Je marehemu hakuwa mnoko huko kazini? Inawezekana kuna madudu aliyafichua huko kazini ambayo yameathiri ugali wa watu. Polisi waanze kufatilia Ofisini nini kimejiri miezi 6 kabla ya hili tukio. Je kuna watu walitumbuliwa? Au upigaji wao kufichuliwa? Pia namba ya simu yake ifuatiliwe kugundua nani aliwasiliana nao siku tatu kabla ya hili tukio.
Nilitamani kama intelegensia ya polisi ingeweZa kubaini na kuzuia unyamakama huu. Huyu mtoto amekufa bila kuonja ndoto ya maisha yake. Mungu nakuomba uingilie Kati wauaji wapatikane haraka.
Mh mimi ndio kichwa changu kizito au? Yaani jirani asimkute mkeo na yeyote ndani ya nyumba hapo hapo umwambie yeye akatoe taarifa polisi au ni intuition yako kali. Hakuna hata dada wa mkeo,maana ingekua mimi ningehangaika na watu wetu wa karibu kabla ya polisi,hata ile panick tu ningeanza na ndugu na watu wetu wa karibu kabla ya kumwambia jirani yeye ndio aende polisi,umeshaambiwa hawapo kwanini uaisubiri ufike ndio uripoti,ni nini unachokijua ambacho wengine hawakijui? Alafu mkaguzi ndio waue familia yote? Something is missing,anyways, mda utaongea.
@Vees12 umesoma kuelewa nilichoandika au umeamua tu kubaka comment? Was I suggesting what he should have done,did I say what he did was wrong,or I just raised my concern? Hebu nitokee na maswali ya kipuuzi,ungenielewa usingeuliza swali la hovyo.
@@neemayatosha1618 so if you think you're right, why are you catching feelings? This shows how stupid you are. Eti embu nitokee na maswali ya kipuuzi....who are you not to be questioned?
@@neemayatosha1618Kwa mujibu wa maelezo hawa watu hawaishi Tanga ni kwamba wana nyumba Tanga ndio aliposhukia mke akielekea Moshi kwenye mazishi. Inawezekana huko Tanga hakuna ndugu. Tumuombee haya maumivu ni makali ni vile tu ni mwanaume.
@ashafelix8332 we Asha jamani,sasa kama hawaishi hapo ,hao majirani wanamuongelea jirani yao yupi,mke anaishi na kufanya kazi hapo,ila mume anaishi Dar. Mimi nawaza tu uchunguzi ufanyike,sijahukumu. Moyo wa mtu ni kichaka,huyo baba wamchunguze pia si kwa ubaya.
😭😭😭😭 Pole sana baba ,tunakuombea Mwenyezi Mungu akupe nguvu ya kuhimili jambo hili gumu na zito
Nilichogundua ni kwamba huyu baba ni mpole sana hawezi hata kuongea dah pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu😢
DU! BORA KWENDA KUISHIA PORINI NA WANYAMA KULIKO KUISHIA NA BINAADAMU WANYAMA WANAHURUMA KULIKO BINAADAMU😭😭😭😭😭
Yani uyo jamaa mbona maswali yake ya ajabu. Mungu amtie nguvu uyo baba
Pole sana ndugu kwa msiba huu mkubwa na wa kusikitisha. Jipe moyo Mungu yupo pamoja nanyi.
Mbona huyo baba kama hana uchungu jmny
Anao na Amelia sana😢
Huyo ni mwanaume sio mwanamke
Huyo bado yuko katika mawenge, subiri watu warudi makwao ndio akili zina rudi. Watu wa karibu wasimwache, watu wa hv wana wehukaga kwa uchungu.
Poleni xana
Dah uchungu anao usikia huyu baba acha kabisa
Pole kwa msiba huu mzito 😢
Nina mashaka na pale anaposema alimuaga kuwa anakula na pia. Nyumba ilibaki. Wazi?? Jamani mungu tunusuru
Hao wauaji ni wa kuvunjiwa chungu aisee siyo wa kuachwa kabisa
Mh huyu mzee ahojiwe vzr something is not ok here 😞
Lakini na mfiwa si afanyiwe uchunguzi…!!
Sio kwa ubaya
Na hakuna kilichoibiwaa mmmmmnh……..!!!!mmmmmnh
Acha uchawa
Uko sawa anahusika
labda maswala ya kazini mybe anlilia anavimbia wenzie au maugomvi kazini
Unataka uchungu ufananeje na sisi tuone
Watu wengine wanayaona yawenzao simpo subir yamkute 😭
Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba hu mzito…Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele marehemu🙏🏻
Je marehemu hakuwa mnoko huko kazini?
Inawezekana kuna madudu aliyafichua huko kazini ambayo yameathiri ugali wa watu.
Polisi waanze kufatilia Ofisini nini kimejiri miezi 6 kabla ya hili tukio.
Je kuna watu walitumbuliwa? Au upigaji wao kufichuliwa?
Pia namba ya simu yake ifuatiliwe kugundua nani aliwasiliana nao siku tatu kabla ya hili tukio.
Pole sana
Mkaguzi
Nilitamani kama intelegensia ya polisi ingeweZa kubaini na kuzuia unyamakama huu. Huyu mtoto amekufa bila kuonja ndoto ya maisha yake. Mungu nakuomba uingilie Kati wauaji wapatikane haraka.
Mungu awalaze mahali pema peponi kwelimtu unawachoma moto watu wasio na makosa watu watu wamekuwa hawana hata hofu ya Mungu kabisa jamani
Nyie jamani watoto watoto na alikiwa anaenda wapi??
Hawex kuonges jamsnii😮😢😢😢
Hilo gari ni la nani?
Pole shayo
Pole Bro.....
Poleni sana
Pole sana
Mh mimi ndio kichwa changu kizito au? Yaani jirani asimkute mkeo na yeyote ndani ya nyumba hapo hapo umwambie yeye akatoe taarifa polisi au ni intuition yako kali. Hakuna hata dada wa mkeo,maana ingekua mimi ningehangaika na watu wetu wa karibu kabla ya polisi,hata ile panick tu ningeanza na ndugu na watu wetu wa karibu kabla ya kumwambia jirani yeye ndio aende polisi,umeshaambiwa hawapo kwanini uaisubiri ufike ndio uripoti,ni nini unachokijua ambacho wengine hawakijui?
Alafu mkaguzi ndio waue familia yote? Something is missing,anyways, mda utaongea.
Sasa uliitaka afanyeje wakati mtu yupo mbali?
@Vees12 umesoma kuelewa nilichoandika au umeamua tu kubaka comment? Was I suggesting what he should have done,did I say what he did was wrong,or I just raised my concern? Hebu nitokee na maswali ya kipuuzi,ungenielewa usingeuliza swali la hovyo.
@@neemayatosha1618 so if you think you're right, why are you catching feelings? This shows how stupid you are. Eti embu nitokee na maswali ya kipuuzi....who are you not to be questioned?
@@neemayatosha1618Kwa mujibu wa maelezo hawa watu hawaishi Tanga ni kwamba wana nyumba Tanga ndio aliposhukia mke akielekea Moshi kwenye mazishi. Inawezekana huko Tanga hakuna ndugu. Tumuombee haya maumivu ni makali ni vile tu ni mwanaume.
@ashafelix8332 we Asha jamani,sasa kama hawaishi hapo ,hao majirani wanamuongelea jirani yao yupi,mke anaishi na kufanya kazi hapo,ila mume anaishi Dar. Mimi nawaza tu uchunguzi ufanyike,sijahukumu. Moyo wa mtu ni kichaka,huyo baba wamchunguze pia si kwa ubaya.
Na alikuwa nyumbani sasa ilikiwaje akatoka kula? Hakumwambia mwanaume kuwa anatoka nje ya nyumba kwenda kula? Maswali magumu
si kula hoteleini.kwan lazima ale nyumbani
😭😭😭🙆🙆
Mmmh huyu baba mfuatilieni vizuri mbn kama anamashaka mashqka
Police anzeni na huyu baba
Nilijua anaehoji ni mwanamke kumbe ni boi mmmh
Huyo dada alisomeshwa na mtu akamkimbia kwahyo alikuwa anawindwa.
Mmmh walimwengu mmeanza!! Mtu ana mtoto mkubwa katika ndoa ndio aje kuchomwa leo 🙄
Mmmmmmh😢
Unaweza kutujuza Huyo mtu aliyemsomesha anaitwa Nani na anakaa wapi anajishughulisha na nini?