BONIFACE JACOB WA CHADEMA KUENDELEA KUSOTA RUMANDE
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi wa pingamizi la dhamana la Kada wa CHADEMA Boniface Jacob kutokana na mshitakiwa kushindwa kufika Mahakamani katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamanı Twitter)
Boniface maarufu kama Boni Yai atasalia rumande hadi septemba 26, 2024 akisubiri uamuzi wa mahakama kuhusu dhamana yake.
Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !
Kama vpi Jeshi ichukue Nchi tu maana mambo mengi yanafanyika ya ajabu
Jaman Tanzania kama mfumo wa vyama ving hatuwez Bora tuache sis watanzia tunataka aman
👊✌️👍.
Hahaha 🤣🤣 kesi zingine ni kichefuchefu
Ina maana hao mapolisi hawajui Sheria za mahakama.
Hapo sasa inashangaza
Hawa polisi ccm wanasumbua tu mawakili wa wanaotetea wapinzani, kwa wale wa serikali hawawafanyii hivi shame on polisi mnatumika na serikali.
Mbona una kigumizi 😂
😂😂😂Naaaaaa