MIRAJI | YANGA VS AUGSBURG NI ZAID YA MECHI | TUACHE UTANI HUYU KIUNGO TUTAMUIMBA SANA SIMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 74

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Місяць тому

    Nakukubali sana Miraji, ila vita kwa yanga na simba kupigana ni kawaida

  • @user-rr9kv1cu7m
    @user-rr9kv1cu7m Місяць тому

    Hongreni sana ,mmetisha

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому +9

    Yanga tunaelekea pazuri! Gamond alisema juzi, IT IS NOT ABOUT RESULTS,TS ABOUT TESTING OURSELVES AND THIS THE BEST CHANCE!

  • @AbdulkareemKijarambe
    @AbdulkareemKijarambe Місяць тому +5

    Kaka miraji wew mtu wa football ⚽ sn mungu akusimamie San ndg yng

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Місяць тому +3

    Yan Miraji Na Chagamba Uwaga Mnakiwasha Xana Yan🔥🔥🔥🔥

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 Місяць тому +1

    Ila miraji bana badala ya Valentino Nouma yeye anakwambia eti *hakuna noma*😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-iy6mt6hd8y
    @user-iy6mt6hd8y Місяць тому +6

    Milaji na chagamba mko vizuri saruti kwenu

  • @charlesmtamala4912
    @charlesmtamala4912 Місяць тому

    Mwanangu miraji maramoja nakuona mbali sana one day yes 🙏🙏👋👋👋👋

  • @AfricaBeauty-Vn1
    @AfricaBeauty-Vn1 Місяць тому +23

    Wa kwanza mimi Naitaji like zangu

  • @abtway66
    @abtway66 Місяць тому +1

    Miraji unajuwa sana aisee 🙌 chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Місяць тому +1

    Miraji umezungumza kwa uzuri mkubwa sana Nakubari umezungumza kwa kujua mpira

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Місяць тому +1

    Miraji kwer Simba tunapigwa vita sana ila najua mungu atuingilie kati tutashinda tu

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 Місяць тому +3

    Ahmed aly leo kaomba mapumziko aangalie raha za yanga

  • @taufiqis-haq536
    @taufiqis-haq536 Місяць тому +10

    Mungu ajaalie Wote wawake tuwaimbe Wote kwa manufaa ya Taifa 🙏

  • @moricemwamba4034
    @moricemwamba4034 Місяць тому +2

    Miraji miraji

  • @ZenaMkali
    @ZenaMkali Місяць тому +3

    ❤❤❤nawapenda bure

  • @MzeeMzee-lv7sv
    @MzeeMzee-lv7sv Місяць тому

    Chagamba chagamba mdogo wangu wabega hayo ata maiming haujaanza Hali hio ukimaliza Mai my yashashuka

  • @SadiRashidiusiki
    @SadiRashidiusiki Місяць тому

    Mwenyezi mungu awajalie wapendwa

  • @MchomvuMasoud
    @MchomvuMasoud Місяць тому +1

    M/mungu akujalieni kwa hilo kaka ila nilitamani kua miongoni mwenu

  • @allenngole9813
    @allenngole9813 Місяць тому

    Da❤😢

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Місяць тому +18

    Ila Mimi nilisikia ety awesu awesu ni mwananchii japo sitaki kubishana na miraji 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Місяць тому +8

      Izo idea za zamani mpira ni kazi yake mtu anaangalia maslahi mkude ni timu gani na leo anachezea wapi kina ajib walikua timu gani na walicheza timu gani

    • @malietamaliet
      @malietamaliet Місяць тому +3

      @@fahadfaraj6474 umenielewabnilichomanisha ama umekurupuka tu ndugu angu 🙄🙄🙄

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 Місяць тому

      Hana D mbili hawezi kuelewa​@@malietamaliet

    • @kheirnahoda4099
      @kheirnahoda4099 Місяць тому +2

      Awesu hata baba yake ni mnyama

    • @andrewdaudindullu1749
      @andrewdaudindullu1749 Місяць тому +1

      Awesu kuanzia mama na Baba wote king of the jungle na Baba na mwana walikuwa wanacheza mawindo timu moja.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Місяць тому +4

    Ila Bro Miraji timu kama simba,sio timu ya kutengeza kikosi tuseme ule ukweli! Arsenal tangia alipoondoka Prof Wenger,till today wamo kwenye PROJECT,vijana! Hawajauona uBingwa for how long?! Juzi tu ndo waliiona CL for twelve yrs! Ukiangalia waliochukua uBingwa Uingereza, walikua hawasajili MAKINDA! MAKINDA hutoka kwenye academies! Priority ya hizo team ni kombe la PL,Top 4( ili wacheze CL) na CL yenyewe! Hizo team hawajijengi! Sasa Clubs kama Simba na Yanga Sasa hivi AZamu in the mix,SIO clubs za kujijenga, ni clubs za kupigania uBingwa na CAFCL!! Azam ikishaonja CAFCL,unafikiri watataka kucheza shirikisho tena?! No way! Wakati simba 'inajijenga' YANGA na Azam wanazidi kujiimarisha! That means Simba itastruggle kurudi juu..na hii inamaanisha tutakua na two horse race kwa misimu mingi,ie Yanga n AZAM

  • @Mangunhabi
    @Mangunhabi Місяць тому +2

    Miraji uko na kitu utafika mbali mwamba

  • @FloraadrianiAdriani
    @FloraadrianiAdriani Місяць тому +1

    Mngu akulinde milaji

  • @kelvinalfayo3395
    @kelvinalfayo3395 Місяць тому

    Habari ya Kibu mmeimeza

  • @MrMatikiti_kudondoka
    @MrMatikiti_kudondoka Місяць тому

    miraj mnafik juz tu alikuw upand wa magoma leo et yanga duuuuh punguz usinich utapakw ya naz

  • @mbwakalambwa
    @mbwakalambwa Місяць тому

    Oya mnajuwa sana

  • @ChristianTubi
    @ChristianTubi Місяць тому

    Chagamba hilo bega lako huwa lina pitia taabu mpka kumaliza kipindi, Mwambie miraji Apunguze kukupiga bwana

  • @twalibkibiriti8990
    @twalibkibiriti8990 Місяць тому

    Moh alibeba misimu mi4 Yanga haikuwa na pesa,, na Azam Fc viongozi wao ni mashabiki wa Simba

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Місяць тому

    SIMBA ILICHEZA NA SEVILA NYINYI MAPAPA....

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому

    Ktk watangazaji wa michezo chagamba nakupenda huna vichocheo upo safi

  • @Aziznachama
    @Aziznachama Місяць тому +1

    Miraji na mabega ya chagamba ni dam dam.

  • @metsonjonas551
    @metsonjonas551 Місяць тому +1

    Miraji wewe sio mchambuzi wa mchongo kama wengine

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Місяць тому +4

    Jangwani tuna tarajia kuona wiki moja ndani ya siku moja g acha huruma😢😢😢😢

  • @gracemtango
    @gracemtango Місяць тому +3

    Miraji naomba nitumie no yako ninavitu nataka tuzungumze vya mpira.

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 Місяць тому

    Leo unasema umesajili na mashabiki mmeungana isije baadaye mkasema yanga tunanunua mechi maana kawaida yenu

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Місяць тому +1

    Awesu Ally Awesu mali

  • @allysunday8614
    @allysunday8614 Місяць тому +1

    Watani wanawapiga sana shoti.....wanatrend sana kupitia Simba..

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Місяць тому

    Yote yasemwe tuwe tunatazama takwimu na kupima mizani kati ya Yanga na Augsburg. Hiyo timu imecheza mechi za ligi 34, imeshinda 9. Imetoa sare 10 na imefungwa mechi 15 ikifunga magoli 50 na kufungwa goli 60 hivyo ikiwa na deni la magoli 10. Nina uhakika Yanga atashinda mechi ya leo maana kapata kitonga.

  • @shigetemteremko7551
    @shigetemteremko7551 Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-cq3bq5rq3k
    @user-cq3bq5rq3k Місяць тому

    😊😊

  • @erickkaindoa8665
    @erickkaindoa8665 Місяць тому

    Jamaa unatakwimu sana

  • @user-gp7es3sg3k
    @user-gp7es3sg3k Місяць тому

    Milaji milaji bakisha maneno

  • @MathiasMzumbwe-yn2wc
    @MathiasMzumbwe-yn2wc Місяць тому

    Milaji nikuwa namkubali wakati anaongea kishabiki sio kuchambua michezo

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg Місяць тому

    Yanga isipo chukua CAF msim huu nahama nchi

  • @chricjoseph1340
    @chricjoseph1340 Місяць тому +1

    Ila miraji eti bruno Fernandez 😂

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga Місяць тому

    Miraji a.k.a Jobe wa mchongo huwa mkweli

  • @KhamisMgaya
    @KhamisMgaya Місяць тому

    Awesu mbona. Unalia hamna nanawaaaa😂

  • @paulmashimba60
    @paulmashimba60 Місяць тому

    Saa nne mchana😂😂😂😂 ila chagamba

  • @metsonjonas551
    @metsonjonas551 Місяць тому

    14:34 we sio mchambuzi wa mchongo kama wengine

  • @noraskobagule
    @noraskobagule Місяць тому

    Miraji ni wakwanza kucfia mchezaji pia atakuwa wa kwanza kuponda

  • @awazmudricbatamwak119
    @awazmudricbatamwak119 Місяць тому

    M shabiki wa yanga ila na kukubali sana

  • @user-sj9ob8vb3s
    @user-sj9ob8vb3s Місяць тому

    brother miraj siku zotemm huwa nakuku bari unajuwa mpira wewe sio mna fki wachambuzi wengu huwa wana weka mapenzi mere kuriko uharisia mno

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k Місяць тому

    Awesu mali ya yanga

  • @ibrakulwa2737
    @ibrakulwa2737 Місяць тому

    Acha kuchonga,mpira utaongea

  • @Zakayommkmusictz-mq3m
    @Zakayommkmusictz-mq3m Місяць тому

    Kaka chagamba tupe Namba ya Whatsapp tutowe kidogo tuliye jaliwa na mungu sisi vijana

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Місяць тому

    Miraji tupe habari za kibu vipi mmesha malizana nae au viipi ??

  • @SaidSeleman-wz6gh
    @SaidSeleman-wz6gh Місяць тому

    hiyo sehem chagamba ndo tunaipenda 😂😂😂😂😂

  • @andrewdaudindullu1749
    @andrewdaudindullu1749 Місяць тому

    Kibu kapata dili Marekani ?

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Місяць тому +1

    Utani lazima undeleee

  • @enockabumba7513
    @enockabumba7513 Місяць тому +1

    Punguza matangazo bwana wengine tunatumia data

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Місяць тому

    Kuna huyu dogo valentine mashaka nae ni mzuri huyo namuona mbali sana akijitambua

  • @NaomiInsha
    @NaomiInsha Місяць тому

    Unaongea ukwer kabisa