Wazazi Ndio sababu, Eti tuliobwa msamaha, jambo lingine sio nafasi yetu kusamehe ni Mungu Ndio wa kusamehe sio mwanadamu. Aliona awatawale na alikuwa anaishi na wadogo zake hapo akaona akawa anamtesa akajiona anamiliki familia yote na hawana pa kwenda. Shida Hizi
Wanaume mnacomment vitu vya ajabu kama vile hamuwajui wanawake hata nyinyi mngekuwa na bastola mngeshauwa..na wengi mnao comment ndoa zimevunjika nyingine ziko mashakani..
Waislam jina uislamu hauruhusu mke wa mtu kujipost ndiyo maana tumeambiwa tukitaka kuowa au kuolewa nini tutizame ila huko bars bara nasikiyaya mtu anaweza kuolewa na mtu asiyekuwa na dini hoja mshiko poleni Allah atusamehe makosa yetu kwa ujumla
Innaillahi wa innaillahi rajiun polen sana family.....aisee me ndiomana niriondoka kwenye ndoa yangu pale tu niripona hamani haipo tena na kuanza kunitishia maisha na kunishikia kisu kwa jiri ya mawivu ya kijinga nikaona ndoa hii hainifai sasa nimeamua kuwa single maza na nipo oman napambana na maisha yangu lkn sasaiv hakuna ndoa wara imeni hakuna warah na kupenda kusikiriza maneno ya kuambiwa na ya majirani😭😭😭
Salha alikuwa narcisist. Aina hii ya mwanamke huwezi kumuowa wala kuishi naye. Sababu yeye anataka akutawale na kukucontrol. Pia akuharibie maisha kwa kukufilisi. Ndio alishaanza kumchezea said mind game , ili amtawale, kumcontrol na kumuharibia maisha. Kumfilisi. Said akashtuka. Salha ni mdangaji.
Saif Arafa@ Akiwa mke ana matatizo mume ndio anatakiwa kupeleka case kwao na mke kuwekwa kitako kusemeshwa, matatizo yakizidi sana or ikishindikana ndio hapo mume anaweza kwenda kusema kwao na pande zote 2 kukaaa kitako ya mke na mume kusuluhishwa wana ndoa. Sasa na hao ndoa yao ilikua ina muda mdogo miezi 5 may be mume ndio alikua bado kwenda kupeleka case kwao yeye.
Saif Arafa@ Akiwa mke ana matatizo mume ndio anatakiwa kupeleka case kwao na mke kuwekwa kitako kusemeshwa, matatizo yakizidi sana or ikishindikana ndio hapo mume anaweza kwenda kusema kwao na pande zote 2 kukaaa kitako ya mke na mume kusuluhishwa wana ndoa. Sasa na hao ndoa yao ilikua ina muda mdogo miezi 5 may be mume ndio alikua bado kwenda kupeleka case kwao yeye.
Hii ilikuwa na dalili mbaya muda mrefu lakini kilichofanyika hapa ni kungangania ndoa lakini angejiengua mapema tu. kuna vitu haviitaji subra hasa vile vinavyoashiria upotevu wa maisha.
Mishauwoo mingi hio kila Jambo latendeka kwa amri yake maulana na sio vengine wacha urongo mwingi na hata wenye huyo yesu munae msingizia yupo ndani yenu sijuwi wakati yupo mbinguni na mungu wake na nyie munauwa pia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kamuoe nawewe kila siku ukitoka nayeye anatoka!ukipiga cm hapokei ety anampamba bi harusi kwahyo hataki usumbufu.kibaya zaidi alivyoenda kwa huyo bi harusi hajaaga kwa mumewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KIUKWELI KWA MM NINAVYOONA HILI JAMBO HAIPASWI SANA KULIONGELEA SAANA KWANI KILA UNACHOTAMKA UNAJIKUTA UNAINGILIA KAZI YA MAHAKAMA...ILA CHA KUKATAA ZAIDI NI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NA KUUA..NIMEMALIZA😎
Huyo chaumbea ndo amesababisha majanga kusema Gari ameiona sehem, mxciiuuuu. Hlf hivi sikuhizi watu wakiishi pamoja ndo wanakuwa washaoana na inahesabika Ndoa imedumu kwa muda kadhaa?!? Tanzania bhana
yani hiki kitu kinauma sana tena sana hapo yani wanafanya kila mtu kujitetea kivyake mwanaume akipatikana ataerezea ukweli wote kunakitu kiko nyuma ya pazia kitafunuka tu..
@@IBRAHIMABDUonlineTV Pole sana, lengo la YESU kutokujiokoa ni kwa sababu alitufia msalabani on our behalf tunaomwamini ili atupatanishe wanadamu na MUNGU. Aliyabeba madhaifu yetu, magonjwa umaskini wetu ili sisi tupate kupona.UMEELEWA?
Kwakweli ni kweli mwanaume was kisukuma ata mi nishakua nae wana wivu Sana makofi Kila mda yaani uwa wanajizima data kbsa ata kama ujakosa kipondo japo sio wote lkn wengi wao
Acha mikwara yako eti yesu ndani yenu hivi ww wangapi wenye huyo yesu munae sema na ni wauwaji wakubwa na wanafanya dhulma kwa maskini punguza mishauwoo kila Jambo hufanyika kwa kupenda kwa mungu na sio lolote lingine
Kwa uelewa wangu mwanamke alikuwa Malaya yeye na ndugu zake wakichezea tu pesa za mme wake,kuna kazi za kafanya kwa mwanamke aliyeolewa,unazunguka tu kwenye maharusi lazima alikuwa kesha pata mwanaume mwingine
Kwakweli Dada zangu wa kirangi wanatuaibisha,mtu unampigia cm mkeo akufuate kwa gari yako uliyonunua mwenyewe hapokei cm unaamua kumpigia Baba yake,anaambiwa na mzazi wake pia hataki,ety kwanin hakunipigia mwenyewe, wakati amepigiwa simu mara38 hapokei.jamaa yetu kakosea sana kumuua.ila salha nae sio mwanamke wakuoa.
Tatizo wadada tunapenda maisha mazuri demu mambo yote ayo asitoke to ayha ndo wanaweza sema Kuna mengi wanaficha daa girls tafuteni pesa umaskini mbaya hata kama home Kuna njaa unateseka ivyo rudi to
Wanawake wa Tanzania mmezoea kitonga na umasikini unawafanya hadi muuwawe, ona kundi lote la ndugu wa mke wamejazana kwa mume, umasikini ni kitu kibaya sana na ukute huyo marehemu tamaa zimemzidi yaani chupi mkononi
@@kabwelasutiviraka4765 unajua marehemu uwa asemwi vibaya mwenyz mungu amsamehe madhambi yake hatujui sisi mwisho wetu ila kabira la uyo binti uwa ni hatar sana hawajatulia kabsa alafu jamaa alikuwa kama ameshasoma mazingira ya kwao maana ukimsikiliz mamayake utaelewa kitu
@@saifarafa8728 umaskini mbaya nani hapendi kuingia kwa gari na kutoka nani hataki kuishi kwa nyumba ina gate ndo mana wakaenda na alikuwa first kwao so alitakiwa kuwa mpole kwana fahari wawili hawishi zizi moja
Huyo binti ni Malaya tuuu . haiwezekan mume wakoo yupo porini anakutafutia pesa . alafuu wewe unaenda tilapia na kula bata na vijana tena gari la mwanaume
Poleni sana familia ya Swalha Mungu awatie nguvu, ila familia ya Swalha inajielewa sana, na ina mshikamano kwa sana mpaka unaona wivu, ukiwasikiliza wote wamejawa upendo na kujiamini sijui Swalha aliangukia vipi kwa Shehani yule, Poleni sana wazazi na wadogo zake Swalha na familia yenu nzuri sana na mko majasiri mnaonielewa na kujiamini,
Na mwanaume mstaarabu uwa hapigi Kofi mfano mimi mwenza wangu tuko pamoja miaka mingi tu Ila hata kupiga kofi sijawahi inategemea na mwanaume tu ni ushamba na kuwa primitive kupiga mke
@@joycengaulo4072 yes sister that’s how I’m and I believe if you love a woman you won’t abuse that woman . Jamani Mapenzi gani kupigana vibao na magumi halafu unasema unampenda mpenzi wako
Asante bingo kwa kutuarifu
Zaa
Mwanaume unapiga vipi simu mara 38 huo wote wivu rest in peace mrembo
Huyu mwanaume mali yake ni ya nguvu za Giza.
Ata mimi nimefikiria ivyo ivyo Atakua kafala ilikua insitajika
Umeona
maneno ya watu sumu
unapigwa unazimia siku nzima alaf unaganda tu ndani
Wazazi Ndio sababu, Eti tuliobwa msamaha, jambo lingine sio nafasi yetu kusamehe ni Mungu Ndio wa kusamehe sio mwanadamu. Aliona awatawale na alikuwa anaishi na wadogo zake hapo akaona akawa anamtesa akajiona anamiliki familia yote na hawana pa kwenda. Shida Hizi
Hawa mashemeji wamechangia pakubwa na inaonyesha walikuwa wanamzarau na tabia za umalayaumalaya hivi
Hahaha hahaha
Mukituchoka mutuache tu
Haachwi mtu hapa unaleta uhuni ili uachwe hapa kaz tu no kuacha mtu alaa😎
Wanawake ndo wanadhamb kuliko madume ila polen sanaaa mungu amuweke pema dada yetu
Wanaume mnacomment vitu vya ajabu kama vile hamuwajui wanawake hata nyinyi mngekuwa na bastola mngeshauwa..na wengi mnao comment ndoa zimevunjika nyingine ziko mashakani..
Nyie malaya dada yenu malaya
Shemeji yupo smart anaelezea vizur
Uyu dada ndo mkweli.afu ukweli anao mume na mke.
Ndugu anaolewa wote mnahamia kwa shemeji shida sanaa ndugu yenu inavyo onekana alikuwa na mambo mengi sanaa
Alaf ujue hakunaga jibu linaloumaga kama.mwanamke akutamkie tu bora tuachene yan hili jibu wanaume huwa tunajickia vby san ukiangalia bdo unampenda
ᴴᴬᴾᴬ ᴺᴰᴼ ᴬᴸᴵᶻᴵᴺᴳᵁᴬ ˢᴬˢᴬ.....
Kabisaaa
Ukiskia vizuri utajua mwanamke naye alikua na shidaa
Kweli
Mpaka mtu achukue hatua ya kumpiga mkewe ivoo itakuwa huyo dada alikuwa na makosa mengi sana
Kuwa na akili kaka hamna ruhusa mwanaume kumpiga mwanamke hata kama asikiii mrudishe kwao kwa wazazi wake
Waislamu acheni kuozesha Wasichana kwa washirikina hata kama wana pesa na acheni kusherekea Birthday. Ulamaa wameshawakataza hamsikii..?
Waislam jina uislamu hauruhusu mke wa mtu kujipost ndiyo maana tumeambiwa tukitaka kuowa au kuolewa nini tutizame ila huko bars bara nasikiyaya mtu anaweza kuolewa na mtu asiyekuwa na dini hoja mshiko poleni Allah atusamehe makosa yetu kwa ujumla
Innaillahi wa innaillahi rajiun polen sana family.....aisee me ndiomana niriondoka kwenye ndoa yangu pale tu niripona hamani haipo tena na kuanza kunitishia maisha na kunishikia kisu kwa jiri ya mawivu ya kijinga nikaona ndoa hii hainifai sasa nimeamua kuwa single maza na nipo oman napambana na maisha yangu lkn sasaiv hakuna ndoa wara imeni hakuna warah na kupenda kusikiriza maneno ya kuambiwa na ya majirani😭😭😭
Hi my naomba no yako mamiy
Ukirud oman njoo kwmgu allah ataleta kher na mwez umeandama leo
Marehemu ilikuwa na dharau xana
duuuhh kwaiyo wachawi walishinda ktk vita hiyo RIP marehemu wote
Mnawahi kuolew wakat ujana bdo mnautaka ndo shda hyo na mitandao inaharib dakika mbili loction kesho ujipost uwalushe roho cjui kina nan daah
Rapcha - 40 missed calls
maganzo hapo hapo kahama badae anasubiri gari maganzo hahahaha si ushasema alienda kupamba kahama sasa amesubirije tena gari maganzo
Kaanzia Maganzo
Polenisana
Salha alikuwa narcisist. Aina hii ya mwanamke huwezi kumuowa wala kuishi naye. Sababu yeye anataka akutawale na kukucontrol. Pia akuharibie maisha kwa kukufilisi. Ndio alishaanza kumchezea said mind game , ili amtawale, kumcontrol na kumuharibia maisha. Kumfilisi. Said akashtuka. Salha ni mdangaji.
Ndoa ngumu jamaaanii.....ukiamua kuolewa amua kuvua kila kitu yaaani achaaa kilaa kitu cha usichanaaa
True
Huyu Mwanaume alikuwa mwehu miss call 30
Janaume akiki sifuri kabisa kichwa pumba kabisa
Wangu hata calls 50 ili akuudhi so lazma utapokea ndo atulie,, wanaumme banah...acha tu.
Kwa maelezo ya uyu dada tunapata picha kwamba marehemu swalha alikuwa Malaya tu, sishabikii kifo Ila swalha alikuwa anamsaliti sana said
Hayo maelezo yamejitosheleza kuwa mwanamke ni kicheche .
@@mnyongeiddi2454 .
Huo ndio ukweli mwanamke alikuwa kicheche
hata kama alikuwa malaya unaachana nae tu istoshe una pesa wanawake wapo wengi tu kuliko kumtoa mtu uhai wake????
Ukicheche Kwenye Maelezo yale mbona haupo !!!??? Au na wewe no walewale!!! MNA mfumo kandamizi!!!?
Wanae tuwe na uruma jmn daah allah aniongoze nisiwe na roho ya ivyo
allahuma ameen allah akufanyie wepesi inshaallah
Mmh huu ni wivu watani zangu wakurya ebu acheni utoto bwana 🙄 rip
Kakwambia nani kuwa hawa wakurya
Kwani huyo mwaume hana family? Mbona kesi zote hizo zatatuliwa na upande moja? Kuna jambo hapa.
Umeona ehhhh
Itakuwa mwanaume alikuwa hasemi kwao,Ni mwanamke ndio alikuwa anasema na hawa wadogo zake alikuwa anakaa nao
Saif Arafa@ Akiwa mke ana matatizo mume ndio anatakiwa kupeleka case kwao na mke kuwekwa kitako kusemeshwa, matatizo yakizidi sana or ikishindikana ndio hapo mume anaweza kwenda kusema kwao na pande zote 2 kukaaa kitako ya mke na mume kusuluhishwa wana ndoa. Sasa na hao ndoa yao ilikua ina muda mdogo miezi 5 may be mume ndio alikua bado kwenda kupeleka case kwao yeye.
Saif Arafa@ Akiwa mke ana matatizo mume ndio anatakiwa kupeleka case kwao na mke kuwekwa kitako kusemeshwa, matatizo yakizidi sana or ikishindikana ndio hapo mume anaweza kwenda kusema kwao na pande zote 2 kukaaa kitako ya mke na mume kusuluhishwa wana ndoa. Sasa na hao ndoa yao ilikua ina muda mdogo miezi 5 may be mume ndio alikua bado kwenda kupeleka case kwao yeye.
Mahusiano Yana Changamoto Nying sana
ua-cam.com/video/5ANDp5Mw4x0/v-deo.html
Hii ilikuwa na dalili mbaya muda mrefu lakini kilichofanyika hapa ni kungangania ndoa lakini angejiengua mapema tu. kuna vitu haviitaji subra hasa vile vinavyoashiria upotevu wa maisha.
Roho ya mauti ilikuwa inamfatilia
Maisha bila Yesu ni bure! Ukishakosa roho wa Mungu huwezi kufanya maamuzi sahihi,polen wafiwa
Mishauwoo mingi hio kila Jambo latendeka kwa amri yake maulana na sio vengine wacha urongo mwingi na hata wenye huyo yesu munae msingizia yupo ndani yenu sijuwi wakati yupo mbinguni na mungu wake na nyie munauwa pia
Unamatatzo yesu ndo Nani
Upofu tu huo maisha bila yesu ni bure kwani yesu ni nani acheni kulagaiwa nyinyi yesu sio mungu bali Issa mwana wa Maryam ni nabii wa mungu
We nawe yesu ndio nani
@@bernardzuhura4187 Na mm nauliza hivo hivo yesu ni nan
Kwa roho hiyo ya mauti mtaisha kimbilia kws yesu, mine was mtu wa nini?machozi ya mwenza ndio matokeo, mtaisha rudini kea yesu
Ao wengine mbona wakristo au hujasikia tena ukouko mwanza, yesu Ali lala kama kawaidayake kwenye boti😆
Yan mbaka naogopa me kuelewa Allah tujarie wanaume wema na tujarie mwisho mwema 🤲🤲🤲🤲🤲😭
na nyie ndo muache umalaya
Mdogo wake marehemu pole sana na hongera kwa saut nzur na uzuri wa muonekano pia ..... .😭😭😭🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mhhh?
@@mjedasunday1851 😃😃😃😃😃😃😃😃
@@mjedasunday1851 Nimejikuta nacheka, wanaume loohhh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kamuoe nawewe kila siku ukitoka nayeye anatoka!ukipiga cm hapokei ety anampamba bi harusi kwahyo hataki usumbufu.kibaya zaidi alivyoenda kwa huyo bi harusi hajaaga kwa mumewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@yasinomary2147 Kwani na huyu nae n mpambaji wa ma biharusi au nongwa tu mshikaj wangu 🙆♀️🙆♀️🙆♀️😃😃😃
KIUKWELI KWA MM NINAVYOONA HILI JAMBO HAIPASWI SANA KULIONGELEA SAANA KWANI KILA UNACHOTAMKA UNAJIKUTA UNAINGILIA KAZI YA MAHAKAMA...ILA CHA KUKATAA ZAIDI NI KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI NA KUUA..NIMEMALIZA😎
wote hawa ni kahaba wakubwa
mwanaume amevmilia meng inavoonekan
Use na maneno ya staha , Chung's ulimi huo!!!!!
Wivu wa kipuuz wa huyo mwanaume aiseh
Dada anabusaraa sanaaa polen Sanaa kwamsibaa
Huyo chaumbea ndo amesababisha majanga kusema Gari ameiona sehem, mxciiuuuu.
Hlf hivi sikuhizi watu wakiishi pamoja ndo wanakuwa washaoana na inahesabika Ndoa imedumu kwa muda kadhaa?!? Tanzania bhana
Mungu atawalipa kwakweli wamesababisha kifo akii
Kabisa yaan , umbea kwenye nyumba za watu ni shida sijui anajisikiaje
Duu kusababisha majanga du huyu dada nae kwakweli eti shemeji yangu akunisikiliza alitaka amsikilize ili iweje mhh anamplease jmn jmn
Wanaume mnaoitwa said...Hv nyie mmerogewa kwenye wivu et....M nlishadate na mtu anaitwa said nkikosea anakesha anapiga ukuta....Eeh nilitoroka😂😂
🤣🤣🤣Mie nna mtoto wa mjomba angu anaitwa Said ana hasira uyo balaa ALLAH awaongoze
Jamani hata mimi nilikuwa na mwanaume anaitwa saidi yaani anakuja hadi hostel kunifanyia fujo ilifika kipindi nilimchoka tukaachana
@@stellamotelwa2505 🤣🤣🤣kina said 🔥🔥
Kuhusu wakina said sina usem maana nmeshawah kua nae anawivu koma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn nimecheka
Maneno ya wambea ona Sasa wamefanya mtu kafa kumwambia mwanaume mkeo Yuko tlapia ilikua inahusu Nini?
Yaan wanajua wanajenga kumbe wanabomoa
Watu tujifunze kunyamaza jmn majitu mengine bhana
Hao ndio chawa
Tt comedian
Wanaume sometimes tuwe waelewa unapigaje cm mara 42 jamanii??
nipe namba we kadem
Na weye ushaona bastola kiunoni Kwa nini usitipoti sehemu yoyote
Bwana akiwa na mahela anahesabu ghalama mudawote,
Lakini hili fundisho,wanawake tukisha olewa kuna mambo lazima tupuguze 😭wapumnzke Kwa Aman
Wanga wametoboa
Alikuwa anampaka bibi arusi siku mbili huyo demu alikuwa kicheche
R.IP wapumuzike Kwa amani sisi hatuna majibu
Bora tuachane ndoa ya miez 5 tu duh
yani hiki kitu kinauma sana tena sana hapo yani wanafanya kila mtu kujitetea kivyake mwanaume akipatikana ataerezea ukweli wote kunakitu kiko nyuma ya pazia kitafunuka tu..
kashajiua zaman tu
@@chontichipya8036 duh kumbe
Yaanindoanofumbotu
Sasa makosa yapo pande zote 2,kutokupokea sm ya mumeo nikosa.
Marehemu anajiita nani Instagram...pole kwa msiba sote njia ni moja kifo hakikosi sababu
Watu wanamhitaji Yesu. Huyu jamaa aliamini sana ushirikina. Si ajabu ni maelekezo ya kafa....!. Poleni sana wafiws
Yesu Mwenyewe alishindwa kujiokoa Msalabani kwa Imani yenu, ndio atakuokoa wewe?
@@IBRAHIMABDUonlineTV Pole sana, lengo la YESU kutokujiokoa ni kwa sababu alitufia msalabani on our behalf tunaomwamini ili atupatanishe wanadamu na MUNGU. Aliyabeba madhaifu yetu, magonjwa umaskini wetu ili sisi tupate kupona.UMEELEWA?
Ni roho ya mauti ilikua inamfuatilia huyo mkaka aiseee Mungu ailaze roho ya mwanamke pahal pema peponi🙏
Na ya mwanaume
Acha ubaguz was kijinsia!!!
Alikuwa mshamba ndo kero yakutoka na washamba! Unauwa kisa k, wanawake wamejaa tele siumuache uoe mwingine😏
Piga chini kamata mwingine yanini kumtoa mtu uhai wake harafu pesa unazo za kutosha yanini mie
Jamani wanaume siwazuri kumuuwa mkewe 😭😭😭 inasikitisha sana
Mwanaume unapiga vipi simu mara 38 huo wote wivu rest in peace mrembo
Dada pole ila nass wanawake hapana
Kwakweli ni kweli mwanaume was kisukuma ata mi nishakua nae wana wivu Sana makofi Kila mda yaani uwa wanajizima data kbsa ata kama ujakosa kipondo japo sio wote lkn wengi wao
Tafuta wa kichaga
Kweli wanakisilani htr
Maneno jmn ya wambea ndio yamewafksha huko,,,huyo Kaka amewaskliza wanje zaid ambao ndo huwa viherehrre na maisha ya watu
Bila yesu ndani yako, hiyo roho itawamaliza, tuache dini tuishi kanuni za Mungu, pepo ndani yao mauti
Acha mikwara yako eti yesu ndani yenu hivi ww wangapi wenye huyo yesu munae sema na ni wauwaji wakubwa na wanafanya dhulma kwa maskini punguza mishauwoo kila Jambo hufanyika kwa kupenda kwa mungu na sio lolote lingine
Amekaa na wake kibao cha ajabu ilikuwa nini hadi kuuwa mshenzi tuu
mambo yakishirikina kwl aiseeeee
Hao wote walihamia alikoolewa dada? Au aliwaoa wote watatu?
Walihamia alikoolewa dada😌
😂😂😂😂😂😂😂😂😀😀
@@naomimwamasage7792 yaaaniiii🤣🤣🤣 Hawa ni noma🤣
Ukipenda Boga......
Ushirikina gani huo jmn?, Mungu atuhurumie .
Afu nyie hamna kwenu hadi mkaishi kwa shemeji yenu
Mwanadada anaongea kama UA-camr akituonyesha upikaji wa sambusa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daaaaah 😅😅😅😅😅
ila wew 😂😂😂😂😂😂
Poleni kwa msiba.. Allah Awape Subra Ya Rabb. Allahumma Amiin
Kwa uelewa wangu mwanamke alikuwa Malaya yeye na ndugu zake wakichezea tu pesa za mme wake,kuna kazi za kafanya kwa mwanamke aliyeolewa,unazunguka tu kwenye maharusi lazima alikuwa kesha pata mwanaume mwingine
Kwakweli Dada zangu wa kirangi wanatuaibisha,mtu unampigia cm mkeo akufuate kwa gari yako uliyonunua mwenyewe hapokei cm unaamua kumpigia Baba yake,anaambiwa na mzazi wake pia hataki,ety kwanin hakunipigia mwenyewe, wakati amepigiwa simu mara38 hapokei.jamaa yetu kakosea sana kumuua.ila salha nae sio mwanamke wakuoa.
Huyo mwanaume alikua Hana stamina ya kua na mwanamke mrembo kama huyo
Hapa picha kamili itapatikana endapo mwanaume akipatikana Kuna kitu kipo nyuma ya pazia
kama kawaida mnatetea madume wenzenu🥴
@@User2477de mmmh
Mwanaume nae kashajiuwaaaa
Tatizo wadada tunapenda maisha mazuri demu mambo yote ayo asitoke to ayha ndo wanaweza sema Kuna mengi wanaficha daa girls tafuteni pesa umaskini mbaya hata kama home Kuna njaa unateseka ivyo rudi to
Pia wanatabia zao sio wee mtu kaolewa yuko kwake ndugu mwafuata nn, mbona ndugu wa mume hawapo hapo? Au huyo mwaume hana ndugu, kupenda mtelezo
Wanawake wa Tanzania mmezoea kitonga na umasikini unawafanya hadi muuwawe, ona kundi lote la ndugu wa mke wamejazana kwa mume, umasikini ni kitu kibaya sana na ukute huyo marehemu tamaa zimemzidi yaani chupi mkononi
@@kabwelasutiviraka4765 unajua marehemu uwa asemwi vibaya mwenyz mungu amsamehe madhambi yake hatujui sisi mwisho wetu ila kabira la uyo binti uwa ni hatar sana hawajatulia kabsa alafu jamaa alikuwa kama ameshasoma mazingira ya kwao maana ukimsikiliz mamayake utaelewa kitu
@@saifarafa8728 umaskini mbaya nani hapendi kuingia kwa gari na kutoka nani hataki kuishi kwa nyumba ina gate ndo mana wakaenda na alikuwa first kwao so alitakiwa kuwa mpole kwana fahari wawili hawishi zizi moja
@@sheilaimran6949 mimi sidhani kama ni sahihi kusema watu wa kabila fulani hawatulia, nadhanj kuwa kicheche ni tabia yako mwenyewe
Huyo binti ni Malaya tuuu . haiwezekan mume wakoo yupo porini anakutafutia pesa . alafuu wewe unaenda tilapia na kula bata na vijana tena gari la mwanaume
ᴹᴮᴼᴺᴬ ᴹᴺᴬᵀᵁᶜᴴᴬᴺᴳᴬᴺᵞᴬ ˢᴵˢᴵ ᵛᴵᴱᵂᴱᴿˢ
Ukisikiliza kwa makini mwanamke alikua na kiburi
Mwanamke akiwa mzuri mwanaume hajiamini
Kila mwanaume ana mwanamke wake mzuri ambaye anavutiwa naye Kwa hiyo hamna mwanamke mbaya
@@kabwelasutiviraka4765 swadakta
@@momobakari9680 ndio iko hivyo uzuri Uko kwenye jicho la yule anayeangalia
Ndoa ngumu nyie ambao amko kwenye ndoa tulien tu
polen sana jamn nimeumia sana na msiba huo
Mungu awapumzishe kwaamanii shida kwa mtotoo jamanii
kabla samahani kwanza ,mmmh MBNA kama ya kutunga 😢😢
Kwa maelezoo ya mdogo wa marehem .uyo binti alikua hajaamua kuish na mume . anapenda kaz kuliko mume wake
Kabisa
Na angeamua kukaa tu home watasema anategemea uzuri heee jameni wanadamu hawakosi neno
Kwer jamaa upo sahihi
Poleni sana kwa misiba uriowapatå
mungu ndo anaujua ukweli yote kwa yote marehemu hahukumiwi na mwanadamu sasa ni kazi ya mungu
Poleni sana inauzunisha saana kwakwel so painful
Dada alikua na kiburi huyo
Mh uchawi umetendeka hapa.Mungu nisamehe kama nimesema uongo
ua-cam.com/video/laB9Ha0ZU5M/v-deo.html
Akina dada kama mnaona bado amja maliza mambo yenu basi msingi kwenye ndoa. Jamaa kakosea kuuwa. R.I.P😭🇹🇿.
akina dada??? mbona umeandika pumba
@@hermescash9463 sanaaaa
Wakina Kaka, kama mjua hamuwezi kucontrol hasira na wivu wenu wakijinga msioe..
Umeona eee,ukisikilizq stori kwa makini,mwanke ndo chanzo Cha tatzo,hakutambua wajibu wke ktk ndoa,angeeshimu ndoa hata yasingetokea
@@mwajumaomari4699 ni mara ngapi wanaume wanakosea kwenye ndoa? kwa iyo na sisi wanawake tuwauwe wanaume zetu wakitukosea kwenye ndoa au?
Huyu dogo pumbavu kabisaa
Stori inaonyesha wazi huyu bibi alianza umalaya.
Akili yako kutwa inawaza private parts,akili ya swalha kutwa inawaza kuwajibika na kutafuta hela.kwa mikono yako,...**c**. Umalaya aah! Ulimshika miguu....watu kama nyie hamtakiwi kuoa wanawake wenye akili,mnatakiwa muoe wanawake baadhi ya wasiojitambua.
@@giftmchomvu5214 mbwiga we,umalaya tu hakuna kingine.
Msichana huyu, Kwa nini Hukupiga simu police kutowa lipoti
We ungeweza?
Hiyo akili ya ughaibuni sio bongo.
Poleni sana familia ya Swalha Mungu awatie nguvu, ila familia ya Swalha inajielewa sana, na ina mshikamano kwa sana mpaka unaona wivu, ukiwasikiliza wote wamejawa upendo na kujiamini sijui Swalha aliangukia vipi kwa Shehani yule, Poleni sana wazazi na wadogo zake Swalha na familia yenu nzuri sana na mko majasiri mnaonielewa na kujiamini,
Acha kwanza nimalize ujana wangu ndio niingie katika ndoa maana mhhh mbk naogopa wallah
Nini maana ya kumaliza ujana?
@@swaumdodoma7591 acha kwanza nimalize ujana kabisa ili nikiingia katika ndoa niacheni na Dunia
@@ukhutfatumah1154 bado sijaelewa ukhuty
@@ukhutfatumah1154 kwaiyo ukifikisha miaka 50 ndo uolewe?
Yaani Ukhut ??halafu unataka ufanyejee
Huku ulaya uwa mtu italica famiglia yao kama anawatoto utalipa mamaezake
Yaani utawalipa kivipi kuwapiga miti ndugu zake wa kike iiili kufidia dada yao aliyefariki au unalipaje😎
R.I.P
mambo ya kuvumilia ni mabaya sana ukiona mwanaume amekupiga hata kofi moja saa hiyo hiyo ondoka haraka
Correct
Ummm jamani😂😂😂
Na mwanaume mstaarabu uwa hapigi Kofi mfano mimi mwenza wangu tuko pamoja miaka mingi tu Ila hata kupiga kofi sijawahi inategemea na mwanaume tu ni ushamba na kuwa primitive kupiga mke
@@kabwelasutiviraka4765 your Soo kind.not all can be understanding
@@joycengaulo4072 yes sister that’s how I’m and I believe if you love a woman you won’t abuse that woman . Jamani Mapenzi gani kupigana vibao na magumi halafu unasema unampenda mpenzi wako