Miaka yote hizo ranking za timu hakuna mchambuzi yoyotę ameweza kufafanua madaraja ya timu kama huyu mwamba Mbwaduke, best & top mchambuzi na analyst TZ Bravo Bro!
Dah Simba tunaichukulia poa sana Tanzania haipewi heshima yake inayostahili, najaribu kuwaza kama Yanga ndio ingekuwa inashika nafasi ya sita ingekuwaje nchini
Anachotufundisha huyu jamaa ni kwamba fanya kazi yako kwa weledi, kila kitu kitakuwa sawa, hajipendekezi kwa giant yeyote lakini watu wa timu zote wanavutiwa naye, guys we need to keep real always. Thanks brother
Brother Mbwaduke, uko vizuri sana ktk uchambuzi na kufundisha. Hata kama mtu kilaza kiasi gani, kazima ataelewa tu. Na unatiririka vizuri sana sana.... Big up...!
Wape elimu wakina hans rafael maana wanapenda timu yao ya wala miogo wanaongea pumba tu wote wababaishaji tu utaona sura zimewakunja kama wanajua vile kongole mbwaduke
Hii video naomba mzee Mugabe wa Simba yule wakuitwa Ngungu boy asiione maana ataibeba hii nzima nzima Kama ndio mafanikio makubwa zaidi ya uongozi wake.
Mbwaduke mwambie jemedari akusaidie kidogo kutoa hiyo elimu kwa wapenda michezo sio kila siku kuongea Majungu tu na kutafuta umaarufu kwa njia ya kumchafua Manara na rais wa timu ya utopolo.
Yan leo bwan dah ndo nimeelewa ssa mfumo wakutupandisha juu yan hizi Tim zetu mbili simba yanga vip zinapiga hatua ubarikiwe san mchambuz wetu kipenz aiseee
Sasa hizi kelele zote za yanga wanazitoa kwenye vyanzo gani vya habari utasikia yanga ni team tishio Africa takwimu za Caf hizo hapo nyinyi tuleteeni takwimu zenu za CCM
Tishio na ubora ni vitu tofauti. Simba amepata ubora kwasababu ali maintain kwa miaka takribani mitano anaingia robo ndio maana pointi zake zimekuwa nyingi. Ila Yanga ameanza kuwa tishio katika misimu miwili tu lakini kwa kishindo.
Miaka yote hizo ranking za timu hakuna mchambuzi yoyotę ameweza kufafanua madaraja ya timu kama huyu mwamba Mbwaduke, best & top mchambuzi na analyst TZ Bravo Bro!
What a magic analysis!
King of mathematics 👑🇫🇯
Kaka nionavyo Ni kipaji mtu anazaliwa navyo ukiongeza na elimu na ufuatiliaji wa Mambo yanavyoenda
Hata kama una kichwa kama cha Jemedari utaelewa tu
Yaani huyu jamaa alichelewa wapi? Azam wapewe maua yao maana ndio wamemwibua na wakampa ajira ya uchambuzi kabisa
Asante mbwaduke wewe ndio mchanbuzi Bora,wengine wote ni ushabiki tu unawasumbua,bravo sana
Hongera sana mwamba kwa ufafanuzi mzuri ulio bora,ambaye hata elewa basi anaubishi wa asili.❤️❤️❤️❤️
Mchambuzi Bora Tanzania....wengine ni blabla na hawana fact....big up mbwaduke.
Dah Simba tunaichukulia poa sana Tanzania haipewi heshima yake inayostahili, najaribu kuwaza kama Yanga ndio ingekuwa inashika nafasi ya sita ingekuwaje nchini
Mbwanduke, nimekupima muda sasa. Wewe ni mchambuzi bora sana wa mpira nchini Tanzania.
Nakushukuru sana nilikua sielewi uto wako mbali sana wanalakujifunza kwa simba
Nakukubali sana, hakuna mchambuzi kama wewe Africa Mr Mbwaduke
Asante Kwa elimu hii muhimu. Upo vizuri sana.
Bravo kaka kwa kazi nzuri
Brother Mbwaduke,uko VEMA SANA Mkuu 🤜🤛
Upo vizur sana kaka yani mtu asipokuelewa atakuwa chizi huyo Asante sana
Hongera Mbwaduke kwa uchambuzi bora
Huyu jamaa nimwamba anajua mashaallah
Anachotufundisha huyu jamaa ni kwamba fanya kazi yako kwa weledi, kila kitu kitakuwa sawa, hajipendekezi kwa giant yeyote lakini watu wa timu zote wanavutiwa naye, guys we need to keep real always. Thanks brother
Na hicho ndicho kinachowashinda wachambuzi wengi
Kumbe wakisajili vizur kuna uwezekano wa kucheza nusu au hata fainali
Enyewe umejaa mathematics Kwa head
Ufafanuz mzur sana,kumbe huw ni hiv leo ndonimeelewa
Mchambuzi Bora kabisa tz tunajivunia
Kaka upo vizuri
Simba nguvu moja👍👊
Mbwaduke huna baya pamoja Sana😁😁😁❤
kama kuna mtu mbishi abishe hiyo ndio simbaaaaaaa nguvu moyaaaaaaaa waoooo
😂😂😂
Nakupongeza sana.
Unaeleweka vizuri
Jamaa uko vizuri sana kuliko wachambuzi wengine
Brother Mbwaduke, uko vizuri sana ktk uchambuzi na kufundisha. Hata kama mtu kilaza kiasi gani, kazima ataelewa tu.
Na unatiririka vizuri sana sana.... Big up...!
Best of the best mbwaduoe
Katika uchambuzi wa soka uko vizuri Sana kama kuna Kura zinapigwa Namba moja ni yako hakuna ubishi
Aisee huyu jamaa yuko vizuri kwenye data
Jamaa yuko vizuri sana kwenye data, kama huna data unapiga makelele tu
Daaaaah jama unajua namna ya kuuzungumzia mpira kwa undani
Tunaiombea Simba msimu ujao ichukue kombe la Shirikisho la CAF
Labda laudongo
Hatari sana timu zinakimbiza saana aiseee
Hongera Mzee wa data
Hiiii kwel next level
enjoy uchambuzi Bora from mbwaduke next level
Anajua na anajua tena na tena
Big up man
Baba we ni mkali tz
Kaka ongera
Kwahiyo hiyo inasaidia nini kwamba watacheza klabu bingwa au
Mwamba nakubari
Simbaaaaaa
Chama hakienda yanga hatakuwa ameshuka kiwango
🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Huyu huwa hawampi bahasha maana akina fulani na radio yao hadi aibu wanavyoipolomoshea simba mmhh
Umeeleweka mwamba wa takwimu
Mchambuzi no 1 Tanzania
Wape elimu wakina hans rafael maana wanapenda timu yao ya wala miogo wanaongea pumba tu wote wababaishaji tu utaona sura zimewakunja kama wanajua vile kongole mbwaduke
wewe ni mwalimu
Safi mtaalamu
Hii video naomba mzee Mugabe wa Simba yule wakuitwa Ngungu boy asiione maana ataibeba hii nzima nzima Kama ndio mafanikio makubwa zaidi ya uongozi wake.
Mchambuzi wa viwango wape darasa wachambuzi waganganjaa wanaotualibia soka
Huyu jamaa bingwa wa data
waooo
Anachambua kama wazungu
Tueleze na kuhusu Superleague
MWALIMU BORA KABISA😀😀
Leo umeupiga mwing
Mbwaduke mwambie jemedari akusaidie kidogo kutoa hiyo elimu kwa wapenda michezo sio kila siku kuongea Majungu tu na kutafuta umaarufu kwa njia ya kumchafua Manara na rais wa timu ya utopolo.
Bingwa Yani mbaka wenye D, mbili wameelewa, hv uelewi kweli au unajifanyisha kuto kuelewa!?
Kuna watu watabisha na hapo
Aiseeeh.. wewe jamaa upo serious na kazi yako kiukweli
Unyamaaa
Inabidi upate zawadi ya mchanbuzi Bora,mpo utopolo acheni blabla.
Mwamba wewe unajua uchambuzi wa soka wengine mhmm wajifunze toka kwako.
Sasa wachambuzi wengine wanachambuaga nini haya hawana!!
Yan leo bwan dah ndo nimeelewa ssa mfumo wakutupandisha juu yan hizi Tim zetu mbili simba yanga vip zinapiga hatua ubarikiwe san mchambuz wetu kipenz aiseee
Pongezi kwako mtaalamu wa football analysis💪👏
Kwel wewe Ni mwalimu wa mpira
Big up,mbwaduke,big up simbaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwamba sana mbwaduke
Haya safari njema simba sie turiishia fenal kazi kwenu
Yes wewe kuitwa mchambuzi ni sawa kabisa wasaidie na wengine waelewe tofauti ya mchambuzi na mshabiki.Wasaffm si vibaya mkijifunza.
Alafu utasikia utopolo wanakuja na mkeka wao Yanga yapaa nafasi tatu mara tu baada ya mcheo wa ngao ya jamii😂😂😂😂
Ukikutana na timu kama Azam hata kama haina point utasema ni kibonde!!
Ndio mchambuzi bora tz
Nakufatilia toka berlin germany
Nimekuelewa vizuri Sana mwalimu wa Wachambuzi unatisha Mkuu
Sasa hizi kelele zote za yanga wanazitoa kwenye vyanzo gani vya habari utasikia yanga ni team tishio Africa takwimu za Caf hizo hapo nyinyi tuleteeni takwimu zenu za CCM
Tishio na ubora ni vitu tofauti. Simba amepata ubora kwasababu ali maintain kwa miaka takribani mitano anaingia robo ndio maana pointi zake zimekuwa nyingi.
Ila Yanga ameanza kuwa tishio katika misimu miwili tu lakini kwa kishindo.
Daah imebaki uchambuzi wa usajili tumalizie ❤❤❤
Nakubali sana mbwaduke nakufuatilia nikiwa Arusha✌️💯🔥🔥🔥
Wanatucheka kuishia robo mara nyingi kumbe kuna faida kubwa tumeipata
Jipangeni mkikutana na timu iliojipanga kama Azam unafikiri kazi itakuwa nyepesi?
I like way you explain. Nice stuff
Mbwaduke we ni bingwa wa wachambuzi
Hakika nimeelewa br
Wewe ni mwalimu bora
Shikamoo mbwaduke🔥🔥🔥🔥
Tiko pamoja mbwaduke
Du,uko vizuri