Mch Moses Magembe - UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA? | KAMPENI YA UAMSHO TANZANIA - LINDI NACHINGWEA 02

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • Siku ya Pili ya mkutano wa Injili katika viwanja vya TAG Mnala wa Vodacom Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi katika kampeni ya UAMSHO TANZANIA chini ya Mch Moses Magembe.
    Ujumbe: UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA?
    Andiko: LUKA 16:19-31
    Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
    Tarehe: 07.07.2022

КОМЕНТАРІ • 217

  • @elianombo9836
    @elianombo9836 2 роки тому

    Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 2 роки тому +1

    na muogopa Mungu ni Mungu wa vita🔥🔥🔥🔥

  • @getrudamsyalia8923
    @getrudamsyalia8923 8 місяців тому

    Ubarikiwe baba mungu akubariki sana

  • @LandryBunyuti
    @LandryBunyuti 8 місяців тому +7

    amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.

  • @milembehussen4593
    @milembehussen4593 2 роки тому

    Ubarikiwe baba

  • @TinaKilumbalumba
    @TinaKilumbalumba 6 місяців тому

    Amen

  • @UwezoBwitonde-dc3nc
    @UwezoBwitonde-dc3nc 3 місяці тому

    Amen × 15

  • @alexelias8488
    @alexelias8488 2 роки тому

    Asante baba

  • @vivijohn2578
    @vivijohn2578 2 роки тому

    Aminaaaaaaa

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 2 роки тому +18

    Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 2 роки тому +9

    Mchungaji wa Tanzania Magembe shikamoo. Nilikuwa sijawahi kukufuatilia nimekuelewa sana 🙌🙌🙌🙌🙌🤝

  • @samsontv9449
    @samsontv9449 4 місяці тому +3

    Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Рік тому +6

    Nashukuru mungu kwa kuwa mkristo mi huwa nawasikiliza watumishi wote wa mungu bila kubagua mchungji mungu akulinde saana

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 8 місяців тому +4

    Hiyo ndiyo injili tunayoipenda ya kusisimua maisha yetu ya kiroho.

  • @LajoiePascaline
    @LajoiePascaline 4 місяці тому +2

    Amen, nime barikiwa na ujumbe; Mungu Akubariki baba

  • @mbwanatwaha958
    @mbwanatwaha958 Рік тому +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @laureanlaurent
    @laureanlaurent 2 роки тому +4

    AMINA Mtumishiiii wa MUNGU.... Binafsi huwa nakuelewa na ninakufuatilia Sana ipo Siku nitakuja kanisani Kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆❣️❣️

  • @ElizabethNgusway
    @ElizabethNgusway 23 дні тому

    Asante mtumishi wa mungu umenifungua kiroho napenda kufatilia vipindi vyako mungu akupe miaka mingi uzidi kuwafungua watu barikiwa baba

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 8 місяців тому +2

    AMINAAAAA

  • @IbrahimSamweli-z9v
    @IbrahimSamweli-z9v 20 днів тому

    Mungu akubariki sana mchungaji.Natamani sana kuokoka na kumjua huyu Mungu zaidi.Natamani sana tena sana.

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Рік тому +1

    Maisha malefu mtumishi !!?...more greatings from ...Kenya...watamu.

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Рік тому

    Biblia haijakataza pombe, ndo maana, vitu havimtii mtu unajisi kwani, Kama pombe ni dhambi basi, hata giza ni dhambi. Wewe ni mshabiki wa dhehebu lako(ulokole)

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 2 роки тому +2

    Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu

    • @JaneBuluba
      @JaneBuluba 5 місяців тому

      Amina!Amina baba

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 4 дні тому

    Jamanii Asikofu Kabone Barikiwe Baba

  • @Marrystar-33
    @Marrystar-33 2 місяці тому

    Mchungaji anahubiri vizuri sana, anatupa neno last uzima❤

  • @Kefa649
    @Kefa649 3 місяці тому

    Ameni baba unazungumza vitu vya ukweli kabisa nakupenda sana baba yangu ubarikiwe sana sijawahi kukuona natamani sikumoja nikuone.🙏

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl Місяць тому

    Jmn huyu baba anankumbusha mzee Moses Kulola ah upo vzr bb

  • @myself4128
    @myself4128 2 роки тому +1

    All The way from The UK ...Nabarikiwa sana na Baba Magembe,Natamani siku ahubiri pamoja na Askofu Maboya kabisa liwe na umoja!!

  • @JoyceMkini
    @JoyceMkini 4 дні тому

    Ameeni Mtumishi tunakuelewa

  • @imaniangetire
    @imaniangetire Місяць тому

    Baada ya wewe nani umemuandaa kwajieri ya kutunza uwamusho

  • @peteryona3018
    @peteryona3018 2 роки тому +3

    Ubarikiwe sana Baba, mahubiri mazuri sana.

  • @kamiliusathanasbuchumi6809
    @kamiliusathanasbuchumi6809 2 роки тому +2

    Jamani mi naomba mnipe fungu ambalo Yesu aliomba kwa kupiga kelele hivo

    • @gracendola7195
      @gracendola7195 2 роки тому +3

      Ukijazwa na ROHO MTAKATIFU huwezi kujizuia soma matendo 2;1...... utaona ilikuwaje ubarikiwe....🙏🙏🙏🙏🙏

    • @upendomtui6544
      @upendomtui6544 4 місяці тому

      Usitawaliwe na udheebu tia akiki kichwani mwako

  • @EstherBibianne
    @EstherBibianne 11 днів тому

    Amen mchungaji, ubarikiwe papa

  • @shealtielkasamalala7941
    @shealtielkasamalala7941 2 роки тому +2

    Ubarikiwe sana baba mchungaki Magembe kwa kazi yako njema Mungu aendelee kkukutunza.

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 2 місяці тому

    Hapo catholic na seventh-day inawausu 😂

  • @amanimabano8856
    @amanimabano8856 2 роки тому +1

    Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Mungu akubariki kwa ufunuo mkubwa kuusu maisha baaada ya kufa.

  • @kamiliusathanasbuchumi6809
    @kamiliusathanasbuchumi6809 2 роки тому +1

    Pia muhubiri anasema ninani ajuaye kwamba roho ya mtu akifa huenda juu au huenda chini?

  • @retiekadarling992
    @retiekadarling992 3 місяці тому

    Be blessed pastor

  • @shilwamsokwa5946
    @shilwamsokwa5946 2 роки тому +1

    Yesu akuongeze miaka ya kuishi

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 2 роки тому

    Jina la Bwana libarikiwe ....ASNTE KWA MAFUNZO MCHUNGAJI

  • @rhoidambajuka5747
    @rhoidambajuka5747 2 роки тому +1

    Ubarikiwe sana baba hakika tunabarikiwa sana na huduma yako unafundisha kweli

  • @joycemnanka1298
    @joycemnanka1298 2 роки тому +1

    Asante tumebarikiwa na ujumbe wako mzuri mtumishi!

  • @TonyBenedicto
    @TonyBenedicto 4 місяці тому

    Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 8 місяців тому +1

    Following from Paris France 🇫🇷

  • @TehGd-gn6rk
    @TehGd-gn6rk 12 днів тому

    frola,,,Amen Amen

  • @peteryona3018
    @peteryona3018 2 роки тому +2

    Ubarikiwe sana Baba

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 роки тому

    Aaa hapa ndo pagimu hakuna kumung,unya hapa Ni shida kifo Ni kigumuno MAANA ndipo PENYE kilio na kusaga meno na ndipo tutajuta kuishi KWA kujichanganya na dhambI na kuipenda dunia hii hero Yao wazifuao nguo zao sasa

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente 6 місяців тому

    Amen mubarikiwe Sana ndugu zangu Mimi ni Mchirika wa Haskofu DANIFORD BURUMELA kotoka msumbiji❤❤❤

  • @RebekaNerisoni
    @RebekaNerisoni 20 днів тому

    Amina mzee wetu

  • @AminimunguWilfried-fw2eh
    @AminimunguWilfried-fw2eh 5 місяців тому

    Sikiliza nikiwa Burundi Makamba

  • @FleuryIgiraneza-sf6et
    @FleuryIgiraneza-sf6et 9 днів тому

    Amen

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 22 дні тому

    Amina

  • @XavierBaderha
    @XavierBaderha 9 днів тому

    Amen

  • @EstherBibianne
    @EstherBibianne 12 днів тому

    Amen

  • @deodatusmagagura6793
    @deodatusmagagura6793 2 роки тому +1

    Amina

  • @AmaniNzowa-i5z
    @AmaniNzowa-i5z Місяць тому

    Amina

  • @mathewbernadnyinda7188
    @mathewbernadnyinda7188 Місяць тому

    Amina

  • @kirizaemmanuel7694
    @kirizaemmanuel7694 6 місяців тому

    Tangu Niko sikilize mahubiri sija wai sikia mihuniri kama n'a Huyu, baba Mwenyezi Mungu akubariki saana naendeleetu kukutia nguvu

  • @kirizaemmanuel7694
    @kirizaemmanuel7694 6 місяців тому

    Mimi nakaa Katika Inchi ya Congo (RDC ) naitwa Neema RUSUMBA

  • @UpendoFelix-p8t
    @UpendoFelix-p8t 2 місяці тому

    Barikiwa mtumishi

  • @shabanintandu4136
    @shabanintandu4136 Місяць тому

    Amina nakuelewa

  • @georgemngoya1180
    @georgemngoya1180 2 місяці тому

    Very inspiring message

  • @mathaZingwa
    @mathaZingwa Місяць тому

    Amina

  • @NeemarichardMarko
    @NeemarichardMarko 10 місяців тому

    Amina mtumishi. Mungu akubariki sana kwa kufungia akili za watu wengi tulikuwa hatujuwi mambo haya sasa tumepata luelewa mungu akubariki sanaa

  • @alintiba672
    @alintiba672 2 роки тому

    Pasteur Mogogo yeye anakwambiya ukweli
    Juuu yeye hajafa akafufuka
    Ndo maaana hataki kuhubili uwongo wa wazungu

  • @kiruhurajeremie5211
    @kiruhurajeremie5211 2 місяці тому

    Ubarikiwe sana

  • @MwaminiKifyasi
    @MwaminiKifyasi Місяць тому

    Barikiwa baba

  • @EstherChadi-xe7se
    @EstherChadi-xe7se 28 днів тому

    Amen

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 2 роки тому

    Natamani siku moja uje Kahama,

  • @jofreychristian1593
    @jofreychristian1593 2 роки тому +1

    Tunaelewna mch🙏

  • @tobibkivanda4528
    @tobibkivanda4528 2 роки тому +1

    Amina. Nimebarikiwa kutoka kenya 🇰🇪

  • @EliyaFerisian
    @EliyaFerisian 7 місяців тому

    Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua.

  • @fadhaluhembwe
    @fadhaluhembwe Місяць тому

    Amen

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 роки тому

    Baba mchungaji nakuelewa

  • @EdinaMachumu
    @EdinaMachumu 2 місяці тому

    Amen

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 2 місяці тому

    AMEN

  • @davidipatrick175
    @davidipatrick175 2 роки тому +1

    Mungu azidi kukutumia sana kwa utukufu wake

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 2 роки тому

    Waislamu na wa dini nyingine wanahitaji msaada wetu kwa nini tunasita kuwataja??????
    Lazima tuwasaidie

  • @smeotindambo3787
    @smeotindambo3787 2 роки тому

    MUNGU azidi kukutunza kuanzia huduma adi kimwili barikiwa sana baba

  • @hadijamadebo8566
    @hadijamadebo8566 2 роки тому

    Mungu akubariki Sana, mafundisho yakweli yanatujenga, Asante sana Baba,

    • @josephgeorgematiku1064
      @josephgeorgematiku1064 2 роки тому

      Mungu akubariki sana sana Hadija kwa kufuatilia mahubiri haya. Mungu ni mwema sana.

  • @amosbenard6657
    @amosbenard6657 2 роки тому

    Mungu akubariki sana baba naomba Unilee Sina baba tangu 2010 nimekuwa hewani TU Mzee wangu.

  • @faithwavinyalucas1835
    @faithwavinyalucas1835 10 місяців тому

    Nasikiza nikiwa Kenya nashukuru MUNGU kwa ujube mzuri

  • @godfreykirigiti-tp5hc
    @godfreykirigiti-tp5hc 3 місяці тому

    Amen

  • @FrankNyandwi-ek8zr
    @FrankNyandwi-ek8zr 5 місяців тому

    Mungu Ni mwema Mimi naitwa Frank range Niko pwani kibaha 🙌🙌🙌🙌🤲

  • @AdamKuziganika-sq5nk
    @AdamKuziganika-sq5nk 4 місяці тому

    Amen

  • @JustineSteven
    @JustineSteven 7 місяців тому

    Mchungaji kajibu maswali yote. Nimemuelewa sana

  • @patiencehumbled3519
    @patiencehumbled3519 Рік тому

    Sijawai sikio somo kama kabla niokoka pia na baada ya kuokoka,nimeiskia leo

  • @hatibumakondemakondemakond1479
    @hatibumakondemakondemakond1479 2 роки тому

    Amen , na muuje apa Moz-Nampula mu iyuubiri injili

  • @JoshuaRaphaels
    @JoshuaRaphaels 5 місяців тому

    Amen

  • @celinaphysoo4919
    @celinaphysoo4919 Рік тому

    Amina

  • @EmmanuelNgassa-j5e
    @EmmanuelNgassa-j5e 6 місяців тому

    Amen

  • @dennismwenda7626
    @dennismwenda7626 5 місяців тому

    Tuko pamoja mchungaji, ubarikiwe sana ndugu.

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 Рік тому

    Nakuelewa sana baba mungu akubaliki

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Рік тому

    Amena pasta Sisi tuna amini Bada yakufa kama niwazambi ukumu kama niwamatende mema uzima wamilele amena

  • @RobatiKilima
    @RobatiKilima 8 місяців тому

    Amen

  • @loviehamis2923
    @loviehamis2923 2 роки тому

    Amina barikiwa mtumishi wa Mungu .. nakupata vizuri sana kutoka dsm

  • @davidmembedalamethepsalmis2885
    @davidmembedalamethepsalmis2885 2 роки тому +1

    Tumebarikiwa Sana

  • @dinaalfonsi2323
    @dinaalfonsi2323 5 місяців тому

    Ubarikiwe Mteule wa Mungu somo kubwa sana hili

  • @evanstweve7720
    @evanstweve7720 2 роки тому

    arurururururur aka rururururu asante baba barikiwa

  • @sidimasha6626
    @sidimasha6626 Рік тому

    Amen