MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI YA KUONDOA VIKWAZO KWENYE MALANGO YALIYOBEBA FURSA ZAKO.
Вставка
- Опубліковано 16 сер 2022
- Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ MAFUNDISHO: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ UCHUMI: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: ua-cam.com/users/playlist?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: ua-cam.com/users/playlist?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
Hakika Mungu anasema na sisi muda wote, kuanzia jana Roho inashuhudia nisikilize mahubiri ya Mwakasege leo nimeamka nikaweka bando Kumbe Mungu alitaka nifunguliwe kupitia semina hii aisee nikiwa peke yangu ndani nimemuona Mungu kwa namna ya ajabu sana nimetapika kupitia hayo maombi kuna sauti naisikia inaniambia nitamke moyo wa paka niliolishwa niutapike leo nikaanza kukemea aisee Mungu ni mkubwa sana akiamua hakuna wa kuzuia maana niliota miaka mingi sana bibi yangu ananilisha linyama lipo kama moyo tena ukiwa unahema na damu nyingi mkononi. Miaka 20 iliyopita leo hii ni mama wa watoto 4 Mungu amenipa jawabu juu ya ile ndoto. Sifa na utukufu namrudishia Mungu aliyeniumba hakika yeye Alfa na Omega
Jina la Bwana lihimidiwe
nimebarikiwa na ushuhuda mzuri .....
Amern
Mungu awabariki Sana Mwalimu Christopher Mwakasege Kwa Somo zuri Sana nimejifunza sanaaaaa nilikua sijui ivi vitu.
Ee,Mungu unirehem mimi mtumishi wako kwa kufanya uzembe juu fursa ulionipa
Mungu akuba riki mtumishi wa mungu ni papy kutoka inchini Congo Kinshasa Amina
Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo hili binafsi nimepokea kwa kupitia mtandao ,Mungu akutunze sana uwe na maisha marefu uendelee kutumika ktk bwana❤
Nabalikiwa sana kutoka dar Mungu azidi kufungua zaidi malango yangu
Ameeen Halleluyah Nabarikiwa Sanaa....Mwl Barikiwa Sanaa
Ameen napokea na naelewa Jina la Mungu litukuzwe juu mbinguni
Mungu mwema Leo nimefunguliwa macho ya rohoni na mawazo yangu in Jesus name amen
Mungu azidi kukubariki baba
Thanks Mwal Mwakasege., God Bless You Mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu najifunza mengi sana na imani mungu atafungua malango yangu
Nimebarikiwa na somo,Mungu akubriki Mwalimu
Nena namm ee Yesu ww ni ngome ya MAISHANI mwangu
THANK YOU GOD
Amina mtumishi mungu azidi kukutia nguvu
Ameen MUNGU fungua malango ya fursa zangu
Aminaa kubwaaa
Ameni
Amina nabarikiwa kutoka Italia
Amen thanks
Ameni
Kutoka Kenya, nimebarikiwa sana..... Mungu akupanue zaidi ili nijifunze zaidi, barikiwa mtumishi wa mungu.
Amen
Aminaaa
Amina baba
Amina.
I wish my brothers and sisters who do not speak Swahili will hear this powerful and timely teaching!
Amen
Amen 🙏
AMEEN
AMEEEN
Amina mtumishi❤
Amena
Davistamata
Mwalimu Leo Nimeota Ndoto Kwamba Wewe Kuna Mahali Ulikuwa Haiafu Pembeni Kuna Mwanamke Anaumwa Uchungu Wakujifungua Wakati Unaomba Kuna Mama Alikuwa Pembeni Ukamwambia Amsaidie Hakuweza Nikatokea Nikaita Damu ya Yusu Nikampokea Mtoto Sielewi Maana Yandoto Hii
Stera ngoneta
Stera ngonera
Nabarikiwa sana Baba, mungu azidi kukubarki sana
Amen
Amen 🙏
Amen
Amina