Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Mchezaji wa As vita ni ngumu saana kwenda Simba tajiri wa as vita ni shabiki wa Yanga
Simba bado inaugumu katika kufanya maamuzi. Kwa kweli hili jambo linasikitisha itakuwa kama suala la Aziz Ki. Kwa kweli Simba mkimuacha Elie Mpanzu mtajuta baadae eti Onana ndio mbadala inasikitisha
wapuuzi Sana simba ila watajutia Sana
Yaan tanzania hii mi huwa siwaelewi kabsa baazi ya watu
Asipotambulihwa yang stoludia kufatilia account yenuuu
Imeisha iyo
Kama ndio hivyo thimba bado anaunguruma ajaamuwa kurukia kung'ata tatizo ni pesa
Mimi si one nafasi ya mpanzu ndani ya yanga
Wachambuzi wa bongo asilimia 90 niwasanii tu wanapanga taarifa zaungo ila ukiwajuilia hawakupi shida
Kwanini iwe uwongo kwa yanga?? Ila kwa simba ilikua ukweli
🙌🙌🙌
Naskitika kumkosa mpanzu hakika tuna kwama Simba inauma Sana kuona kila tunacho kifanya ni hewa Raisi tunakuomba tusaidie kupata huyu kiumbe
Here mbona ally katwambia walisha malizana naye bado kutambulishwa simba!¡!mbona siwaelewi.
Simba hawana maelewano mazuri na viongozi WA timu zingine sana
INAWEZEKANA , Yanga wanamtaka kweli ,
Nyie oneni tu kuwa ni tetes za uongo hiz badae zitakapotimia muanze kutoa mimacho kaa guluguja poli
Guluguja nini? Mkuu
MPANZU TAYARI NIMALI YACMBA. TULIZENI NDIMI. WANASIMBA MTAFURAHI.
Ashaenda simba tiyari mnapoteza mda kuwadangaya watu
Simba hawana hela
PAMOJA NA WACHAMBUZI WENU MBINU ZA YANGA HAMTAZIELEWA MILELE. THE MORE YOU FRASTRATUATE YANGA, THE HARDER, AND STRONGER IT BECOMES.
Hayo ya eliya mpanzu ni mauzo tu watu waote vitambi
Sasa KM Simba wamezubaa na wanakuwa wagumu kutoa hela wacha wamchukue wenye hela. Wacha Yanga wamchukue.
mulo tayali usha ingia kwenye mfumo
Mbona makasiliko 😂😂😂😂
Kwani yeye anachezaga peke yake?
Poa
Mo tusaidie tupete huyu kiumbe
Magoma mwenyewe kasema yanga hawana pesa wana madeni kibao
Sawa Boss nitajie kampuni isiyo na hata deni moja ulimwenguni
Tutaelewana tu
NAWAKUBALI SANA
HIYO INAITWA UBAYA UBWELA
😂Hiyo mbona kawaida maana hata kina Real Madrid/Man United huko madeni wanayo na bado wanaendelea kusajili Kila dirisha
Mchezaji wa As vita ni ngumu saana kwenda Simba tajiri wa as vita ni shabiki wa Yanga
Simba bado inaugumu katika kufanya maamuzi. Kwa kweli hili jambo linasikitisha itakuwa kama suala la Aziz Ki. Kwa kweli Simba mkimuacha Elie Mpanzu mtajuta baadae eti Onana ndio mbadala inasikitisha
wapuuzi Sana simba ila watajutia Sana
Yaan tanzania hii mi huwa siwaelewi kabsa baazi ya watu
Asipotambulihwa yang stoludia kufatilia account yenuuu
Imeisha iyo
Kama ndio hivyo thimba bado anaunguruma ajaamuwa kurukia kung'ata tatizo ni pesa
Mimi si one nafasi ya mpanzu ndani ya yanga
Wachambuzi wa bongo asilimia 90 niwasanii tu wanapanga taarifa zaungo ila ukiwajuilia hawakupi shida
Kwanini iwe uwongo kwa yanga?? Ila kwa simba ilikua ukweli
🙌🙌🙌
Naskitika kumkosa mpanzu hakika tuna kwama Simba inauma Sana kuona kila tunacho kifanya ni hewa Raisi tunakuomba tusaidie kupata huyu kiumbe
Here mbona ally katwambia walisha malizana naye bado kutambulishwa simba!¡!mbona siwaelewi.
Simba hawana maelewano mazuri na viongozi WA timu zingine sana
INAWEZEKANA , Yanga wanamtaka kweli ,
Nyie oneni tu kuwa ni tetes za uongo hiz badae zitakapotimia muanze kutoa mimacho kaa guluguja poli
Guluguja nini? Mkuu
MPANZU TAYARI NIMALI YACMBA. TULIZENI NDIMI. WANASIMBA MTAFURAHI.
Ashaenda simba tiyari mnapoteza mda kuwadangaya watu
Simba hawana hela
PAMOJA NA WACHAMBUZI WENU MBINU ZA YANGA HAMTAZIELEWA MILELE. THE MORE YOU FRASTRATUATE YANGA, THE HARDER, AND STRONGER IT BECOMES.
Hayo ya eliya mpanzu ni mauzo tu watu waote vitambi
Sasa KM Simba wamezubaa na wanakuwa wagumu kutoa hela wacha wamchukue wenye hela. Wacha Yanga wamchukue.
mulo tayali usha ingia kwenye mfumo
Mbona makasiliko 😂😂😂😂
Kwani yeye anachezaga peke yake?
Poa
Mo tusaidie tupete huyu kiumbe
Magoma mwenyewe kasema yanga hawana pesa wana madeni kibao
Sawa Boss nitajie kampuni isiyo na hata deni moja ulimwenguni
Tutaelewana tu
NAWAKUBALI SANA
HIYO INAITWA UBAYA UBWELA
😂Hiyo mbona kawaida maana hata kina Real Madrid/Man United huko madeni wanayo na bado wanaendelea kusajili Kila dirisha