Mch Moses Magembe - ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO | MAKAMBAKO 07
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2023
- Siku ya saba ya mkutano wa uponyaji na miujiza Makambako, chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: ISRAEL NA SIKU ZA MWISHO
Andiko: DANIEL 9:23-27
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 15.10.2023
Namshukuru Bwana sana kwa kututunzia had leo uko hai,tunapata madini,Bwana akutunze.
Utukufu apewe
Mungu kwa maana ishara hizi huambatana na wanao amino
Amen, Mungu atupe neema ya Kutambua haya ili tusije kuachwa atakapo kuja Yesu. Bwana Yesu mimi.
Jaman watumishi wa Mungu mkazane maana hatujui tunajitumbukiza tu.
Tuliopata neema ya kusikia mahubiri haya na tubadilike kwa kutengeneza maisha yetu pia kuwakumbusha wengine kuwa Yesu yu karibu sana, Yesu anarudi! Bwana atusaidie. Amina.
Ameni
nishauku yangu kumjua sana Mungu
@@MussaMathayo-vy6qe9.
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu mahubili kama yako kipindi hichi yamekua adimu sana tulikuaga tunayapata kwa mzee kurola ambae ameshalala ktk bwana injili nyingi tunayohubiliwa kwa sasa ni yamafanikio zaidi sio ya kuwahubilia watu waache dhambi ni hatali sana
Hongera sana baba askofu magembe,,,mrusha matangazo unakata sana jitahd kujua nini ttzo mahuburi mazuri sana Ila yanakatika katika.
Hofu nikubwa Sana duniani..
Amen, ubarikkiwe Baba mchungaji
❤❤❤ Aminaaaa
Amina saana
Bwana atukumbuke kuiishi kweli watumishi wa Mungu barikiwa sana Baba❤
Mzee magembe nakukubali andaa na mjutano huku maeneo ya umisheni ngunguti vikindu mashariki
Ooh mitambo inakata kata Jamani!!
Aminaaaa baba
Namimi nimefatilia hotuba ya wazir Mkuu netanyah daa nilimeshaga Sana hiyo hotuba
Jamani tusaidieni nasi was vijijini haya Mambo hatuyaoni.
Mungu awawezeshe mafundi mitambo kudhimiti kukatikakatika kwa mawasiliano, maana mambo anayoyahubiri Mch. wetu hayapaswi mtu kukosa hata kidogo. Mungu atoe mitambo mikubwa ili habari hii ifikie wengi kwa usahihi wote.
Kamandaa wa Yesu barikiwa baba .hakika najisikia raha lazima dunia ijue
Amen mungu akubariki mtumishi magembe mungu azidi kukuinua zaidi mafundisho yako mazuri sanaaa karibu babati
Asante baba yesu anarudi kabisa
Mungu nipe Neema
Bwana Yesu akubariki sana Pastor Moses Magembe Kwa ufafanuzi wa siku za mwisho.
Nimebarikiwa sana
Amen
Wale wanaoshabikia bila kuelewa, waache. Watapigania Waarabu badala ya Mungu.
Mchungaji Mungu akutunze kwakuwa na masomo mazuri uliyonayo maana wachungaji wengi hawajui hayo uliyonayo
Shule nyingi mno. Hongera sana babaa
Mungu akubaliki sana
Ameen, Mungu akutunze Baba
Mungu atupe Neema tusibaki dunian
Ukweli mtupu ubarikiwe mtumishi
Amen BARIKIWA sana pasta
Wow true servant of Jesus +254
Amina
Mungu akubariki mch kwa kufundishs somo ilo
Ubarikiwe Sana baba Mungu akutunze
Amina Kweli Mungu asifiwe 1:16:19
Mungu awabariii saan
🙏🙏
Haya mahubiri kwasasa kanisani hayapo,wachungaji wamefungwa midomo,wamepofushwa macho hawaono,Mungu alinifunulia mlango wa rehema unakwenda kufungwa,
Mh! Mbona unyakuo tena!! Any way, nimefurahi kusikia habari za kuna kwa Yesu zinahubiriwa hapa
Njombe utakuja lini mtumishi
Mungu akubarki sana mzee wangu,na Mimi Mungu anipe neema ya kuihubir kwel
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Kwa mafundisho mazuri sana kwaajili ya kanisa la Bwana🙏
MUNGU akubariki sana mtumishi wa BWANA YESU
Amen amen 🇦🇺 ubarikiwe baba sema
Ubarikiwe sana Baba angu
Hallelujah
Amen Rev.Moses.God bless you
Amen 🙏
Amen mchungaji 🙏🏿🙏🏿
Mungu aturehemu
Hakika sijawai juta tangu nilipo chagua kukusikiliza mtumishi wa MUNGU aliye hai🙏
Ubarikiwe sana baba.Lakini, katika Biblia hatupati mahali popote unyakuo wa kwanza na wa pili au kurudi kwa Yesu mara ya kwanza na ya pili.Biblia inatuambia Yesu atakuja/ atarudi mara ya pili mara moja tu ambapo kutakuwa na unyakuo wa wazi.Hizi ni siku za mwisho, Roho wa Mungu atusaidie kuyaelewa maandiko.......Amina!!!!!😢😢❤❤
🙏🙏🙏❤❤.
Mzee mungu akutie nguvu
Glory glory hallelujah
Be blessed father
Kanda ya ziwa unakuja lini
Barikiwa Sana Baba
🔥🔥🔥🙌🙌👏
Ee Mungu watu Kama hawa leo hii Aina ya MCH magembe wako wapi,
Ameni
Amen Hallelujah!
Asante kwa uamsho mkubwa sana kwangu,sijui huyu mchungaji anapatikana wapi, hii ni hazina,wachungaji wakizazi chetu wanahubiri mafanikio tu,sijui huo uchumi watauwekeza wapi dunia inakwenda kuwekewa vikwazo,hizo biashara watazifanya wapi,kila mahali patasukwasukwa
Anapatikana go'ngolamboto majumba sita. Dar es salaam
Ameen
Somo n nzuri lkn fundi mitambo EE Mungu naomba unipe Neema ya kuhubiri kwa hzi nyakati za mwisho
UBARIKIWE ZAIDI 1 WAKORINTO 1:9🙏🙌🙌
Amiña
Hii ndio injili halisi
Jamani sis wa vijijini tufanyeje?Mbona Injili za namna hii tangu tuhubiriwe zaman yalipotea?
Mahubiri mazuri sana ila video inakatakata sana
Mafundi mitambo mnatufanyia nni sasa kwani mmekueje siku hizi mitambo inakatakata.
Mzee wangu mungu akubariki sana kwa somo hili
Ll
Mungu aendelee kumtumia mch watu wengi wapate hili neno
Hapo Kwa sayari Pluto sijui Jupiter hakuna kitu ya Nanna hio Kwa mujibu Wa biblia MUNGU aliumba mbingu Na nchi pekee...yaani Dunia .hizo Ni miungu ya wapagani.alfu pia mbingu , firmament
@Rev Moses, nimefuatilia mafundisho hayo, lakini kuna kagiza fulani: Mpinga Kristo anasimama baada ya Kanisa kunyakulia ao Kanisa linanyakuliwa baada ya Mpinga Kristo kufanya kazi yake, dhiki ya Yakobo inatokea na mapigo 7 yanatokea? Weka sawa kwenye chat na kuweka mafungo ya Biblia. Kwa ufahamu wangu, Watu wa Mungu waliosalia, wanabaki kupitia taabu zote hizo mpaka wakati ule watakapo muona Yesu akirudi, huku wabaya wakiwa wanapigwa hizo pigo 7 za Ufunuo. Mnyama wa Ufunuo 13 anafanya kazi, kuwawinda Wateule, wanamshinda, mpaka wakati Yesu anarudi, hakuna kunyakuliwa kwa siri.
Karibu Mtu wa Mungu kwa kujadili, @Rev Moses
Kanisa la YESU duniani halitaingia kwenye dhiki kuuu,Unyakuo unaanza na baada ya Unyakuo (rapture) ndipo mpinga Kristo atapata nafasi ya kutawala dunia, biblia inaposema yule asi roho yake inatenda Kazi lakini yupo azuiaye huyoo azuiaye ni Roho Mtakatifu ndani ya Kanisa. Baada ya Kanisa kunyakuliwa ndipo mpinga Kristo ataanza kutawala miaka 7. Dhiki ya yakobo biblia inamaana dhiki ya taifa teule yaani Israeli, huyo ndiye yakobo mwenyewe. Na hao watakaookoka ni walle ambao hawatakubali kupigwa chapa ya 666. Na hayo mapigo yote watayapitia Israel na wale wengine watakaokua wamesalia duniani. Pia usichanganye unyakuo na kurudi kwa Yesu na watakatifu. Unyakuo utaanza kabla ya Dhiki kuu. Na mwishoni mwa Ile miaka Saba ya mpinga Kristo ndipo hapo Yesu anashuka na Jeshi la Watakatifu kuamua vita ya Harmagedon ikiwa ni pamoja na kumuua nabii wa uongo na mpinga Kristo kwa upanga katika kinywa chake. Halafu Jitahidi usome maandiko na sio Kuleta mitazamo yako Kama ulivyosema hapo, biblia inaelezea Mwana wa adamu atakuja Kama mwivi, wawili watakua wamelala, wawili watakua shambani, wanawake wawili watakua wakisaga mmoja atwaliwa na mwingine aachwa hiyo ndio ya Yesu kuja kuchukua Kanisa lake Tena hii ya Unyakuo ni watakatifu peke yake ndio wataisikia Sauti ya parapanda na watamlaki mawinguni. Mapigo Saba ni kwa taifa la Israel na wale wengine waliosalia. Hiyo ya kila jicho kumuona ndio hiyo ya kuja na mawingu na Jeshi la Watakatifu mwishoni mwa dhiki kuu yaani mwishoni mwa Ile miaka Saba. Hapo ndipo kila jicho litamwona na hao waliomchoma. ZINGATIA kusoma maandiko vizuri na sio kurashia rashia. Biblia iko wazi kabisa.
Palestrina uwataji, acha ubinafsi was dini
Palestina Mungu awasaidie kuelewa unabii.
Amen
Amen