Lissu Afunguka Mazito Shambulio la Septemba 2017, Kuwaburuza Mahakamani Kampuni ya Tigo na Serikali
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- Akiongea na waandishi wa habari leo Septemba 25, 2024, Tundu Lissu ametoa taarifa kuwa kesi inayoendelea London imeweza kuonesha kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo ilitoa mawasiliano yake kwa serikali kuelekea tukio la yeye kupigwa risasi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Hii mitandao Kwa Tanzania ni hatari?
Yani hapo mkubali kwamba jinai haiozi mbona ushaidi wa tigo ndo utakaotumika tz kufunguwa kesi tz watuletee majina tuwajue
Inatisha sana kwa kweli
Kweli tz Kuna Mambo mengi tusiyo yajua ukweli Ni Mungu tu atakaye tuokoa
Amen
Mungu hachelewi ndo wakati wako Lisu,aliyekutangukiza ametangulia yeye
@@jacklinelyimo7407 tulijua humpendi
Muache Mungu aitwe Mungu
Mungu mkubwa wanaumbuka😂😂🙏🙏👍
Mhmmm Tanzania hii haisaidii
Hakuna aliejiumba Ila Kila mtu kaumbwa kwa hiyo fanya uwezavyo Ila huwezi shindana na Sir God Almighty Ameni!!
Hakika mungu anaishi shetani atabaki kufeli tu
Eti mama Abduli😂😂😂
Mnyonge mnyongen haki yake mpeni
Hakuna siri chini ya jua, shikamoo tecnolojia, sasa kumeanza kuchangamka. MUNGU yupo kazini.
Inatisha sana kwa kweli😂
Kawaida tu mbona! Tembea ujionee, kajaribu huu upuuzi kule Urusi ujionee 😅
Serikali ya ccm ni wanyama tu hawana ubinaadamu
Hao wazungu ndio watu
@@asinahussein2176yes!! Ndio wanaotupa mkopo tz
2025 lazima chadema itawale "nimeshafunuliwa" but itatokea mchafuko kwanza! than watachukua mamlaka
Yatatokea kwenye family yenu pepo 😊
Unaota wewe
😂😂😂😂😂
Mama yako ndo atachafuka
Hata chaguzi nyuma mlisema hivyo lakini ni watawala hewa!
Mungu Ni waajabu Sana sipati picha
Safiiiiiiii,Safi sanaaaaaaa.POPLES!!!!!!! WATANZANIA WOTE WENYE NYIA NJEMA TUITIKIE POWER!!!!!!!
Powerrrrr
Power
Sasa ‘Nyia’ ndio nini tena? 😅
Peleka ushamba wako ,muda umefika wa kuwafikisha watekaji mahakamani nadhani mtapoteana hamtaamini macho yenu
"Ogopa Mungu na technologia",ni maneno ambayo nilisikia kutoka kwa mtumishi mmoja wa Mungu, sikuwq namuelewa ila sasa nimemuelewa!
Mtumishi au ruge mutahaba, Acha kutuzingua
@@gwajimagwajima
Chukua content
Iwe kasema Ruger
Au kasema mtumishi wa Mungu.
@@PatrickNdomba-u6sndo machawa hao mpaka aongee boss wake
@@gwajimagwajimakwani wewe si mtumishi wa Mungu?
Ni maneno kutoka kwa Mwl wangu aluwahi kuniambia “Ogopa Mungu na Teknolijia” server ni kitu cha muhimu sana🫢
Mwisho wa ubaya aibu
Mliokuwa mnamuona magufuli kama mungu mtu bisheni na Hilo la mahakama za wingereza utawala wa magufuli Sheria zake mifumo yake inaitesa nchi kwa Sasa
Sasa wamekubali kama wame saidia magufuli wewe lisu fala tu na huyo maico creaf nae ni kipele
Magu yes Mungu mtu, na kama Lissu akiwa Raisi wa Tz, uje nikupe 20 Millions Tsh, save number yangu kama unatakana, Chadema yaweza kuongonza inchi ya Tz, but siyo Lissu Raisi wa Jamhuri ya Tz. Tunza maneno yangu. Wala sitakujibu tena.
Kwani hujui wafazili wake ulitegemea nini waseme yeye aishi milele
@@thieryniyonkuru5023utajibuje wakt upo unakufa
Huyo ni kibaraka wao lazima wamtetee
Waseme ukweli na haki ifate mkondo wake
Tigo kwanzia sasa sitaki wakala wenu wala laini
Mi pia line zao sizitaki tena...
Kuna uwezekano wa hiyo kampuni kuathilika.
Mm nimeshabiwa pesa mara 4 katika hii kampuni kisa line siitumii Sana...msininukuu vbaya siungi mkono chochote kile
Sisimizi tu 😅
Makonda ni gaidi kamili100%... haki itendeke 📌📌📌📌📌
Na ndiyo maana alipewa sumu
Mhh kweli naanza kuelewa 😢
BADO KUELEWA BADO KABISA.@@lovenessvisent9408
Mungu mkuu sana
Mimi nawatanzania wezangu naugana na watuwote tingo mmefanya jambo ambayo siovizuli tingo sitatumia Tena maisha yangu yote familia yangu nimeshawamia tigo aifai kwa nini Mimi nimeamua nikwasababu tundulisu anatufundisha mambo mengi sana kwani siasa nimaisha ya kwatu na mungu ameweka wazi watanzania wajui
Ama kweli kimeumana....
Wapenda haki na wana chadema tuikatae tigo takataka
Wewe tigo wananikopesha Hadi laki6 kwenye tigo nivushe ndio kauligani hizo unaongea
MUNGU ATAKULIPA
Nchi imechangamka napenda hii
Ha..mmh..Tigo hiki ninachosikia.sielewi..
Ifanyike hadharani wasifiche chochote.....
Yaani huko kuongeaongea itakukosti mno tena ukasubiri ndege yetu nje uikamate mbona risasi zitakuhusu😂hataukiwa USA ukiingia hivyo FBI hawakuachi
Na ww utakufa tu tena unaweza kutanguli usio na huruma ww
Duu kaka amini usiamini malipo duniani , Kwa kauli hiyo mungu wa haki akulipe sawa sawa na kauli yako,ameni
Ubongo wako unamajipu kaka
Kampige risasi MAMAyako
Huna akili wew Mungu atakujibu
Mimi baada ya kushiba ruzuku🤣🤣🤣🤣
muone mungu alivyo wa ajabu.. unamtanguliza mwnzio kuzimu matokeo yake mungu anamkataa anakutaka ww uwe wa kwnz!!! Mnyonge mnyongen haki yake mpeni📌📌📌 haki itendeke bila kuangalia sura 👌👌👌
Sasa mzee mbona kama unawafumbua macho
Wajipange mapema kukabiliana nae
😂😂 safi sana
Ni hatari sana mitandao hii
Hivi siku hizi mmekosa sela kabisa
Sela kaskiliize kule ccm
Hata huko CCM Kuna sera gani?
Mpka leo utaambiwa tunaleta maji umeme ,bara bara mambo ni yale yale
Hizi ndio sera!!😂😂😂 sera kamata magaidi ya ccm
Magufuli hausiki kabisa hembu muache kabisa hivi wewe serikali ikutafute wakati Wana jua una lala wapi hizo ni propaganda zako tu
Kiu kweli wewe unaanza kuchanganyikiwa haulali kisa magufuli Ata sehem haukutakiwa kumtaja magufuli una mtaja mwehu wewe kisa ulikua hauli vizuli kipele wee
Unaye Sema Magu Hausiki Ni Mpumbavu Kabisa Hauna Maana Hauna lolote Wewe Ni Sawa Na Mavi Ya Chooni
Hata kama wanajua lazima wawe na uhakika uko wapi kwa usahihi na wajifiche wasijulikane bahati mbaya wanatumia mawasiliano haya haya
Unapakuliwa ww
Umesikia kesi mahakamani wanasemaje,Shoga ww ,magufuli gaidi
mbona sauti inagoma
Kazi ya mzungu ni kuharibu legacy ya kila mwafrika aliyekubalika kwa watu wake hata tb joshua baada ya kufariki wanasema alikuwa mbakaji za kuambiwa changanya na zako
Lete ushahidi
Ujinga umekujaa.ww ulifikiri mzungu ana akili kama za watu wa ukoo wako wanaojaza matunguli kibao ya ,kiroga,kuumiza na kuua waafrika wenzao pasipo sababu.unataka utuambie tundu lissu alipigwa risasi na wazungu.
Hauna akili
Sio kwa hili
Kama mzungu anaharibu legacy huyo rais wenu anazunguka kuomba msaada ya nini kwa wazungu...mburula wewe
Kumbe Una njaa😂
Shut your filthy mouth 👄 you man
Njaa ya nn lazima Allah awaumbue wauwaji
Kama mama yako😅
Punyeto ingeokoa Boga hili
NJAA GANI? WEWE UNAJIELEWA KWELI?
Duuh hatari
Kaka lisu kiongozi wangu mheshimiwa Raisi ajae nimefurahi kuliko maalezo hakika MUNGU yu hai damu haifukiwi. kwa matope ya uwongo haki sio giza kwa maana yalio fichika yatafichuriwa sasa ushauri wangu kwakuwa watu walimwendea MUNGU na MUNGU akawa mwaminifu kwaajiri ya machozi yetu. hakuficha uso wake kwaajiri ya tukio hili kubwa la kitaifa inatubidi ifanyike siku ya shukrani .kichama na sadaka yake ikaombeleze kwa wote walio tekwa na kupotea damu zao ziwakilishe taifa wakiwemo wakuu wa dini zote wakuu wa makabila na wale wote walio it wa kwa haki naamini kutatokea kishindo cha mageuzi yasio tegemewa na mtu na kuacha mshangao hapo taifa ndio linapona yapo mengi lakini nafasi ndogo
Kumechangamka sasa tutajua mengi sana si mlishindwa kumuua huyu jamaa kazi mnayo jipangeni tunakuja na nguvu ya watu na Sheria
Mungu yupo waliomua kibao nao atawashulikia
Mbwa huyu usubili ndege zetu si ukaishi huko,magufuli muache na kama unajipenda acha kuongea habari za magufuri na ukikaidi utapigwa tu hii nchi ni ya watanzania sio yako we uchu wako wa madaraka na kuigombanisha serikali na mataifa mengine ukome mbwa kibogoyo wewe tuache na nchi yetu
Malipoo hapa hapa dunia akhera hesabu ...!!! tujitaid kuvifuata vitabu takatifu ili tuwe wema kw muumba wetu... Inshallah
Kumbe kampuni ya tigo ni kishenzi, kumbe wanaweza kutoa siri za wateja na kutoa location za wateja wao, sitaki tena lain za tigo na huduma zao bora nihamie Vodacom.
Ndio maana nilisema makonda Hana uhalali eti mtetezi wawanyonge kweli wamuulize mo euji wamuulize kusanga na kituo chake Cha redio makonda atuambie beni sanane Yuko wapi yaani huyu makonda ana kesi nyingi mbele za mungu hawa akina mwamposa wanapo mpa kusema eti mazabahuni ndio wale wale angalia alivyo mchana mwamposa mbele yake kwani manabii na mitume waongo na matapeli ni huyo alie mkaribisha na akamvua nguo hazarani
Hawa ccm na serekali Yao hawabadiliki ni kudili nao Kwa njia youote ila Kwa amani na kisheria kwani hawa wamezoea kushina Kwa kumwaga damu nio maana wanatumia polisi kuumiza watu ila mungu Yuko kama alivyo wakomboa waisiraeli ktk mikono ya farao ndivyo ataikomboaa Tanzania ktk mikono ya farao ccm na utawala wake ee mungu tausaidie
Sikio la kufa halisikii dawa Ngoma ikivumaa Sana itapasukaa Lissu unaelekea kupasukaa
Kama na wewe ni mhusika wa jambo hili hutosalimika jipangeni sawa sawa 😂😂😂😂
Unaye Pinga Hotuba Ya Tundu Lisu Na Wewe Wa Toto Wako Waka Uwawe Bila Makosa Mabaya Na Magonjwa Yawafuate Kabisa
Ikiwa hii itakuwa kweli, nasi laini yangu ya tigo nitaichoma kwenye taniri mpaka iwe majivu. Kihindi zaidi.
Mheshimiwa kama kesi iko mahakamani busara ungekaa kimya kusubiri kusikilizwa.
😭😭😭😭😭😭😭HAKI HUINUA TAIFA NGOJA WAENDELEE KUJIITA KIZIWI ASANTE YESU 😭😭😭😭😭😭
Jamani hapa Duniani hata kama unacheo kikubwa Cha namna gani usifanyie mtu mabaya
asante mungu kwa yote haya tunakutakia maisha malefu tundu lissu nakuelewaga sana
mm nilishasema ccm ni mashetani pia kama magufur kwer aliusika bass namchukia sana
Mungu akupiganie upate haki yako na familia yako irudi tanzania
Tukatae tigo. TIGO MUST GO !!
Kuanzia sasa sitaki tena namba za simu za tigo
Hii kazini
Tundu Lissu has mental problem and a pathological liar. He needs help. He blames the late Magufuli, and convicted him for shooting him, without a shred of evidence. Magufuli was a President and a Chief of defence, if the late Magufuli wanted to kill him, he would have picked an experience army officer who would have used only one bullet and not 16 bullets
Tundu Lissu ni shetani mkubwa asiyekuwa na dini. Ana chuki mpaka zina chukiza .Hajuwi kuwa Hayati Magufuli alikuwa mpenzi wa watanzania wengi. Waliomuchukia ni mafisadi tena sio wapipiga kura. Wenye fedha za wizi sio wapiga kura. Hawana wakati wa kupoteza kujipanga na kupiga kura. Kumutusi Hayati Magufuli ni kuwatusi watanzania wengi wanao muenzi. Hii itawagharimu Chadema
MWENZAO YUDA ALIWAULZA HAPA
Akasema, Ni nini mtakachonipa, nami nitamsaliti kwenu? Wakampimia vipande thelathini vya fedha. Mathayo 26:15
MKWEL ATAUAWA LKN UKWEL HAUF, saa imefka ya kujua yafchwa kwa miaka 7
Kibiblia no. 7 n USHND❤❤
kwenye siasa hakuna mauwaji ni kutoa uchafu
kwa kifaransa wanasema
EN POLITIQUE ON NE TUE PAS MAIS ON ELIMINE LES OBSTACLES
Hivi Driver wa Tundu Lissu yuko wapi atuambie ukweli? MAANA YEYE NDIYE WITNESS NUMBER ONE!
Watanzania kuweni makini. Nchi za Magharibi ndiyo Wafadhali wao wakuu.
Katika kitu ambacho si amini kimoja wapo ndio hichi, Wanasheria wa kimataifa kwa kesi za Tz.Hapana kitu hapa,huyo mkeo anaogopa kurudi Tz jiongeze watu wanakusaidia kazi huko.. Wewe lia na mama Abdul....CCM oyeeee
Tuko kwenye vita ya kiuchumi na ndio ya HATARI zaidi. Yaani nyie mazezeta mnadhani hawa mabeberu wanafurahi kutuona tunapiga hatua kimaendeleo? Na hili dudumizi ndio linalotumiwa kutaka kuivunja amani Tanzania. Hekima na Busara!!!
Si Tundu lissu tu hata PROFFERSSOR ASSAD CAG ALIFANYIWA UNYAMA MKUBWA SANA NA MAGUFULI
Sibariki walichokufanyia ila Ukimaliza kukamata ndege zetu uende ukale bata huko huko kwenu "ULAYA "
Mimi sina chama ila napenda ki hongozi Bora mkiangalia Aya mambo Kwa jicho la tatu Toka mjomba wa chato mtagundua kilichopo
Lissu ushashindwa mara mbili kupata uraisi waachie na wengine wagombe achakujifanya kuongea yaliyopita haitakusaidia kitu
Lissu alizuia kuwashitaki balick wa mgodini pia alituchongea ndege yetu ikazuiliwa je huyu mtu anatufaa kweli mana yeye hata kitu kibaya anauwezo wa kuongea kikawa kizuri
Nakukubali mh. Tundu Antipas LISSU KAZIA KAMBA HAPOHAPO
Kwa hiyo kama nchi tumetekwa Genge lisilojulikana miongoni mwetu?
Yoote upo sawa lakin hapo kuhamasisha ndege zetu zikamatwe, umekosea hio ni pesa ya wananch walipa kodi, sio za magufuli sio za samia
Alie taka mkuu kukutanguliza katangulia yeye hata walio baki nao lazima wata ajibshwa tu,akina makonda na sabaya
jmni serikali wamlipe tuu mtu wa watu pesa yake. itakuwa imetenda haki. wasimfanye awe na uchungu namna hii mtu huyu jmni
Kuna sili duniani matendo ya gizani siku ikifika yanatoka nje huenda mengi ya gizani yataendelea kujulikana mungu hachezewi wanaofanya matendo haya wanaenda makanisani na misikitini kumdhihaki mungu jiandaeni kwa malipo mengi yatadhilika na kila anaehusika hata yanayofanyika sasa siku yatakuwa hadharani kila anaefanya atakuja kulipia uovu wanaoufanya sasa
Hizo ndege zinajenga uchumi wa nchi kitendo chochote cha kukamata ndege undhoofifisha uchumi wa nchi utakuwa unawakomoa watanzania siyo wale unaodhani walikuumiza pambana na hao waliokutendea maovu usipambane na umma wa watanzania mimi binafsi niliumia sana kwa tukio hilo angalia njia sahihi ya kupambana .
SERIKALI KUMFUATILIA MTU SIO DHAMBI...ISSUE NI KUTHIBITISHA KATI YA KUFUATILIWA NA KUSHAMBILIWA MAANA NI VITU VIWILI TOFAUTI...
Huwa napata ukakasi kidogo yani mtu anadiliki kuwa tayali kupoteza maisha ya mwanadam mwenzio kisa mamlaka ya kidunia dunia ambayo wapo waliyo iyacha
Waliompinga magufuri katika vita yake ya uchumi siwezi kuwaunga mkono
Mungu aendelee kukulinda na akupe mafanikio katika mapambano yako.
Kama Tigo imehusika katika uovu huo basi tuhamasishane kuondoka katika mtandao huo. Watapata Hasara kubwa.
Hii ni namna nzuri ya mgomo.
Wenye nia njema,na wapenda Amani duniani na Haki za binaadam watupe laina za tigo ama wazivunje wasiiwezeshe tigo
Mbarikiwa alisema ogopa mungu na teknolojia nyie hatahamuonikamayule nijicuola boc wadunia mnamzarau namkotayari kumsikiliza tapeli mwamposa
TUNDU LISU YESU ALIKUOKOA NA KIFO.ACHANA NA MAKESI ALIYEKUOKOA BADO YUKO NA ANAFANYA KAZI KULIKO WANADAMU WOTE.
sasa kama unasema kwa uhakika tigo walimpa mawasiliano yako Magufuli ..unataka ushahidi gani mwingine 🤫
Sema tuna laumu marekani tu ila chanzo sisi wenyewe hatupeani haki , marekani ilijipata ikatoa fursa ya kuaminiwa😂😂 si mwacheni mmarekani kisiasa jamani😂😂ndiyo mabosi wa dunia😢😢
SiKUWAHI KUMKUBALI MAGU WENGI WALINIONA NINA CHUKI NAE BINAFSI LAKINI SASA WATANIELEWA KUWA NILIWATANGULIA KIUELEDI.
Bro yaani ,uombee ndege zikamatwe,
Ok kama waliomuua mzee kibao walijitambulisha na wakamchukua na watu waliowaona
Mheshimiwa tunaomba hiyo kesi ifanyike hapa kwetu Tanzania. Tukio hili lilifanyika nchini basi hakuna budi kesi ifanyike nchini.
Mzee unapoteza muda shida unataka huruma we acha je Tanzania ni yako
Mwenyezi mungu mkubwa sana ,kwa kweli nchi yetu amani ya ke ni ya mashaka sana ,wapinzani wanakuwa km maadui ,watu hawana silaha wala jeshi wala hawajakimbilia porini ,kwa kweli ,
Tigo watuambie wamelipwa kiasi gani ili kuweka rehani maisha ya mteja wao ..
Mara mbowe anahusika lisu kupigwa lisasi, mara chadema wanatekana, sasa mungu kaanza kuwaumbua. Hata yanayoendelea sasaiv yatajulikana tu
MAKUFULI ALIKUWA MNYAMA SANA LAKINI TUKSSMINISHWA KUWA ALIKUWA NI MTETEZI WA WANYONGE.
Mmh mbona imekuwa shida tena mpaka tigo wapo sijaelewa unazungumzia tigo wanamna gani mana kuna tigo aina mbili.kuna wale wanao kamata pikpik na kunawqle wwnao operlett mtandqo sasa niwapi hao?
Kumbe nyie tigo ni wapumbavu tu ndie mliehusika kutaka kumuua tundu lissu hamfai kabisa na mtandao wenu sitaki kutumia tana tunamuomba mungi abadilishe mawazo ya watanzania walikatae limtandao lenu kwa jina la yesu kuanzia Sasa maneno haya yakatende kazi lissu safi sana huyo ni mungi anawafichua na bado wataumbuka sana