Izo idea za zamani mpira ni kazi yake mtu anaangalia maslahi mkude ni timu gani na leo anachezea wapi kina ajib walikua timu gani na walicheza timu gani
Ila Bro Miraji timu kama simba,sio timu ya kutengeza kikosi tuseme ule ukweli! Arsenal tangia alipoondoka Prof Wenger,till today wamo kwenye PROJECT,vijana! Hawajauona uBingwa for how long?! Juzi tu ndo waliiona CL for twelve yrs! Ukiangalia waliochukua uBingwa Uingereza, walikua hawasajili MAKINDA! MAKINDA hutoka kwenye academies! Priority ya hizo team ni kombe la PL,Top 4( ili wacheze CL) na CL yenyewe! Hizo team hawajijengi! Sasa Clubs kama Simba na Yanga Sasa hivi AZamu in the mix,SIO clubs za kujijenga, ni clubs za kupigania uBingwa na CAFCL!! Azam ikishaonja CAFCL,unafikiri watataka kucheza shirikisho tena?! No way! Wakati simba 'inajijenga' YANGA na Azam wanazidi kujiimarisha! That means Simba itastruggle kurudi juu..na hii inamaanisha tutakua na two horse race kwa misimu mingi,ie Yanga n AZAM
Yote yasemwe tuwe tunatazama takwimu na kupima mizani kati ya Yanga na Augsburg. Hiyo timu imecheza mechi za ligi 34, imeshinda 9. Imetoa sare 10 na imefungwa mechi 15 ikifunga magoli 50 na kufungwa goli 60 hivyo ikiwa na deni la magoli 10. Nina uhakika Yanga atashinda mechi ya leo maana kapata kitonga.
Nakukubali sana Miraji, ila vita kwa yanga na simba kupigana ni kawaida
Hongreni sana ,mmetisha
Yanga tunaelekea pazuri! Gamond alisema juzi, IT IS NOT ABOUT RESULTS,TS ABOUT TESTING OURSELVES AND THIS THE BEST CHANCE!
Kaka miraji wew mtu wa football ⚽ sn mungu akusimamie San ndg yng
Yan Miraji Na Chagamba Uwaga Mnakiwasha Xana Yan🔥🔥🔥🔥
Ila miraji bana badala ya Valentino Nouma yeye anakwambia eti *hakuna noma*😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Milaji na chagamba mko vizuri saruti kwenu
Mwanangu miraji maramoja nakuona mbali sana one day yes 🙏🙏👋👋👋👋
Wa kwanza mimi Naitaji like zangu
Miraji unajuwa sana aisee 🙌 chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Miraji umezungumza kwa uzuri mkubwa sana Nakubari umezungumza kwa kujua mpira
Miraji kwer Simba tunapigwa vita sana ila najua mungu atuingilie kati tutashinda tu
Ahmed aly leo kaomba mapumziko aangalie raha za yanga
Mungu ajaalie Wote wawake tuwaimbe Wote kwa manufaa ya Taifa 🙏
Miraji miraji
❤❤❤nawapenda bure
Chagamba chagamba mdogo wangu wabega hayo ata maiming haujaanza Hali hio ukimaliza Mai my yashashuka
Mwenyezi mungu awajalie wapendwa
M/mungu akujalieni kwa hilo kaka ila nilitamani kua miongoni mwenu
Da❤😢
Ila Mimi nilisikia ety awesu awesu ni mwananchii japo sitaki kubishana na miraji 😂😂
Izo idea za zamani mpira ni kazi yake mtu anaangalia maslahi mkude ni timu gani na leo anachezea wapi kina ajib walikua timu gani na walicheza timu gani
@@fahadfaraj6474 umenielewabnilichomanisha ama umekurupuka tu ndugu angu 🙄🙄🙄
Hana D mbili hawezi kuelewa@@malietamaliet
Awesu hata baba yake ni mnyama
Awesu kuanzia mama na Baba wote king of the jungle na Baba na mwana walikuwa wanacheza mawindo timu moja.
Ila Bro Miraji timu kama simba,sio timu ya kutengeza kikosi tuseme ule ukweli! Arsenal tangia alipoondoka Prof Wenger,till today wamo kwenye PROJECT,vijana! Hawajauona uBingwa for how long?! Juzi tu ndo waliiona CL for twelve yrs! Ukiangalia waliochukua uBingwa Uingereza, walikua hawasajili MAKINDA! MAKINDA hutoka kwenye academies! Priority ya hizo team ni kombe la PL,Top 4( ili wacheze CL) na CL yenyewe! Hizo team hawajijengi! Sasa Clubs kama Simba na Yanga Sasa hivi AZamu in the mix,SIO clubs za kujijenga, ni clubs za kupigania uBingwa na CAFCL!! Azam ikishaonja CAFCL,unafikiri watataka kucheza shirikisho tena?! No way! Wakati simba 'inajijenga' YANGA na Azam wanazidi kujiimarisha! That means Simba itastruggle kurudi juu..na hii inamaanisha tutakua na two horse race kwa misimu mingi,ie Yanga n AZAM
Miraji uko na kitu utafika mbali mwamba
Mngu akulinde milaji
Habari ya Kibu mmeimeza
miraj mnafik juz tu alikuw upand wa magoma leo et yanga duuuuh punguz usinich utapakw ya naz
Oya mnajuwa sana
Chagamba hilo bega lako huwa lina pitia taabu mpka kumaliza kipindi, Mwambie miraji Apunguze kukupiga bwana
Moh alibeba misimu mi4 Yanga haikuwa na pesa,, na Azam Fc viongozi wao ni mashabiki wa Simba
SIMBA ILICHEZA NA SEVILA NYINYI MAPAPA....
Ktk watangazaji wa michezo chagamba nakupenda huna vichocheo upo safi
Miraji na mabega ya chagamba ni dam dam.
Amin kaka
Miraji wewe sio mchambuzi wa mchongo kama wengine
Jangwani tuna tarajia kuona wiki moja ndani ya siku moja g acha huruma😢😢😢😢
Miraji naomba nitumie no yako ninavitu nataka tuzungumze vya mpira.
Leo unasema umesajili na mashabiki mmeungana isije baadaye mkasema yanga tunanunua mechi maana kawaida yenu
Awesu Ally Awesu mali
Watani wanawapiga sana shoti.....wanatrend sana kupitia Simba..
Yote yasemwe tuwe tunatazama takwimu na kupima mizani kati ya Yanga na Augsburg. Hiyo timu imecheza mechi za ligi 34, imeshinda 9. Imetoa sare 10 na imefungwa mechi 15 ikifunga magoli 50 na kufungwa goli 60 hivyo ikiwa na deni la magoli 10. Nina uhakika Yanga atashinda mechi ya leo maana kapata kitonga.
🎉🎉🎉🎉
😊😊
Jamaa unatakwimu sana
Milaji milaji bakisha maneno
Milaji nikuwa namkubali wakati anaongea kishabiki sio kuchambua michezo
Yanga isipo chukua CAF msim huu nahama nchi
Ila miraji eti bruno Fernandez 😂
Miraji a.k.a Jobe wa mchongo huwa mkweli
Awesu mbona. Unalia hamna nanawaaaa😂
Saa nne mchana😂😂😂😂 ila chagamba
14:34 we sio mchambuzi wa mchongo kama wengine
Miraji ni wakwanza kucfia mchezaji pia atakuwa wa kwanza kuponda
M shabiki wa yanga ila na kukubali sana
brother miraj siku zotemm huwa nakuku bari unajuwa mpira wewe sio mna fki wachambuzi wengu huwa wana weka mapenzi mere kuriko uharisia mno
Awesu mali ya yanga
Acha kuchonga,mpira utaongea
Kaka chagamba tupe Namba ya Whatsapp tutowe kidogo tuliye jaliwa na mungu sisi vijana
Miraji tupe habari za kibu vipi mmesha malizana nae au viipi ??
hiyo sehem chagamba ndo tunaipenda 😂😂😂😂😂
Achana na kukaa kweny sofa😅
Kibu kapata dili Marekani ?
Utani lazima undeleee
Punguza matangazo bwana wengine tunatumia data
Kuna huyu dogo valentine mashaka nae ni mzuri huyo namuona mbali sana akijitambua
Unaongea ukwer kabisa