Mch Moses Magembe - UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA? | KAMPENI YA UAMSHO TANZANIA - LINDI NACHINGWEA 02
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Siku ya Pili ya mkutano wa Injili katika viwanja vya TAG Mnala wa Vodacom Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi katika kampeni ya UAMSHO TANZANIA chini ya Mch Moses Magembe.
Ujumbe: UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA?
Andiko: LUKA 16:19-31
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 07.07.2022
Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri
na muogopa Mungu ni Mungu wa vita🔥🔥🔥🔥
Ubarikiwe baba mungu akubariki sana
amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.
Ubarikiwe baba
Amen
Amen × 15
Asante baba
Aminaaaaaaa
Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu
Mchungaji wa Tanzania Magembe shikamoo. Nilikuwa sijawahi kukufuatilia nimekuelewa sana 🙌🙌🙌🙌🙌🤝
Ubarikiwe mtumishi WA Mungu
Tunabarikiwa sana bb
Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi
Nashukuru mungu kwa kuwa mkristo mi huwa nawasikiliza watumishi wote wa mungu bila kubagua mchungji mungu akulinde saana
Hiyo ndiyo injili tunayoipenda ya kusisimua maisha yetu ya kiroho.
Amen, nime barikiwa na ujumbe; Mungu Akubariki baba
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
AMINA Mtumishiiii wa MUNGU.... Binafsi huwa nakuelewa na ninakufuatilia Sana ipo Siku nitakuja kanisani Kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆❣️❣️
Asante mtumishi wa mungu umenifungua kiroho napenda kufatilia vipindi vyako mungu akupe miaka mingi uzidi kuwafungua watu barikiwa baba
AMINAAAAA
Mungu akubariki sana mchungaji.Natamani sana kuokoka na kumjua huyu Mungu zaidi.Natamani sana tena sana.
Maisha malefu mtumishi !!?...more greatings from ...Kenya...watamu.
Biblia haijakataza pombe, ndo maana, vitu havimtii mtu unajisi kwani, Kama pombe ni dhambi basi, hata giza ni dhambi. Wewe ni mshabiki wa dhehebu lako(ulokole)
Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu
Amina!Amina baba
Jamanii Asikofu Kabone Barikiwe Baba
Mchungaji anahubiri vizuri sana, anatupa neno last uzima❤
Ameni baba unazungumza vitu vya ukweli kabisa nakupenda sana baba yangu ubarikiwe sana sijawahi kukuona natamani sikumoja nikuone.🙏
Jmn huyu baba anankumbusha mzee Moses Kulola ah upo vzr bb
All The way from The UK ...Nabarikiwa sana na Baba Magembe,Natamani siku ahubiri pamoja na Askofu Maboya kabisa liwe na umoja!!
Ameeni Mtumishi tunakuelewa
Baada ya wewe nani umemuandaa kwajieri ya kutunza uwamusho
Ubarikiwe sana Baba, mahubiri mazuri sana.
Jamani mi naomba mnipe fungu ambalo Yesu aliomba kwa kupiga kelele hivo
Ukijazwa na ROHO MTAKATIFU huwezi kujizuia soma matendo 2;1...... utaona ilikuwaje ubarikiwe....🙏🙏🙏🙏🙏
Usitawaliwe na udheebu tia akiki kichwani mwako
Amen mchungaji, ubarikiwe papa
Ubarikiwe sana baba mchungaki Magembe kwa kazi yako njema Mungu aendelee kkukutunza.
Aminaa
Hapo catholic na seventh-day inawausu 😂
Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Mungu akubariki kwa ufunuo mkubwa kuusu maisha baaada ya kufa.
Pia muhubiri anasema ninani ajuaye kwamba roho ya mtu akifa huenda juu au huenda chini?
Be blessed pastor
Yesu akuongeze miaka ya kuishi
Jina la Bwana libarikiwe ....ASNTE KWA MAFUNZO MCHUNGAJI
Ubarikiwe sana baba hakika tunabarikiwa sana na huduma yako unafundisha kweli
Asante tumebarikiwa na ujumbe wako mzuri mtumishi!
Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏
Following from Paris France 🇫🇷
frola,,,Amen Amen
Ubarikiwe sana Baba
Aaa hapa ndo pagimu hakuna kumung,unya hapa Ni shida kifo Ni kigumuno MAANA ndipo PENYE kilio na kusaga meno na ndipo tutajuta kuishi KWA kujichanganya na dhambI na kuipenda dunia hii hero Yao wazifuao nguo zao sasa
Amen mubarikiwe Sana ndugu zangu Mimi ni Mchirika wa Haskofu DANIFORD BURUMELA kotoka msumbiji❤❤❤
Amina mzee wetu
Sikiliza nikiwa Burundi Makamba
Amen
Amina
Amen
Amen
Amina
Amina
Amina
Tangu Niko sikilize mahubiri sija wai sikia mihuniri kama n'a Huyu, baba Mwenyezi Mungu akubariki saana naendeleetu kukutia nguvu
Mimi nakaa Katika Inchi ya Congo (RDC ) naitwa Neema RUSUMBA
Barikiwa mtumishi
Amina nakuelewa
Very inspiring message
Amina
Amina mtumishi. Mungu akubariki sana kwa kufungia akili za watu wengi tulikuwa hatujuwi mambo haya sasa tumepata luelewa mungu akubariki sanaa
Pasteur Mogogo yeye anakwambiya ukweli
Juuu yeye hajafa akafufuka
Ndo maaana hataki kuhubili uwongo wa wazungu
Ubarikiwe sana
Barikiwa baba
Amen
Natamani siku moja uje Kahama,
Tunaelewna mch🙏
Amina. Nimebarikiwa kutoka kenya 🇰🇪
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua.
Amen
Baba mchungaji nakuelewa
Amen
AMEN
Mungu azidi kukutumia sana kwa utukufu wake
Waislamu na wa dini nyingine wanahitaji msaada wetu kwa nini tunasita kuwataja??????
Lazima tuwasaidie
MUNGU azidi kukutunza kuanzia huduma adi kimwili barikiwa sana baba
Mungu akubariki Sana, mafundisho yakweli yanatujenga, Asante sana Baba,
Mungu akubariki sana sana Hadija kwa kufuatilia mahubiri haya. Mungu ni mwema sana.
Mungu akubariki sana baba naomba Unilee Sina baba tangu 2010 nimekuwa hewani TU Mzee wangu.
Nasikiza nikiwa Kenya nashukuru MUNGU kwa ujube mzuri
Amen
Mungu Ni mwema Mimi naitwa Frank range Niko pwani kibaha 🙌🙌🙌🙌🤲
Amen
Mchungaji kajibu maswali yote. Nimemuelewa sana
Sijawai sikio somo kama kabla niokoka pia na baada ya kuokoka,nimeiskia leo
Amen , na muuje apa Moz-Nampula mu iyuubiri injili
Amen
Amina
Amen
Tuko pamoja mchungaji, ubarikiwe sana ndugu.
Nakuelewa sana baba mungu akubaliki
Amena pasta Sisi tuna amini Bada yakufa kama niwazambi ukumu kama niwamatende mema uzima wamilele amena
Amen
Amina barikiwa mtumishi wa Mungu .. nakupata vizuri sana kutoka dsm
Tumebarikiwa Sana
Ubarikiwe Mteule wa Mungu somo kubwa sana hili
arurururururur aka rururururu asante baba barikiwa
Amen