Tuleteeni Panadol za Kenya tupate akili Hiii nchi 🇹🇿 Ina bleed Na tulikuwa na pombe nyingi tukashindwa kulewa tunataka tunywe maji ya uhaiii kwenye mikono wa wanyang'anyi Mungu ibariki 🌏🌎🌍🇹🇿
Du!! Yaan hii ccm ni ya unyama kabisa mungu awasimamia hao wachadema waliokamatwa watoke salama ila mungu awalaani hao asikali police kwa vitendo wanavovifanya maana hawana ubinadam kabisa
Yaani wananchi wa tanzania hawafai kabisa watu wanao pigania haki zetu anakamatwa lakini watu wamekaa tu hiyo ninini sasa haina maana kabisa kuona watetezi wakikamatwa na nyie mkiona na mnakuwa kimya tu ninalo liona nibora vyama viishe tu tubaki na chama kimoja tubaki katika utumwa mambo leo
Sababu ni nyie chadema mefanya tumeshindwa kufanya biashara zetu kwa sababu ya maandamano yenu .mi kutoka kwagu ndio kula yangu mgemsiliza vyombo vya dini.taasisi mkakaa mezani.lakini sikio LA kufa kwa uroho wa madaraka
Akili kisoda Unamfahamu Julius kambalage Nyerere Lumumba Patrice Solomon mahlangu Thomas Sankara Ibrahim traore Robert Mugabe Nelson Mandela Napoleon Bonaparte Fidel Castro Muamal Gaddafi John pombe Magufuli Julius caisaà Isidol noel Cheguevalla wa Africa Mtemi mirambo Chief Mkwawa Mkwavinyika Tunahitaji watu wenye NGUVU , UJASIRI, IMANI, na KUJITOA kwa manufaa ya taifa If your in roman do what Romans do Nchi nzuri, nchi safi Siasa mbovu KICHWA KISICHO NA AKILI MZIGO KWA SHINGO
Dah inahuzunisha wallah 😢😢😢hii nchii mungu atusimamie lakin sio haki kbs
hawa askari.wanajiona.kwamba tanzania.niyao.peke.wakumbuke.dunia ni mapito
aya yote mtumainie mungu kwamba yupo ipo siku ataweka mkono wake ishallwah😢😢😢
Hii nchi siami😂😂😂😂😂🤣🤣yaan ukisema wanakushenyentaa chap
Ipo siku ayo mnayoyafanya yatawageukia ndo mtajua maumivu yake
Hamna uhuru watanzania hivi mtajielewa lini aa mkonyuma sana,kama mliukumbatia mfumo wa vyama vingi bc sharti mkubali .from kenya
Tuleteeni Panadol za Kenya tupate akili
Hiii nchi 🇹🇿 Ina bleed
Na tulikuwa na pombe nyingi tukashindwa kulewa tunataka tunywe maji ya uhaiii kwenye mikono wa wanyang'anyi
Mungu ibariki 🌏🌎🌍🇹🇿
😢😢 sijui niaze kulia ama
hawa police kweli wasenge nahao waajiri wao
Duh? Tanzania ni nchi ya kishamba sana
Et taondoka nanyie!!😊
Roho unaniuma sana
NCHI yangu Tanzania
Watu kuuawa watu kutekwa na demokrasia wapi na wapi
Nilishasema Mimi serekali
Samia na serikal yke bure kabisa
Wangekuwa bize ivi na kulinda nchi hakika wanaoteka watoto wetu wasingepata nafasi tulindeni na sisi basi 😢😢😢
Ewe mungu teketeza hawa wote wanaodhurumu haki ya uhuru wa nchi yetu ........bila kuwasahau awa askari vraza wanaotunyanyasa kila cku.
😢😢😢
Hawa maaskali siku ya mwisho watamuona mungu waenderee kufanya miungu watu
Wengi wao munaongea haya Sasa ni wanafiki mbona hamukuwa munaongea kitu wakati wa magufuli tena yamefamyika kulikoni haya
Ipo siku mapinduzi yatafanyika. Na Mungu mwenyewe
Policy tanzani munatia aibu kweli😢
Duuuuu ila hii inchii wa2 wanalipwa pesa bule saa awo mnao wakamata wanaxhida gani?😢😢😢😂😂😂
Hiii nchi inasikitisha sana😢😢
NILIANDIKA NIKAFUTA,,
Mm najuwa ungomvi wa tembo nyasi ndoo zinaumia
🙏🙏🙏🙏🙏😢😢😢😢😢
Utasikilizwa na nani wenye Dunia Yao wakisema kunya wewe kunya wakisema nawa wewe nawa wakisema guu pande wakisema nyumaa geuka unageuka mbelee tembea unatembea nyinyi mutasumbuka Bure
Du!! Yaan hii ccm ni ya unyama kabisa mungu awasimamia hao wachadema waliokamatwa watoke salama ila mungu awalaani hao asikali police kwa vitendo wanavovifanya maana hawana ubinadam kabisa
Uyo police kasheza vibaya sana ikubuke uyo ni mueshimiwa
😂😂😂😂,,alwakenya tunaomba msaada jmn
Inawezekana tunajenga amani na inawezekana pia tunatengeneza kutoaminiana na chuki upya vilivyoanza kupotea!
Najiulza siku mboe anaishika nchi izi sura wataziweka wapi
Where is democracy in speaking?
mbona wakat wa mangu mulikua hamuandaman mama yetuwasikuchezee yote uliowafanyiya hizi ndio shukuran
Kiukweli hii nchi ni mavi matupu
Sema mwanzoni hukusema maandamano ya maombolezo yalisemwa tumeipa selikali siku kazaa mliiamlisha serikali kibabe
Ila km watu wameitika hv kidg bhs mjue kuna siku watazid
Wale walinzi wa mbowe makamanda wako wapi leo
Inasikitiasha sana
Mbowe acha upumbavu hii nchi sio yako
Hawa askari hawapo kwa ajiri ya kulinda wananchi bali nikulinda Mishawaka yao na kuabudu wakubwa
Mbowe uko sawa
Jamn hukuna mtu mstarabu kama Mboweee
Acha ubishi ingia kwenye gari chap
Yaani wananchi wa tanzania hawafai kabisa watu wanao pigania haki zetu anakamatwa lakini watu wamekaa tu hiyo ninini sasa haina maana kabisa kuona watetezi wakikamatwa na nyie mkiona na mnakuwa kimya tu ninalo liona nibora vyama viishe tu tubaki na chama kimoja tubaki katika utumwa mambo leo
😂TANZANIA BADO SANA
wanamupeleka unununip 😭😭😭😭
Hata mtu akisali anakamatwa Saad
Asipoteaa tu
hii inchi itatulia lini
Waandishi was habari pia ni wachochezi
Police mataila mtu mmoja anawajambisha
Unataka tu baba yako awe raisi uwe mtoto wa raisi
Hakuna anayetetea uzalendo bali mnatetea tonge na kutuona sisi ni wajibga
Huo ni wizi
Duuh
Mbowe akili kubwa sana,anaweza wafanya watu wakawa bize nchi nzima
😂😂😂 kwakweli amewaweka bize Sana
Ondoka sasa wewe na baba ako wote k
Muvi
Uonevu mtupuuu iposku
Kwani ni lazima kuandamana mbona hayo mambo hayana Afya kwa wa Tanzania?
Mbona wewe umeandamana humu bogus wewe
Na nyie mnaanadamana ili iweje,,,kama kutekwa acha tutekwe ya tu Kwan shngp
Sababu ni nyie chadema mefanya tumeshindwa kufanya biashara zetu kwa sababu ya maandamano yenu .mi kutoka kwagu ndio kula yangu mgemsiliza vyombo vya dini.taasisi mkakaa mezani.lakini sikio LA kufa kwa uroho wa madaraka
Kuma wewe na wewe ni kibalaka wa ccm kwaio wakae mezani kivip
Huna akili
Akili kisoda
Unamfahamu
Julius kambalage Nyerere
Lumumba Patrice
Solomon mahlangu
Thomas Sankara
Ibrahim traore
Robert Mugabe
Nelson Mandela
Napoleon Bonaparte
Fidel Castro
Muamal Gaddafi
John pombe Magufuli
Julius caisaà
Isidol noel
Cheguevalla wa Africa
Mtemi mirambo
Chief Mkwawa
Mkwavinyika
Tunahitaji watu wenye NGUVU , UJASIRI, IMANI, na KUJITOA kwa manufaa ya taifa
If your in roman do what Romans do
Nchi nzuri, nchi safi
Siasa mbovu
KICHWA KISICHO NA AKILI MZIGO KWA SHINGO
😢😢