2 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
Вставка
- Опубліковано 3 лип 2024
- Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 2 || Tarehe 04 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Mungu wetu have mercy on Kenya lord Jesus.Huruma salon zika pole Kenya Kwa Sami ya Yesu Kwa Nina la Yesu Amen.
Ni maombi yangu Mungu akutunze Mwl na wanangu wakue niwe nakuja nao kwenye semina zako.
Mungu unaemtumikia amenitendea mambo makuu sana, sijawahi weka agano na Mungu kwa kutoa SADAKA za semina zako na asinifanyie.
Nina shuhuda nyingi sana natamani hata siku Moja nikae nawe nikueleze. Kuanzia masomo, kazi, mume , familia na afya.
Bado Moja tu la baba yangu kuokoa.
Jina la BWANA YESU na litukuzwe milele
Najiungamanisha na madhabahu Yesu atuhudumie Tena, nawafunika kwa damu ya yesu watumishi wetu baba mwakasege na mama yetu Diana, praise team, viongozi wa maombi na wote mnaoshirikiana nao katika kuhakikisha kilakitu kinaenda sawa. Amen
Amen nami naomba maombi baba Mungu anikumbuke nipate mwenza sawasawa na neno lake
Amen, Nami naomba mniombee nko Saudi Arabia nimeugua mwezi mzima wa 6 na sasa mwezi huu nasikia kiuno kinauma ndani y mifupa hadi miguu nasikia uchungu kwa ndani naamini kupitia maombi yenu mungu ataniponya
Poker uponyaji katika jina la YESU KRISTO na uwe mzima,amen
B😊P1¹¹¹
Pole sana damu Yesu ikunenee mema
@@upendokiwanga9538 Bwana akuonekanie ndugu yangu
Mungu wa mbinguni akutie nguvu na kukuponya in Jesus Name tabiria mifupa yako iwe mizima
2korntho 8:9 msalaba uliachilia Neema ambayo inaweza kunitoa kwenye umasikini kimfumo kwakutazama mfumo wangu wakufikiri nakuniingiza ktk utajiri kifikira Kwanza.
Imani lazima ichukuwe kitu ndani ya Neno ambacho litakuwa binafsi
Muniombe na mimi mungu awakumbuke wazazi wangu waokoke
Amina🙏🙏🙏naombeni mniombee nipate mwenza mwenye kujali na utu pamoja na hofu ya mungu
Hakika Mungu ni mwema asiyeshindwa atujalie kujua kutumia sehemu ya msalaba wake
Mungu nikumbuke najiungamanisha na madhabau hii ktk jina last yesu Ameen
Naomba nguvu za MUNGU ziendelee kumiminika ndani yako mtumishi wa MUNGU aliye hai Mwalimu mwakasege na mama MUNGU AWABARIKI sana
Amen
Najiungamanisha mimi na familia yangu na madhabahu hii ili Mwenyezi Mungu akatukomboe mioyo na nafsi zetu
Amina baba
🙏🙏🙏🙏, yaani Leo nimeota umeniombea baba ubarikiwe na bwana
Utukufu kwa Mungu Baba.🙏🙏
Amina mwl Mungu azidi kukutumia katka viwango vyake
Hii yenyewe Baba
Amen amen amen
Amina
Ameni baba barikiwa sana baba na mama Diana
Asante Yesu kristo.
Baba mungu awabariki❤❤❤❤❤
wastahili
Ameen
😊😊
Usinipite
😊😊😊
Naomba kifahamu utaratibu wa maombi ya kitaifa Niko Morogoro
Ni kuanzia tarehe 29/7/2024 nenda KKKT mjini kati hapo morogoro muone mratibu wa mana anaitwa a mwakatobe, au muone mchungaji kiongozi utapata utartbu
Ameeeeen
Amina baba