Kwa njinsi sendeka anavyojitahidii kuutetea jamii yake anayowakilisha anastahili kupewa heshima ya mbunge karne katika wabunge wote waliowahi kuwakilisha jamii ya kimaasai hili lifanyiqe kazi asanteni
Duh! Mhe. Ole Sendeka kubali yaishe! Lakini kupanga ni kuchagua una nafasi ya kujifakari kama bado unastahili kuzitetea kondoo zako katikati ya kundi la viumbe wengine wala nyama na huku wakiwa na njaa.
Hapo ndio tutaona umuhimu wa uchaguzi huru maana kwa sasa inaonekana mzee ole sendeka anabanwa kwenye uhalali lakini wabunge wengine hawana uwezo wa kumsapoti mzee pamoja na wamasai hao..hivi mmasai ni mkimbizi kwenye hayo maeneo?
Mbona Spika anajaribu kupoka uhuru wa mbunge wa kuzungumza bungeni? Mbunge Ole Sendeka anahoja ya kutetea wananchi wake. Dr Tulia acha wabunge wazungumze matatizo ya watu wao
Sasa tulia mnataka afute hizo sheria na yeye hajatunga, jamani sheria sio za tulia nashangaa mnamvamia, mmmmh bora waliweka spika mwanasheria maana angekuwa hajui sheria angepelekwapelekwa balaaaa
Waswahili ni nadra sana kusema ukweli na kukubali kosa , kuna uhusiano wa uswahili na uongo na kuwa na maneno mengi na midomo mirefu , na kuna uhusiano wa uswahili na uvivu na umasikini . Yaani waswahili wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu.
She is not! She is only threatening the MP, the MP Sendeka quoted the letter from the former PM Pinda, which nullified the exercise. Now why madam spika threatening him by asking him to provide evidence? Is this to say The PM Pinda was wrong? Is this what she want to tell us? Feel shy to clap your hands when spika stand in the side of oppressors. Did ever ask yourself why OBC? Why madam presidaa payed a long visit to said Arabia and being welcomed by the royal family? Do you know why the OBC company was inactive during the magufuli regime? Think deep and not just grorify the exploitation of our wealth to the few. What do you benefit? Do you know how the maasai natural lifestyles contributed to national income? Simply because of the few people's interest, Do you want such kind of attraction be diluted with those from Tanga?
Watamuuwa kwa preshaa mzee wa watuu jamanii, mpaka anapumuaa kwa shidaaa yoote haya ya nini, Wanakuwa kama wanamdhalilisha vilee spika angeyamaliza tu kwa kumwambiaa kaa tu inatoshaa,
Mimi siwez kuwaonea huruma Hawa wabunge wanaotoka umasaini... Ndo waelewe mkipenda kula vya shetani kubali kudhalilika... Sasa hivi wanawarusha kama njugu.... Mbona tutaelewana tu!!
Spika usiwe mwepesi sana wa kukosoa kuamwepesi wakusikiliza na kuandika na kuweka rekodi .unatupigia kelele .huwezi kuzuia fikra za wabunge .unaonyesha kuwa ..... ........
Tunakushukuru sana ole sendeka kwakuwakumbusha hao mawaziri wasiofuata sheria. Wakati sheria hizo tumeziweka wenyewe. Ardhi za vijiji haziwezi kubadilishwa kuwa pori tengefu😅
Hii ya leo nimeipenda Kwa Sendeka kuwasemea wanainchi" Maana unakuwaga na kihelehele cha taarifa za kinafiki, Japo roho inaniuma kwa kunyanyaswa kwa wakazi wa loliondo kisa kupandisha twiga kwenye ndege.
Ukimuona mama anachukua chakula cha watoto wake anampa mbwa wa jirani kwa kuamini iko siku atamfukuzia mwizi nyumbani kwake. Bas jua hao watoto ni. Wa ndungu zake na si wake
Na huyu Tulia huwa akiongoza bunge yaani haruhusu mbunge ajieleze hadi mwisho, unaharibu hoja! Hovyo sana huyu, nikikumbuka alivyoendesha bunge la bandari ndio alikua wa hovyoo zaidi 😢😢
Shida ikulu pale wakiingia watu kikundi flani hivi cha akina Nape, makamba family, sijui Jakaya 😢😢 huwa yanaibuka mambo ya hovyo sana! Yoote hii unataka tu kufukuza masai wa watu ili uweke mgeni, yaani wamasai wabaki kuwa watumwa nchini kwao! Hivi yoote hii kutafuta nini , kodi ? Mbona CAG report mahela kibao yanaibwa na wako kimya?
Mheshimiwa speaker tulia ackson ,namkubali sana ana hekima busara,na akili za kipekee,ndo maana kusimesga watoto wakike nimuhimu sana,Mimi. Kwangu,tulia.nimfano wakuigwa Kwa uongozi wake bungeni.kama mtoto wakike!
Sema.Mzee.Umma.Utakusikia.Kulinda Uovu ni Dhambi .Bunge la Chama kimoja tu mmmh na hayo Makofi kumpigia huyo mama.Mmmhh.Ujamaa na kujitegemea irudishwe.Upya..tuyaonayo mnatupeleka Wapi..Pole.Mzee.kwa jasho likutokalo kupigania si lelemama.tetea Haki.Usiyumbe.
Mh Spika ukisema watu hawapo imetunzwa na wakaazi kwa ajili ya mifugo na wanyama porini,bila maeneo hayo ya wazi hakuna kufuga wamaasai hawajui kazi nyingine isipokua kufuga,waurumieni wananchi,ufugaji ulikueko tangu mwanzo wa dunia.
Kwani siaiem mmesahau nini kwenye nchi hii?, kama kuna kitu mmesahau mimi nitawaletea huko mtakako kuwa, hebu ondokeni haraka basi lenu linawasubir, dereva wenu tayari yuko kwenye usukani tayari
nilichoelewa kwa Sendeka ni kwamba, hapo awali sehemu ya kutengwa ilikosa vipengele vya kushirikisha wnanchi, pia kuwekwa kwenye gazeti n.k ambapo sasa wametenga bila kuwashirikisha! nimekusoma vizuri, swali linabaki ambalo hukulijibu maeneo hayo yanawananchi ungesema!
Mimi najuwa Mzee Sendeka ana jambo zuri la msingi lakini hajaliweka vizuri, taharuki aliyotaka kuileta kutokana na kutojipanga vizuri ni 100% watu wa Wilaya 4 wahamishwe. Hapa nampongeza sana sana Spika ameonesha uwezo.
Waziri Ni muongo.kwa sababu ,yeye waziri hakai loliondo au ngorongoro.yeye waziri sio mwenyeji wa huko..Ni kwamba wameuza chi kimya kimya.sasa wanawalinda wawekezaji,wanawanyanaysa wazawa
Tulia sio Mtu mzuri, kam'bananisha Mzee Ole kinagaubaga...!....Maoni yangu SERIKALI ishirikiane na WANANCHI katika jambo hili, inavyoonekana ni kweli maeneo hayo hayakaliwi na WANANCHI lkn Wananchi hao wanafika kwenye maeneo hayo Kwa ajili ya shughuli za ulishaji na ndio maaana yakiwa TENGEFU hawatayatumia Tena Kwa shughuli za ulishaji japo hawayatumii Kwa MAKAZI...! Vp hapo TULIA umeiona MIPOINT yangu au utanibananisha kama Mzee OLE..!
@@leticiachunga9118 SIJAPINGANA NA ALICHOFANYA DR TULIA. ILA NIMEFURAHISHWA NA UBOBEZI WAKE KWENYE SHERIA KIASI KWAMBA INATOFAUTISHA BUNGE KUONGOZWA NA MWANASIASA ANAEJUA SHERIA KWA SEHEMU NA KUONGOZWA NA MTU MBOBEZI.
Woooo eeee Mungu msaidie Mzee Sendeka asianguke kwa pressure😰
Haya Mambo hayahitaji mihemko
Kwa njinsi sendeka anavyojitahidii kuutetea jamii yake anayowakilisha anastahili kupewa heshima ya mbunge karne katika wabunge wote waliowahi kuwakilisha jamii ya kimaasai hili lifanyiqe kazi asanteni
Mungu utusaidie
Duh! Mhe. Ole Sendeka kubali yaishe! Lakini kupanga ni kuchagua una nafasi ya kujifakari kama bado unastahili kuzitetea kondoo zako katikati ya kundi la viumbe wengine wala nyama na huku wakiwa na njaa.
Hapo ndio tutaona umuhimu wa uchaguzi huru maana kwa sasa inaonekana mzee ole sendeka anabanwa kwenye uhalali lakini wabunge wengine hawana uwezo wa kumsapoti mzee pamoja na wamasai hao..hivi mmasai ni mkimbizi kwenye hayo maeneo?
Burigi huko Biharamulo (Walikoanza kuita Burigi-Chato) walipopandishwa kuwa Hifadhi ya Taifa walikuwa wakimbizi?
True
Hajuikujieleza huyo mbunge,na pili kuhamishwa wananchi kupelekwa sehemu nyengine sio ukimbizi? Mbona kila sehemu yapo?
Eyeeee mwenyezi mung tunakuomba tunakuomba msaada wako maan wew tu ndiyo muweza wa yote
Mzigo mkubwa kwa wana CCM.
Mbona Spika anajaribu kupoka uhuru wa mbunge wa kuzungumza bungeni? Mbunge Ole Sendeka anahoja ya kutetea wananchi wake. Dr Tulia acha wabunge wazungumze matatizo ya watu wao
Umeliona na wewe hilo
Analipwa huyo
Na nimwanasheria so anaweza kukuzungusha Mpka ukaona kanyabazongo
Sasa tulia mnataka afute hizo sheria na yeye hajatunga, jamani sheria sio za tulia nashangaa mnamvamia, mmmmh bora waliweka spika mwanasheria maana angekuwa hajui sheria angepelekwapelekwa balaaaa
Tanzania 🇹🇿 mwanasheria ni mmoja tu Check Bob Tundu Antipass lissu
Mwalimu wa tundu antipass ni huyohuyo Tulia ackson
Ubarikiwe sana further
Waswahili ni nadra sana kusema ukweli na kukubali kosa , kuna uhusiano wa uswahili na uongo na kuwa na maneno mengi na midomo mirefu , na kuna uhusiano wa uswahili na uvivu na umasikini . Yaani waswahili wanaweza kukubaliana kusema uwongo tu.
Congralation my father mtetesi wamasai na munguu akusadia
Hon speaker knows better to run her parliamentary activities🙏💚💛
She is not! She is only threatening the MP, the MP Sendeka quoted the letter from the former PM Pinda, which nullified the exercise. Now why madam spika threatening him by asking him to provide evidence? Is this to say The PM Pinda was wrong? Is this what she want to tell us? Feel shy to clap your hands when spika stand in the side of oppressors. Did ever ask yourself why OBC? Why madam presidaa payed a long visit to said Arabia and being welcomed by the royal family? Do you know why the OBC company was inactive during the magufuli regime? Think deep and not just grorify the exploitation of our wealth to the few. What do you benefit? Do you know how the maasai natural lifestyles contributed to national income? Simply because of the few people's interest, Do you want such kind of attraction be diluted with those from Tanga?
KiswaKinge
Watamuuwa kwa preshaa mzee wa watuu jamanii, mpaka anapumuaa kwa shidaaa yoote haya ya nini, Wanakuwa kama wanamdhalilisha vilee spika angeyamaliza tu kwa kumwambiaa kaa tu inatoshaa,
Hahahahaha Hahahahaha wasiokuwa na edu,,wanatoa macho tu
Mimi siwez kuwaonea huruma Hawa wabunge wanaotoka umasaini... Ndo waelewe mkipenda kula vya shetani kubali kudhalilika... Sasa hivi wanawarusha kama njugu.... Mbona tutaelewana tu!!
Unamaana gani kwamba unapenda wamasai wanavyoteseka ndio furaha yako?? Poa bwana
Wanacheka ila wananchi wanalia
Safi sana ndugu mubunge
Mbona bunge letu kwa ishu sirias hawapigi makofi lkn kwenye mambo ya kishabiki na isiyo na manufaa kwa wananchi wanapiga makofi?
Upo vzur
simple tu, hawako serious...full stop
Kama eneo halina wananchi hawa wanaopigana na polisi wametoka wapi?????akili kichwani
Mamluki,wao
Watu laki moja wilaya nne kwani haya mapoli ya Nini
Watu laki mmoja, mifugo milioni ngapi ? Na madhara yake ni makubwa mno
Ole sema kimeumanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia umeshamchsnganya mmasai wetu
Spika smart sana aisee
mzee upo vizuri sana
Hawa ni wawakilishi wa jamii watokako,nadhani waheshimiwe kwani waliapa kusimamia na kuwasemea wananchi huko watokako. Wasibezwe.
Ila wamasai Sendeka amewakilisha vyema…..we love you Sendeka
Wewe Mmasai wa Pwani, Tanga, Morogoro au Kilimanjaro?
Mm nlikuwa mzalendo kipind cha Jpm..xahv cy kbx majambaz nd mmejaa xerikalin...
Ole sendeka katika watu au wabunge wa ccm nmubunge unajitambua unajua nn wananchi wako wamekutuma big up sana
Tumekyisha watanzania jembe limeondoka JPM tukuone wapi baba
Spika usiwe mwepesi sana wa kukosoa kuamwepesi wakusikiliza na kuandika na kuweka rekodi .unatupigia kelele .huwezi kuzuia fikra za wabunge .unaonyesha kuwa .....
........
Tunakushukuru sana ole sendeka kwakuwakumbusha hao mawaziri wasiofuata sheria.
Wakati sheria hizo tumeziweka wenyewe.
Ardhi za vijiji haziwezi kubadilishwa kuwa pori tengefu😅
Huyu jamaa anageuza geuze maneno. Ndo huyu huyu aliidanganta serikali eti Arusha ni uchochoro…
Hii ya leo nimeipenda Kwa Sendeka kuwasemea wanainchi"
Maana unakuwaga na kihelehele cha taarifa za kinafiki,
Japo roho inaniuma kwa kunyanyaswa kwa wakazi wa loliondo kisa kupandisha twiga kwenye ndege.
Ukimuona mama anachukua chakula cha watoto wake anampa mbwa wa jirani kwa kuamini iko siku atamfukuzia mwizi nyumbani kwake. Bas jua hao watoto ni. Wa ndungu zake na si wake
Da kweli tunaitaji katiba mpya mnazingua Sana Shelia hinasomwa kwa kingeleza he,wakina sisi tusichokijua hicho kiluga daaaaaaa
Uwoo upumbavu wa sheria kuziandika kizungu mnatuzingua sie tusojua kizungu,
Asante sana usiogope pigania haki zetu wamasai kwamateso mnayopitia kwaadenyi naleng ilalasha lang eminjosho eepi utupokei nikutunyanganya mapori yetu tusikubali kamwe kamwe na wataenda wapi atutaki
mzee yuko sawa lkn watu wanamalengo yao tu pumbavu.
tulia unakiherehere sana, unahisi kazi yako sio kuwatetea wananchi bali nikuisifia serikali
Yaani huyu supika sijui yupo hapo kutetea serikali tu
Sasa hapo katetea nini? Sheria sio maji
Hii serekali ya wanawake ni mtihan kwa taifa
hasaaa !
Kwani tulia ndio alitunga hizo sheria? Na kasoma yeye? Kubalini kufundishwa kuwa sheria ni msumeno
Na huyu Tulia huwa akiongoza bunge yaani haruhusu mbunge ajieleze hadi mwisho, unaharibu hoja! Hovyo sana huyu, nikikumbuka alivyoendesha bunge la bandari ndio alikua wa hovyoo zaidi 😢😢
Watolewe huko kwenu. Kwakweli sipendi staili ya usimamizi Tulia ulivyo
Watolewe huko kwenu. Kwakweli sipendi staili ya usimamizi Tulia ulivyo
Wameshambana mzee wa watu kwa sababu zao wanazozijua wenyewe..Mungu anawaona
Tulieni kwan,,za tudai katiba mpya itakayomfanya mwananchi awe na haki
Wamembana vipi, anaambiwa asome,hasomi
Shida ikulu pale wakiingia watu kikundi flani hivi cha akina Nape, makamba family, sijui Jakaya 😢😢 huwa yanaibuka mambo ya hovyo sana! Yoote hii unataka tu kufukuza masai wa watu ili uweke mgeni, yaani wamasai wabaki kuwa watumwa nchini kwao! Hivi yoote hii kutafuta nini , kodi ? Mbona CAG report mahela kibao yanaibwa na wako kimya?
Mheshimiwa speaker tulia ackson ,namkubali sana ana hekima busara,na akili za kipekee,ndo maana kusimesga watoto wakike nimuhimu sana,Mimi. Kwangu,tulia.nimfano wakuigwa Kwa uongozi wake bungeni.kama mtoto wakike!
Olesendeka alikuwa anatafuta gia ya kuingilia 2025 kwenye kampeni
li Ole sendeka lipumbavu.lina mifugo lijizi hilo.
Sema.Mzee.Umma.Utakusikia.Kulinda Uovu ni Dhambi .Bunge la Chama kimoja tu mmmh na hayo Makofi kumpigia huyo mama.Mmmhh.Ujamaa na kujitegemea irudishwe.Upya..tuyaonayo mnatupeleka Wapi..Pole.Mzee.kwa jasho likutokalo kupigania si lelemama.tetea Haki.Usiyumbe.
Sasa.Anatoa mada anaondoa hoja.Alijandaa au vipi lakini mpira unaendelea tuone Matokeo.
Anacho sema Ole Sendeka yuko sahihi tofauti na hapo inaonyesha ubaguzi wa ukabila
Spika una kelele sana unawadakuliza wabunge maneno mdomoni. Ukweli unakera sio masihara
Maelezo ya Naibu Waziri, kuwa maeneo hayana wananchi. Je hao wanaohamishwa wanatokea wapi?
Ole sendeka wambie ukweli
Mtoeeni kazi I huyo waziri hafai, ni mkora, amehongwa yeye na huyo rais wake.
Sheria kuandikwa kwa kingereza wkati lugha ya Taifa ni kiswahili Watanzania wengi hawajui kigereza wanamtungia nani hizo Sheria za kingereza?
Uyo spka mbona hamuonei huluma Mzee wa watu anamadini spika nd anamchanganya
mh.olesendeka ako na ukweli mwehishimiwa sipka acha amalize
Mh Spika ukisema watu hawapo imetunzwa na wakaazi kwa ajili ya mifugo na wanyama porini,bila maeneo hayo ya wazi hakuna kufuga wamaasai hawajui kazi nyingine isipokua kufuga,waurumieni wananchi,ufugaji ulikueko tangu mwanzo wa dunia.
Kwa bunge hili mzee utahangaika sana chama chako hicho,sisi hatupo.
Kwani siaiem mmesahau nini kwenye nchi hii?, kama kuna kitu mmesahau mimi nitawaletea huko mtakako kuwa, hebu ondokeni haraka basi lenu linawasubir, dereva wenu tayari yuko kwenye usukani tayari
Mda umefika lisu ulimuona anatumwa na mabeberu time wil tell sv we ndio moinzani bungeni
Udhoefu wa kuwa bungeni mda umekusadia ole Sendeka
nilichoelewa kwa Sendeka ni kwamba, hapo awali sehemu ya kutengwa ilikosa vipengele vya kushirikisha wnanchi, pia kuwekwa kwenye gazeti n.k ambapo sasa wametenga bila kuwashirikisha! nimekusoma vizuri, swali linabaki ambalo hukulijibu maeneo hayo yanawananchi ungesema!
Mimi najuwa Mzee Sendeka ana jambo zuri la msingi lakini hajaliweka vizuri, taharuki aliyotaka kuileta kutokana na kutojipanga vizuri ni 100% watu wa Wilaya 4 wahamishwe. Hapa nampongeza sana sana Spika ameonesha uwezo.
Hiii nchi ngumu sana napandisha hadhi boyaaa weweeee falaaa weeee
Mapori yanapandishwa hadhi dinadamu wanashwushwa hadhi.
Waziri Ni muongo.kwa sababu ,yeye waziri hakai loliondo au ngorongoro.yeye waziri sio mwenyeji wa huko..Ni kwamba wameuza chi kimya kimya.sasa wanawalinda wawekezaji,wanawanyanaysa wazawa
Hatusikii radha ya kusikiliza bunge kwa kelele za spika. Du vinatia hata aibu spika kazi nikusuta wabunge na kuwatisha
Ndiyo mana mnawatoa raia kwa tamaa za fedha muwatoe raia muwape wageni wenye nchi watoweke muuze na mbuga si Bandar zote mumetoa
Wa benge wachache wanaoweza hayo kujifunza
Hili jambo limepangwa na baadhi ya wabunge ndio maana sendeka kakataliwa hoja yake
Kwanini mkitaka mapori tengefu ni kwa wamasai peke yake?
Jamani wale walio hamishwa kwenda handeni wanatoka kwenye maeneo yapi na huyo ole sendeka anaishi huko?
Mzee unakosa Jimbo ndo maana unalalamika wewewee
Mimi kama mungongo nakubaliana nawe kama wewe nani
Wale wote mnatetea uovu uchaguzi utawahukumu
pori tengefu la loliondo ni ya wamasai
Tuifanye Dar es salam mbuga za wanyama je, mtakubali
Umekielewa ulichokiandika we mwenyewe lakini?
Huyo waziri ni Mtanzania kweli au mnyarwanda?
Spika wa ovyo sana
kuliko wa hovyo
Mzee pole umejitahidi lakini duuu
Wanachanganya kiingereza na kiswahili
Sendeka aishiwa hoja kazeeka vibaya
Wabunge wanao jitambua ni wachache sana ongera mzee baba
Spika anatetea ugali wake
Si umuacha mtu aongeze unamzuia asiongee
Mzee hao wameshalipwa pesa nawaraabu
Wanataka wawatowe waamasai ili wauze Hapo siyo Kwamba haijulikani
Watanzania wanajuwa
Serikali hai endeshwi kwa kauli, bali ushahidi.
Tulia sio Mtu mzuri, kam'bananisha Mzee Ole kinagaubaga...!....Maoni yangu SERIKALI ishirikiane na WANANCHI katika jambo hili, inavyoonekana ni kweli maeneo hayo hayakaliwi na WANANCHI lkn Wananchi hao wanafika kwenye maeneo hayo Kwa ajili ya shughuli za ulishaji na ndio maaana yakiwa TENGEFU hawatayatumia Tena Kwa shughuli za ulishaji japo hawayatumii Kwa MAKAZI...!
Vp hapo TULIA umeiona MIPOINT yangu au utanibananisha kama Mzee OLE..!
Spika vazi Blue mk...mweusi
Jamani mimi niko mbali kidogo, nomba mniagie ccm
Huyu waziri jamani anajitakia laana bure hayo maeneo aliyotajwa yana watu na makazi.mim nipo loliondo huyu mama namwangalia tu
Kwa hiyo zile bikon ziliwekwa kwenye makazi ya watu na je wananchi wamehamishwa?
Uyuu mzee bahada aongelee maji mereran mpaka sahv hamna maji mazur na 2na madin ambayo dunia hamna
Wew jamaa ni jala sana, anachotetea maisha ya watu sio muhimu?
Mzee hakujipanga, unaenda kushindana na mwanasheria
😂🤣😂😂HUYU DR TULIA SIYO MTU MZURI.
KAMUWEKA KWENYE KUMI NA NANE MH! DAAAAAAH! HATARI SANA
Sasa tulia kafanya nini? Sheria hata hajatunga yeye na Olisendeka hajapewa na tulia asome hizo sheria au kasoma mwenyewe?
@@leticiachunga9118 SIJAPINGANA NA ALICHOFANYA DR TULIA.
ILA NIMEFURAHISHWA NA UBOBEZI WAKE KWENYE SHERIA KIASI KWAMBA INATOFAUTISHA BUNGE KUONGOZWA NA MWANASIASA ANAEJUA SHERIA KWA SEHEMU NA KUONGOZWA NA MTU MBOBEZI.
@@leticiachunga9118 kaambiwa asome hizo sheria mbona hasomi?
Watu wanataka umimi,Njeree hoiii😃
Olesendeka Ni zero😒😒
Wamaasai lazima wakatae dhamira ya serkali ya kusumbua raia wake kwenye makazi yao.
We hujui dd agekuwa mm yako au bb
Mbona wanabebwa tunaona jamani
Kwa muda mfupi tu Ndugai ameshafunikwa na Dr. Tulia, yaan anajua kujenga na kubomoa hoja
Huyu ni kichwa sio Ndugai kichaa.. tena anajitamkia ana cheti Cha milembe hospital .
Tanyua papa lang' olesendeka mekitoponiki engai ilarin pee iret iyoock
mbona mabishano yamezidi
Mzee kubari yaishe Mzee
Msee hana nafasi abebanwa
Ole Sendeka amekurupuka !! Hoja hiyo ni ya Tindu Lissu !! Ndio aliyeiibua na kuisimulia....
🤣🤣😂😂 Vodacom kazi ni kwao
😂😂🤣🤣 Vodacom kazi ni kwao
Yani yani mh jamani jamani
Hawo wanaopigwa c watu?