deal gonga like apaah 🙌😆😝😝

  • @frankangumbwisye6624
    @frankangumbwisye6624 5 років тому +64

    bongeeeee la Story...MTOGA umetishaaa (WCB)

  • @helenrichard933
    @helenrichard933 4 роки тому +6

    Yaan kila mtu anaye comment apa ni likes anaomba khaa..c mbadilike

  • @beatricelauden8317
    @beatricelauden8317 5 років тому +51

    king of voice 😍😍😍

  • @sumillohabdallah3259
    @sumillohabdallah3259 5 років тому +49

    Wangapi Tunapenda The Story book iwe kila Siku

  • @pauldaudjohn7937
    @pauldaudjohn7937 5 років тому +8

    Wasafi 👍👍👍

  • @manenonjamasi35
    @manenonjamasi35 5 років тому +70

    Nakubali saana simulizi zako kaka🙏
    Piteni na like zenu ndugu leo wa 3

  • @charlesambrose1708
    @charlesambrose1708 5 років тому +46

    The Story Book is the most Episode which preferred with many people at Wasafi TV since created Big Up Mtinga Abdallah #

  • @ackyoodavid8930
    @ackyoodavid8930 5 років тому +15

    WCB 💥 wabunifu sana.

  • @sharifubaalia3088
    @sharifubaalia3088 5 років тому +12

    Upo juu mzee baba mtiga nakukubari sanaaa blooo😀😀👍

  • @zickcb6468
    @zickcb6468 Рік тому +1

    I love the water book

  • @rashidicharles110
    @rashidicharles110 4 роки тому +13

    kama tunaaangalia wote now gongaaa like twende sawaaaaaa

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 5 років тому +4

    Story book mnatufundisha mengi sana big up sana

  • @rehemamohamed5844
    @rehemamohamed5844 4 роки тому +7

    Hua Unanifanya nijisikie mwenye faraja Sana mtiga asante sauti nzuri Sana

  • @apostleadamgige4662
    @apostleadamgige4662 4 роки тому +21

    Nipeni Mimi mjengo mmoja waone nitakavyoishi kwa furaha kubwa,Yesu ameshinda nasi tutashinda,iko nguvu ndani ya jina la Yesu kristo

  • @jenniferfidelisshetui6778
    @jenniferfidelisshetui6778 5 років тому +14

    safi sana tunajua vitu vingi kupitia the story book

    • @cheniboy6274
      @cheniboy6274 4 роки тому

      Tumefulai watanzania kwa kupata chombo kingine cha utangazaji hongereni Sana wasafi kwa jitihada zenu ila ombi la watzd namba za simu za hii midia ili tupate kuwarushia matukio ya mitaani hususani na hizi mvuwa zinazo endelea ndilo ombi

  • @melianaleba5387
    @melianaleba5387 4 роки тому +2

    Hatar!!!! Mungu ni Mungu tu,atabaki kuwa Mungu tu

  • @pascalkapama2185
    @pascalkapama2185 5 років тому +31

    Nakubari bro mtiga Asante kwa kuwa chomolea be trip! !☺☺

    • @alphredmlelwa8270
      @alphredmlelwa8270 4 роки тому

      Duuuu majengomazur inaishimizim namashetani daaaaaaa

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 5 років тому +31

    kama ndiyo kwanza unawatch honga like tuende pamoja

  • @terrywatahi1203
    @terrywatahi1203 Рік тому +4

    ❤️❤️❤️❤️I love his voice ... amazing story 💯💯

  • @tlesphorysistyally422
    @tlesphorysistyally422 4 роки тому +5

    Uko vzr brother ASante kwa story

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 4 роки тому +21

    Mi ntaenda ase nkaishi huko majengo ya bure kabsa izo sauti naweka sabufa naweka nyimbo zangu sitasikia vilio wangap wataniunga mkono tuende wote tuwe majiran like hapo chini haha

  • @estherjustine8808
    @estherjustine8808 4 роки тому +1

    Hatari sana aisee mpk naogopa jmn

  • @nasiburashid4616
    @nasiburashid4616 5 років тому +18

    Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wanaomba like kwenye kaz za watu wengne sijui mnazipeleka wap

  • @momyyangaa7110
    @momyyangaa7110 2 роки тому +1

    Story nzuri pia mcmuliz anajua kutulis

  • @Prem_Rich
    @Prem_Rich 5 років тому +15

    BIG UP BROTHER

  • @aronnasibu8768
    @aronnasibu8768 5 років тому +4

    your the best mtiga abdallah

  • @immah__deo7014
    @immah__deo7014 5 років тому +96

    Hiii Dunia Anaijua ALLAH pekee

    • @zaitunisaid3647
      @zaitunisaid3647 4 роки тому +1

      Majaab ya Allah

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому

      Kwaivo Jehovah, Krishna, Buddha na Mungu Mingine hawajui chochote kuhusu dunia hii?

    • @saidyssaley1509
      @saidyssaley1509 4 роки тому

      @@BigZhumbe Yap hawajuwi chochote ktk ufalme wake Allah ila alitakalo Allah ndo watakalolihuwa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 роки тому

      @@saidyssaley1509 But Allah ndio youngest God. Miungu yote niliokua nimetaja apo juu ilianza kujulikana kitambo sana. Kila dini inawafuasi na wanaishi kwa misingi ya mafunzo ya dini zao sio misingi ya dini ya Allah. Jehovah anawafuasi wengi kuliko Allah

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 4 роки тому

      @@BigZhumbe msubirie uyo yehova wako siku ukifika ndo utajua mbivu na mbichi

  • @roi2554
    @roi2554 4 роки тому +30

    Ngoja nikaamie mimi huko nile bata pekee yangu ila kabla sijaenda kwanza napitia kwa bibi sumbawanga kujiboost

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 5 років тому +8

    Big up mtigaa 💪💪💪

  • @rashlight2597
    @rashlight2597 5 років тому +9

    Story kali na nzuri piaa salout kwako mtiga abdalah

  • @sadaalharthi7317
    @sadaalharthi7317 5 років тому +10

    I love the story book 😍

  • @sellenmacho2183
    @sellenmacho2183 5 років тому +2

    nimejifinza yakujifunza kweli dunian kuna mengi! I like it

  • @seithmbaya6764
    @seithmbaya6764 4 роки тому +11

    Thanks for Highlighting Historical teachings.

  • @godnasgabriel3347
    @godnasgabriel3347 4 роки тому +1

    Its dengarous. Zone

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 4 роки тому +4

    Tigaaaa boy wasafiii bless up

  • @jozzsimbatv1199
    @jozzsimbatv1199 4 роки тому +3

    Kama umeichek 2020 gonga like twende sawa

  • @moficiall8947
    @moficiall8947 3 роки тому +5

    I just love it

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi45 4 роки тому +2

    simulizi nzuri sana na nimejifunza mengi
    hao ndugu zetu wa china watujuze zaidi kuhusu kangbash

  • @favourboy5779
    @favourboy5779 5 років тому +512

    *hayah tunaomkubLi mtiga abdallah na kuwachomolea batr wasimuliz wengne tujuwane*

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 5 років тому +3

      😂😂😂

    • @hawaally5869
      @hawaally5869 5 років тому +7

      @@mndigaboy2955 hivi sky na mtga n watu wawili tofauti?

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 5 років тому +2

      @@hawaally5869 hahaha

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 5 років тому +2

      Lkn @@hawaally5869swali lako sjalielewa hebu rudia tena swali lako🙏

    • @mozakassim9737
      @mozakassim9737 5 років тому +2

      @@hawaally5869 Sky ni wa sns na mtiga ni wa wasafi. Ni wawili tofauti. Au sijafaham suali?

  • @hidayambwana5260
    @hidayambwana5260 4 роки тому

    aisee naikubali sana the story book

  • @catherinedavid5902
    @catherinedavid5902 4 роки тому +6

    Kama unakubali story books na simulizi tamu gonga like

  • @angellamwanzia4641
    @angellamwanzia4641 3 роки тому +1

    Mtiga Abdala Asante sana kaka,ume fanya tukajua mengi, mwenyezi Mungu akumbariki

  • @hoseap.gambojnr5268
    @hoseap.gambojnr5268 4 роки тому +16

    As of 2010, the current city on a site of 35 square kilometres (14 sq mi) has capacity for at least 300,000 people, created with an estimated investment of around 1.1 trillion yuan ($161 billion).

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 5 років тому +2

    Duuuuuu...gonga like

  • @riziki2542
    @riziki2542 4 роки тому +3

    Waa!! Sisemi kitu 🤗🤗👌

  • @adilaamani8217
    @adilaamani8217 5 років тому +17

    Mnajua kuzipamba stori kila kitu mnakisema kwa reference

  • @majidhamed359
    @majidhamed359 4 роки тому +5

    Dah mzee uko vzur kwa hii kitu nakubali na naipenda kizazi Sana ☙💕👏👏👏

  • @sarafinaseverine4080
    @sarafinaseverine4080 4 роки тому

    Sauti yako nzuri unashawishi mtu asikize story ata kama hakutaka kusikiza hongera

  • @Baddeset87
    @Baddeset87 5 років тому +8

    Love u mtiga abdala

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 5 років тому +8

    What a story amazing sana

  • @sheebyramaal2342
    @sheebyramaal2342 5 років тому +15

    Kaka nakuelewa sana
    Sioni hasara mb's zangu ziishe kwa ajili yako

  • @classicissa2241
    @classicissa2241 4 роки тому

    Thx kwa ujumbe

  • @goddamwakimi5889
    @goddamwakimi5889 5 років тому +7

    Nimependa wasafi TV, story ni nzur sana

  • @hansfrancis4613
    @hansfrancis4613 8 місяців тому

    mtigwa jmni haludishwe😢😢 huyu kaka anafaa sana kwenye the story book walllah kwanza anakuweka attention na anajua ❤❤ mtwiga mashaaallah mashaaallah❤

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 5 років тому +6

    Thanx for your teachings.

  • @tumainkomba3968
    @tumainkomba3968 3 роки тому

    Jaman kama binge kuwa huk binge karibu kuish manaaaa🥰🥰🥰🥰👍

  • @jumakunemka9858
    @jumakunemka9858 5 років тому +8

    The story book wakupe tunzo ya uhandishi bro

  • @clintonmanyerere4104
    @clintonmanyerere4104 4 роки тому +1

    The story book ninoma xana bro unajua 🙌

  • @josiahgatune4568
    @josiahgatune4568 5 років тому +16

    Wapi likes za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wanao tazama the story book

    • @Being_Hussein
      @Being_Hussein 5 років тому

      Wakenya sisi hatuna ujinga huo wakuombana like na kupeana

  • @sheddmusic47
    @sheddmusic47 3 роки тому +1

    Dah noma sana sipati picha ndo ingekuwa Dar!..😅🤣🤣

  • @davidkapetagomis5705
    @davidkapetagomis5705 4 роки тому +5

    Kama ni sauti2 mzee baba ipo yaaan 🔥🔥🔥🔥

  • @sabrinamponda1503
    @sabrinamponda1503 2 роки тому +1

    Nice voice thanks

  • @jumamuharami7644
    @jumamuharami7644 5 років тому +82

    Mapeeana nimewah leo ata like moja jamn

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 років тому +2

      Juma Muharami, Hebu tuachaneni na mambo ya kisengesng jamn,,hebu 2jaribu kucomments mambo ya maana kiasi ya kwamba hata m2 akiiona 2 comment yako huna hata haja ya kumuomba LIKE,,mwenyw anakupa 2uu kwa comment nzr uloandika,,Sio unaandika comment ya kuomba LIKE:MFANO;(Eti mm leo wa kwanza,mara cjui leo nimewahi wapilii nipeni Like zng 2acheni ndg znguni waTZ pa1 na waZNZ cc sote ni damu...,,Naomba msamaha kama na mm nilikosea ktk matamshi mana na mm pia nina mapungufu yng ikiwa ni kiumbe niloumbwa.,2endelee kurekebishana panapoonekana sehemu hucka ya kuwa m2 kakoseaaa..,,_-
      (FROM ZNZ HAPA).,I love people all from TZ and ZNZ for micks.

    • @mndigaboy2955
      @mndigaboy2955 5 років тому

      @@allyderossi9742 that is true bro

  • @phestorycharles7644
    @phestorycharles7644 4 роки тому +2

    Anae mkubali mtiga kama mm basi like hapa

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 5 років тому +133

    Mondi mwenyewe anafuatilia Storybook kwa UA-cam haamini anachokiona Kwa huyu jamaa MTIGA

  • @amiryharuna7312
    @amiryharuna7312 4 роки тому

    Nilikua naitafutaa sana hii story BT now nimeipataa shukrani kaka

  • @pierrebigirindavyi4378
    @pierrebigirindavyi4378 5 років тому +3

    Thanks for the great info

  • @ssur5797
    @ssur5797 4 роки тому +1

    Shukran blue books

  • @tumainiyuba9887
    @tumainiyuba9887 4 роки тому +6

    Mtiga abdallah unajua kuadithia baba...🙌

  • @saidyussuf1039
    @saidyussuf1039 4 роки тому +1

    Nakuelewa sanaa Mtiga unajuwa unacho fanya

  • @rukaiyaali7676
    @rukaiyaali7676 4 роки тому +6

    Naipnda the story book wallh daa

  • @elizabethraymond8535
    @elizabethraymond8535 4 роки тому +1

    Nakupenda sana Mtiga Abdalaah kwa kaz yako nzuri
    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi5308 4 роки тому +15

    Sijutii kununua smart phone inanipa burudani

  • @chagaboy6837
    @chagaboy6837 3 роки тому +2

    Kam@ unamkubali Jamal gonga like hpa chini

  • @bosslady8806
    @bosslady8806 5 років тому +3

    Mtiga Abdallah nakukubali sanaaaaa 💪👌

  • @simonngugi4916
    @simonngugi4916 2 роки тому +1

    One of the best voices,the narrator.

  • @josephmgomi3242
    @josephmgomi3242 3 роки тому +3

    Love it

  • @hamisabeid3605
    @hamisabeid3605 3 роки тому +1

    I love it

  • @mutuachris
    @mutuachris 5 років тому +20

    Umetisha sana mtigah rep +254

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 4 роки тому +1

    Nice story salute