20 Percent - Nipeleke kwa Mama (Official Music Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 752

  • @richardmloha1762
    @richardmloha1762 3 роки тому +4

    Jamaaaani eee anayeamni kwamba 20 ni mgodii mzuuur aweke likes zakee🔥🔥🔥

  • @amanisalim7939
    @amanisalim7939 3 роки тому +2

    Hawa ndo wasanii vikongwe sio hawa vichefu chefu wanao chambana mitandaon like kwake 20%Jaman

  • @Hozanatz-e7q
    @Hozanatz-e7q 2 місяці тому

    ✍️🙈👍 20 pourcent wewe ni fundi bwana

  • @eventjekonia3788
    @eventjekonia3788 4 роки тому +12

    Kama umeisikiliza hii nyimbo zaidi ya mala5 gonga like hapa

  • @gloireirenge8035
    @gloireirenge8035 3 роки тому +1

    Wewe bado zaidi ✊🎁✊

  • @bboyfighter5863
    @bboyfighter5863 3 роки тому +1

    Kama umemuona 20 amenyoa ras gonga like twende sawa

  • @jamespeter6450
    @jamespeter6450 4 роки тому +30

    Kama mnamkubali twenty nipeni like

  • @babsheby2964
    @babsheby2964 3 роки тому +2

    Mtu nanusu huyu💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @muddyhamza9606
    @muddyhamza9606 4 роки тому +107

    Twenty umerudi au unatujaribu maana mziki unaoufanya hakuna wakuziba pengo lako tunakuomba urud rasmi game bado inakuhitaji bro✊🏻💯💯

    • @jamesdeus7044
      @jamesdeus7044 4 роки тому +2

      Akika rud broo 😭😭😭😭😭

    • @elizajuma5616
      @elizajuma5616 4 роки тому +1

      Hakika.... Mungu amfanyie wepes aendelee kutupa burudan

    • @elizajuma5616
      @elizajuma5616 4 роки тому +1

      Asante kwa goma kali lenye ujumbe

    • @fahadykajugus
      @fahadykajugus 4 роки тому +1

      Kweli kaka miongon mwa wasanii walio wahi kuni inspire

    • @iddimusic2337
      @iddimusic2337 4 роки тому +1

      Kwer. Tuna. Muitaj. Twent

  • @Tanzania..cashauro
    @Tanzania..cashauro 4 роки тому +2

    Sihami bongo sana team tujuwane♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️ nimejikuta namkumbuka mama yangu 😭😭😭😭😭😭😭pumzika mama yangu mzazi

  • @biparilakiyao9337
    @biparilakiyao9337 4 роки тому +253

    KAMA WWE NI MMOJA WA WANAOTAMANI KUONA ASILIMAILE ANARUDI KWENYE GEM GONGA LIKE YAKO HAPA MPAKA MWAMBA ASHANGAE...

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale8980 4 роки тому +23

    Wimbo wa Dunia huu elimu Kama yote ♥️♥️♥️♥️♥️ usichoke kuangaliaaa🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @allanndoro1051
    @allanndoro1051 2 роки тому +1

    Creayivity ya 20 ni noma

  • @einastykasola5120
    @einastykasola5120 3 роки тому +9

    When I listen your music I feel at peace. Nani mwingine East Africa kama 20 paa ❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kenbaroofficial
    @kenbaroofficial 3 роки тому +8

    This man has a solid fan base.

  • @asiankini4922
    @asiankini4922 4 роки тому +8

    hakuna nyimbo ambayo kwako siielewi hakika 20 we utabaki kioo cha jamii💪💪💪

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 4 роки тому +1

    Wow tyulikumis san.yko wp mama nipelek kwa mama..mpk yanikumbusha mbali.....

  • @demsonmmunga1293
    @demsonmmunga1293 4 роки тому +16

    Angalau tutakuwa huru kuona Mziki wa bongo pamoja na wazazi,maana yaliyopita ni matusi......🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌welcome back man

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 4 роки тому +2

    Huu wimbo nauangalia kila mara na nimeushare kwa jamaa pia ..unanigusa sana ..Asante sana twenty ...wewe ni msanii na huo wimbo unasitahili tuzo

  • @danielmatiku5602
    @danielmatiku5602 4 роки тому +20

    Mwenye utaalamu wake amerudi... Huyu mwamba ni fundi

  • @nkubawasso574
    @nkubawasso574 Рік тому +1

    Kaka unajuwa imba 20%power

  • @hirwagustave4229
    @hirwagustave4229 4 роки тому +99

    Acha tufukuze Matusi! 20% mpaka mwisho!

  • @senseiamazing1823
    @senseiamazing1823 3 роки тому +7

    The king of everything in music of Tanzania

  • @africanentertainment2124
    @africanentertainment2124 3 місяці тому +1

    Nakukubali sana 2024 tujuane 🔥 🔥

  • @iddbest7862
    @iddbest7862 4 роки тому +52

    Naangalia uku machoz yana nilenga lenga,,20 power 🔥🔥

  • @ramadhaniamiri8003
    @ramadhaniamiri8003 4 роки тому +2

    Mwenye mzk wake 20 power safiiiii broo mi machoz yananitoka ngoma kari rete nyingine fasta

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale8980 4 роки тому +57

    Asante nyimbo zenye ujumbe unaoishi milele 🙏🙏🙏 like nyingi kwa 20% jamani plz✔️

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 4 роки тому +1

    Hawa ndio wanamuziki waliopashwa kutambulikwa na Taifa na kusaidiwa. Kazi nzuri ya fasihi

  • @josephsuzana2153
    @josephsuzana2153 4 роки тому +1

    Nilihofia kuwa utakuwa ni wimbo kama zile za kitambo kumbe uko👍👍

  • @iddimusic2337
    @iddimusic2337 4 роки тому +1

    Kaka. Bigap san. Anae jua. Anajua tu. Nakuombea. Maisha. 100000

  • @aliiwacheuc2420
    @aliiwacheuc2420 3 роки тому

    Huyu jamaa ana madini yasiyoisha. Muziki wake ni wa juu sana. Nakuombea kila jema Sindano ndogo inayoshona makoti

  • @zanzibarstarsfootballacade7198
    @zanzibarstarsfootballacade7198 4 роки тому +17

    Hakuna matusi,maneno machafu daahhh the legend is back🙌🙌🙌🙌

  • @Ngolo_comedian
    @Ngolo_comedian 4 роки тому +3

    Nakubali kaka sana kazi zako kazi ipo good sana

  • @remytory8001
    @remytory8001 4 роки тому +3

    Jamani sisi ndo mashabiki tunaamua nani atrend na nani azingue, kiukweli haya matusi wanayoimba wasanii hawa wengine yanatuumizia sana jamii yetu wakiwemo watoto yani wanaharibika kinoma tena kwa kasi, yani unakuta mtoto kabeba mkoba wa shule anaenda shule huku anaimba "amechukua ameweka waah" au "pwaah pwaah pwaah" sasa jamani tusapot mziki wa huyu mwamba na wengine wanaoimba nyimbo nzuri ili hao wanaoimba ujinga wabadirike waongeze ubunifu katika kazi waache kutuharibia jamii yetu. Ahsanteni

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 4 роки тому

      Tunataka kucheza sio kulalamika mama mama mama cheza mziki watu tukiwa crab stres zitoke sasa hii nyimbo itakutoa stres au itakuongezea????????? Anachukua anaweka waaaaah lazma stres zitoke ukitaka za heshma tafta kama nyimbo ya utanipenda, sikomi nk

    • @catherinejumanne9378
      @catherinejumanne9378 4 роки тому

      Kabisa 👍👍👍👆

  • @guruboy_tz
    @guruboy_tz 4 роки тому +14

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
    Bonge la ngoma brother big up sana ujumbe

  • @hassanzongera2719
    @hassanzongera2719 3 роки тому

    Anaga kazi mbovu kiukwel mimi ndie msanii wangu namba 1 katika bongo fleva twenty percent karibu tena kwenye geme lako

  • @mosecoastboy7800
    @mosecoastboy7800 4 роки тому +13

    Moto juu ya moto" eeeh!!! nikweli kimiakingi kina mshindo. Walaii imeweza✋🌍

  • @shabanimwamedi2203
    @shabanimwamedi2203 3 роки тому +1

    mushabiki wa kweli tanzania nime kupenda sana

  • @robert1muhiwa961
    @robert1muhiwa961 3 роки тому

    Ma Bossies hawo ni wakorofi sana kabisa !
    Mama ao Baba ni mmoja tu ; hauzwi sokoni !!!

  • @chinaadolf2783
    @chinaadolf2783 4 роки тому +6

    Nategema kukuona ukiachia ngoma 2 ngoma najua wapo nasubiri 20 percent kama Mimi 20🔥🔥🔥🔥

  • @alfaunique7165
    @alfaunique7165 4 роки тому +1

    Tuhakikishe hii ngoma inakuwa namber one on trending jamaa anajua sana aisee mpka machozi yanatoka

  • @justinekizenga666
    @justinekizenga666 4 роки тому +1

    Dah ngoma kali ubora wako haupimiki naangalia ngoma yako hadi napatwa na hisia ww ndie msanii bora mwenye kujenga na kuhelimisha dunia unae weza shika hisia za watu kupitia mashairi yako big up bro

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Рік тому

    Nyimbo zenye mafunzo ujumbe na elimu kwenye jamii daima hazifuatiliwi kweli naamini shetani anamamlaka sana duniani cheki hii nyimbo imekamilika lakini haina airtime kwenye television na redio

  • @hamisimwamatso2092
    @hamisimwamatso2092 2 роки тому

    mziki wakudumu ni wa 20% pekee nakuombea Mungu San bro utafaulu zaidi kua na msimamo uwo kwani mwanaume kamili ni kupambana na maisha sio Rahisi Rahisi tu kuza druculer anaweza mnaendana kmziki 🙏

  • @knyndsknyds8687
    @knyndsknyds8687 4 роки тому +6

    Dua njema zikatimie ju yako kaka ....tuko nawe ulipo tupo...kazi nzuri

  • @goodjohnjohn20
    @goodjohnjohn20 4 роки тому +1

    Huu wimbo Ni mzuri Sana'a serious

  • @kiptooelijah9966
    @kiptooelijah9966 2 роки тому +1

    20 pah!
    Wengine hawako , ni asilimaire tu

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 Рік тому

    Big up sana twenty muziki wako utaishi kaka Anus🙏🏿🙏🏿

  • @joctananderson2418
    @joctananderson2418 4 роки тому +1

    Yaaaah!! sasa saivi ndotunaona radha ya mziki .hatutaki makuzi never happen like u broo

  • @MROMMAH
    @MROMMAH 4 роки тому +1

    Hawa nd wny miziki yao.......... legend......pamoja sana twenty% nakubali sana kazi zako hujawahi niangusha.........👏👏👏

  • @godblessnkyale8980
    @godblessnkyale8980 4 роки тому +1

    Frahaaa yangu nikuona ngoma
    Zakoo kozi tangu tangu na tangu20%acha nicoment hata mala 10000000000000000000020%for life 🙏🙏🙏🏻

  • @hamisymatagi8350
    @hamisymatagi8350 3 роки тому

    Asantee kwa nyimbo nzurii yenyeee ujumbeee mxuriii nawaelewaaa sana tumechoka kusikia matusiiii

  • @florahkimbage9571
    @florahkimbage9571 Рік тому

    Huu wimbo mimi unaniliza😢😢😢😢😢😢
    Sauti 💯
    Utunzi 💯
    Kweli asilimaile wewe ni mgodi wenye madini ya thamani sana

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 4 роки тому +10

    Kaz kubwa Sana mkuu Wang one love one blood

    • @shaziminaenterprises9507
      @shaziminaenterprises9507 4 роки тому +1

      safi huyu 20 nampenda Sana nyimbo zake

    • @degwaboy8128
      @degwaboy8128 4 роки тому +1

      Huyu ndio mwanamuzik tunaemjua cc hakuzw na media wala mitandao kazi yake ndio inamkuza one blood maile damu yng

  • @saidrimoh8476
    @saidrimoh8476 4 роки тому +1

    Mmmmh inauma. Tatizo generation haitaki mziki kam huu,,mungu akubarik ...
    Wamezoea matusi ....

  • @kigandalyehagi3805
    @kigandalyehagi3805 3 роки тому

    Wewe ni gwiji,unajua hadi unakera,nyimbo zako zinaishi,Mungu akutunze

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 4 роки тому +1

    Maile mbish ww ni mwalim wa hiz kaz, mziki mzur Sana mziki wenye hisia mziki ambao unaweza kuckiliza na kuangalia na mtu yeyote yule cc mashabik zako twakuomba ucbadilike na kuwafuata hao wanaotukana haya mafundisho unayoyatoa hapa hata yacpokulipa Leo yatakulipa kesho, one love maile .

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 3 роки тому +1

    Daaaa mpk nimetoa machozi bro mm ktk maisha yangu utaishi milele naww ndio msaniii wangu ata ukisema unashoo nije kulipa ntalipa uwenda nikapata kujifunza nisiyo yajua Allah akupe afya njema uendelee na burudn zako ss tunakuitaji broo

  • @jofreymwasilanga5373
    @jofreymwasilanga5373 3 роки тому

    Mwamba nakubali Sana umenikaa moyoni toka pindi umekuja matundasi chunya...

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 4 роки тому

    Ndo nyimbo uliyokuwa umekaa kimya uku ukiponda mwenzio kazi zao, aisee piga kazi acha mboyoyo

  • @mambokeshomqweli9427
    @mambokeshomqweli9427 4 роки тому +1

    Rudi ki hivo kaka bado mashabiki wako tuko. Wanaomkubali iwe 254 ama 255 wote huku

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 роки тому

    Mziki mzuri sana na ujumbe pia 20 rud kwenye game mashabiki tupo

  • @bakariiddy5252
    @bakariiddy5252 3 роки тому

    Dah!!! Hatari, asilimiairee, man maji. Kitambo kidogo, balaa hiyo nipeleke kwa mama from mama nema.

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 4 роки тому +82

    Matusi❌
    Naked❌
    Kupombeka❌
    Ujumbe mzuri✅
    Sauti nzuri✅
    Beat nzuri ✅
    💯 💯 💯

  • @allypamba9540
    @allypamba9540 4 роки тому +6

    Wewe ni Mwalimu Kwangu Brother Kazi mzuri.

  • @nihorimberetv1616
    @nihorimberetv1616 2 роки тому

    20 Acha muziki wenye wivu wakufanyiya vibaya juu wew ndo pekee tz

  • @shanatatrigger6537
    @shanatatrigger6537 4 роки тому +12

    The best artist of all time is returning 🔥🔥🔥

  • @younghenry6656
    @younghenry6656 4 роки тому

    Maneno na mistari ilivyo pangwa ni kwa usahii Unaujuwa mziki karibu tena mfalme 👑👑👑

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 4 роки тому

    Kitu ninja mwana kinzasa mwana kwao mzik umerud nyumban thank u mkush

  • @frankparis8346
    @frankparis8346 4 роки тому +2

    Safiii🤛🙏🙏🙏🙏🙏usibadili mziki wako upo good kaka

  • @kingflavour715
    @kingflavour715 4 роки тому +6

    Dah Kaka Ww ni Master ktk hili gem godbless u

  • @aykenfrancis937
    @aykenfrancis937 3 роки тому

    Napenda Sana 20 una mashaili mazuri, kaza unakuja kutoboa Tena best.

  • @novatussambi6765
    @novatussambi6765 2 роки тому

    Tunapenda sana nyimbo zako Ila unapaswa kutoa mara Kwa mara na kuomba support kwa wenzango kwani unavitu vingi sana

  • @matekamtaki5160
    @matekamtaki5160 3 роки тому

    💥💥💥💥🔥 Yani Nakuaminia Sana baba ya music

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 роки тому

    Kwa kwelii wew kaka unaimba kwa ujumbe auropoki MUNGU.AKUNYAANYUE Zaidi

  • @nicquejoseph1104
    @nicquejoseph1104 4 роки тому +11

    Mara paap mwenye game yake karud na tuzo zake. 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @youngbiencowaromas9881
    @youngbiencowaromas9881 4 роки тому +2

    Big Up kwayote walio poteza maman kama mimi hapa 🙏🙏 Thankyou for you 20%

  • @josephgregory9843
    @josephgregory9843 3 роки тому

    Ww ni legend,fundi wa mziki bro kaza tuko pamja,japo ushauri wangu mziki wako ufanye mfupi maximum dakika3 inapendeza zaid

  • @kimsarahfahyma5604
    @kimsarahfahyma5604 4 роки тому

    nakupenda sana wekaka msani wangu bora wamdawote nakilasiku 🙌🙌🙌🙌💕💕💕🎶🎶🎶🎶😎😎😎💖💖💖👏👏👏👏👏👏

  • @paulommasy7451
    @paulommasy7451 Рік тому

    Ngoma Kali, Iliyobeba Hisia Nzito wanazopitia Watu wengi. 😎🔥

  • @neaboy4032
    @neaboy4032 4 роки тому

    Daaah huyu mwamba sio poa ni kiyooo cha jamiiih

  • @jafaryliuka4202
    @jafaryliuka4202 4 роки тому

    Anae jua anajua tu Kaka piga kazi.

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 4 роки тому +1

    Big up sana kijana... ngoma zako huwa kali sana...🙌🙌🙌

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 4 роки тому

    Daaaaaah jamani wewe sio 20%,ni 100% kabisaaaaaaa,I love your works. 20 ludi kazini kaka,please

  • @isackyombe8410
    @isackyombe8410 4 роки тому

    Bonge la nyanga asee.....umetisha %

  • @Nyaso5417
    @Nyaso5417 3 роки тому +1

    20% wewe jamani!! I'm speechless 🙊😳 you are amazing my brother.
    Please come back kabisa jamani we need you.

  • @petrobwire7348
    @petrobwire7348 3 роки тому

    ongera sana kaka kwa kurudi kwenye game la mziki tulikumis

  • @mselikibinga9240
    @mselikibinga9240 3 роки тому

    20 power.Tupe ladha tumemis sana hizi hisia man.

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 роки тому

    Twenty rudi bahna nakupenda nakukubal wew na mziki wako yaani nyimbo zako zanipa raha na mafunzo

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 4 роки тому

    Hujawah kosea mkuu ngoma kali imejaaa maujumbe toshaa

  • @mwanaidamasi6516
    @mwanaidamasi6516 4 роки тому

    Big up Mwamba nyimbo zenye ujumbe ndiyo tunazitaka siyo matusi..........

  • @kingsalech671
    @kingsalech671 3 роки тому

    Ujumbe mzur sana kwa jamii 0big up 20 paa

  • @mweusipains6435
    @mweusipains6435 4 роки тому

    Jamaa kweri anajua mungu akuongoze twenty

  • @eugenemawala7973
    @eugenemawala7973 4 роки тому +1

    Kali bro jitahidi usikate tamaa

  • @maulakaroli8323
    @maulakaroli8323 4 роки тому +3

    Bonge la ngoma bro twenty! Kaza zaid kaka

  • @tomsamos19
    @tomsamos19 4 роки тому

    Babaaa ndo kazi tunazo zitaka izo mzeee daaah we mkali saana nenda KINGS MUSIC'S mzee

  • @espoirxofficiel3499
    @espoirxofficiel3499 4 роки тому

    Mkali ana Rudi baba waooo wote Tanzanie yote yako brother nili kusikiya ningali bado mdogo kwetu nyumbani Congo.... Ivi niko south africa ohhhh 20 percent

  • @silver_lyrics98
    @silver_lyrics98 4 роки тому +4

    Izi vitu hamna kwenye Game💥💥Big up 20 power%

  • @mtelewalindi84
    @mtelewalindi84 3 роки тому

    20% umetisha sana ngoma inaujumbe video unaangalia mbele ya wazazi bila woga

  • @emanuelmwandambo3724
    @emanuelmwandambo3724 4 роки тому +3

    Hujawai kosea 20 nakubali