Mm napitia kipindi hikii sasa na usiku wangu wa leo cjui kama itafika salama asubuii mungu anisaidie sana aliyekuwepo hapa anambie kitu chochote uwenda nikaona kitu tarehe 12 april leo 2024 mungu nivushe salama hapa
@@mawiamusai1362 Ni rahisi endapo ukiitambua thamani yako, wakati mwingine unapompenda mtu kupitiliza unampandisha hadhi kiasi kwamba inafikia hatua anaweza kujiona yeye sio level zako, Acha kufanya mambo ambayo hayapewi thamani mbele ya mwenzi wako na usifanye kile ambayo yeye pia hayuko tayari kukifanya kwaajili yako ishi kama kioo chake tu
Sina lengo la kukupamba mtumishi Wa Mungu. Hii,ndo nafasi yako, unatunafundisha mambo muhimu ambayo hata shuleni ,tulilipa Ada lakini hatukuyapata haya! kwa bei kama yabure, tunapata mambo muhimu sana sana. Najengeka upya kila siku!
Mausiano Sahi yamekuwa na changa moto unakuta unaye mpenda nae Ana mpenda mwengine yani Duniani tume kuwa tuna fukuzana subhanallah lakini cha msingi ukiona mtu anaka mbali na wewe nawe kaa mbali nae usilazimishe kuforce kitu ukajitafutia maradhi muache aenda Mungu atakupa kilicho bora zaidi ❤️
Kabla hujaamua kumkabidhi mtu moyo wako unapaswa kwanza umjue kuwa ni mtu sahihi ktk maisha yako na ana upendo wa dhati kwako na kujali hisia zako na kutambua thamani yako.Kwa UPENDO ni maisha yako ukikosea kupenda utakosea maisha yako utapoteza furaha yako utajikuta unakuwa mtumwa kwa unayempenda,hivyo ni lazima umshirikishe Muumba wako kwasababu yeye ndiye anayetujua undani wetu kuliko tunavyojijua ametuumba yeye na akatuumbia upendo,kupenda na kupendwa ni ibada sio dhambi bali wale wenye kuwatenda wenzao wakati nyoyoni mwao kumbe wana yao hawa Mungu naye atawadhalilisha pia ikiwa hawatatubia,Mtake msaada Mwenyezimungu Mtukufu na umshirikishe ktk safari yako ya UPENDO yeye peke yake anawajua waja wake wema na wabaya.
@@issaathumani7610 ndio kaka kuna watu wabaya wanafich makuch yao mtu hujifany mwema anakupend vizur kumbe huwa muongo na mtu mbaya utamjuwa mwisho akishakukupotezea mda hivi binaadam ndivyo tilivyo hatupendan kwa ajili ya allah halafu yy mtu anachukulia pow tu wala hajali km anakudanganya na mwish wa siku mtu km huyo hukuach njiani na maumivu yy anaendelea na maisha yke mtihan kwa kweli allah atusitiri
@@issaathumani7610 lkn mungu huwa analipa utakalo mfanyia mwenzio na ww unakuj kufanyiwa ni malipo hayo mungu huwalipa maana mtu hujitafutia deni la makusud mtu unasema uongo wa makusud uongo sio mzuri
Na leo hii sipo nae, alianza usiri wa mambo mengi, kujenga na mengi kisiri, mawasiliano haba na majibu robo na nusu! Hasira kupitiliza Acha aende, barikiwa mtu wa Mungu nimepata amani kwa fundisho lako
Asante kwa mafundisho ya kutufungua macho mimi nimeachwa na mume wangu wa ndoa mika 3 sasa hakuna mawasiliano ya kutosha. Hataki kunipa taraka ila manyanyaso .
Asante Sana Joel,niliumia Sana nilipofanyiwa hayo yote,nilisikiliza clik yako ya kuondoa msongo wa mawazo,inayosema furaha yako iko mikononi mwako na niambie ninaweza bila Fulani!
Mm ndo napitia kipindi hiki aisee!!!! Hadi najishangaa, mtu niliekua nampenda, sitamani nimpoteze, akisema anaumwa naomba kila saa Mungu amsaidie apone haraka, nilikua nakosa furaha kabisaa hata nikihisi kuna kitu nimekosea. Imekuja kutokea kila mara anaongea maneno yakujirudia na yananiumiza vibaya sana, yeye anaona kawaida nikajikuta nimemchukia nakuomba tena Mungu aniweke mbali nae 😥😢 Yaani upendo niliokua nampenda umeyeyuka hadi anahisi labda nina mpenzi mwengine lakin sinaa. Dalili zote zinanihusu sasà miezi 2....
Hongera Kwa ujumbe mzuri! Je, ikitokea umeamua kurekebisha Kwa njia ya mazungumzo na mwenzio hayuko tayari kuzungumzia jambo lolote kuhusiana na tofauti zenu ufanyeje?
Hali pia mimi iliwahi kunikuta na mpenzi wangu aliniambi niko busy muda wote sikuamini kuhusu kauli hiyo niliamua kufatilia kujua kama kweli alimaanisha nikajua kweli alikuwa akimaanisha na alikuwa anaonekana kama haniitaji katika maisha yake na hatimaye niliamua kukaa mbali na yeye pale nilipoona dalili ya kushindwa hata kufanya mambo yangu kwa kuzidi kwa maumivu. Ahsantee kwa kutupa na suluhisho kwa wakati mwingine tuweze kuitumia.
da braza haya maisha ndonnayoishi Sasa ukipiga simu unaambiwa nna kazi ntakutafuta badae badae ndobadae akikupigia anajitetea vitu viingii kwa hiyo nimezoea tu braza naona kawaida sana
Najikuta naumia acha tyu nina maumivu hadi natetemeka moyo wangu unable majeraha acha tyu unakua mwaminifu mtyu hajali yeye ni kupita na mambo yake tyu hajali kuhusu wewe
Tulioko hapa 2024🎉 tujuane
Mm napitia kipindi hikii sasa na usiku wangu wa leo cjui kama itafika salama asubuii mungu anisaidie sana aliyekuwepo hapa anambie kitu chochote uwenda nikaona kitu tarehe 12 april leo 2024 mungu nivushe salama hapa
My situation Now ila mimi nimeshaachilia Aende tu😢
Omba MUNGU akupe amani ya moyo,
Tumeumizwa wengi tunapojaribu kukemea mabaya lakini Mungu yupo anatupigania,
Unajua sana broo duuuuuuh 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣💯💯💯💯💯💯💯💯
Mm nliogee nae mwaka mzima paka juz ndonabiwa nakupenda ukweli nyuma sikuwa nakupenda moyo ulisimama apo🥺🥺
Yanii brother big up sana maana hiyo halii inatokea sana kwa vijana wengi..lakni kila kitu huwa naamini Ni mapito na mipango ya Mungu..🙏🙏
Najifunza mengi kupitia wewe Joel kiukweli Mungu akuweke mana watu wengi tunaishi ilimradi hatuna furaha
Hii mbaya sana unaachwa na mtu unaempenda kitaratibu....vinauma sana kwakweli.
Ukiona ameanza kukuacha taratibu we muache fasta
Kabisa
@@bongorecaps3558 si raisi
@@mawiamusai1362 Ni rahisi endapo ukiitambua thamani yako, wakati mwingine unapompenda mtu kupitiliza unampandisha hadhi kiasi kwamba inafikia hatua anaweza kujiona yeye sio level zako, Acha kufanya mambo ambayo hayapewi thamani mbele ya mwenzi wako na usifanye kile ambayo yeye pia hayuko tayari kukifanya kwaajili yako ishi kama kioo chake tu
@@bongorecaps3558 nmeipenda io ila sasa kama mimi cwez najikuta nshafanya nabakia kuumia tyu yan 😭💔
Yani brother kama yote unaniongelea Mimi an nayoptia dah bless sn 🙏
Big up sana broo ,unatoa madin adim sana
Pole Sana hayo yamekuwa sehemu ya wanandoa wengi,usikate tamaa endelea kumsikiliza Joel utakuwa sawa,
Pola sana ndugu
Yah
Mungu ni mwema sote tunapitoa lkn tujifunze kuwaachilia waende
Mungu akuzidishiye marifa kbs Dhaa nime guswa jamani
Zipo umesemaukweli sana mafunzoyAko nimazuri sana asante
Ila kusema kweli mimi najuta kuolewa na huyu mwanaume Yani najutaaaaaaaaaa kiru chandesa 😭😭😭
Pole Naima
Daaaa unauma pole, wanaume wengi wanachanganyikiwa na wasichana wa 2000
Usijute huyo ndiye chaguo la moyo wako, mwombee MUNGU amponye
Niliteseka mimi. 😭Hivyohivyo chuki hasira Ila hivi sasa nipo single
Unagusa mule mule Broo yan kitu unachokisema kina uhalisia kabsa yan daah kusudi yako linagusa sana maisha yetu Broo🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Brother ume gusa maisha yangu kwa asilimia 100% Mungu akubaliki iseee yani kama umeyaona ninayo yapitia daaa
Pole sana
Nikwer kabisa hata mm napitia magumu kabisa
Haya nimateso makubwa, sana massage fupi yaani umegusa maisha yangu kabisa
Iyo me nahifahamu iyo ishara ya mawasiliano ni mbaya mno ahsanteee sana bro
Brother hiyo nikwelii kabisaa nimelia sana mie😭😭😭😭😭imaum sana wallahi???
Mm.nmefikia hapo n I'm happy ,,
Sina lengo la kukupamba mtumishi Wa Mungu. Hii,ndo nafasi yako, unatunafundisha mambo muhimu ambayo hata shuleni ,tulilipa Ada lakini hatukuyapata haya! kwa bei kama yabure, tunapata mambo muhimu sana sana. Najengeka upya kila siku!
Aah unaingeya kweli kabisa
Habari za kwako mwalimu
❤❤❤❤❤❤nikigundua naanza kuboresha hakuna kuachana
Mungu atusaidie
Ansante mtumishi lakin binafsi kuna mdada nampenda sana lakin yote unayosema yapo Ansanteeee sanaaaa
Asante sana brother kwa mawaidha ningeomba siku moja tukutane ili inisaidie na njia ya Synology please 🙏
Mausiano Sahi yamekuwa na changa moto unakuta unaye mpenda nae Ana mpenda mwengine yani Duniani tume kuwa tuna fukuzana subhanallah lakini cha msingi ukiona mtu anaka mbali na wewe nawe kaa mbali nae usilazimishe kuforce kitu ukajitafutia maradhi muache aenda Mungu atakupa kilicho bora zaidi ❤️
Hi
True
Kweli kabisaa
Kweli kabisa
Asante kwa somo zuri la kutufunza na kuongeza wigo wa kufahamu zaidi
Haya yote yamenitokea nashukuru kwa elimu hiii. Imenitesa sana hii Hali na mbaya zaidi imetokea baada ya mm kukosa KAZI
Aisee, nimelia sana hata kujali , nimependa haya mafundisho
Kwelii brooh umeongea kweli
Mara nyingi tunaowapenda kwa dhati ndio wanaokuja kutuumiza saana ....dah!
Kabla hujaamua kumkabidhi mtu moyo wako unapaswa kwanza umjue kuwa ni mtu sahihi ktk maisha yako na ana upendo wa dhati kwako na kujali hisia zako na kutambua thamani yako.Kwa UPENDO ni maisha yako ukikosea kupenda utakosea maisha yako utapoteza furaha yako utajikuta unakuwa mtumwa kwa unayempenda,hivyo ni lazima umshirikishe Muumba wako kwasababu yeye ndiye anayetujua undani wetu kuliko tunavyojijua ametuumba yeye na akatuumbia upendo,kupenda na kupendwa ni ibada sio dhambi bali wale wenye kuwatenda wenzao wakati nyoyoni mwao kumbe wana yao hawa Mungu naye atawadhalilisha pia ikiwa hawatatubia,Mtake msaada Mwenyezimungu Mtukufu na umshirikishe ktk safari yako ya UPENDO yeye peke yake anawajua waja wake wema na wabaya.
@@issaathumani7610 thank you.
@@issaathumani7610 ndio kaka kuna watu wabaya wanafich makuch yao mtu hujifany mwema anakupend vizur kumbe huwa muongo na mtu mbaya utamjuwa mwisho akishakukupotezea mda hivi binaadam ndivyo tilivyo hatupendan kwa ajili ya allah halafu yy mtu anachukulia pow tu wala hajali km anakudanganya na mwish wa siku mtu km huyo hukuach njiani na maumivu yy anaendelea na maisha yke mtihan kwa kweli allah atusitiri
@@issaathumani7610 lkn mungu huwa analipa utakalo mfanyia mwenzio na ww unakuj kufanyiwa ni malipo hayo mungu huwalipa maana mtu hujitafutia deni la makusud mtu unasema uongo wa makusud uongo sio mzuri
ubarikiwe hayo ndo mm napitia kwa Sasa.
Yaani mapenzi
Ni kweli kabisa
Asant wengine tunapenda San mpaka ujinga mwingine no ndug yako Ila inabid umovn
Brother yani mung akubariki umenizinduwa walah nilikuwa najiuliza why siku zote aya asante brother❤
Daaah Aisee broo hii point ya kwanza nimeipenda sana umeielezea vizuri sana Aisee Asante san. 🔥🔥🔥🔥💯💯💓💓🙏🙏🙏
Nimekusoma j! Nimejifnza kitu.
Yaaan hayo yote yako kwangu utafikiri uko hapa kwangu. Na sijui nini Cha kufanya zaidi ya kuachana
Ni kwli
Daaah nimejifunza kaka 🙏
Na leo hii sipo nae, alianza usiri wa mambo mengi, kujenga na mengi kisiri, mawasiliano haba na majibu robo na nusu! Hasira kupitiliza Acha aende, barikiwa mtu wa Mungu nimepata amani kwa fundisho lako
Nikweli kabxa Kaka angu unaonekana wewe nimtu mzur sana bas niwe na wewe
Ndiyo nimeshawahi kupenda nikafanyiwa kama ulivyosema.Naomba Mungu anisaidie niweze kupenda Tena.
Kaka mi naona kweri kabisa mana mi ndio yangu imekuafa kabisa mana si kwaukimya huo
Asante kwa mafundisho ya kutufungua macho mimi nimeachwa na mume wangu wa ndoa mika 3 sasa hakuna mawasiliano ya kutosha.
Hataki kunipa taraka ila manyanyaso .
Napenda sana kufatilia mafunzo yako ubarikiwe kama Ibrahimu na uzao wake
Asante Sana Joel,niliumia Sana nilipofanyiwa hayo yote,nilisikiliza clik yako ya kuondoa msongo wa mawazo,inayosema furaha yako iko mikononi mwako na niambie ninaweza bila Fulani!
Mimi hayo yote nayapitia
Yananitokea bro lakn nikimuliza 7bu hanipi
Mm ndo napitia kipindi hiki aisee!!!! Hadi najishangaa, mtu niliekua nampenda, sitamani nimpoteze, akisema anaumwa naomba kila saa Mungu amsaidie apone haraka, nilikua nakosa furaha kabisaa hata nikihisi kuna kitu nimekosea. Imekuja kutokea kila mara anaongea maneno yakujirudia na yananiumiza vibaya sana, yeye anaona kawaida nikajikuta nimemchukia nakuomba tena Mungu aniweke mbali nae 😥😢
Yaani upendo niliokua nampenda umeyeyuka hadi anahisi labda nina mpenzi mwengine lakin sinaa.
Dalili zote zinanihusu sasà miezi 2....
Asante sana Kaka
Kaka umenigusa sana. kuna mpendwa wangu hizo dalili zote anazo.
Namna ya kujitoa kwa mtu uliyempenda mno !je nini kinafanyika.
Duh 😢Yani Hapo Dalili Zote Naziona Subir Nichukue Maamuzi Mapema
Yaan
Channel inayonimalizia mb zangu barikiwa sana kaka joel🙏🏻
Bro kama unaniongelea mm jamn daaaaanh inaumaa sana
Hongera Mr, unasaidia Sana Jamii yetu.
Kaka,Mungu akutangulie ktk maisha Yako,akufungulie njia zako zote unazotaka kufanikisha ktk Jina la Yesu, umeongea ,yote yamenigusa Sana.
Kwel kaka yani unatusaidia sana ambao tunafanyiwa haya yote,inauma sana sana mim napitia haya,yote kw yote mungu akubariki kaka
Ukweli mtupu Ndugu Nan 📚📚📚 🎙️ shukran.
hayo unayoongea brather ndomaisha nnayoish kwenye ndoa kwasasa
Daaaah brother unayo ongea yamenikuta
Hongera Kwa ujumbe mzuri! Je, ikitokea umeamua kurekebisha Kwa njia ya mazungumzo na mwenzio hayuko tayari kuzungumzia jambo lolote kuhusiana na tofauti zenu ufanyeje?
Achana nae Songa mbele ,mana Mungu ndiyo Kila kitu
We n bora zaidi napenda sana kitu unachokifanya
Najifunza mengi sana jamni hiyo imenitokea ila kwenye mahusiano Kuna changamoto
for really nimecheka kwa sauti mwanzo hua raha sana
Walhi mapenzi shikamoo
Mkishazoeana mmmmmmm hakika shikamoo mapenzi 🎉🎉🎉🎉
I always follow your teaching man love u. Mungu akubariki👌
Dalili zote hizo ulizozitaja zimetokea kwa mke wangu
Pole Kuna jitu nje linahusika hapo .
Nakukubali sanaa kaka nakuombea ukuze kiwango cha kutuelimishe mimi nimeteseja sana kwakutokewa nahayo mambo❤❤❤
Nashukuru sana mentor nimejifunza vitu vya kutosha, pia kuna dalili umezitaja zinarelate kabisa na anavyofanya mpenzi wangu
Thank you,nimejifunza jambo SKU yakinikuta nitajua namna ya kukabiliananalo,
My life coarch joel nanauka kwa hakika ww ndio faraja yng
Kaka nakupataje hii imenìgusa na nipo kwenye hali hii kwa sasa
Amen mtumishi ahsantee kwa mafundisho mazur nimejifunza kit kikubwa sana
Yaaani wangu mie nitatizo
Ndioo vyote ndio napitiaa ila natokaje jamani daa 😭😭😭😭
Mmh! MUNGU atusaidie wanawake na ndoa zetu
Angekuwa mama yangu ningeogopa
Nimecheka 😀saivi najichana kweli unamwambia kilakitu.
Hali pia mimi iliwahi kunikuta na mpenzi wangu aliniambi niko busy muda wote sikuamini kuhusu kauli hiyo niliamua kufatilia kujua kama kweli alimaanisha nikajua kweli alikuwa akimaanisha na alikuwa anaonekana kama haniitaji katika maisha yake na hatimaye niliamua kukaa mbali na yeye pale nilipoona dalili ya kushindwa hata kufanya mambo yangu kwa kuzidi kwa maumivu. Ahsantee kwa kutupa na suluhisho kwa wakati mwingine tuweze kuitumia.
Hata Mimi yamenikuta mtu ananiambia Yuko busy mda wote aise inauma Sana
Dahhhhh....nimejifunza kitu
😭😭😭Daah raundi hi nime Pati kana Ngoja ni lie hadi nichoke alafu nifanye kutoka moja kwa moja
Napenda mafundisho yako,kweli hayo yanatokea na unakuwa huelewi jinsi ya kuyatatua,nafurahi .
Asante bro sasa nikijua hivyo nifanyaje
Kwel Kaka nayajuwa hayo
Yaan brother utafikiri umeniona mimi hayo ndo yananikuta sahivi
Hiii video nairundia rundia sijui kwa nn mungu akubarikii kaka
Somo zur dr umegusa sehem muhim San. Hongera
da braza haya maisha ndonnayoishi Sasa ukipiga simu unaambiwa nna kazi ntakutafuta badae badae ndobadae akikupigia anajitetea vitu viingii kwa hiyo nimezoea tu braza naona kawaida sana
Mafundisho mazuri sanaa Joel, asante sanaa
Hali niliyonayo kwa sasa😭😭.moyo unauma na kosa lang mim ni kua mwaminifu
Najikuta naumia acha tyu nina maumivu hadi natetemeka moyo wangu unable majeraha acha tyu unakua mwaminifu mtyu hajali yeye ni kupita na mambo yake tyu hajali kuhusu wewe
😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Mm napitia leo hiii hapa 12 April 2024 cjui kama kesho itafika Salama Hali yangu mbaya sana mungu anisaidie
Mungu tunusuru
Joe I like u beyond all the stars aise..upo na madini nakufatilia sana unanifumbua kwa mengi Joe..much love😍🌹🌹
Pliz naomba no Yako
Au unajua maisha yangu
Hahaha😄😄😄😄😄😄daah
Ukweli mtupu yan daaaaah
daaaaa wewe umeona safar yangu ninayopitiya🙏
Kwakwer kabisa hata mm njo ivo
Daaaaa! Asante sana bro maisha hayo ndo nayaishi sasa😭😭
##Thanks you my brother Joel Nanauka kwa SoMo zur....
Asante studios
Walete 🤣🤣🤣🙌
Dah nilipita haya ty miaka 9 nyuma. Lkn alhamdulilah Sasa imebaki story, Asante kwasomo