Mch Moses Magembe - KUGEUZWA KUWA MTU MWINGINE
Вставка
- Опубліковано 13 сер 2022
- Ibada ya Jumapili Asubuhi katika kanisa la Gospel Campaign Centre-TAG Majumba sita Ukonga - Dar es Salaam chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: KUGEUZWA KUWA MTU MWINGINE
Andiko: 1 SAMWELI 10 : 6
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 14.08.2022
Barikiwa Sana Pastor Magembe mmebakia wachache wazee wetu, ambao kanisa linaweza kujivunia
Amen Baba natamani nikuone kbs wewe ni mwarimu wangu
Asante mchungaji Moses magembe unatufundisha haswa neno lamungu naamini umefuata nyayo zawatangulizi wako Moses kulola Zacharia kakobe
Kwa kweli nikisikiliza sauti yako baba Imani yangu kwa Yesu inaongezeka maradufu
Bwana Yesu akutunze
Mungu naomba unisaidie
Amen, MUNGU athurumiye sana
Habari za Yesu zinaleta rah amani na utulivu moyoni.a
Hakika
Huo moto ambao Mungu kaweka ndani yako na aendelee kuuchochea kwa Jina la Yesu.. Tunamtaka yule Yesu wa jana Leo na hata milele, Mungu akubariki sana mchungaji
Mungu akupe maisha marefu mchungaji , unatuhubiria injiri yenye nguvu za Mungu kwel kwel,
Asante mch kwa ujumbe mzuri,kweli miyoko yetu igeuke
Mahubiri ni manzuri na ina uzima. Shinda yako ni Moja. Kwanini nawewe tu una hubiri je na hawa ma pastor wanao kuzunguka. Si uwapee pia wahubiri tuwasikie. Acha uchoyo wa mahubiri. Tu Nataka kuwasikia. Hawa wengine
AMINA SANA YESU KRISTO AKUTUMIE ZAIDI KUHUBIRI INJILI SAHIHI.
UBARIKIWE MNO MCHUNGAJI . WEWE UKO JUU ZAIDI. INJILI ZA KUBEMBELEZA WASHIRIKA WASIHAME NDIO ZINAZOENDELEA SASA. KWA MAKANISA MENGI. MUNGU AKUTUNZE. HUBIRI BABA WATU WAMJUE YESU.
AMINA
Amina baba
Aminaa san
Mungu nisaidie nimalize safar salama 😭😭😭
Mungu amekuweka kwa ajili ya "nyakati: hizi! Niko Arusha' napenda j :jumbe' zako! Mungu akulinde baba!
YESU NISAIDIE NIWE CHOMBO KIPYA. UNITUMIE KATIKA HAKI NA UTAKATIFU...
Niache nikupende mzee wangu, nichonge kwa neno la Mungu mi ni kijana nataka nitumike vyema
Ubalikiwe sana Mungu amekusaza wewe kwa kazi maaalumu
Na mm naitwa PHABIAN MATHEW nipo mwanza nilikuwa nasumbuliwa na jini mahaba kwa muda wa miaka kumi, leo wakati nimelala mchana nikaota baba mchungaji ananiambia niwe mkwel nimenunua bando nimeingia online nikakutana na Ibada ya kugeuzwa na nilikuwa nasumbuliwa na kichomi naendelee vizuri
Umeshafunguliwa tyr
Ubarikiwe, Mch, Mungu aendeleye kukutumia, tuendeleye kufaidia, utukufu umurudie Mungu 🙌🙌
Eliud Nafasi
Asante mchungaji kwa mafundisho yako mana na yame nisaidia Sana,,,
Amena nimepokeya uponyaji ktk jina la yesu kristo 🙏🙏🔥🔥🔥
Ujumbe mzuri Sana. Mungu akubariki Sana...!
Amina
Thanks my beloved pastor for Good work
Namuogopa Mungu aseh 😭😭😭
Amen,ubarikiwe baba
Asante sana baba kwa neno ila tufanyeje ?kanisani tukisalimiana watu hawaitiki kwaajili ya chuki
Nakupenda sana, Mungu akubariki na kukupa afya njema mchungaji
Amna mtumish nmejfunza ktu lzm nikubal kugeuzwa
Amina sana, nimebarikiwa sana kutoka hapa Zanzibar
Mungu akubariki sema ukweli baba tubadilike
Kusuka nywere ni unyonga, mapambo ni unyonga, mapambo ya maua yaliyo tengenezwa na watu ni sanamu waumini achana na hayo nikuabudu miungu. Mchungaji fundisha waumini waachane na uovu huwo.
Mchungaji kazia na hiri nalo nimuhimu zaidi sana. Nalo ni hili, mapambo yakusuka nywere na kupamba kanisa kwa vitambaa na maua hayo ni miungu.
aah!!! kanisa lisipandwe?
God bless u for this powerful message
Amen mtumishi nimekuelewa 🙏🙏
Amina baba hiyo ndiyoo Injili kamili
Acha kua kibao😭
Hiyo yenyewe God bless you pastor
Hii nzuri. Mh...inatakiwa sana hii.
Yes, nimepokea 🔥🔥🔥😭😭😭
😭😭😭😭 Turehem Baba
Barikiwa sana mtumishi
Uamsho hauwezi kupatikana wakati Kanisa limejaa masanamu na vishuka utafikiri ni vile vyumba waisilamu vya majini au utafikiri ni vyumba vya sitarehe ya kidunia. Mchungaji ambia kanisa liachane nahayo.Ezkl 8:9-10
Mungu akubariki
Sema tupone
Amen
MUNGU naomba utugeuze.
Sema usiogope mtumishi wa mungu akutie nguvu ni kweli hali mbaya
Sema Baba tupone
Pia nimebarikiwa sana mtumishi mungu aendelee kukutumia mungu atusaidie sana pia mchungaji nisaidie kuna kitu sijapenda sisi tuliookoka tunabaguana wengine wanajiona ndio wameokoka wengine hawajaokoka yaani dhehebu lingine ndiye watakatifu dhebulao ndio zuri nazungumzia watu tuliookoka kwa madhebu tofautitofauti tuliojazwa roho mtakatifu ubatizo wa maji mengi nisaidie mbona tunabaguana?
Kama imani ni moja juu ya kristo tunaamini juu ya roho mtakatifu na ubatizo mmoja anayejisifu haijui bibilia matatizo ya kanisa kma kanisa hayawezi chafua dhehebu zima
BBBzbJz
Mijitu imejaa ktk majumba ya maombez 🤣🤣🤣
Mungu akupe maisha marefu mchungaji , unatuhubiria injiri yenye nguvu za Mungu kwel kwel,
Amina
Amen
Amina
Amina
Amina