BARAKA MPENJA AKITANGAZA WACHEZAJI WAPYA YANGA VS SIMBA/DABI YA KARIAKOO NGAO YA JAMII/CHAMA/MUKWALA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Matangazaji wa mpira miguu nchini Tanzania Baraka Mpenja amefanya
    Mahojiano na Mpenja Tv na kuzungumzia kuhusu usajili uliofanywa na timu za Tanzania,huku akifanya majaribio namna atakavyoitangaza Derby ya Kariakoo

КОМЕНТАРІ • 154

  • @dicksonbenard1741
    @dicksonbenard1741 2 місяці тому +69

    Mwamba wa umalila unajua hadi unajua tena wanao mkubali Baraka mpenja bila choyo gonga like tujuane

  • @Abdul-zg7ci
    @Abdul-zg7ci 2 місяці тому +24

    Mungu ajalie uzima cku hyo saut ya rad iwe inarindima azam tv nkubali sana baraka mpenja

  • @Mwabundusalim5818
    @Mwabundusalim5818 2 місяці тому +17

    Nakukubali Sana kaka mpenja nakucheki from qatar
    +254 ndio gheto Mombasa

  • @zachariamasomi
    @zachariamasomi 2 місяці тому +13

    Sahiv tu- brand Derby yetu ni ya kwanza Africa Mambo mengine kujiamin tu

  • @FatherKunutti
    @FatherKunutti 2 місяці тому +1

    Jaa Sharle Ahoua

  • @FiniasBugobola
    @FiniasBugobola 2 місяці тому +17

    Nakubali mpenja iyo mechi ya simba na yanga uwe ni wew saut ya radi🎉🎉🎉🎉

  • @mohamedngwenya45
    @mohamedngwenya45 2 місяці тому +7

    Mpenja we ni ze beeeest brOoooo asietaka ahame nchi hii ...

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd 2 місяці тому +8

    Safi Sana baraka

  • @lazarolakara979
    @lazarolakara979 2 місяці тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mapenzi yangu kwa baraka mpenja ni kubwa sana

  • @AmisseIssaTorres
    @AmisseIssaTorres 2 місяці тому +5

    Kaka nakuomba hiyo siku mungu atujalie atuwezeshe tuweze kufika mshalah torres nikiwa namatili mozambiki❤

  • @menaurukivuyo6796
    @menaurukivuyo6796 2 місяці тому +13

    ❤❤❤❤tunajua Bwana baraka huwezi kutuangisha pia Imani yangu Toka moyoni najua siku ukitangaza Simba wanashinda,,,,,

    • @mwambietv7614
      @mwambietv7614 2 місяці тому

      nakubali Sana home boy wee ndo namba 1 Kwa nchi hii kwenye kutangaza soka Mwamba wa Umalila wee ni nomaaa hakuna kama wewe

  • @Malack-p7j
    @Malack-p7j 2 місяці тому +10

    Nakubar rady

  • @wistonmajenda
    @wistonmajenda 2 місяці тому +6

    Kuna mwamba wa Lusaka /Kuna mwamba umalila /Kuna mwamba wagadugu unyama sana🙌

  • @MarcoTelemala-w9d
    @MarcoTelemala-w9d 2 місяці тому

    Wow classic mtangazaji hongera sana kaka

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 2 місяці тому +2

    Kutoka Mombasa Kenya with love👍

  • @JeanMinani-r5q
    @JeanMinani-r5q 2 місяці тому

    Aiseee baraka nomaaaa ,anajua anajua saaaaana from Burundi

  • @hamzasaidi7158
    @hamzasaidi7158 2 місяці тому +7

    😀😀😀 ila mpenja ukiwa unatangaza laa sana

  • @FREDYNYATECHI
    @FREDYNYATECHI 2 місяці тому

    Nakupenda sana mpenja fundi❤❤❤

  • @gkwaV
    @gkwaV 2 місяці тому +6

    No. 1

  • @yahayaKigongo
    @yahayaKigongo 2 місяці тому +1

    Mpenja nakuelewaga sana ukitangaza dsby

  • @Mosesndela24
    @Mosesndela24 2 місяці тому +6

    baraka wewe Tanzania huna mpinzani unajuaaaaaaa kaka🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 місяці тому +5

    Wakuu tupangieni B.MPENJA na JEMS SAMWEL waje wanogeshe haya mambo.

  • @AnnaSiame-j5x
    @AnnaSiame-j5x 2 місяці тому +3

    Nakuku bar sana mpenja

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 2 місяці тому +4

    Mwamba wa malila❤❤❤❤

  • @JumaHamdani
    @JumaHamdani 2 місяці тому

    Mm apa nakubali shoo ya baraka mpenja

  • @LeapaRoine
    @LeapaRoine 2 місяці тому

    Namkubali sana Mwamba wa Umalila. Kikubwa apunguze kumpenda Chama

  • @gresimanity3946
    @gresimanity3946 2 місяці тому

    baraka mpenja hautofautiani na semaji la CAF hakika 2na enjoy mko na v2 nyie❤

  • @salmahemed5840
    @salmahemed5840 2 місяці тому

    Baraka wewe n noma sana

  • @MuhammedMuhando
    @MuhammedMuhando 2 місяці тому +1

    Kweli kabisa

  • @RamadhaniMpenda
    @RamadhaniMpenda 2 місяці тому +1

    Nakubali sana kaka mpenja

  • @GodfreyMduma
    @GodfreyMduma 2 місяці тому +5

    Tunasubir sana nakukubali saut ya radi mpenja utupe udavuudavu wakutosha huku ukipandisha ligi yetu kutokana na V A R kwa mama yakwan,za afrika

  • @SalumuSalumu-hi9qf
    @SalumuSalumu-hi9qf 2 місяці тому

    Nakupa asilimia zote kak baraka

  • @SmilingPhoenix-td1rz
    @SmilingPhoenix-td1rz 2 місяці тому

    Nakubali sana kaka

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato 2 місяці тому +5

    Nimefurahi namna unavyo tangaza mpenja ila natamani ungetangaza na magoli

  • @kayikumazoya322
    @kayikumazoya322 2 місяці тому +1

    Umetisha sana 🔥🔥🔥

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 2 місяці тому

    My favorite 1...mpenja ila mzinga the best 1...

  • @CizaRichard-c4u
    @CizaRichard-c4u 2 місяці тому

    Mimi nipo Burundi ,East Africa Baraka Mpenja huna mpinzani tuna kukubali sana ,unajua kutangaza mpira ,wanaokuchukia wewe mungu anawaona watakwenda motoni

  • @zainabyassini
    @zainabyassini 2 місяці тому +2

    Ulivo tangaza mm roho juu kama vile ndio naitizama simba yangu dah 😂

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 2 місяці тому +9

    Ni wakwanza❤🎉😂😂😂

  • @IssaMkwata
    @IssaMkwata 2 місяці тому +4

    Baraka mtu wa maana sana tasnia ya utangazaji wa mpira wa miguu

  • @ChristopherEdifonce
    @ChristopherEdifonce 2 місяці тому

    Kaka na kukubali sana ukiwa tangaza mpira

  • @AminielEmanwel
    @AminielEmanwel 2 місяці тому

    ❤nakupenda sana

  • @JonathanAbraham-f1b
    @JonathanAbraham-f1b 2 місяці тому +1

    Baraka mpenja ninoma xana!!!!!

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 місяці тому +3

    Super

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf 2 місяці тому

    Naukubar sana🎉🎉🎉🎉

  • @Mkudemkde
    @Mkudemkde 2 місяці тому

    Ujuzi auzeek

  • @ChimmeJulius
    @ChimmeJulius 2 місяці тому

    Congratulations my bro nice job

  • @RAYMON-pv1gd
    @RAYMON-pv1gd 2 місяці тому

    Kaka mpenja wewe hapa Tanzania Huna mpinzani mama yako kaka 🎉🎉🎉

  • @JosephMagezi-r4n
    @JosephMagezi-r4n 2 місяці тому

    Chama ohhhhh ohhhhh Chama baba

  • @nicholausjuliusmassawe6080
    @nicholausjuliusmassawe6080 2 місяці тому

    Brother unajua

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 2 місяці тому

    Nakukubali sana mwamba wa malilaaaaaaaa❤❤❤❤

  • @sirlehmwenjia1297
    @sirlehmwenjia1297 2 місяці тому

    Mpenja bahna unajua sana kak

  • @rehemambwanji3883
    @rehemambwanji3883 2 місяці тому

    Mwamba upo sawa

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 2 місяці тому +1

    Mwamba upo vizuri sn unakipaji kikubwa sn mkuu ishi mingi uzidi kutupa burudani kwenye soka letu kiongozi 🔥

  • @EMMANUELKAJUNA
    @EMMANUELKAJUNA 2 місяці тому +2

    Nakukubali sana saut yaladi

  • @YohanamaduhuMadaso
    @YohanamaduhuMadaso 2 місяці тому

    Itakuwa poa sana kama ataitangaza mpenja

  • @mwambietv7614
    @mwambietv7614 2 місяці тому

    mwamba wa Umalila wee ni namba 1

  • @obadiadaniel7274
    @obadiadaniel7274 2 місяці тому

    Baraka penja umetisho nimekupa Maua Yako😂😂😂😂😂

  • @davicekombe4932
    @davicekombe4932 2 місяці тому

    Nimependa iyo intro 😂😂😂😂😂

  • @FredVunjabei-k9d
    @FredVunjabei-k9d 2 місяці тому +1

    Kabixa

  • @DjTopd
    @DjTopd 2 місяці тому

    Baraka w ninoma

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 2 місяці тому

    nguvu moja mpenja

  • @StalonySilvester
    @StalonySilvester 2 місяці тому

    Dah!! Natamani pafike chapa maana nashauku sana hakuona kikosi cha mnyama

  • @AminaSendekwa
    @AminaSendekwa 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉kwako mpenja

  • @SufianSeringo-kq2ld
    @SufianSeringo-kq2ld 2 місяці тому

    Jamani mbona wachezaji wa Simba wakitangazwa kama ulaya vile duh sio poa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 2 місяці тому +3

    Mwaka huu watauana

  • @BoniphaceCosta-kd2yw
    @BoniphaceCosta-kd2yw 2 місяці тому

    Simba unyama sana

  • @BAHATIOMAR
    @BAHATIOMAR 2 місяці тому +1

    Mpenja iyoo dabi. Utangaze ww

  • @IZAACManyonyi
    @IZAACManyonyi 2 місяці тому

    Uyu Jamaa ni hatari sana

  • @MaheriChristopher
    @MaheriChristopher 2 місяці тому

    Navotamka majina yawachezaji wapya wa simba mpaka raha sana

  • @emanuellyanga8785
    @emanuellyanga8785 2 місяці тому

    Una hatari sana baraka hiyo siku tunaisubili kwa hamu san mashabiki

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 2 місяці тому

    Nakubari xn mwamba wa malila

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 2 місяці тому

    Baraka shikamoo

  • @ChidyMagoly
    @ChidyMagoly 2 місяці тому

    Ila mpenja n mnyama

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 2 місяці тому

    Jamaa yuko pw kinoma anajua

  • @mudyo.mponji6520
    @mudyo.mponji6520 2 місяці тому

    Mwamba nanusu 🔥🔥🔥🔥🔥👆

  • @KelvinRobert-mn2mn
    @KelvinRobert-mn2mn 2 місяці тому

    😂😂😂😂,ww teal Acha kumaliza kikos wataogopa leta yimu uwanjan😢😢😢

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 2 місяці тому +1

    Apo umesema kutumia VAR TZ ndio nchi ya kwanza kwa Africa sio kweli kk angalia vizuri ktk nchi nyengine mana SA na toka mwaka juzii wanatumia .

    • @saydonahmed5469
      @saydonahmed5469 2 місяці тому

      Uongo, mpaka leo South Africa hawatumii VAR

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 2 місяці тому

    Brow unajua unajua tena

  • @Shadrackkapesa
    @Shadrackkapesa 2 місяці тому

    nakukubali mwamba wa malila

  • @MariamunikolousTangamjini
    @MariamunikolousTangamjini 2 місяці тому

    Kwaiyo ukiwa tz nitaitwa rashid ila nikiwa England nitaitwa Rushford 😂😂😂

  • @donatusnicolaus6403
    @donatusnicolaus6403 2 місяці тому +3

    Mpenja mpenja mbn mifano yote mibaya anaisema Yanga wew vp bhn😎😎😎😎

  • @Bertha-p5g
    @Bertha-p5g 2 місяці тому

    Namkubr xn mpenja sauti ya radi

  • @NasryHalid
    @NasryHalid 2 місяці тому

    Sawa😂

  • @ThomasDonard
    @ThomasDonard 2 місяці тому +10

    Kusoma comment tu kuandika aaah😂

  • @EvartWilson34
    @EvartWilson34 2 місяці тому

    Nikafikir ushaanza😂😂😂😂😂😂

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 2 місяці тому +1

    Unatakiwa ulipwe mara mbili pia mpeja kwa kuwa umetangaza goli mara mbili huini kama ni faida pia

  • @SalimMohd-g6x
    @SalimMohd-g6x 2 місяці тому +1

    Mpenja babaaa wee acha humtu

  • @ThomasPhissoo
    @ThomasPhissoo 2 місяці тому

    Tunakukubal brw

  • @janecharles8922
    @janecharles8922 2 місяці тому +1

    Yanga inaogopesha nyie mhhh cjui

  • @JaclenoauloSiita.Kitulia-xn5fc
    @JaclenoauloSiita.Kitulia-xn5fc 2 місяці тому

    Mimi jaclene. Paulo. Natokea. Simiyu. Naitakie. Dimu. Yangu. Yanga

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 місяці тому

    😂😂😂😂ila baraka mpenja kwann dube awe offside

  • @LucknessPeter
    @LucknessPeter 2 місяці тому

    kikosi cha yanga kinatisha

  • @MartineHusein
    @MartineHusein 2 місяці тому

    Nakukubali sanaa mwamba wa umalila fahari ya tete

  • @murshidyabdallah1356
    @murshidyabdallah1356 2 місяці тому

    kska wee mwamba unaweza mpenja sema unaipenda yanga bhnaa tunakujua

  • @jairatu688
    @jairatu688 2 місяці тому +1

    Jenny kishai yuko wapi jaman

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 2 місяці тому +1

    Joshua Mutale tayari anayo nick name yake ( BUDO )

  • @FatmaAdam-e7t
    @FatmaAdam-e7t 2 місяці тому

    Nice

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 2 місяці тому

    Hyo ya yanga co kweli hapo chama ataanzia nje huwez kumuacha mudathir nje wala max

  • @SimonimatoneyusuphMatone
    @SimonimatoneyusuphMatone 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤