Mi pekeyangu ni wako twenty songa mbele na mungu akulinde,,, nakupata kutoka msumbiji wilaya mueda, machaili mazuri ngali si mwenhezi wa kiswail, APA sana ni kireno,,,
Twenty nguli wa muziki wa Aina yoyote tanzania kwetu bigup bro popote ulipo mm nipo nice song, nilikuwa nasubili vina vyako tu kumbe umeimba kolasi. Good am here Germany 🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Wazi 20%...love UA songs bro,,,napenda blue anavyo chana,,,yaaan ananibamba hii style yake ya kurap kalii..uko fire broo...iwish one dei nije niimbe nae blue... Hongera sana
nataman hii ngoma ingekuwa ya mr blue ft 20 alafu ikapigwa promo za kutosha.. n nzur sana .. ila ingekuwa nzur zaid kama ingekuwa ha watu wawili tu 20 na blue
🔥🔥🔥 good song, duuuh ninaposkiliza song hii, najitahidi kujipa furaha mwenyewe coz dunia ni shida. I love u ww niliye kuweka moyoni mwangu 💖❤️. Nimekuweka and I swear hakuna yeyote anayeweza kukutoa ktk nafsi yangu 🙏🙏 I love 💗 4ever
20 per Mr bleu Dracula Mmetisha Ila 20 kaua kiitikio Ila sikushauri uendelee kuimba hivi hapo umewaoneshea tu kuwa hawa wabana koo kua mpasua koo upo Asilimaire
Nice song I say, but selekali naomba iwasaadie awa wa sani walikuwa walipotea,, na pia na mshukulu Mr blue kwa wa support,, thanks my bro kwa kuturudisha msani wetu 20 %.
...huyu ndiye asilimia 20 tuliyemmiss....mzee baba tulia hivyo hivyo...weka city vya style yako na utilize kichwa ...Mungu ni wa wote.....WELL DONE ABBAS NAKUKUBALI SANA KAKA
wewe ni musanii wa kipekee wa tangu utoto Wangu mwamba, ninaimani kama kunasiku takuja kukwona wala KUKWITA nikiwa waziri. Kinshasa DRC Kinshasa 🇨🇩⚔️✊✊✊
mwana muziki mzuri 20%nakupenda saaaaaana kwasababu unaimba bila matusi ,kwako nimashauritu🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🙏🙏🙏👏👏👏👍💪
Kweli mungu anajua kila kitu leo nimepata Raha sana kumuona Tena 20% daaa aisee mungu amerudisha musc upendwao
tunaousikiliza huu wimbo tukiwa SOUTH AFRICA JOBURG embu gonga like hapa
20% DRUCULA MR BLUE well done guys
Oyaaa bango land tumewasoma
Safi sana monger katika game
Ivyo ivyo bro
Mkongwe katika game
Mbona vesi yako ujaimba vp 20
Mziki mzuli Sana kweli 20 uko poa kaka nakukubali na mnya bluu alivo pita ni nomaaaaa
Ngoma kali sana bana kama na wewe ulimmsi 20 per cent gonga like
Mwenye mziki karudi😍😍😍🥰🥰🥰
Kazi njema saana kaka twenty unajua mpaka basi
Nataman angeimba pia kwenye verse, this guy is something else
We need people like you, mko real saaana, tumechoka na kelele za WASAFI NA KONDE .🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uko sahihi kabsa
Mara utaskia kajala kafanya hiki,zuchu naye kadate na Simba. I like it coz kila mmoja ataskia huu wimbo kwa stahili anayoishi
Haha. Konde yupo fitii pia
Hujawahi kutuangusha watanzania
20 percent
My role model
Mi pekeyangu ni wako twenty songa mbele na mungu akulinde,,, nakupata kutoka msumbiji wilaya mueda, machaili mazuri ngali si mwenhezi wa kiswail, APA sana ni kireno,,,
,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪20%% nafrahia ujio wako huu...ngoma ya kijanja nimeikubali na nafrahia kuona umerud kwenye gem
Ngoma kali sana mzee msanii wangu bora miaka yote🔥🔥🔥🔥
✍️UHALISIA:mrblue ndie msanii ambae hakatai colabo namsanii yeyote yule mkubw au mdogo yeye ana support co bigup kwa biziii✌✌✌
Uwakika Blue Uyuko peace Sana Kwa wote anacho angalia Kazi itoke Vizur mahan Alisha Sema kua sifany mziki wa pesa
Namkubali sanaa..baisa
Babylon
kwan 20% ni msani mdogo?
@@scratcharico6223 elewa mkubw au mdogo sawa
Twent power Kwa back 2 back iz god is bless mmetisha wanamuziki nyie sio wasanii wanamuziki salut
Usafi sana kaka umepotea tulikuwa tumekumis
Watanzania eeeh mwamba kacharuka keshawachekea San madog karud sas heshma ifate mkondo wake
Good xn mkali wa bongo fleva heshima yako
Maile mbish drucula na blue mmeua kaz nzur sana
20 percent hiyo chorus umeuwa ukazika bro kali saaana
Mkenya wa kwanza hapa...hivi niko pekeyangu jamani😆😆😆🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️
Tuko wengi
Nipo hapaaaa
Nko brother 🎶❤️❤️❤️❤️
Ukimya mwingi kumbe ulikuwa unajipanga na kivingine.hongera Sana Kaka.kiukweli nakukubali sana.kiukweli umetukonga nyoya zetu mashabiki wako wa damu.
Kaka ngoma kali san nyie wote mmeua kabisaa yaani hakuna alie vulunda..kabisa
By #Ibufire_Classic
Dawa kweli 20 mziki ni kipaji chako kukaa miaka yote iyo ila bado unatoa hit song❤️❤️
Twenty nguli wa muziki wa Aina yoyote tanzania kwetu bigup bro popote ulipo mm nipo nice song, nilikuwa nasubili vina vyako tu kumbe umeimba kolasi. Good am here Germany 🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪
Wacha me huy 20 tu napendaga kaz zake sana kaz nzuriiiii hatareee
20 kipaji chako ni level nyingne coraus imeimbka vema Mr blue umebaaaaamba penyewe kiujumla hamjatwangusha.
Badooo uko ujuuu asante 20power
Nawakubali mkiwa na mwanangu blue pamoja song lipo powa
Nasikiliza huu wimbo nikiwa 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 Bongo flava is back 🙏🙏🙏🙏😃😃
Kazi safi mabrow from +254 Kenya
Mwalimu Wa mzikiii 20 paccenty karibu
Tena.nakukubali mno 100%
Mshukuru mr blue...ila ww 20p hamna muimbaji hapo......nyombo mbaya
Aliyemuona 20 pacent mkali Daymond anasubili songe like hapa
Sadala wahihuku ujione mautamu tunafurahiatu 💪💪💪💪💪💏💗💖👏 asahate kaka yangu
Hii ni kali. Motto kama pasi.
20 Power kindly receives a lot of lovessss from Kenya. Wewe ni wa kwetu.
Kwan mr blue mistar anatoa wapi kila siku ni more fire
Nakubali kabisa drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nyimbo yang pendwa.😘yaani naisikiliza mara nyingi nyingi sana Mungu akusogeze mbele zaid%
What kind of Melody,,,This is what I know about bongo flavor.... welcome back king of really life music 🎵🎵
Wazi 20%...love UA songs bro,,,napenda blue anavyo chana,,,yaaan ananibamba hii style yake ya kurap kalii..uko fire broo...iwish one dei nije niimbe nae blue... Hongera sana
nataman hii ngoma ingekuwa ya mr blue ft 20 alafu ikapigwa promo za kutosha.. n nzur sana .. ila ingekuwa nzur zaid kama ingekuwa ha watu wawili tu 20 na blue
Bongo flavor is back na tumechoshwa na makelele
True
Ngoma kali Sanaa haichosi 🎶🎶
Nakubali sana mkali MR BLUE 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥 good song, duuuh ninaposkiliza song hii, najitahidi kujipa furaha mwenyewe coz dunia ni shida. I love u ww niliye kuweka moyoni mwangu 💖❤️.
Nimekuweka and I swear hakuna yeyote anayeweza kukutoa ktk nafsi yangu 🙏🙏
I love 💗 4ever
Duh noma sanaaa I say goma limetulia sana, keep fire 🔥 burning
Anaejua anajua tuuuu bg up 👍👍👍👍👍👍👍
,😜😜🤗napata ngoma hii nipo Gest nikaliii🤫🤫
Uko good twenty tunkupata kutoka msumbiji
Asilimia ishirini🔥🔥🇬🇧🇰🇪welcome back Legend
Hongereni wanyamaaaaa goma tamu.20% is back
CONGRATULATIONS MY BROTHER raha sana Najisikia Nyimbo nzur sana♥♥♥♥♥♥
Uhu ndio mziki alisii wa2 makin sana awaaa
Twenty per, mwamba hujawahi kutoa boko, namwona mwanangu Ras
E bwana wamechana bysar na mwenzie lakini 20 hiyo chorrus amemaliza....welcome back brother ...tulikumiss sana be blessed
Kwani 20 % ume mufanana sana darassa!!! Nilifikiri ni darassa
Nakubar miamba Iko bye 💥💥💥💥
20%ma brothers mziiiiiki definition
Atali sana mweeeh mnyakyusa wakwanza kumxikiliza 20%kali sana mweeeh🤜🤛🔥🔥🌴🍺🐍🐍🌴🌴🌴
20 per
Mr bleu
Dracula
Mmetisha
Ila 20 kaua kiitikio
Ila sikushauri uendelee kuimba hivi hapo umewaoneshea tu kuwa hawa wabana koo kua mpasua koo upo
Asilimaire
Asilimia 20.kazi nzur my brother 🔥 🔥
From gulf ngoma nouma sana 20 par
Huyo ndomnyama wao 20% nakubali mkumbwa💪kaziiendelee
Wimbo mzur kaka endelea kuifunza na kuielimisha jamii.Wimbo hata ukikosa matusi utasikika tu
Mwenyezi mungu akujalie uludi salama kwenye tansilia ya mziki nakukubar sana brother
Babylon buzzy hatari Sana nakubali mzee🔥🔥🔥!!!!!!!
Mziki mzurii Legends Salute my brother's 🔥🔥🔥 💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Namkubali sana 20 pacent
Daah Mr.blue iv kwann unawafunika sana wenzako ujawai niangusha kwenye corabo respect
#blue msenge wewe dah binge la vers yaani dunia yako
Babylon Biz ni janga kwakweli ila 20 per janga na na nusu uuwiiiih 🔥🔥🙌
I salute you Guys this song is awesome
Salute kwenu.one love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice song I say, but selekali naomba iwasaadie awa wa sani walikuwa walipotea,, na pia na mshukulu Mr blue kwa wa support,, thanks my bro kwa kuturudisha msani wetu 20 %.
Nakubali watu wangu from Burundi🇧🇮
...huyu ndiye asilimia 20 tuliyemmiss....mzee baba tulia hivyo hivyo...weka city vya style yako na utilize kichwa ...Mungu ni wa wote.....WELL DONE ABBAS NAKUKUBALI SANA KAKA
Aki kutu chakueleweka mo fire 20& blue, Lenny wale from Mombasa city.
Nawasikiliza nikiwa uku Canada....keep going tumechoka na kelele za wasafi
Blue siku zote ukimshirikisha. Lazima upambane kaibaka sana hii track goma Kali
Chorus ni fireeee kabaisa ndo kachinja kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From canada 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦✌✌hongera sana twenty pacent
Asante 20Pa ....1 Love Man
Kaka umejariwa kipaji kutoka kwa mwenyezi Mungu pia unaimba nyimbo zinazofundisha at watu wazima wanaweza kusikiliza wakiwa na familia zao
Duh safi sana na blue mtu really sana 👍👍❤💯🤲
Kwa nini nimechelewa kuuona muziki mzuri...Big up sana watu wangu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ngomba kali sana
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA
Twenti nimusanii ambae mm Tanzania namuelewa pamoja alikiba nyimbo zao unaweza kukaa na watoto ukaangalia
Jiwe gud 20pwr
Melody kari sana one love
It's my first time to see 20 percent singing a romantic song. I love your songs 20 per
Twnty is a power singer
Song Kali sana salut kwenu
ua-cam.com/video/U5AsYNhf8Og/v-deo.html🔞
Mashabiki wa 20% gonga like twende
Umetisha 👍👍👍🤜🤛🤝
Baisa Busy Babylon A.k.a Mr blue, aki this guy does not disappoint.
wewe ni musanii wa kipekee wa tangu utoto Wangu mwamba, ninaimani kama kunasiku takuja kukwona wala KUKWITA nikiwa waziri. Kinshasa DRC Kinshasa 🇨🇩⚔️✊✊✊
Hatreee bro naomba ukaze tunarudi
Apewe heshima yake mziki mzuri no copy ,originali bongo melody
Sawa kabisa nakukubali 2%
Nakukubali sana 20per nice song brothers
Mtot mzuka we ni kitu chaa Arusha,
Na nikikuvuta situpi cha ukuchaa.
Bonge la ngoma
Wabariki kazi zao walipoea sana