MURO: UMAFYA!! YANGA YAMTEKA ELIE MPANZU? IMEBAKI UTAMBULISHO TU!! YAPINDUA UBAYA UBWELA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 35

  • @johnsmwandu7338
    @johnsmwandu7338 Місяць тому +7

    Mchezaji wa As vita ni ngumu saana kwenda Simba tajiri wa as vita ni shabiki wa Yanga

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Місяць тому +10

    Simba bado inaugumu katika kufanya maamuzi. Kwa kweli hili jambo linasikitisha itakuwa kama suala la Aziz Ki. Kwa kweli Simba mkimuacha Elie Mpanzu mtajuta baadae eti Onana ndio mbadala inasikitisha

  • @user-ii6sp2nn1m
    @user-ii6sp2nn1m Місяць тому +8

    Yaan tanzania hii mi huwa siwaelewi kabsa baazi ya watu

  • @user-tw7jq7hm4w
    @user-tw7jq7hm4w Місяць тому +11

    Asipotambulihwa yang stoludia kufatilia account yenuuu

  • @user-ny7mi1ui4w
    @user-ny7mi1ui4w Місяць тому +1

    Imeisha iyo

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 Місяць тому

    Kama ndio hivyo thimba bado anaunguruma ajaamuwa kurukia kung'ata tatizo ni pesa

  • @user-kg7jc8tb1f
    @user-kg7jc8tb1f Місяць тому +1

    Mimi si one nafasi ya mpanzu ndani ya yanga

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 Місяць тому +5

    Wachambuzi wa bongo asilimia 90 niwasanii tu wanapanga taarifa zaungo ila ukiwajuilia hawakupi shida

    • @makavelithefreak492
      @makavelithefreak492 Місяць тому +2

      Kwanini iwe uwongo kwa yanga?? Ila kwa simba ilikua ukweli

  • @Pdady-tc8kg
    @Pdady-tc8kg Місяць тому +2

    🙌🙌🙌

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn Місяць тому

    Naskitika kumkosa mpanzu hakika tuna kwama Simba inauma Sana kuona kila tunacho kifanya ni hewa Raisi tunakuomba tusaidie kupata huyu kiumbe

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 Місяць тому +1

    Here mbona ally katwambia walisha malizana naye bado kutambulishwa simba!¡!mbona siwaelewi.

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Місяць тому

    Simba hawana maelewano mazuri na viongozi WA timu zingine sana

  • @user-nl9xe5bu1x
    @user-nl9xe5bu1x Місяць тому

    INAWEZEKANA , Yanga wanamtaka kweli ,

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack9240 Місяць тому +3

    Nyie oneni tu kuwa ni tetes za uongo hiz badae zitakapotimia muanze kutoa mimacho kaa guluguja poli

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Місяць тому

    MPANZU TAYARI NIMALI YACMBA. TULIZENI NDIMI. WANASIMBA MTAFURAHI.

  • @MohamedYahaya-go6jv
    @MohamedYahaya-go6jv Місяць тому

    Ashaenda simba tiyari mnapoteza mda kuwadangaya watu

  • @user-ny7mi1ui4w
    @user-ny7mi1ui4w Місяць тому

    Simba hawana hela

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Місяць тому

    PAMOJA NA WACHAMBUZI WENU MBINU ZA YANGA HAMTAZIELEWA MILELE. THE MORE YOU FRASTRATUATE YANGA, THE HARDER, AND STRONGER IT BECOMES.

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f Місяць тому

    Hayo ya eliya mpanzu ni mauzo tu watu waote vitambi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Місяць тому

    Sasa KM Simba wamezubaa na wanakuwa wagumu kutoa hela wacha wamchukue wenye hela. Wacha Yanga wamchukue.

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Місяць тому +1

    mulo tayali usha ingia kwenye mfumo

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 Місяць тому

    Mbona makasiliko 😂😂😂😂

  • @johnsmwandu7338
    @johnsmwandu7338 Місяць тому

    Kwani yeye anachezaga peke yake?

  • @AloycceRukasi-fk5nm
    @AloycceRukasi-fk5nm Місяць тому +1

    Poa

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn Місяць тому

    Mo tusaidie tupete huyu kiumbe

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Місяць тому +2

    Magoma mwenyewe kasema yanga hawana pesa wana madeni kibao

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Місяць тому +1

      Sawa Boss nitajie kampuni isiyo na hata deni moja ulimwenguni

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Місяць тому

      Tutaelewana tu

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 Місяць тому

      NAWAKUBALI SANA

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 Місяць тому

      HIYO INAITWA UBAYA UBWELA

    • @malcom4105
      @malcom4105 Місяць тому +1

      😂Hiyo mbona kawaida maana hata kina Real Madrid/Man United huko madeni wanayo na bado wanaendelea kusajili Kila dirisha