MDANGAJI - New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- MDANGAJI - New African Movie | 2024 Swahili Movie | Adam Leo Bongo Movie
SUBSCRIBE NOW / @adamleostudios
Welcome to Adam Leo STudios UA-cam Channel.
Stream and Enjoy Best of Swahili Movies with your favourite artists here on Adam Leo Studios UA-cam channel.
SUBSCRIBE NOW to stay updated on all latest Swahili movies.
DO NOT FORGET TO HIT THE NOTIFICATION 🔔 BELL ICON to STAY NOTIFIED ON ALL OUR NEW MOVIES.
#mdangaji #bongomovie #filamumpya #swahilimovies #2023movies #adamleo #adamleobongomovie
Angalia filamu yetu mpya hapa
ua-cam.com/video/siy9nylpx2o/v-deo.htmlsi=TPQWh4-wgxTkO6L8
Huyu dada mdangaji anaitwaje hakika kavurugwa mpaka nimemkubali napenda sana wasanii wanaoweka aibu zao pembeni wawapo kazini
Una tufunza sana Adam
Napenda film zko mara zote hua zinabeba ujumbe mzito😊😊😊ubarikiwe sana❤❤❤❤
Shukrani sana na asante kwa kuliona hiloo🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nimechelewa sana lakin naomben like zangu hii movie kali sana🔥🔥💯
Asante sana
Brother Adam leo... muko juu sana team Adam big up bro🎉🎉🎉. Can't wait to see you 1M subscribers
Thanks a lot
Umeuanza mwaka kibabe sana kaka bonge Moja la filamu huyo dada mwenye makope ni mkali sana anaweza sana kuigiza
Shukrani sana mkuu
Napenda movie zako sana bro hdi nimekufollw kila Mahali mungu akubariki zaidi 🎉🎉🎉much love from Kenya
Ameen
Jaman kaka adam movie zako n nzuri san yan nmeipenda😍
Asantee
Ivi uyo salima uwa zimo kweli au zinakuwag zinatoka kdg Salma anakuwag ananifurahisha kwel❤❤❤😂😂😂😂😅
Hahaha na lengo letu awafurahishe😂😂😂
Mm naona nikama saa Zengine uwa hazimo 😅😅😅
Salma salma. Salma. Nimekuita. Mara3. Nyie. Huyu. Salma atafika. Mabali. Aiseeeeeee. Anajua. Adam. Hongereni sana. Nimecheka. Mimi. Nikifukuzwa. Kazi. Adam. Mtanipa kazi. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahhaah ujee tuu😂😂😂😂
Wow mumeanza mwaka vzr filam zenu nzuri, mhusika mkuu Adam fudi kakangu🎉
Shukrani sana
Waoooooh bonge la movie kwakwel nime enjoy sanaaa na nimefrah sanaaa jmn katika filamu hii
Shukrani sana
Asante Sana kaka Adam kwa filamu hii itakua vizuri Sana ukituletea part 2 from Rwanda
Sawa tunalizingatia hilo
Part 2 wakat movie unaona kabsaaa imeisha? Itaenderea nn tena apo
@FunnyConchShell-cf8gv 🙂
Uyu dada anaitwa mwanambacho au salma kwao ni namanga alinitangulia darasa mimi nipo la sita ye lasaba
Aisee kweli
Namanga wap
This is the film of the year 🎉🎉🎉
Aiseee mapema mnooo asantee sana😂😂😂❤️❤️❤️❤️
Salima mwisho wa ubaya ni aibu umeona ubaya wako kumfukuza dadayako je SASA wafaliwa na Nani?kibaya chako sio chemacha mwenzako
Kweli kbsa
Hii ni Kali zaidi ya wakuja nimependa sana hii move nzuri ya mdangajii
Shukrani
Uyo ndo salm Sema broo Adam utajta kumjua salm🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha nijute mara ngapi mieee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MashaAllah movie ina mafunzo sana kwa mwenye akili❤
Shukrani kwa kuelewa🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yani huyu dada anajua kwel😂,huna lolote lakuniambia sina, mathayo 7:7:12 ombeni nanyi mtapewa😂😂😂😂
Hahaha asante kwa kuelewaa
Bonge la movie jamani Salma.Adam,& zubeda kiukweli wote mmebamba sana' big-up🥳💪
Shukrani sana
Kazi nzuri kaka❤❤❤
Asante sana
tuko pamoja sana kutoka Lusaka zambia❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Msalimie Clotus Chota Chama
Asante.ninawapenda.sana.
Movie nayo inaeleweka kinoma, big up guys
Thanks a lot
Adam hujawahi kukosea kazi nzuri sana
Asante sana
unafanya movies nyingi zna maudhui mazuri ila shida quality kaka na location
Taratibu tutafikia huko kaka BUDGET! Unaweza kutuchangia kwa namba yetu 0652393960
Nawakubali nyote team Adam Leo❤❤❤❤Salma naja kuomba hizo kope😅😅
Hahahah anauzaa kopee
Na mikanda ya kupunguza tumbo
@@AdamLeoStudios kabisaa😄😄😄
Yani mtu mmoja anamagojwa yote yadunia😂😂😂
Ni muongo sana huyu binti😂😂😂😂😂
Much love from BURUNDI🇧🇮 ❤❤❤
Me moree❤️❤️❤️
Tuwombe maisha tu! much love from Ethiopia
Salma utaniuwa jamani nakupenda bure jamani
Anakupenda pia
pharmacy imekaushwa yte
Yaani
Wow kazi nzuri nimeipenda hii filamu ❤❤❤❤ watching from Kenya 🇰🇪
Asante
❤🎉🎉 Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunawafatatilia sana
Hongera sanaa adam kwa kazi nzuri tunaomba filam nyingine nzuri kama hii
Sawa hakuna neno
Bora kuchelewa lakin ufike..ndo mm nimewasili. ..
Enjoy
Kaka Adam kweli umeamua kutuletea vitu moto moto ama kweli huu mwaka 2024 ni mwaka wafuraha nyingi sana, asante kazi njema bro bigup 👏👏👏👏👏❤.watching from mombasa- kenya.
Thanks
Kisokolokwinyo 😂😂😂😂 Nimecheka leo🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Watching from Saudi Arabia congratulations Adam and your team
Thanks
mwenyez mungu azidii kuwavusha hatua moja mpk nyingine ili mfikie malengo yenu kaka adam
Ameen
Umetishaaaa🔥 Adam km adam😊❤️
Naam🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😂😂Ati wanaume aliokutana nao ni wanane🤣.. Kavunja sheria za wanawake wenzio idadi huwa mbili au tatu😅.... Movie Tam Sana.. Much love from 🇰🇪
Hahahaha jamani eti mbili au tatu
Wawli tu
Na kubali movie zko zinamafundisho mazuri❤❤❤❤
Shukrani
@@AdamLeoStudiosjitahidi katika muendelezo mavazi
Nimempenda Salma anajua sana yaani HAJUI KUKOSEA anatumia jina Gani ig
MashaAllah very good 👍 movie 😍❤️ watching from UAE 🇦🇪 DUBAI
Thanks
Sasa hapo umehalibu umesema inaitwa Adam leo kwa hio movis na hio movis uko unaizungumzia kweny TV na huo mtu anaitwa Adam leo 😅sasa hapo ndo umeharibu inaonekn kam niwew mwenyew bila chenga
Hahaha au sio
@AdamLeoStudios umekosea huyo mdogo wake Salma wakati anamfuata dada yake alikuwa kavaa sketi na kikoti kufika nyumbani kijora zingatia kuhusu continute
Sawa Kije
Jamani nakupenda bure😂😂😂
Asanteee🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😂😂😂😂😂kaolwa na mganga tena mchawi 😂😂😂😂chezea penz ww naijua io series zako zina mafunzo sana hongera adam na kado mungu atimize itaji la mioyo wenu amiin thum amiin
Amen
uyu salma izi part ndio zamfaa😂😂🙌
Hahahha umeona eh😂😂
Jaman vitu vyote hivyo anapereka wapi huyo mdada? Hakika leo umepatkana adam maan huko kukomoana sasa 🤔🤔🤔
Yaani kunikomoa tu
Wow! So nice. Jamani huyu mudada kasomea uigizaji??? She's a good actor
Yeah she is! Its a talent from God!
I can tell you
Daa salma weeeee Kiboko Daaaaah ....ila Hongereni sana Filam yenu nzury sana pia inaelimisha ....kaka Adam Big up 🎉🎉
Asante sana
Weee Adam wee et hutaki😂😂😂😂😂😂😂😂 salma anakuchokozaa😂😂
Sitakiii kabisaa😂😂😂😂
hv haukuwah kufilia series mr? naona itakua bomba pia !!!
Nimefikiria na inakuja
Hee huyu dada kiboko kaniacha hoi apo pharmacy doh ningekuwa mm ningemkumbia nikamuachia balaa lake😂😂😂😂
😂😂Nomaa saanaa!!
Ahahhaahahahah salmaa anajichetuaga akili huyu hahaha kama hazipo kwel kumbe zipo cjui kama akiwa kawaida anakuw hvi hvi au laah ila mauwa yenu sotee mpokee kwakwel nainjoy 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mauw yenu 🎉😂
Shukrani
😂😂😂😂😂Adam umesave je number ya salm kwenye sim yako!?duuh😂😂😂
Hahaha ndo hvyoo
Salma Mwizi 😂😂😂nimeiona hio,,,hongera sana team Adam kaz zunu nzuri🎉
Asante
Aminia kaka tuko pamj san
Nashukuru sana
@@AdamLeoStudios 👍👍🤝🤝🤝
Ukitoa ingine nitumie
Adam kwa uhalisia salma hakutakiwa kubandika kope kwenye icho kipengele
Sawaa
Mdogo wangu adamu umenikumbusha mbali sana nishapitia haya pia hongera sana kwa move nzuri za kuelimisha jamii hasa kwa sisi tunao changia mzazi mmoja mungu ajalie timu yenu mfike mbali
Nashukuru sana🙏🏻🙏🏻
Congratulations 👏👏👏 All mumeupiga mwingi hongereni nyote big salute i love you all ❤❤❤🎉🎉🎉
Asante
Da sarum kasema hatoi vitu nyake bule atavipinga munanda we kuwenza umpe mutu we kuwenza so kweri
Hahahah salma mchuni
Kwhiyo Salma na kope zote hizoo hujala siku ya pili😂😂 acha bhsss😂😂😂😂... enewei una kazi nzuri sana Adam❤ keep it up😊
Nashukuru sana Ubarikiweee
Ubarikiwe kwakuona kope na njaa😂
@@JescaChidichiduo 🤣🤣🤣🤣😩
Blz hujawahi kuniangusha ❤😂😂
Shukrani
Walah inanibamba hiii mov na iko na mafunzo ubarikiwe Adam leo❤❤❤❤
Asante sana
Kaka Adam 😂😂 kwa hiyo nasi unatupanga eti jamaa unafanana nae wakati ni wewe sema nn nimejifunza hapa kuwa uzur wa mtu haupo kwenye sura bali ni tabia yake
Shukrani sana
wow, hakika nimeipenda sana hii cinema. adam leo kazi nzuri sana
Asante
aaaaaaaa adam umenikera na iyo huruma yako huyo bibie shemej mngemwacha hapohapo ngoja akawageuke🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰👌
Hahaha jamani tumemuonea huruma😂😂
@@AdamLeoStudios 👏👏🤣🤣
Tunataka nyengine kama hii yenye maadili au mafunzo ya kiislamu maana filamu nyingi tunazo ziangalia kutoka bongo zinaambatana na ukristo pekee
Shukrani sana
Nimeipenda japo mwanzo ilitaka kunikera, move nzuri sana sana
Asante
Dada fanya aibu bc umepelekwa kununua dawa unachukua duka zima hadi naona aibu mimi..huyu dada mtaamaa kwl kwa kila series
Asante
Nipo oman ila napenda sana movie adamu ongela sana allah azidi kukuinua kaka❤
Shukrani sana
Waaah adam waniacha hoi yan movie nzuri mashallaah ❤❤❤❤
Asante sana
Jimmy
Mi mwenyewe kuna siku nilinuwiya kufanya jambo libaya laini kabla yakuona filamu yako nikairisha yani we acha tu
Mungu akulinde!
Neno kudanga mumefkiria nn hasw ndugu zetu wabongo
Kudanga kutafuta pesa kwa njia zisizo sawa
Alafu we adam umempata wapi tena huyu umesahau ulimwowa akakutesa jamani wanaume😂😂😂
Hahaha yaani😂😂
Haaa😂😂😂 nimecheka kifala 😂😂 Salma alijua ataambiwa anapendwa yeye
Hahaha yaani
Nimecoment kabla ya kumaliza lakn namaliza daaah hakiii salmaaa cyo mzimaa kwakwliii huyu dadaa adam kwa kaz zako anafaa snaa maan daaaah anavynja mbavu huyu
Enjoy
Salma bhna baada ya kupewa pesa ndo amekumbuka kuuliza jina😂😂😂😂 we unaitwa nani kwan kwa upoleee😅😅😅
Hahahha umeonaeh😂😂
Jamani sijachelewa San naomba like zangu 🎉
Endelea ku enjoy😍
@@AdamLeoStudioskilicho nifanya niienjoy zaidi ni lile jina uliomsevu Salima mwizi😂😂
Nzur xn tunaomba nyingn 🎉
Naona.movie.niko.kazi.usiku.mlinzi.wa.usiku.napenda.naona.mambo.ya.dunia.hii.
Tuliko sisi,viporwa avitupwi tuna viifadhi ndani ya friji
Jamani hahaha
Hapana jaman.hyo dada amekosea kuigza na kope macho.kuigza una shda nd uvae kope? Sio kweli.
Pole
Sasa sundio mdangaji hyo😂😂
Nawapenda Sana Kutoka Burundi Guys 🙏🙏🏼🇧🇮🇧🇮 ❤❤❤
Tunakupenda pia
I love your movies, but there's no subtitle
We will put it
😂😂😂😂😂 nimecka sana unavo jiona afu mnajifanya eti sio nyie haaaahaaaa adam
😂😂😂yaah
Ntakupiga na elfu kumi we dada kiboko 😀😀😀😀
Nomaa
Ila huyu salma anajua kuigiza sana😅
Sanaaa😂😂
Anajuwa sana nampenda sn
Mwanamke in kuwa wa Moto hivyo kwa mwanaume anaejielewa hawez kuwa na mwanamke kama Hy salima
Kabisaa yaani
Watching from saudia adam leo movie zako ziko swa👍kwahihi nimejifuza kuogea ukweli 👌
Asante
WAKUJA MBON HUTUENDELEZEI TAJIR
Itaendelea
Haya Adam Salma kiboko et wajomba zake wa libindi mbwila hyo
Hahaha umeona eh
Mmmmh hiyo balaaa mdangaji huyo mwanamke kiboko duuuh
Nomaah sana
Hongera wewe zaidi,mpe hai mdangaji,kaenda chuo Cha ugizaji,usimsahau jamaa yako aliye komaa Kama mwanajeshi
Aisee
Adam bro nikija tz unipe kipande nigize na huyu dada
Karibu
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka mm na hyo Salmaa hapo duka la dawa Yan haelew kabsaaa 😂😂😂😂😂😂halaf ni muongeaj balaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Halaf Salma mzigua mwezang ameniangusha jmn wazigua hatuko ivo 😂😂😂😂😂😂
Hahaha acha kabisa
Hongera xana dada mwizi ukapata mume😂😂😂😂❤❤❤
Hahaha jamani
Huyu dada katisha sana amevaa uhusika vilivyo.congrats bro
Shukraniii
Nafatilia snaa films zako kutoka 🇨🇦
Shukrani sana
ety nitakupiga na elf 10 wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha ana vituko
Hahahahaha!!! Mwanzo wa mwaka mzuri, navotazama Kwa film hizi tu Huu mwaka nitatoboaaaa!!
Utatoboa bila shaka
Huyu salma jaman mmmh huyu dada kiboko🙌🙌🙌🙌
Umeona eh