Waone sura zao 😂😂😂😂 zlivyo za ajabu. Hakuna ht mtu mmoja wa Yanga anaesapot upuuz wao na makolo tu maana kolo anadhan kuwa tutafanana nao ktk migogolo msahau
😂😂😂nilikuwa nasikia kuwa wazee ni wenye busara nyingi,tumeaminishwa hivy9 lkn sasa hawa sunche na kapeto wenye njaa kali mpaka kwenye kwapa zao, iwapi busara yao,hata hawana hoja ya msingi mpaka kuleta huu upumbavu wao, si bora hat kijana mweny umri wa miak 20 anaweza kuwa ba busar kuliko hawa au ni kweli wanavuta bang hat hao wanao wahoj hawa wazee wote ni ving'amuzi tu
Hao Wazee kama wameona wameshinda kesi waende wakaichukue Klabu mbona bado wapo uchochoroni aliyewapa ushindi aliamua hivyo makusudi ili hawa wazee wakanyongewe klabuni maana wamechoka na vituko vyao sasa kama WANAUME kweli waende klabuni. Kesho tu watu watakula hitima
Sura zao mbaya utafikiri wanakunywa shubiri. Vyuma vyenye njaa kali. Yanga hii ya raha 24/7 unakwenda kutafuta chokochoko!? Wanachokitaka watakipata.😊😊😊
Kwnn msiachane na yanga mkaenda kwny timu nyingine ruksa kwn ninyi mnaitaka yanga au yanga inawataka ninyi. Au niseme uongozi wayanga unawataka ninyi au ninyi mnautaka uongozi pale yanga
Sidhani kama Yanga kwa hatua waliopiga kimpira kama wanahitaji migogoro, Simba tumefanya usajiri imara kabisa ili tishindane na Yanga imara ,wazee acheni hayo mambo ,tunataka miaka 5 ijayo ama Yanga au Simba mojawapo achukue Ubingwa wa Africa.
Sijasikia tusi lolote toka kwa hawa wazee lkn naona lawama, matusi, dhihaka, masimango, mizodo, mipasho, mapovu, majasho, mzee Huyu alikuwa mahakamani na amemalizia kila kitu huko. (hukumu)
Hiyo rasimu ya mareke bisho ya Katiba ambayo Magoma alishiriki kuipitisha suala la mfumo wa uongozi na uwakilishi wa Wanachama kwenye mkutano Mkuu ulikuwaje?
Asante kwa uadilifu Mzee mwaipopo,...mwanayanga kindakindaki
Wazeee wamegina 😂😂😂 yani wanakuja na fact 😂😂😂😂❤❤❤
Kampata mweye njaaa Kali mwenzake😂😂😂😅njaaa Kali
Sio njaa kwa mtu mwenye kuelewa sio
Hongera sana Mzee magoma
Magoma hoyooo
Daah yani sura zao tu? ni wachawi watupu?
Njaa hiyo 😅
Huyo mzee magoma anatafuta kujulikana mtandaoni hana point yakuzungumza nimwehu
Magoma.kanyoka kama fimbo ya Musa💯
Hoja/facts anazo sana huyu Mzee. Wenye Akili ndogo endeleeni kumupuuza.
@@venancemartin6734WEWE NDIO UNAAMINI WAHUNI WATASHINDA ILA WEWE NA HAO WAJINGA WENZAKO HAMUWEZI.
Mtu Mwenyewe Hata Kuongea Hawezi Ndio Anataka Timu.
M@@godlistengodlisten7552una uhakika hawezi kuongea
Kalale wewe MWAIPOPO kwenda kyela ukalimematoki
Mwacheni Raisi wetu. Msimweke kwenye midomo yenu
Magoma kipara kama tango na mwaipopo sura kama ganda la lima
Wazee hawa wana akili KUBWA SANA 😂😂😂komaeni wazee wangu sisi wana yanga tupo nanyiii Hersi anatupotezaaa
Yaaani Hawa wamekua kama makatuni😂😂😂😂😂
Waone sura zao 😂😂😂😂 zlivyo za ajabu. Hakuna ht mtu mmoja wa Yanga anaesapot upuuz wao na makolo tu maana kolo anadhan kuwa tutafanana nao ktk migogolo msahau
Waone walivyo!!!
We Mzee ni kuma sana acha usenge hata sjui kama unalipia kard ya uanachama
Kwenye kuma ndo umetoka wewe acha matus
Hao Wazee sidhani kama Wana miliki hata baiskel
Baiskeli watoe wapi hapo wanachomiliki ni bukta zao za ndani tu na si boxer za kisasa kudadek yaan wamenikera kumuudhi rais wetu
Yanga haijatikisika bali wamejidhalilisha sana hao wazee
Ikianza kufanya vibaya kiwanjani ndio tutaona kama wamejidhalilisha au mtakumbuka hoja za hawa washua😂
@@mckobatz5861
Subirini vichapo mfululizo
@@mckobatz5861😂😂😂😂 acha unafiki
Wanachama g'ani basi.awataje waliohusika katika kesi mchwara na waliopitishwa nani kusimamia hiyo kesi mchwara😊😊😊
Munatumalizia mb nyinyi wazee wasengelema!!
Jamani mwaipopo njaa Kali
@@judithtitomalyeta4000 Ukweli Mwaipopo hawezi hata kuongea wala hafahamu hata Histori ya YANGA
Wamewaponza Jamani hawajielewi
Nakweli Hawa azee wananjaa ya watu wa Sudan kusini
Wazee mpo vizuri
Wazee wamenyoka sana
Acha Gen z waendeshe timu.
Mtapata shida ninyi wazee kwani wanawasikiliza.
Wamesema jaribu mwende makaomakuu muone.
Mtapitishwa bakola.
Wazee wako sahihi sana,endeleeni kutupambania,gsm watuachie timu yetu
Nimegundua waandishi ndio shida hata hawajui nn wanafata kuoji kwa hawa wazee ninamsha na uwezo wa waandishi wetu😊
Waandishi wanatafuta viewers, hakuna contents za maana kwa maslahi ya jamii ya wanamichezo!😊
wazee hawa ni waelewa sana ,na wanamsimamo sana hofu ni vyura hawawasikilizi
Ata wew hauna Akili
Mwaipopo Ndiomaana kumbe huyu ni ukoo wa mwambukusi ndio maana wanapenda kesi mbeya oyeeee
Wame watikisa mashabiki na sio yanga hao hawawezi kuitikisa Yanga
Linaongea point sana,kama kilaza huezi elewa
WANAELEWA MBUMBUMBU WA SIMBA
Yanga ata wema Anaweza kuwa Rais nikikundi cha Mambumbumbu wachache Wewe tafuta helatu kuwa Rais Yanga sio kazi😂😂😂
Msenge kweli wewe@@hassanyohna6121
Point ipi
Kumbe nimegundua kwamba mwenye mipango hii ni Magoma. Mwaipopo anapelekwapelekwa tu.
Wasengelema
Mwaipopo mnyakyussa pure. Lafudhi yake ya kinyaki bado inamtambulisha. Ndaga Mwaipopo
Rasimu ya katiba ilijadili wa katika matAwi yote na kuridhiwa kwenye vikao vya matAwi.... huyo magoma zeee😅😅😅
Neno Kutukutanisha kwa magoma limekuwa gumu kulitamka 😅😅
Ivi hawawazeeee wao ndio wanajiona wananguvu yakuuiongiza timu au wanajidai namauchawi yao maana siwaelewi
Aaaha kudadeki watani Magoma amewafinya panapo uma maana mnatoa milio
Hawa nao, yanga haina katiba mpya, isipokuwa imefanyiwa maboresho na inaruhusiwa, hawa wazee wanajichanganya, Yanga haina katiba mpya
Hayo marekebisho yamesajiriwa wap?
Nako haka kanyakyusa aka jamani
Pwagu na pwaguzi ndani nyumba ht hawaelewi
Wavuta bangi wawili😂😂😂😂 wanatafuta pa kufia😂😂😂😂kumbe katiba ishapelekwa serikalini😂😂😂
Mzee j hanakitu haskilizwe Hana Jambo lamsigi sanasana
Kabisa
Kuna point nadhani wanayo hawa ukiwasikia vzr,ukitoa mihemko nadhani Kuna kitu hapo,
Mwambukusi kesi TLS Mwaipopo kesi YANGA Mbeya??????????? /!!!!!!!!!!
😂😂😂nilikuwa nasikia kuwa wazee ni wenye busara nyingi,tumeaminishwa hivy9 lkn sasa hawa sunche na kapeto wenye njaa kali mpaka kwenye kwapa zao, iwapi busara yao,hata hawana hoja ya msingi mpaka kuleta huu upumbavu wao, si bora hat kijana mweny umri wa miak 20 anaweza kuwa ba busar kuliko hawa au ni kweli wanavuta bang hat hao wanao wahoj hawa wazee wote ni ving'amuzi tu
Wee yanga ipo south Africa imetikisika vipi
Kwa hiyo magoma mupo wanachama wawili tu?😅😅
Yanga ilikuepo kabla yenu na huwa katiba inafanyiwa marekebisho, iweje mnang'ang'anis ya mwaka 1968 tu!
Wezi hao
Hao Wazee kama wameona wameshinda kesi waende wakaichukue Klabu mbona bado wapo uchochoroni aliyewapa ushindi aliamua hivyo makusudi ili hawa wazee wakanyongewe klabuni maana wamechoka na vituko vyao sasa kama WANAUME kweli waende klabuni. Kesho tu watu watakula hitima
Wanaokupenda na kukushabikia makolo, wanayanga hawakupendi unaleta migogoro kila kiongozi anaekuepo yanga, hizo katiba unazotembea nazo zimefanyiwa marekebisho.
Hao wote njaaa
Mnakaa miaka kibao kutafuta Phd wakati huyu mzee kakaa darasani miaka saba lakini anazidi wenye phd
Lakini kilichokutukanisha😊 ni yanga...nmecheka sana apo😅
😂😂😂😂ila hii mizeee
Check sura zao
Kuma la mama enu nyie wazeee wa kikuma
Hawa watu wazima jaman wametukwaza lkn sikuwatusi tusifanye ivoo
Wazee acheni njaa
Hadi meza wamejiwekea 😅😅, fainal uzeeni
Hamfai kuwepo kwakipindi hiki
Mimi bado cjajua hawa wazee walikuaga wapi miaka yote hii ilopita .Kuna kitu nyuma yao
Hao wote kama wachawi vile tena inaonekana hawana hata dini
Kwani hawa wazee yanga imekuwa nn ktk maisha yao mda wao ulisha upita
Mtawaelewa siku moja
Wataingia jela Naona hawajitambui kwa kufoji Sahihi
Mmeyatimba mlijua yanga ileee ndio hiii,,now tutawaanyooosha.na njaa zenu.
Yaani Kama comedy hivi. Sikilizeni Hawa mambo yaishe
Hiii ni haibu sana, hawa wazee wanajidhalilisha
Tutawaua nyinyi chezeni tu na akili zetu
Hivi mzee MAGOMA, sisi sote tunaenda Bungeni au kwamba wana CCM wote ni wajumbe wa KAMATI KUU, HALMASHAURI KUU na MKUTANO MKUU ?
Mzemwa.ipopo.anauza.mapichaa.😂😂.nimefanyakazi.nae
Sura zao mbaya utafikiri wanakunywa shubiri. Vyuma vyenye njaa kali. Yanga hii ya raha 24/7 unakwenda kutafuta chokochoko!? Wanachokitaka watakipata.😊😊😊
Kwnn msiachane na yanga mkaenda kwny timu nyingine ruksa kwn ninyi mnaitaka yanga au yanga inawataka ninyi. Au niseme uongozi wayanga unawataka ninyi au ninyi mnautaka uongozi pale yanga
Wanataka followers hatuwataki
ukiwasikiliza vizuri bila mihemko ya ushabiki utawaelewa nautajuwa wanahaki.
Magoma anacho ongea kina mantik
Sijuw ujana wenu Mlifanya nn Maana mna Maisha magumu Na ww mnyaki siulud kwenu ukale ndiz ona mapala kule
Ninyi wazee shida sana zimewajaa mpaka unashindwa kutamka neno kilichotukutanisha yaani kilichowakutanisha mzee Magoma na mzèe mwaipopo
Wanakula kwako
Kama marekebisho yalifanyika iweje izungumzwe kuwa nje ya 1968 ni feki
Hawa wanadai wanachama wanalipia Kadi zao Kwa kuzingatia Katiba ya 1968 au iliyorekebishwa
We mnyakyusa wenzako hadi wanakushangaa 😂😂😂
Hao wala hawaisumbui yanga wanangaika tu yanga weshatoka huko hao wanapiga kelele mpira ni pesa sasa hao njaa zao na hawana kadi za yanga ni njaa tu
Hahaaa wazee wa kurujuwani
Sidhani kama Yanga kwa hatua waliopiga kimpira kama wanahitaji migogoro, Simba tumefanya usajiri imara kabisa ili tishindane na Yanga imara ,wazee acheni hayo mambo ,tunataka miaka 5 ijayo ama Yanga au Simba mojawapo achukue Ubingwa wa Africa.
😂😂😂😂😂😂😂wakalale
Wazee hawa sura zaonjaaa tupu,
Sijasikia tusi lolote toka kwa hawa wazee lkn naona lawama, matusi, dhihaka, masimango, mizodo, mipasho, mapovu, majasho, mzee Huyu alikuwa mahakamani na amemalizia kila kitu huko. (hukumu)
Kila penye maendeleo nyie ndiomnajiona mnajua
Asa wote hao n njaa tupu wanaonekana tu wawasumbue matajir
Waongo waongo mna mtu nyuma yenu tunamjua
Kama umpendi magoma kama mimi ngonga like😂😂😂😂😂 hapa
Twampenda ❤❤
Mbona mwana habari hatukuoni pumbavu
Mbona humuulizi mzee mwaipopo
Kumbe Engineer anawapa Wazee pesa za kuroga Simba
Hata watangazaji mmekosa kazi
Hiyo rasimu ya mareke bisho ya Katiba ambayo Magoma alishiriki kuipitisha suala la mfumo wa uongozi na uwakilishi wa Wanachama kwenye mkutano Mkuu ulikuwaje?
Wazee wana hoja ya maana mtakuja kuwaelewa badae ila kwasasa kama hunaD2 huwezi elewa
Ao mtu na mwanamke wake era Awana wamataka pesa
Laana tullah
Jaman kweli njaa mbaya angalieni afya za wakina mwaipopo uku😂😂😂😂😂
Anakula kwako
Ndio mwende kuhushi saini za wakubwa? Nini dhumuni lenu?
Kwamaon yangu kwann Hawa wazee wasiitwe wakasikilizwa huenda tunawatukana lakin wanakitu tusikimbilie kusema njaaa