UTAMU | Full Movie
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Naomi binti ambaye alijaribu kumuiba mpenzi wa rafiki yake Teddy lakini mwisho wake anajikuta anapata matatizo ambayo yanaharibu kabisa maisha yake.
Fuatilia kisa hiki cha kuvutia. Pia usiache kufuatilia kisa hiki chenye kuvutia na kufurahisha.
Usiache kutazama filamu yetu mpya hapa chini
ua-cam.com/video/Qq-WlWk4j_4/v-deo.htmlsi=BbKlDT28ebGnSvMQ
@@AdamLeoStudios nishaiona kaka yangu tamu sanaaa hadi rahaaaaaa godbless
Usiache kutazama filamu yetu mpya ya LAANA hapa👇👇
ua-cam.com/video/5wUTwjm1YLw/v-deo.html
Fica por bem boss andam
@AnliAbudo thanks
Naomba iyo audio ya come feel me ... please ❤
Hongera Kaka Adam yaani mungu akubariki at vile ambavyo unajibu kila comment 🎉🎉🎉 alafu huyu ndio kanumba wa leo kazi safi🎉🎉ebu mlike hii filamu nyie watizamaji tafadhali hio ndo raha ya Adam jameni
Shukrani sana sana!!!
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kabisa anaga mbamba
Hii ni fundisho kabisa kwa familia zetu,kweli Adam weye ni kiboko kabisa katika utungaji wa filamu zako.Nakufuata tano juu ya tano toka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Asante
Jaman ndugu zangu mm naitwa msomali nimsanii wa adam leo studio naombeni sapoti yenu ndugu zangu mweze kupita nakusubscribed kwenye akaunti yangu jamani napia mpite kwenye akaunti yetu ya leo filx kuna movie mpia tumepandisha mkacheki ndugu zangu
🔥🔥🔥
Asante kwa movie nzuri na mafunzo ...Kila siku ridhika na kidogo ulichonacho tamaa mbaya
Umeona eh!
❤fadhili mbuzi huenda Siku mmoja utamywa mchuz lakini cyo binadam jaman mwe
Kabisa
Jaman sisi wanawake tutaona mbinguni kweli lakin huyu dada ameyataka mwenyewe utamsifia vp mume wako rafiki yako pia mm namjaribu liwalo na liwe
Hahahah jamani😂😂
Kweli kayataka wenyewe
😅😅😅
@IreneRoom unafurahia au sioo!!!
😂😂😂Alafu mgangaa kazi yake anaijulia😂 c kwa kujeuza masharati😊
Napenda movie zako kwa kua zina mafunzo🥰🥰🥰
Much love from kenya🤩🤩🤩
Thanks a lot
One Love Team Adam Leo From Burund ❤❤❤❤ Much Respect Guys 🎉🎉🎉🎉
Thanks
MashaaAllah sinema Nxuri mafunxo kibao❤
Shukrani sana sana
Adam umeicheza vizuri sana hii mouve tukutane kwa mama Heppy dada tatu pale nina bahasha yako mkuu
Haya
Adam uko poa sana movies zako zinamafunzo sana....mm nimejifunza vituvigi sana kwa movies zako....kaka hata nikipata bwana sisemi kwa watu❤❤❤❤❤❤
Asante kwa kujifunza endelea kufurahia kuwa hapa!
Tuwe makini jmn mashoga sio wa kuwaamin ata mala Moja
Umeona eh!
Toka nimeanza kuangalia movies za AD LEO Studios hii ndio movie mbovu aisee😢 Kwanza ina story mbovu na haina uhalisia hata kidogo🗑️🚮
Pole mkuu!
Shoga ninyoka staking urafiki wahovyo kabisa karibu Mupaka chumbani ona Sasa yametokeya😮😮😮😮
Yaani acha kabisa
Mungu akuongezee umri mrefu kaka Adam uzidi kutuletea vitu juu ya vitu🙏🏾 kazi imenyookaaaaa
Shukrani sana
Mimi rule number Moja, kwangu siwezi mpeleka mdada Kwa nyumba yangu, tuna malizana pale sokoni, akija nyumbani tumalizane pale nje kwenye chumba Cha mapunziko, asije akaninyanganya mume wangu weee😮
Hahaha asantee
moja ya film kali sana toka mwaka huu uanze, hongera sana Adam Leo🙏
Shukrani sana
Nmechelewa ila nimefka,,kaz nzur Adam 🎉🎉❤
Shukrani sana sana🙏
Jamani kujitamba kungine kupunguage basi daahh utaibiwa mume
Umeona eh
Adam naomba uijibu hii comment please broo
Nakukubali mpka mwakani🎉🎉
Shukrani sana
Kipigo ameiz kasahau na makofi yangu move tam jamani unakaribishwa seblen tunaenda had chumbani
Yaani acha kabisa
Adam mm nakupa maua yako 🍒🍒🌱🌱💐💐🌹🌹, ujumbe kwa wanawakee Ila mganga aliwapiga uswailini Kuna Mambo 🔥🔥🔥🔥
Acha kabisaa🙏🙏
Adam nazikubali movie zako,,,kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪
Asante
One love kaka Adam funzo zuri kabisa napataga kutoka kwa filamu zako❤
Shukrani sana
Yani angelo unazinguwa kweli 🤔🤔 unakunya mbele ya shemegi yako ila nimecheka sana
Hahaha
Kwenye carenda iyi sizani kama kuna mwanamke ataweza tumia unjinga kama tedi. Duh. Kumuweka mwanamke ndani. Mm siwezi. Koma naomi. Umeyatimba mwenyewe
Umeonaa eh
Imebidi nirudi kulike kumbe zina umuhimu😁
Asante sanaa
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga, malipo ni hapa hapa duniani pia tusiwe wawazi sana kwa watu wa karibu yetu wengine hawapendi mafanikio yetu na mambo mazuri hutafuta njia za kutupindua..
Shukrani sana sana
Napenda movie za kuelimisha Sanaa Kuna kitu tumejifunza tamaa mbaya
Ni kweli kbs
Mganga pesa kala wewe pesa hujapata umepata jeraha pole mwaya ,tamaa mbaya wanawake tujifunze kutafuta kilocha cha halali
Umeona eh
Asante Adam kwa kuniletea Naomi hope Salma hakosi hpa😊😊😊
Shukrani sana
Mkiona watu wametulia n waume zao mwaona wafaidi mkilatiwa sifa tu mwajua n kweli watu wastiriqna tu ona cc umekumbana n shuzi😂😂
Hahaha jamani
😂😂😂😂pesa zipo
Yaani😂
Hii ni fundisho sana kwa wanawake ukiwa na shoga usimwambie ya chumban 😂😂 maskin tedy😢
Kabisa
Huyu Naomi naye hana siri ngoja asugue Gaga kwl tuko kwa class
Umeona eh
Kaka adam safi sana lakini naomba kujua samahani hii location mmeshutia mwanza? Maana naona mazingira ya ki mwanza mwanza
Ndiyo
Uhakika asiye fuzwa na wazazi hufuzwa na ulimwengu tujifuze kitu
Kwelii
Msiache ku like na ku Comment jamani filamu nzuri sana hii🙏🙏🙏
Shukrani sana
Umekaribisha nyoka kikulacho kinguoni mwako
Yaani acha kabisa
🤣🤣🤣tatzo Teddy jmn ana cfaa sanaa ya kutangazaa kila anachofanyiw kuanzia mapnz mpk kutunzwaa ya mpk unaweza ukajihic yatima wa mapnz 😂😂😂😂😂hta kama ni mm jmn roho lazima inishinde wallah tena😅😅
Umeona eh
@@AdamLeoStudios 🤣🤣🤣😄snaaaa
Adam hujawah kutoa kitu kibovu❤❤❤❤❤
Shukrani
But mwenye makosa wa kwanza ni mke wa mtu kumwamini rfk kumpeleka kwake na kumwachia mumewe 😂
Kweli kabisa
Kazi nzuri sana 👏👏 haya wale wakujifanya wakarimu kukaribisha karibisha watu hovyo sijui kusimulia simulia mashosti chukueni funzo apo mtakuja kulia
Umeona eh
Adam Leo wewe unawajua .. Back Home Bro one time
Thanks
Huyu dada Tedi ni mzuri jaman mweeee filamu nzuri pia
Shukrani sana
Mm sina rafiki rafiki yangu ni mama tu tena huo urafiki wa mjini mh mh 🙄🙄
Umeona eh! Ni kweli kabisaa🙏🙏
Ukiolewa tulia kwa ndoa yako,dangadanga na tamaa mwisho hayo.
Kabisa mwisho wake mbaya
Cjamaliza kuangalia ila huyu shoga mtu anaonekana shetani
Jamani
Akua watafutani uko mabesenini toka lini vitambulisho vikaishi mabesenini 😂😂
Njoo uswahili uone vyumba vinavyokuwa😂😂
@@AdamLeoStudiosnazijua sana kkngu ela uko mabesenini hapana 😂😂😂
wa kwanza et
Thanks
Naomi tamaa zime kuponza Fanya wema kiasi ukizidi Uta kutoa kama si
Shukrani
Huyu shemeji atakama cmjui anakaa pastor 🤣
Hahahah jamani
Wanaume km Hawa wangelikuwepo inge likua raha kweli
Umeona eh
Dah kaka adamu nimependa kumuona dada teddy dah nilishawahi kumuona kweny tamthilia ya uhuru na gharama zake natamani nione move nying zaid alizoshiriki
Inshallah
Jamqn wakanza leo nipeni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉
Thanks
Im from 🇧🇮nipe like zangu apo chini
Enjoy
ushoga huu ndo maana mm nimeamua kuwa peke yangu sitak ushoga kabisa 😢
Ushoga kazi😂
Napenda mno muv zako kaka adamu, unajua mno ❤❤❤❤❤
Shukrani
Shemeji si shemeji tena ni Angelo😂😂
Hahaha yaani acha kabisaa naomi ana balaa😂😂
Aende aolewe na mganga wake😂😂😂😂😂😂
Hahahaha umeona eh
Sisi wanawake ni shetani siku zote aky 😢
Yaani hatari kabisa
Kazi nzuri sana kaka adam🎉🎉🎉❤❤❤
Asante
Kaka Adam hongeren sana kwa kaz nzur, tamaa siku zote haijawah kumuacha mtu salama shukran sana kaka
asante sana
Do hata naongopa kumsaidia mtu wallah
Kuwa makini
Waah imeweza mbaya❤
Shukrani sana
Siamin kama nimekuwa wa kwanza 😅
Endelea kuenjoy!
Yaani sisi wanawake ni wajinga sana
Yaani
Umetisha🎉
Asante
Gostei d trabalho🎉
Asante
Hii ni mwiba wa kujitunga
Umeona eh
Aline ww kibongo😂😂
Shukrani
mim na ndy maana sitaki kabisa marafiki katika maisha yangu maana unafki tu.
Umeona eh
Wallah
😂😂udugu wangu Adam huyu dada Naomi usimuachee Wallah dada shangupele linajua kuigiza hili Wallah Yan limepita mulemule kwa mashankupeee yalivyo tabia zao watu wenye viherehere na ndoa za watu hahahahaa Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi nimejifunza leo ubarikiwe
Asante sana!🙏
Kweli munajua atali
Shukrani
Jimalize kwa shost utakuja kulia😢😢
Hahah umeona eh
Movie nzuri sana❤
Asante
Shoga Uwoya wale wapenda kira jambo kumwambia shoga ndo ayo sas
Mungu azidi kukuongoza aweze kutoa movie za kufundisha na kutuelimisha kama hizi
Shukrani sana
Kaz nzur sana ongera
Asante
Ila mganga😂😂😂😂😂
Yaani ni muongo sana sana!
Hapa Adam umeweza.
🙏🙏
good movie
Thanks
We Naomi koma msosi
Umeona eh
Jina la hako kawimbo
Kapi
Wanaume kam huyu wako kwel
Wapo
😂kafanyaje?
Hakuna wote warisha zikwa jamn Kama wapo wake zao wanafaid kwel
Jamaa munajua Sana
Asante sana
Mnayoigiza ni ya kweli yapo katika Jamii 😢
Kabisa
Nzuri sanaa🎉
Asante sana
😂❤❤ KAZ nzur Adamu Leo Alfu umelost😅😅
Hahaha jamani
Ila adam kwa nn wapemba eee😂😂😂😂ndio wanakaa ndan siku 7😅
Wapemba ni noma
Ila adam kwa nn wapemba eee😂😂😂😂ndio wanakaa ndan siku 7😅
Acha kabisa
Umetishaa❤❤❤❤❤
Asante
Rafik mnafiki
Saana
Kazi nzuri❤❤
Asante
Ww baba meponi waenda walaah wanaume wangekua hivyo duuh.. Mungu azid kumpa maarifa ila tuzid kuenjey zaidi 😅😅😅😅😅😅😅ila mme wangu siwezi kumuamini yani lazima nmuekee ulinzi tu
Hahaha ulinzi gani huo
Nipewe Tedi
Jamanii
194.shida sio kumsaidiya.shida unaishi naye vipi.🎉🎉🎉
Kabisa kabisa
Inafundisha sana wanaume tuwe namsimamo sana yani
Kabisa kabisa