DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ • 402

  • @StevenGiven
    @StevenGiven 2 місяці тому +13

    Tulioko hapa 2024🎉 tujuane

  • @luiceadam385
    @luiceadam385 6 місяців тому +11

    Mm napitia kipindi hikii sasa na usiku wangu wa leo cjui kama itafika salama asubuii mungu anisaidie sana aliyekuwepo hapa anambie kitu chochote uwenda nikaona kitu tarehe 12 april leo 2024 mungu nivushe salama hapa

    • @hopingtrust1284
      @hopingtrust1284 5 місяців тому

      My situation Now ila mimi nimeshaachilia Aende tu😢

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 Місяць тому

      Omba MUNGU akupe amani ya moyo,

  • @violethurassa7362
    @violethurassa7362 2 роки тому +6

    Tumeumizwa wengi tunapojaribu kukemea mabaya lakini Mungu yupo anatupigania,

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Рік тому +3

    Unajua sana broo duuuuuuh 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @aishadulla7364
    @aishadulla7364 Рік тому +3

    Mm nliogee nae mwaka mzima paka juz ndonabiwa nakupenda ukweli nyuma sikuwa nakupenda moyo ulisimama apo🥺🥺

  • @medyalfayo2076
    @medyalfayo2076 2 роки тому +17

    Yanii brother big up sana maana hiyo halii inatokea sana kwa vijana wengi..lakni kila kitu huwa naamini Ni mapito na mipango ya Mungu..🙏🙏

  • @sekeladuncan329
    @sekeladuncan329 Рік тому +2

    Najifunza mengi kupitia wewe Joel kiukweli Mungu akuweke mana watu wengi tunaishi ilimradi hatuna furaha

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 2 роки тому +17

    Hii mbaya sana unaachwa na mtu unaempenda kitaratibu....vinauma sana kwakweli.

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 2 роки тому +3

      Ukiona ameanza kukuacha taratibu we muache fasta

    • @tinahwilliam1918
      @tinahwilliam1918 2 роки тому +1

      Kabisa

    • @mawiamusai1362
      @mawiamusai1362 2 роки тому

      @@bongorecaps3558 si raisi

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 2 роки тому +4

      @@mawiamusai1362 Ni rahisi endapo ukiitambua thamani yako, wakati mwingine unapompenda mtu kupitiliza unampandisha hadhi kiasi kwamba inafikia hatua anaweza kujiona yeye sio level zako, Acha kufanya mambo ambayo hayapewi thamani mbele ya mwenzi wako na usifanye kile ambayo yeye pia hayuko tayari kukifanya kwaajili yako ishi kama kioo chake tu

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 роки тому

      @@bongorecaps3558 nmeipenda io ila sasa kama mimi cwez najikuta nshafanya nabakia kuumia tyu yan 😭💔

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi1257 2 роки тому +25

    Yani brother kama yote unaniongelea Mimi an nayoptia dah bless sn 🙏

  • @SafiNtabala-y2b
    @SafiNtabala-y2b 4 дні тому

    Mungu akuzidishiye marifa kbs Dhaa nime guswa jamani

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 2 роки тому +2

    Zipo umesemaukweli sana mafunzoyAko nimazuri sana asante

  • @naimamohamedi868
    @naimamohamedi868 Рік тому +5

    Ila kusema kweli mimi najuta kuolewa na huyu mwanaume Yani najutaaaaaaaaaa kiru chandesa 😭😭😭

    • @abunationclassic4117
      @abunationclassic4117 Рік тому

      Pole Naima

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 5 місяців тому

      Daaaa unauma pole, wanaume wengi wanachanganyikiwa na wasichana wa 2000

    • @elishadeulitv2711
      @elishadeulitv2711 5 місяців тому

      Usijute huyo ndiye chaguo la moyo wako, mwombee MUNGU amponye

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا Рік тому +2

    Niliteseka mimi. 😭Hivyohivyo chuki hasira Ila hivi sasa nipo single

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Рік тому +2

    Unagusa mule mule Broo yan kitu unachokisema kina uhalisia kabsa yan daah kusudi yako linagusa sana maisha yetu Broo🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @isacknguvumali3445
    @isacknguvumali3445 2 роки тому +21

    Brother ume gusa maisha yangu kwa asilimia 100% Mungu akubaliki iseee yani kama umeyaona ninayo yapitia daaa

  • @annahngwila
    @annahngwila Рік тому +2

    Haya nimateso makubwa, sana massage fupi yaani umegusa maisha yangu kabisa

  • @giftamulike8650
    @giftamulike8650 2 роки тому +3

    Iyo me nahifahamu iyo ishara ya mawasiliano ni mbaya mno ahsanteee sana bro

  • @zuwenaally6403
    @zuwenaally6403 Рік тому +1

    Brother hiyo nikwelii kabisaa nimelia sana mie😭😭😭😭😭imaum sana wallahi???

  • @lilianamukoya7156
    @lilianamukoya7156 Рік тому +1

    Mm.nmefikia hapo n I'm happy ,,

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 2 роки тому +3

    Sina lengo la kukupamba mtumishi Wa Mungu. Hii,ndo nafasi yako, unatunafundisha mambo muhimu ambayo hata shuleni ,tulilipa Ada lakini hatukuyapata haya! kwa bei kama yabure, tunapata mambo muhimu sana sana. Najengeka upya kila siku!

  • @seraphineniyonzima962
    @seraphineniyonzima962 Рік тому +1

    Aah unaingeya kweli kabisa

  • @joycejacob6263
    @joycejacob6263 Рік тому +1

    Habari za kwako mwalimu

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤nikigundua naanza kuboresha hakuna kuachana

  • @JestinadumaJoseph
    @JestinadumaJoseph 13 днів тому

    Mungu atusaidie

  • @noeljames7960
    @noeljames7960 Рік тому

    Ansante mtumishi lakin binafsi kuna mdada nampenda sana lakin yote unayosema yapo Ansanteeee sanaaaa

  • @lilianachieng2382
    @lilianachieng2382 2 роки тому +10

    Asante sana brother kwa mawaidha ningeomba siku moja tukutane ili inisaidie na njia ya Synology please 🙏

  • @huss668
    @huss668 2 роки тому +5

    Mausiano Sahi yamekuwa na changa moto unakuta unaye mpenda nae Ana mpenda mwengine yani Duniani tume kuwa tuna fukuzana subhanallah lakini cha msingi ukiona mtu anaka mbali na wewe nawe kaa mbali nae usilazimishe kuforce kitu ukajitafutia maradhi muache aenda Mungu atakupa kilicho bora zaidi ❤️

  • @IbrahimIdrisa-tl6wm
    @IbrahimIdrisa-tl6wm Рік тому +1

    Asante kwa somo zuri la kutufunza na kuongeza wigo wa kufahamu zaidi

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 Рік тому +1

    Haya yote yamenitokea nashukuru kwa elimu hiii. Imenitesa sana hii Hali na mbaya zaidi imetokea baada ya mm kukosa KAZI

  • @annahngwila
    @annahngwila Рік тому +1

    Aisee, nimelia sana hata kujali , nimependa haya mafundisho

  • @HappyPaul-xn3ei
    @HappyPaul-xn3ei Рік тому +1

    Kwelii brooh umeongea kweli

  • @hellendeus7809
    @hellendeus7809 2 роки тому +5

    Mara nyingi tunaowapenda kwa dhati ndio wanaokuja kutuumiza saana ....dah!

    • @issaathumani7610
      @issaathumani7610 2 роки тому +2

      Kabla hujaamua kumkabidhi mtu moyo wako unapaswa kwanza umjue kuwa ni mtu sahihi ktk maisha yako na ana upendo wa dhati kwako na kujali hisia zako na kutambua thamani yako.Kwa UPENDO ni maisha yako ukikosea kupenda utakosea maisha yako utapoteza furaha yako utajikuta unakuwa mtumwa kwa unayempenda,hivyo ni lazima umshirikishe Muumba wako kwasababu yeye ndiye anayetujua undani wetu kuliko tunavyojijua ametuumba yeye na akatuumbia upendo,kupenda na kupendwa ni ibada sio dhambi bali wale wenye kuwatenda wenzao wakati nyoyoni mwao kumbe wana yao hawa Mungu naye atawadhalilisha pia ikiwa hawatatubia,Mtake msaada Mwenyezimungu Mtukufu na umshirikishe ktk safari yako ya UPENDO yeye peke yake anawajua waja wake wema na wabaya.

    • @hellendeus7809
      @hellendeus7809 2 роки тому

      @@issaathumani7610 thank you.

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 Рік тому

      ​@@issaathumani7610 ndio kaka kuna watu wabaya wanafich makuch yao mtu hujifany mwema anakupend vizur kumbe huwa muongo na mtu mbaya utamjuwa mwisho akishakukupotezea mda hivi binaadam ndivyo tilivyo hatupendan kwa ajili ya allah halafu yy mtu anachukulia pow tu wala hajali km anakudanganya na mwish wa siku mtu km huyo hukuach njiani na maumivu yy anaendelea na maisha yke mtihan kwa kweli allah atusitiri

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 Рік тому

      ​@@issaathumani7610 lkn mungu huwa analipa utakalo mfanyia mwenzio na ww unakuj kufanyiwa ni malipo hayo mungu huwalipa maana mtu hujitafutia deni la makusud mtu unasema uongo wa makusud uongo sio mzuri

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 роки тому +1

    ubarikiwe hayo ndo mm napitia kwa Sasa.

  • @annahngwila
    @annahngwila Рік тому +1

    Yaani mapenzi

  • @tinakisonga795
    @tinakisonga795 Рік тому +1

    Ni kweli kabisa

  • @vailethyona832
    @vailethyona832 2 роки тому

    Asant wengine tunapenda San mpaka ujinga mwingine no ndug yako Ila inabid umovn

  • @SabraOmar-v9v
    @SabraOmar-v9v Місяць тому

    Brother yani mung akubariki umenizinduwa walah nilikuwa najiuliza why siku zote aya asante brother❤

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Рік тому +1

    Daaah Aisee broo hii point ya kwanza nimeipenda sana umeielezea vizuri sana Aisee Asante san. 🔥🔥🔥🔥💯💯💓💓🙏🙏🙏

  • @bornmwambemba8497
    @bornmwambemba8497 2 роки тому +4

    Nimekusoma j! Nimejifnza kitu.

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Рік тому

    Yaaan hayo yote yako kwangu utafikiri uko hapa kwangu. Na sijui nini Cha kufanya zaidi ya kuachana

  • @amanimakury9686
    @amanimakury9686 2 роки тому +3

    Ni kwli

  • @LucyMwikola-vc1lc
    @LucyMwikola-vc1lc Рік тому +1

    Daaah nimejifunza kaka 🙏

  • @rephamalamba8614
    @rephamalamba8614 2 місяці тому

    Na leo hii sipo nae, alianza usiri wa mambo mengi, kujenga na mengi kisiri, mawasiliano haba na majibu robo na nusu! Hasira kupitiliza Acha aende, barikiwa mtu wa Mungu nimepata amani kwa fundisho lako

  • @MasungaMayenga-sp5ik
    @MasungaMayenga-sp5ik 4 місяці тому

    Nikweli kabxa Kaka angu unaonekana wewe nimtu mzur sana bas niwe na wewe

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 4 місяці тому

    Ndiyo nimeshawahi kupenda nikafanyiwa kama ulivyosema.Naomba Mungu anisaidie niweze kupenda Tena.

  • @mwajumamany6402
    @mwajumamany6402 2 роки тому +2

    Kaka mi naona kweri kabisa mana mi ndio yangu imekuafa kabisa mana si kwaukimya huo

  • @upendomracha8763
    @upendomracha8763 2 місяці тому

    Asante kwa mafundisho ya kutufungua macho mimi nimeachwa na mume wangu wa ndoa mika 3 sasa hakuna mawasiliano ya kutosha.
    Hataki kunipa taraka ila manyanyaso .

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk 7 місяців тому

    Napenda sana kufatilia mafunzo yako ubarikiwe kama Ibrahimu na uzao wake

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 роки тому +14

    Asante Sana Joel,niliumia Sana nilipofanyiwa hayo yote,nilisikiliza clik yako ya kuondoa msongo wa mawazo,inayosema furaha yako iko mikononi mwako na niambie ninaweza bila Fulani!

    • @mageurio9242
      @mageurio9242 2 роки тому

      Mimi hayo yote nayapitia

    • @yeyaboy8045
      @yeyaboy8045 Рік тому

      Yananitokea bro lakn nikimuliza 7bu hanipi

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Рік тому

    Mm ndo napitia kipindi hiki aisee!!!! Hadi najishangaa, mtu niliekua nampenda, sitamani nimpoteze, akisema anaumwa naomba kila saa Mungu amsaidie apone haraka, nilikua nakosa furaha kabisaa hata nikihisi kuna kitu nimekosea. Imekuja kutokea kila mara anaongea maneno yakujirudia na yananiumiza vibaya sana, yeye anaona kawaida nikajikuta nimemchukia nakuomba tena Mungu aniweke mbali nae 😥😢
    Yaani upendo niliokua nampenda umeyeyuka hadi anahisi labda nina mpenzi mwengine lakin sinaa.
    Dalili zote zinanihusu sasà miezi 2....

  • @jacklinebazale5415
    @jacklinebazale5415 Рік тому +1

    Asante sana Kaka

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Рік тому

    Kaka umenigusa sana. kuna mpendwa wangu hizo dalili zote anazo.
    Namna ya kujitoa kwa mtu uliyempenda mno !je nini kinafanyika.

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 Рік тому

    Duh 😢Yani Hapo Dalili Zote Naziona Subir Nichukue Maamuzi Mapema

  • @hidayakisensi2747
    @hidayakisensi2747 2 роки тому +2

    Channel inayonimalizia mb zangu barikiwa sana kaka joel🙏🏻

  • @merinamsofe5798
    @merinamsofe5798 2 роки тому +1

    Bro kama unaniongelea mm jamn daaaaanh inaumaa sana

  • @mikeroh489
    @mikeroh489 2 роки тому +6

    Hongera Mr, unasaidia Sana Jamii yetu.

  • @nuruanaelisha8731
    @nuruanaelisha8731 2 роки тому +2

    Kaka,Mungu akutangulie ktk maisha Yako,akufungulie njia zako zote unazotaka kufanikisha ktk Jina la Yesu, umeongea ,yote yamenigusa Sana.

  • @mapoluchalya280
    @mapoluchalya280 2 роки тому +1

    Kwel kaka yani unatusaidia sana ambao tunafanyiwa haya yote,inauma sana sana mim napitia haya,yote kw yote mungu akubariki kaka

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 2 роки тому +4

    Ukweli mtupu Ndugu Nan 📚📚📚 🎙️ shukran.

  • @mwinjumakombo958
    @mwinjumakombo958 9 місяців тому

    hayo unayoongea brather ndomaisha nnayoish kwenye ndoa kwasasa

  • @nox_nation255
    @nox_nation255 Рік тому

    Daaaah brother unayo ongea yamenikuta

  • @chrispinengoji
    @chrispinengoji 8 місяців тому +1

    Hongera Kwa ujumbe mzuri! Je, ikitokea umeamua kurekebisha Kwa njia ya mazungumzo na mwenzio hayuko tayari kuzungumzia jambo lolote kuhusiana na tofauti zenu ufanyeje?

  • @shavakhantz7960
    @shavakhantz7960 2 роки тому +2

    We n bora zaidi napenda sana kitu unachokifanya

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack 6 місяців тому

    Najifunza mengi sana jamni hiyo imenitokea ila kwenye mahusiano Kuna changamoto

  • @mariamjohn4412
    @mariamjohn4412 2 роки тому +4

    for really nimecheka kwa sauti mwanzo hua raha sana

  • @mkramazani2759
    @mkramazani2759 2 роки тому +10

    I always follow your teaching man love u. Mungu akubariki👌

  • @AbdulKifundo-xp2jd
    @AbdulKifundo-xp2jd Рік тому +1

    Dalili zote hizo ulizozitaja zimetokea kwa mke wangu

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 5 місяців тому

      Pole Kuna jitu nje linahusika hapo .

  • @shorashora2003
    @shorashora2003 Рік тому +1

    Nakukubali sanaa kaka nakuombea ukuze kiwango cha kutuelimishe mimi nimeteseja sana kwakutokewa nahayo mambo❤❤❤

  • @eddysonmboya1651
    @eddysonmboya1651 Рік тому +1

    Nashukuru sana mentor nimejifunza vitu vya kutosha, pia kuna dalili umezitaja zinarelate kabisa na anavyofanya mpenzi wangu

  • @nimenyajoseph8959
    @nimenyajoseph8959 Рік тому +1

    Thank you,nimejifunza jambo SKU yakinikuta nitajua namna ya kukabiliananalo,

  • @mussakhamis2377
    @mussakhamis2377 2 роки тому +3

    My life coarch joel nanauka kwa hakika ww ndio faraja yng

  • @kulwamagaila2275
    @kulwamagaila2275 Рік тому

    Kaka nakupataje hii imenìgusa na nipo kwenye hali hii kwa sasa

  • @FlolaKalan-kg1dp
    @FlolaKalan-kg1dp Рік тому

    Amen mtumishi ahsantee kwa mafundisho mazur nimejifunza kit kikubwa sana

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 9 місяців тому

    Yaaani wangu mie nitatizo

  • @ranayuhase1405
    @ranayuhase1405 Рік тому

    Ndioo vyote ndio napitiaa ila natokaje jamani daa 😭😭😭😭

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Рік тому

    Mmh! MUNGU atusaidie wanawake na ndoa zetu

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 2 роки тому +1

    Angekuwa mama yangu ningeogopa

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 роки тому +1

    Nimecheka 😀saivi najichana kweli unamwambia kilakitu.

  • @magrary2455
    @magrary2455 2 роки тому +1

    Hali pia mimi iliwahi kunikuta na mpenzi wangu aliniambi niko busy muda wote sikuamini kuhusu kauli hiyo niliamua kufatilia kujua kama kweli alimaanisha nikajua kweli alikuwa akimaanisha na alikuwa anaonekana kama haniitaji katika maisha yake na hatimaye niliamua kukaa mbali na yeye pale nilipoona dalili ya kushindwa hata kufanya mambo yangu kwa kuzidi kwa maumivu. Ahsantee kwa kutupa na suluhisho kwa wakati mwingine tuweze kuitumia.

    • @geraldlaurent6750
      @geraldlaurent6750 2 роки тому

      Hata Mimi yamenikuta mtu ananiambia Yuko busy mda wote aise inauma Sana

  • @ElishaDonald
    @ElishaDonald 7 місяців тому

    Dahhhhh....nimejifunza kitu

  • @chugaboy249
    @chugaboy249 3 місяці тому

    😭😭😭Daah raundi hi nime Pati kana Ngoja ni lie hadi nichoke alafu nifanye kutoka moja kwa moja

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 2 роки тому +1

    Napenda mafundisho yako,kweli hayo yanatokea na unakuwa huelewi jinsi ya kuyatatua,nafurahi .

  • @catherinejohnsilvester6516
    @catherinejohnsilvester6516 10 місяців тому

    Asante bro sasa nikijua hivyo nifanyaje

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Kwel Kaka nayajuwa hayo

  • @kissakapesa5977
    @kissakapesa5977 2 роки тому

    Yaan brother utafikiri umeniona mimi hayo ndo yananikuta sahivi

  • @mawiamusai1362
    @mawiamusai1362 2 роки тому

    Hiii video nairundia rundia sijui kwa nn mungu akubarikii kaka

  • @kizazijeur7518
    @kizazijeur7518 2 роки тому +2

    Somo zur dr umegusa sehem muhim San. Hongera

  • @mwinjumakombo958
    @mwinjumakombo958 9 місяців тому

    da braza haya maisha ndonnayoishi Sasa ukipiga simu unaambiwa nna kazi ntakutafuta badae badae ndobadae akikupigia anajitetea vitu viingii kwa hiyo nimezoea tu braza naona kawaida sana

  • @yvesniyongabo9437
    @yvesniyongabo9437 Рік тому +1

    Mafundisho mazuri sanaa Joel, asante sanaa

  • @irenebosco7411
    @irenebosco7411 2 роки тому +1

    Hali niliyonayo kwa sasa😭😭.moyo unauma na kosa lang mim ni kua mwaminifu

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 роки тому

      Najikuta naumia acha tyu nina maumivu hadi natetemeka moyo wangu unable majeraha acha tyu unakua mwaminifu mtyu hajali yeye ni kupita na mambo yake tyu hajali kuhusu wewe

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 роки тому

      😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

    • @luiceadam385
      @luiceadam385 6 місяців тому

      Mm napitia leo hiii hapa 12 April 2024 cjui kama kesho itafika Salama Hali yangu mbaya sana mungu anisaidie

  • @roziKomba-jz4fy
    @roziKomba-jz4fy Рік тому

    Mungu tunusuru

  • @catherinejackson5614
    @catherinejackson5614 Рік тому

    Joe I like u beyond all the stars aise..upo na madini nakufatilia sana unanifumbua kwa mengi Joe..much love😍🌹🌹

  • @naimakegna6534
    @naimakegna6534 Рік тому

    Pliz naomba no Yako

  • @fungukamedia4545
    @fungukamedia4545 2 роки тому +1

    Au unajua maisha yangu

    • @magejay4715
      @magejay4715 2 роки тому

      Hahaha😄😄😄😄😄😄daah

  • @farajatimotheo2702
    @farajatimotheo2702 2 роки тому

    Ukweli mtupu yan daaaaah

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 роки тому +1

    daaaaa wewe umeona safar yangu ninayopitiya🙏

  • @gracekazi5492
    @gracekazi5492 Рік тому +1

    Daaaaa! Asante sana bro maisha hayo ndo nayaishi sasa😭😭

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 2 роки тому +1

    ##Thanks you my brother Joel Nanauka kwa SoMo zur....

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 роки тому +3

    Asante studios

  • @sharmilarashid6270
    @sharmilarashid6270 2 роки тому

    Dah nilipita haya ty miaka 9 nyuma. Lkn alhamdulilah Sasa imebaki story, Asante kwasomo