MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI YA KUONDOA VIKWAZO KWENYE MALANGO YALIYOBEBA FURSA ZAKO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 сер 2022
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ MAFUNDISHO: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ UCHUMI: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: ua-cam.com/users/playlist?list...
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: ua-cam.com/users/playlist?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: ua-cam.com/users/playlist?list...

КОМЕНТАРІ • 46

  • @OglanMuro-no1ri
    @OglanMuro-no1ri Рік тому +23

    Hakika Mungu anasema na sisi muda wote, kuanzia jana Roho inashuhudia nisikilize mahubiri ya Mwakasege leo nimeamka nikaweka bando Kumbe Mungu alitaka nifunguliwe kupitia semina hii aisee nikiwa peke yangu ndani nimemuona Mungu kwa namna ya ajabu sana nimetapika kupitia hayo maombi kuna sauti naisikia inaniambia nitamke moyo wa paka niliolishwa niutapike leo nikaanza kukemea aisee Mungu ni mkubwa sana akiamua hakuna wa kuzuia maana niliota miaka mingi sana bibi yangu ananilisha linyama lipo kama moyo tena ukiwa unahema na damu nyingi mkononi. Miaka 20 iliyopita leo hii ni mama wa watoto 4 Mungu amenipa jawabu juu ya ile ndoto. Sifa na utukufu namrudishia Mungu aliyeniumba hakika yeye Alfa na Omega

  • @clavemwaipopo54
    @clavemwaipopo54 Рік тому +7

    Mungu awabariki Sana Mwalimu Christopher Mwakasege Kwa Somo zuri Sana nimejifunza sanaaaaa nilikua sijui ivi vitu.

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 3 місяці тому +2

    Ee,Mungu unirehem mimi mtumishi wako kwa kufanya uzembe juu fursa ulionipa

  • @papysalumu3223
    @papysalumu3223 10 місяців тому +2

    Mungu akuba riki mtumishi wa mungu ni papy kutoka inchini Congo Kinshasa Amina

  • @dominicamwacha
    @dominicamwacha 6 місяців тому +1

    Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo hili binafsi nimepokea kwa kupitia mtandao ,Mungu akutunze sana uwe na maisha marefu uendelee kutumika ktk bwana❤

  • @gracedamas5883
    @gracedamas5883 Рік тому +4

    Nabalikiwa sana kutoka dar Mungu azidi kufungua zaidi malango yangu

  • @jacklinestraton25
    @jacklinestraton25 Місяць тому +1

    Ameeen Halleluyah Nabarikiwa Sanaa....Mwl Barikiwa Sanaa

  • @winnieanan9635
    @winnieanan9635 4 місяці тому +1

    Ameen napokea na naelewa Jina la Mungu litukuzwe juu mbinguni

  • @mercychebetchematwa134
    @mercychebetchematwa134 26 днів тому

    Mungu mwema Leo nimefunguliwa macho ya rohoni na mawazo yangu in Jesus name amen

  • @amelynelameck5300
    @amelynelameck5300 6 місяців тому +1

    Mungu azidi kukubariki baba

  • @fadhiljoseph6814
    @fadhiljoseph6814 Рік тому +5

    Thanks Mwal Mwakasege., God Bless You Mtumishi

  • @ruthanthony7542
    @ruthanthony7542 6 місяців тому

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu najifunza mengi sana na imani mungu atafungua malango yangu

  • @eugeniafabiano9326
    @eugeniafabiano9326 2 місяці тому

    Nimebarikiwa na somo,Mungu akubriki Mwalimu

  • @damymarandu7130
    @damymarandu7130 5 місяців тому +1

    Nena namm ee Yesu ww ni ngome ya MAISHANI mwangu

  • @techniciantheprogrammer5513
    @techniciantheprogrammer5513 Рік тому +4

    THANK YOU GOD

  • @user-si8up3pl6i
    @user-si8up3pl6i 7 місяців тому

    Amina mtumishi mungu azidi kukutia nguvu

  • @MaryMichael-fq8qv
    @MaryMichael-fq8qv 2 місяці тому

    Ameen MUNGU fungua malango ya fursa zangu

  • @zakayowilson618
    @zakayowilson618 Рік тому +3

    Aminaa kubwaaa

  • @mariamwanga464
    @mariamwanga464 7 місяців тому

    Amina nabarikiwa kutoka Italia

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 11 місяців тому +1

    Amen thanks

  • @magrethphilipo4509
    @magrethphilipo4509 Рік тому +2

    Ameni

  • @clarischebeti4215
    @clarischebeti4215 Рік тому +4

    Kutoka Kenya, nimebarikiwa sana..... Mungu akupanue zaidi ili nijifunze zaidi, barikiwa mtumishi wa mungu.

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Рік тому +2

    Amen

  • @WilsonGodson
    @WilsonGodson Рік тому +1

    Aminaaa

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty Місяць тому

    Amina baba

  • @jacquelineasumani7175
    @jacquelineasumani7175 Рік тому +5

    Amina.

    • @lizm9221
      @lizm9221 Рік тому

      I wish my brothers and sisters who do not speak Swahili will hear this powerful and timely teaching!

    • @felisterernest4907
      @felisterernest4907 Рік тому

      Amen

  • @babyjacob3122
    @babyjacob3122 10 місяців тому +1

    Amen 🙏

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 8 місяців тому +1

    AMEEN

  • @emmyeliudi5805
    @emmyeliudi5805 Рік тому +2

    AMEEEN

  • @christophergambi8639
    @christophergambi8639 Рік тому +1

    Amina mtumishi❤

  • @user-yo1zw2st3p
    @user-yo1zw2st3p 3 місяці тому

    Amena

  • @elingiwiriasemotemu2900
    @elingiwiriasemotemu2900 Рік тому +2

    Davistamata

  • @NiwaelMlungwana
    @NiwaelMlungwana 5 місяців тому

    Mwalimu Leo Nimeota Ndoto Kwamba Wewe Kuna Mahali Ulikuwa Haiafu Pembeni Kuna Mwanamke Anaumwa Uchungu Wakujifungua Wakati Unaomba Kuna Mama Alikuwa Pembeni Ukamwambia Amsaidie Hakuweza Nikatokea Nikaita Damu ya Yusu Nikampokea Mtoto Sielewi Maana Yandoto Hii

  • @user-uy5uc5vs2l
    @user-uy5uc5vs2l Рік тому +1

    Stera ngoneta

  • @JulieAmos-to5po
    @JulieAmos-to5po Місяць тому

    Nabarikiwa sana Baba, mungu azidi kukubarki sana

  • @adorateurdelphinbyamungu7262
    @adorateurdelphinbyamungu7262 Рік тому +2

    Amen

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Рік тому +2

    Amen 🙏

  • @monicagindo8737
    @monicagindo8737 Рік тому +3

    Amen