Mch Moses Magembe - KITABU CHA DANIEL
Вставка
- Опубліковано 23 лип 2022
- Ibada ya Jumapili asubuhi Tarehe 22.07.2022 katika kanisa la Gospel Campaign Centre TAG majumba sita Ukonga - Dar es salaam chini ya Mchungaji Moses Magembe.
UJUMBE: KITABU CHA DANIEL
ANDIKO: UFUNUO 1 : 7
MNENAJI: MCH. MOSES MAGEMBE
TAREHE: 24.07.2022
Kuhubiri injili mpaka kwa umri uliyo nao mch Magembe lazima Mungu hawe na wewe tu. Wazee wetu kwa umri kama wewe mtu wa Mungu nguvu hawana kabisa ila wewe nguvu 💪unazo kabisaaaaaa sauti ndiyo hiyo kubwa kabisa👍, yaani Mungu akubariki mchugaji 🙏
MUNGU hatetewi nakubali kabisa yeye ni alfa na omega huwezi kumtetea aliyekuzidi,bali yeye akutetee wewe,..Amina
Ninaomba nitoe ushuhuda nimepona ukimwi kupitia Mzee magembe
MUNGU mkubwa
Amina sana lakini just mponyaji ni YESU usije ukambeba mtumishi kama ndiye mponya
OHH MY GO
shetani na wivu anaharibu mitambo kwelikweli
HUBIRIIII👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Tutapambana vivyo hivyoo. Kushikanishaa maneno. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Barikiwa Muchungaji nakupenda sana Baba.
Baba yangu Mungu akutunze Sana nikirudi nikukute nikueleze unisaidie kulifikia kusudi la Mungu
Mungu akupe siku nyingi mtumishi ueleze kweli ya Mungu ilio nyoooka
Amen , ubarikiwe mzee wangu
Asanti kwa Neno la Mungu
Mungu akutunze uendelee kuisema kweli
Amina
Amen amen amen amen.
Amen Bwana azidi kukupaka mafuta Mtumishi wake.
Asante baba mchungaji kupitia kitabu chaufunuo nimeweza kujifunza mengi ususa ni nyakati tulizo nazo na nyakati zijazo Mungu akubaliki sana akuongezee umri uku ukipanda viwango vya utumishi
EEE Mungu tulindie huyu Mtumishi
Somo zuri baba ninabarikiwa
Huyu pastor hata ni comediani
Amina Babangu
Amina baba mchungaji
Wajua sauti kubwa huwa watu wanadhania kwamba Mungu Yuko pamoja nao Japan's ndugu hata manabii wabaali walifanya ivo
Tuko pamoja baba
This is very powerful
Aminaaaa baba
Mungu akutumie zaidi kwa kizazi hiki
Ameen Baba fundisha kweli yote
Tupo Pamoja ubarikiwe mtumishi
Tengenezeni mitambo Vizuri mtumishi
Somo zuri,mwalimu mzuri
Mzee unaongelea kitabu kimoja au viwili
Nabalikiwa, mtumishi Mwenyezi Mungu akutie nguvu kwenye utumishi wako.
Barikiw baba lin utakuwa mkoa manyat
Samahn manyara
Amen
🙏
Mimi ni msabato ila huwa nakufatilia mtumishi nimefurahi sana kuona unafundisha hivyo vitabu maana wakristo wengi wa jumapili hawana Habar na vitabu hivyo, Mungu akubariki sana.
Sio kweli. Tumafunfishwa na kuvisoma sana. Sasa utajuaje kama husali Jumapili. Pia acha kuhukumu. Siku Ile ya hukumu ndio Yesu atakapohukumu kila mtu na alivyotenda. Hivyo wewe unayesali jmosi na anayesali jpili wote tutakuwa mbele za Mungu.
Tupo pamoja
Mungu akubariki Ila n'a taka ni pâte namba Yako ya simu baba
Miongoni mwa waprotestant wasemakweli walobakia
Mungu Ni Mwemaa, SAFI SANA Mtumishi wa Mungu,,,
Umesema vizuri kwamba utasema kitabu cha ufunuo na Daniel utuambie lakini hata huhubiri hayo hakika MTU yeyote asiposikiza wakina Francis ndacha na onyango hakika hawawez ona mbigu hakika
Shida ya vidio zenu hakuna moja haikuwagi Iko sawa zote ni itilafu tupu