HIZI HAPA TAKWIMU ZA AUGUSTINE OKEJEPHA MKATA UMEME MPYA WA SIMBA SC

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 чер 2024
  • Simba Pro tunafahamu kua Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustin Okejepha kutoka Rivers United ya Nigeria na kwa kulitambua hilo tumeona tuje na Takwimu zake akiwa na Rivers United msimu uliopita katika kombe la Shirikisho barani Afrika
    Dullah anatupitisha katika Takwimu hizo zinazopima ubora wake akiwa dimbani
    Kama unataka kuungwa katika group letu la Simba Pro tucheki kwa namba 0626629644 tuweze kukuunga pamoja na mashabiki wengine wa Simba
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 25

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 20 днів тому

    Nafurahia sana usajili unaofanywa na viongozi. Simba inatengenezwa timu ya ushindani ya muda mrefu

  • @user-vv8js4cz2h
    @user-vv8js4cz2h 26 днів тому

    Naomba kujiunga na Simba pro

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k 27 днів тому

    Naomba kujiunga na group lá Simba pro

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 27 днів тому

    Mtafika mbali Sana, mko vizuri

  • @joshuamtagwa347
    @joshuamtagwa347 27 днів тому +1

    Hakuna mchezaji asie na weakness ya kimchezo na hiyo ndiyo kazi ya kocha sasa kuzirekebisha kasoro za mchezaji!

  • @LeonardJustice-v1g
    @LeonardJustice-v1g 24 дні тому

    Niunge na Simba proo

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 27 днів тому +1

    Huyo akejepha na babacar sarr nani bora zaidi

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt 27 днів тому

    Naombakujiungansgropyasimba

  • @boazmpazi260
    @boazmpazi260 21 день тому

    Kwnn mnaomba hela kujiungabna hilo group?

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO 27 днів тому

    Good signing 👍

  • @SeifKarata-fr7dv
    @SeifKarata-fr7dv 25 днів тому

    Huyo sio mchezaji hata hapa tunao wengi mfano yule kiungo wa ihefu nashon bonge la kiungo mkabaji sijui mnahangaika nn

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 27 днів тому

    Yupo vizuri

  • @hamisiabdallah1337
    @hamisiabdallah1337 27 днів тому

    Naomba uniunge kwenye grop

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 25 днів тому

    Wote bora

  • @agreymwanga
    @agreymwanga 26 днів тому

    Yuko vizuri kwa maelezo hayo lkn mpira sio mchezo wa maneno, ni wahadharani hivyo tusubiri

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 27 днів тому

    Hela zake wamsajiri Kapumbu na huyu miaka 20 tatuteni Watanzania au Wageni wanaocheza hapa TZ walioko Ihefu, Singida au Azam kuliko huyu sogo

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 27 днів тому

    Big disaappointment! Huyu atamshinda Kalabaha wa Simba yule Mzazibar? Achene bwana huyu hakuna kitu.

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 27 днів тому +1

    Kwa data hizo huyo mnigeria hafai anaporwa mipira mara nyingi tutafungwa sana jamani. Maana yake hawezi kuhold vizuri kati. Huyo ni jipu tafuteni mwingine kama fraga vile.

  • @rashiditekway3242
    @rashiditekway3242 27 днів тому

    Labda namb8

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 27 днів тому

    Yeye na kapumbu nani bora?

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 27 днів тому

    Hapa Simba wana fail. Hawa ndiyo wachezaji ambao Rage anasema utawakuta hata Manzese. Unafikiri watanzania kama hao hawapo?