Sio anafanya kazi Tanzania iyo kampuny ya Tigo wenye nayo wazungu sisi tumeletewa tu kupata wepesi wa mawasiliano uyo Clifford alifanya iyo kazi akiwa nje huko huko data zote wanazo
Hawa wababa wanajua kusoma magazeti ila kuchambua awajui Clifford ajausika ila awa watangazaji wanasema kausika mbona amchunguzi hbr kwa kina arf ndo mtu reteh kwanza mlisikiliza lisu kasema nn ndo nyie nyie wazoefu
Maurid kitenge bwana,kashindwa kujizuia Yani ni Bure team LISU na bila shaka nathani atakuwa team Mzalendo a.k.a team PEOPLE S!!!!!!! POWER!!!!!!!.YANI SAFIIIIIIII,YANI SAFI SANAAAAA,YANI PAKA KIELEWEKEE!NATHEMAJE,NATHEMAJE,YAJAYO YANAFURAISHA,YANAFURAISHA,YANAFURAISHA TENAAAAAAA. NAUKISIKIA HAKI NA JASHO LA MTU HALILIWI,MAANA HALISI NDO HIII,NA UKISIKIA MWISHO WA UBAYA AIBU,SHUHULI YENYEWE NDO HIII, MUNGU WA WAWATANZANIA,CHADEMA NA WAPENDA HAKI YUPO HAJAFA.NDO HIVI
Hofu yangu wataanza kuwindana wenyewe huko ndani ili kuua ushahidi.. maana Lissu hategemei mahakama zetu za bongo (kadiri ya Rostam wakubwa wanapiga simu tu kwa jaji)..wakili wa Lissu (Robert Amsterdam) ameagizwa aunge behewa huko huko..
wanasiasa wanauana wenyewe kwa wenyewe vita ya kisiasa ni mchana na usiku wanawindana physical kwa munduki na sumu na spiritual kwa kurogana wallah siasa mchezo mchafu ukiingia kwenye siasa uwe umejipanda nje ndani na uwe na watetezi nje ya nchi laa watakuua kama mbwa
Acheni kupotosha ---- mnataka kutuambia kuwa,CLIFORD anahusika kwakuwa tu alikuwa mfanyakazi wa tiGo,kwahiyp kila mfanyakazi wa tiGo alihusika,hata walinzi,wafagizi wa ofisi etc " Hilo nalo linahitaji shule ! "
@@philemonsnyanda9450 Unahangaikaje na mtu ambae hahangaiki na kutoa ushirikiano ? Yeye mwenyewe hakuwa tyr na hiyo kesi, Anapoteza ya Ali Kibao ili jamii imuone yeye sasa, shame
Lisasi kapigwa Dodoma ukweli waibukia ulaya duh duniahii acheni haki za watu zisimame
Tigo bye bye, mumeonyesha udhaifu mkubwa sana kutoa Siri za wateja wenu
Tigo mmefeli 😂💔
MEDIA NI MBILI TU BONGO, WASAFI NA CROWN
Wasafi zamani walikua machawa
Hapana. Ni moja TU...Crown media basi!!
kitenge wewe ni zaidi ya mtangazaji
Wachambuz leo mmefel hamkusikilza maelezo ya lssu vizur
😢
Hiki kipind kipewe ulinzi maana wanajitoa kwenye jamii na kukemea uovu
Yoyo Mambo yasirini yaibuka Tigo Bye byee Sasa
Hamkusikilizaa vzl mkaingia kwa media Kubwa kama wasafii kuongelea jambo kwa kurukarukaa!
Watuonyeshe huyo Michael Clifford aliyefanya kazi Tanzania...
Sio anafanya kazi Tanzania iyo kampuny ya Tigo wenye nayo wazungu sisi tumeletewa tu kupata wepesi wa mawasiliano uyo Clifford alifanya iyo kazi akiwa nje huko huko data zote wanazo
Hawa wababa wanajua kusoma magazeti ila kuchambua awajui Clifford ajausika ila awa watangazaji wanasema kausika mbona amchunguzi hbr kwa kina arf ndo mtu reteh kwanza mlisikiliza lisu kasema nn ndo nyie nyie wazoefu
Hawa wachambuzi inaonekana hawakuwa wanajua chochote kuhusu hiyo habari. Ni sawa na mwalimu anakuja kusoma notes darasani..
Hawa jamaa nawapenda wanavyo ongea
Hawa jamaa wanapotosha. Sio hivyo. Clifford alichunguza hiyo issue iliyokuwa inafanywa na viongozi wa tigo wa sirikali.
Yani hawa hawakuisikiliza kabisa ile press ya Lisu. Hawajui wanaongea nini
Kitenge umeingia kwenye kipindi bila kujiandaa, hujawa na information sahihi on what and how it happened
Saivyi mmeanza kuwa na akili wasafi
Maurid kitenge bwana,kashindwa kujizuia Yani ni Bure team LISU na bila shaka nathani atakuwa team Mzalendo a.k.a team PEOPLE S!!!!!!! POWER!!!!!!!.YANI SAFIIIIIIII,YANI SAFI SANAAAAA,YANI PAKA KIELEWEKEE!NATHEMAJE,NATHEMAJE,YAJAYO YANAFURAISHA,YANAFURAISHA,YANAFURAISHA TENAAAAAAA.
NAUKISIKIA HAKI NA JASHO LA MTU HALILIWI,MAANA HALISI NDO HIII,NA UKISIKIA MWISHO WA UBAYA AIBU,SHUHULI YENYEWE NDO HIII,
MUNGU WA WAWATANZANIA,CHADEMA NA WAPENDA HAKI YUPO HAJAFA.NDO HIVI
Karudien kumsikiliza Lissu vzr ! Naona woote hapo hamjaelewa yule clif hakufanya ila aligundua kuwa wao kama company kuna watu mule ndan waliusika
Kaka umeongea kweli ukitaka kuumbuka, wewe muambie siriyako mzungu hivi viumbe vipo honest na maombea sana!!
Waandishi wote hawajaelewa mama angu yaani yule muingereza ni mchunguzi wa ndani wakati anachunguza ndo akagundua hilo
Mjamaa wanamsapoti lisu big up sana kitenge
Safi wachambuzi mko vizuri 👍
Leo mmeenda kombo mmefeli
Tundu Lisu ni Raila wa Tz though he's coward😂 let him have the blessings of Baba (Raila) Ili apate kuenda mbali
Ngoja viongozi wa Tanzania watavyoanza kufungiwa na Mahakama ya international..ndo utajua jinsi alivyo coward😆
Ni makonda au ni nani?????
Litakufa jitu😅😅
Hofu yangu wataanza kuwindana wenyewe huko ndani ili kuua ushahidi.. maana Lissu hategemei mahakama zetu za bongo (kadiri ya Rostam wakubwa wanapiga simu tu kwa jaji)..wakili wa Lissu (Robert Amsterdam) ameagizwa aunge behewa huko huko..
TIGO byebyee
Bye bye kwani vipi tena
😂😂😂😂😂😂😂huyo nae Lussu kweli anaakili . Hapa UK yao yana washinda waje kumsaidia yeye 😂😂😂😂😂😂😂uwiiiiiii
Huelewi kitu upo upo tu uko
@@DullaMsanja-x9rlilo kama boga pori
Yamewashinda yapi,acha uongo
wanasiasa wanauana wenyewe kwa wenyewe vita ya kisiasa ni mchana na usiku wanawindana physical kwa munduki na sumu na spiritual kwa kurogana wallah siasa mchezo mchafu ukiingia kwenye siasa uwe umejipanda nje ndani na uwe na watetezi nje ya nchi laa watakuua kama mbwa
Kwani hao wanasiasa kwanini wasichukuliwe hatua
Acheni kupotosha ---- mnataka kutuambia kuwa,CLIFORD anahusika kwakuwa tu alikuwa mfanyakazi wa tiGo,kwahiyp kila mfanyakazi wa tiGo alihusika,hata walinzi,wafagizi wa ofisi etc " Hilo nalo linahitaji shule ! "
Hapa mmekurupuka hamkuelewa Clifford hakuvujisha wazee …
Afya,uhai vitamaraki ili haki na ukweli ujulikane.
Sasa Mambo hinaxhemka😂😂
haki.itapatikana tuu.mungu.ni.mwema
Ukweli upi ache ni maneno maneno
Wazee wambea hawa 😅😅
😅 Kesi kafungulia ulayaa😅 , Risasi Risasi kapigwa Tz, Kwan Lissu ni Raia wa wapi?
Kwani nchi yako inahaki?tangia apigwe alisikia wamehangaika na hiyo kesi
@@philemonsnyanda9450 Unahangaikaje na mtu ambae hahangaiki na kutoa ushirikiano ? Yeye mwenyewe hakuwa tyr na hiyo kesi, Anapoteza ya Ali Kibao ili jamii imuone yeye sasa, shame
@@ameirzapy1318uchunguzi wko ww ndio unafanya ivyo
Km nimait ingbid uifufue ikupe ushrikianao
Ninyi yule Cliford yeye alijetwa kuchunguza na sio alikuwa mfanyakazi
wanatungiza chaka haha
😂