Dizasta Vina - Wachezaji wa timu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Official lyric video of Wachezaji wa timu. Marks a 2nd release off the album A FATHER FIGURE
    Stream/download wachezaji wa timu
    Boom play - www.boomplay.c...
    Spotify - open.spotify.c...
    Apple Music - music.apple.co...
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Audiomack - audiomack.com/...
    Dizasta Vina
    Instagram - / dizastavina
    Twitter - / dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    Lyrics
    Wanasema duniani kuzimu
    Kwanini ukeshe kushika protocol wakati
    Ulaji muhimu
    Watu wanachohifadhi ni mbinu
    Kucheza kulia kushoto ila wote ila wote
    Ni wachezaji wa timu
    Chumba kilijaa njemba za kisasi
    Walipanga vifaa ka' wanakwenda kwenye kazi
    Palikuwa jitu juu meza yenye glass
    Limeshika tissue kusafisha chemba ya risasi
    Walijaa na maninja na ma bouncer
    Wamevimba wenye sura za kutisha
    Wamekausha,
    Wamegadhibika mpaka amani ilijificha
    Nilihisi mkojo unatiririka kwenye trouser
    Sura za kutisha nafuu devils
    Crate zimemwaguka utadhani sikukuu kesho
    Kulikuwa kumejaa camera full angles
    Huku warembo waki-twerk twerk juu ya pool table
    Huku watemi wa ngenga wameketi
    Mwonekano wa Rostam Bakhresa na Mengi
    Palikuwa na mabegi ya cheda na chenchi
    Yalikuwa mengi hata wachache kubeba hawawezi
    Walikuwepo mabinti wamefanya line up
    Mfano wa dinner set Sura ziko innocent
    Zikionyesha zina majuto ya kusign up
    Na baadhi yao walikuwa wadogo yaani minors
    Babake Jesca alisimama kwenye chanja
    Ametingwa kuchanganya plama kwenye ganja
    Nikamsalimia hakuijibu salamu yangu
    Akavuta beri kisha akapiga chafya mara saba
    Kabla muda wake wa kumaliza
    Akanyonga jani akapaka mate kwenye Lizzla
    Akasnap vidole kuonyesha alikuwa Taita
    Kumwita Mrembo na mrembo akaja Na lighter
    Mrembo akamwashia kipuri wakapiga Puff mbili
    Wakatoa moshi wakaanza kukiss pasi siri
    Ka’ wacheza ngono mbele ya Binti yake Jesca na mbele yangu kiasi nafsi ikakosa tafsiri
    Baba'ake aka-struggle kukumbuka jina langu
    nikamwambia jina langu naitwa Toni Glove
    Akauliza umemjua vipi binti yangu
    Nikamwambia mi na jesca tumekutana kwenye coffee shop
    Akaisogelea glass, akanywa kilichomo kisha
    Aka-scan majibu
    Ili kuhakikisha ninachokiongea fact, akasema sikujui unatokea wapi
    Nikamwambia nimezaliwa hapa Nonde Sua
    Nyumba no 77 kwa mzee Kilua.Akasema ninapiga simu mbili tatu kama hawakujui
    Nitakushauri tu uombe dua
    Akaja mtu akani-snap kwenye IPhone
    Design kama anafanya michongo ya passport
    Akainua uso nikaona umeweka ndita
    Akatikisa kichwa kisha akaendelea ku-type more
    Mkono wa jesca begani ukinipeti peti
    Huku moyo wangu ukienda lesi lesi
    Board guard wake wakinichekicheki
    Mara wani-search mifuko mara wani-search begi
    Nikaletewa maji ili nipoze kiu
    Design hamu ilinikata mzee
    Wasaidizi wakingiza jina langu kwenye simu ya kimtandao
    Kunifanyia background check
    Babake Jesca
    Akanipa face look kisha
    Akaomba simu sikubisha
    Akaanza kukagua photo Akalog in kwenye social kunikagua Facebook Twitter
    Ghafla ukimya ukaitawala nyumba
    Wakati akili ikiwaza kufa
    Nikitushwa Na yale mandhari yanayofanana na nyumba ya mafia mkubwa
    Kutoka Kuala Lumpur
    Akauliza je nipige down town
    Maana najua kila mtu kule ukinidanganya bure
    Nitakukausha kama kau kau mpaka uta shout shout
    Jesca akasema Daddy calm down
    Mi na Tony tayari tumependana
    Amekuja kutoa mahari ili tuishi ka' mke na bwana
    Anaomba kibali anataka kunioa
    Na kama utakubali basi soon tutafunga ndoa
    Baba Jesca akaegemea kwenye kiti mwisho
    Akashusha pumzi kwa masikitiko
    Kwanini unadate na mtu hatumjui
    Na unajua style ya kuleta hawa wakati ringi
    mwiko
    Jesca unajua hadhi ya hii business
    Equation ya ndoa haifiti into this case
    Kwanini usitafute a guy from inside
    Ipo time utaleta ma-spy au ma-witness
    Jesca akajibu daddy Tony Doctor
    PhD holder chuo kikuu cha oxford
    Anamiliki migahawa kadhaa hapa town
    Analipwa vizuri na kipato kinamtosha
    Namfahamu Tony sio mnoko
    Na kwao wana uwezo sana baba yake don sio kitoto
    Tumejuana miaka kadhaa ameshanikaa
    Maana penzi nililolihifadhi moyoni sio kidogo
    Babake Jesca akanicheki amenuna
    Nikawa nimevex nimechuna
    Moyo unaenda resi kama duma
    Mabaunsa yapo next yametuna
    Yakisubiri mechi hii kubuma
    Nikamwona mshikaji ameshika panga bisu
    Alikuwa busy anapanga vitu
    Sura yake ilikuwa tayari kuanza bifu
    Jesca akaniambia yule kaka'angu na ana anger issues
    Akaja ameshika vipisi vya kete
    Kisha akanidadisi si kibwege
    akashout naskia harufu ya polisi kwa huyu bwege
    Jesca akamuwahi akasema we' chizi acha usenge
    Akatoa syringe kwenye small bag
    Akauliza unapendaga cocaine
    Nikamwambia huwa situmii hizo zaga
    Kaka'angu alitumia akabwaga akajibu okay
    Nilihisi harufu ya casket
    Kaka'ake Jesca alihisi mi' shushushu akani-suspect
    Nikahisi napokwenda sio
    Moyo wangu ukienda mbio
    Babake Jesca nae anahamaki
    Baada ya kugundua nina camera kwenye kifungo cha shati
    Akatoa bunduki nikahisi uhai wangu unaishia
    Ndipo polisi wenzangu wakavamia

КОМЕНТАРІ • 885

  • @user-se4fl6fp9c
    @user-se4fl6fp9c 8 місяців тому +58

    Dizasta is very intellectual, mindful, script writer, lyricist, musician and natural gifted man you can say he has philosophical, transgressive mindset, with unconventional perspective along with marvelous way of narration from his writing which imply the poetic mentality from very different level. To understand what he intent or the way he conveys the message in his songs you need brain man!
    For real he is Genius!
    As ultimatum, has very high consciousness beyond ordinary, he tries to do music in a unique story-telling style way, I have listened 90% of his songs, he did amazing work. I think his work has been very inspirational to young generation musician who fit to this type of music especially in HipHop.
    When different people try to listen to his songs everyone feels they have been touched in very different way.

  • @Priver_Jabir
    @Priver_Jabir 9 місяців тому +9

    Nasikia harufu ya polisi kwa huyu bwege,
    Jesca akamuwai we chizi acha useng×.
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @emmanuelodunga5021
    @emmanuelodunga5021 9 місяців тому +6

    For those who will be here in 3010 years to come in our absences remember thiz man was our teacher shule nzima kwake❤❤❤❤❤❤❤

  • @danielbabere137
    @danielbabere137 9 місяців тому +5

    Arusha town wamethibitisha hili ni bonge la ngoma,likes ziko wapi

  • @abdallahamisi3051
    @abdallahamisi3051 9 місяців тому +121

    My children will have all the freedom to listen to dizasta vina's music or else leave my house

    • @Almarsprince254
      @Almarsprince254 9 місяців тому +4

      you think just like me brother

    • @nevasonwiston5494
      @nevasonwiston5494 9 місяців тому +3

      What a courage 😅

    • @jacksonjulius8760
      @jacksonjulius8760 9 місяців тому +3

      Itabidi umfundishe kufikili kwanza😂

    • @nomoboy152
      @nomoboy152 9 місяців тому

      100

    • @vincentvalentino1634
      @vincentvalentino1634 9 місяців тому +5

      Yaan mm manzi yang mara ya kwanza alikuwa ananiambia nyimbo gani hzo lkn baada ya kuanza kumckilzisha MWANAJUA, SHAHIDI, NDOA, MONEY sasahv yy ndio ananipa update kuwa RAFIKI YAKO DIZASTA KATOA WIMBO MWINGINE HUKO anazipenda hasa zile NOBODY IS SAFE tena hasa Namba 4

  • @BasilKiria-wt5jl
    @BasilKiria-wt5jl 8 місяців тому +8

    Alishasema yupo kwenye top two and he is not the second am here to prove ✔✔
    Vina is the best

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi108 9 місяців тому +8

    Nimechelewa kidogo nimekuwa 20😢 lakin kama unaamin dizastavina is number one rapper in Tz like here from BBC London 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🔥💥👊🇹🇿✈️

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc 8 місяців тому +8

    Enyi watu mtakaoishi mpaka mwaka 2080 na mtakaozaliwa mimi Babu yenu niliishi kwenye hii generation ya the best hiphop artist,nimeshuhudia hizi harakati, sijajua kama kizazi chenu kitapata bahati ya Kuwa na Rapper mwenye akili kiasi hiki lakini nawaaambia tu mtu uyu walikua wanam-Underate imagine..Basi mumpe heshima yake Babu yenu huyu.

  • @SamwellyMillinga-tu7xf
    @SamwellyMillinga-tu7xf 9 місяців тому +129

    Leo wa kwanza nipen like zangu from songea RUVUMA DIZASTA💥💥💥

    • @abdyissaabdi108
      @abdyissaabdi108 9 місяців тому +4

      Unstoppable master vina from BBC London 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🔥💥👊

    • @adolphdamas3189
      @adolphdamas3189 9 місяців тому +1

      Wa namba flan from Ruhuwiko

    • @djhdscratchmaster4110
      @djhdscratchmaster4110 9 місяців тому +1

      Dizasta Vina

    • @robertakili267
      @robertakili267 9 місяців тому

      Hahahahaa! M nilikuwa nimelala tu ila ningekuwahi kaka, sema hamna mbaya kikubwa uzima👊

    • @bazoloemanuel5897
      @bazoloemanuel5897 9 місяців тому

      Homeboii💪💯

  • @daudumdoe6016
    @daudumdoe6016 8 місяців тому +10

    Waungwana tusiishie kumsifia tu mwamba anauzaga album zake on line tununue kwa wingi ili jamaa aendelee kutushushi midizasta yenye VINA yake

  • @ahmedramadhani1264
    @ahmedramadhani1264 8 місяців тому +5

    Hatua ya kwanza naanza kuisikiliza nilikuwa nimetengeneza mawazo yangu kichwani, hatua ya pili nikabadili welekeo. Ebwana! Hatua ya tatu nikasikigina fegi na kisigino cha kiatu. Nairudia tena hii timu.
    Sina nyongeza brother.

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 9 місяців тому +5

    Tuzo ya utungaji Bora inamuhusu🎉🎉🎉🌍🙏

  • @abeidsocco6211
    @abeidsocco6211 8 місяців тому +7

    My best writer of all time😊,wanaomkubali Vina tugonge like hapa tuendelee kufurahia mziki mzuri

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 9 місяців тому +10

    Best writter,best story teller with incomparable intelligence of the century 🔥🔥viva DIZASTA viva you are a mental therapist

  • @user-gf3ej6ox7o
    @user-gf3ej6ox7o 9 місяців тому +6

    WATOA WAPI VITU HIVI KAKA JAMBAZ,,,,,,AU DUNIA TUNAYOISHI CC SIO DUNIA UNAYOISHI WWE,,,,,,UNA MOYO MKUBWA SANA DIZASTA VINA,,,,,,HOPE KALII✊

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 9 місяців тому +4

    Akili kubwa sana unajua sana kuandika imenibili kusikiliza zaid ya mara tano ili kuelewa.

  • @franksambo5868
    @franksambo5868 9 місяців тому +4

    Dizasta the next earth 🔥🔥wachezaji cheza kwa step mi beki 5😂 respect bob

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 9 місяців тому +4

    Watu wanachohifadhi ni mbinu!!!

  • @officiallblackman
    @officiallblackman 9 місяців тому +3

    Man of the world 🌍 mzee wa vinaa , nipe like

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 9 місяців тому +3

    We jamaa unajua sana aisee sio poa

  • @therealdL188
    @therealdL188 9 місяців тому +4

    We Mzee nyoko Sana Yani, umeshindikana, upo nje ya hii sayari, bado sijaona wakufika ulipo kaa wewe🙌🙌🙌bonge la kazi Yani ni 🔥🔥🔥🔥🔥the high voltage ⚡ Mae! Bonge la story Mzee wangu big up Sana 👊👊👊

  • @kashindemhapa2015
    @kashindemhapa2015 9 місяців тому +4

    Achia jala💥🙌🙌🙏

  • @jumaaothman-dq7du
    @jumaaothman-dq7du 9 місяців тому +2

    Naaaaam tuko pamoja na dizasta

  • @emmanuelntemi531
    @emmanuelntemi531 9 місяців тому +3

    Narudia tena na tena na tena huyo ndio rapper wangu bora wa muda wote achana na wao wapiga kelele more than story taller 🔥 🔥 🔥

  • @BrightoneAyubu
    @BrightoneAyubu 29 днів тому +2

    wachache sana tunamuelewa msela wetu dizasta vina🔥🔥🔥🔥

  • @DanielJeremia-mj4bj
    @DanielJeremia-mj4bj 9 місяців тому +3

    Big up nilikuwa nawaza kweli tusipate hata song ya kuvuka mwaka

  • @shabannyamsalika8959
    @shabannyamsalika8959 9 місяців тому +3

    Bongo movie's mnafeli wapi njooni kwa mwamba awape vitu maana movie zenu hazina content za maana

  • @k_voicetv
    @k_voicetv 9 місяців тому +4

    Mazee hii sio ngoma ni bonge la movie

  • @husseinmussa3331
    @husseinmussa3331 9 місяців тому +3

    We jamaaa unajua mpka unajua Tena
    HISIA ZINAZOTEMBEA.✅

  • @Yusuph-px6ci
    @Yusuph-px6ci 9 місяців тому +3

    Bs ndo ivo bhn nusu tumkose dizasta vina 😊😊

  • @edwinfweni
    @edwinfweni 9 місяців тому +3

    The story teller 🎉

  • @piussungwa5386
    @piussungwa5386 9 місяців тому +4

    We chizi acha usenge 😁🔥🔥

  • @BonMaro
    @BonMaro 9 місяців тому +3

    Dizasta vina,thanks for Good music and story teller to us like na watch movie flan mmh Rapper wangu Bora wamda woteeee ✍️🎶🎵🙏♥️🇹🇿

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 9 місяців тому +4

    Hv Basata na Bakita haimuonag huyu mjamaa wamjengee sanam au kumuandalia kitab cha mhan bora wa muda wote wa mashairi na tenz.

    • @user-ru2oz8zj2y
      @user-ru2oz8zj2y 9 місяців тому

      👏👏👏👏👏 kabisaaaa Amin bob

  • @RazaQy
    @RazaQy 8 місяців тому +6

    vina apa ndo nimekuelewa uliposema upo underground umeshikilia nguzo. apa tanzania hakuna roma mwenye stamina ya kurap na wew coz wee ni god wa rapppp khaleluyaa

  • @darmianmgallah6210
    @darmianmgallah6210 9 місяців тому +4

    Dizasta hajawahi toa boko

  • @sumanyavoice7844
    @sumanyavoice7844 9 місяців тому +2

    Ngoma Kali Hadi unatamani kuskikiliza muda wote

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 9 місяців тому +6

    Storytelling ✍️100%
    Strong verses ✍️💯
    Style rap 💪💯
    Hii niyamoto aise 🎶💪👏👏👏👏

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 9 місяців тому +4

    Wewe jamaa ni Canibus wa Bongo namaanisha kwa kuchora

  • @allyntepatz
    @allyntepatz 9 місяців тому +3

    Dizasta akitoa ngoma naona kama nimepata mshahara

  • @karimjuma8671
    @karimjuma8671 8 місяців тому +2

    Umeufunga mwaka kaka .... HAIPINGWI STORY TELLER 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @albertayubu3377
    @albertayubu3377 9 місяців тому +5

    Shule Ulikuwa King kwenye Dorm fight Ila ukapigwa na jamaa Prom Night. Hujawahi kuniangusha Prof Tungo.

  • @alikadidi
    @alikadidi 9 місяців тому +2

    The verteller @black Maradona 🔥🔥🔥

  • @jeremiahmhini7729
    @jeremiahmhini7729 9 місяців тому +3

    Nadhani hii ngoma inahitaji video, itabamba sanaaa 🔥🔥

  • @user-dh8gx6lm9k
    @user-dh8gx6lm9k 8 місяців тому +7

    Huyu mwamba inatakiwa awepo kwenye kitabu cha kiswahili (fasii) na asomwe kuanzia la kwanza mpaka chuo. Kaka dizasta unatisha

  • @nassaryvicent9950
    @nassaryvicent9950 9 місяців тому +2

    Huyu Ndio Dizasta vinna niliekuwa namsubiri kwa Muda Kidogo!✌️

  • @Sharifufaki
    @Sharifufaki 9 місяців тому +3

    Hakuna rapper kama dizasta huyu jamaa ni fundi sanaa❤❤

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ 9 місяців тому +3

    My no 1 rapper in tz🔥🔥🔥

  • @hamimumatola2829
    @hamimumatola2829 9 місяців тому +3

    Leta rapcha 200 sawa na d vina 1

  • @pnb-255
    @pnb-255 7 місяців тому +7

    Daah. Mwanangu unatisha kinoma. Mimi kuanzia leo shabiki yako

  • @Suleiman99
    @Suleiman99 9 місяців тому +3

    Mwalimu wangu D zasta nakukubali sana

  • @hassanngozi525
    @hassanngozi525 9 місяців тому +4

    DIZASTA VINA IS GINIUS🔥🔥🔥

  • @joxxjonka
    @joxxjonka 9 місяців тому +2

    Stanza kama zote 🎵🔥🔥🔥🔥🗣️ sauti ya Tanzania. ......✍️from Nairobi Kenya..

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 9 місяців тому +3

    Vipi mazee, nasoma comments zetu kwa sauti ya Dizasta, nikifatiza hiyo beat, jaribu tu utapenda 😂😂😂

  • @kingronnahronnah5186
    @kingronnahronnah5186 8 місяців тому +4

    Daaaaaah aiseee we ni Mungu wa rap🔥🙌🙌🙌 hallelujah napenda nijifunze uwandishi wako hakuna rapper wala mc anaekufikia

  • @castormahava1732
    @castormahava1732 9 місяців тому +3

    Heshima Dizasta kila ngoma inatibu.

  • @kelvinseif9928
    @kelvinseif9928 9 місяців тому +3

    The Black Maradona 🔥🔥🔥

  • @shabannyamsalika8959
    @shabannyamsalika8959 9 місяців тому +2

    Dizasta Vinna wewe ni toleo la mwisho la viumbe wa aina yako, upo kwenye dunia yako mwemyewe. Huwa nasikitika sana ninaposikia wanavyokulinganisha na wasanii ambao hawafikii hata robo ya uwezo wako

  • @user-yk7jk1yi6p
    @user-yk7jk1yi6p 9 місяців тому +3

    Mr.Dizasta....UNANIDAI, amini!!

  • @user-oc7kc5zm7z
    @user-oc7kc5zm7z 9 місяців тому +2

    Mmmmhhh weweeew moto sana

  • @user-gq6jr4gw4l
    @user-gq6jr4gw4l 9 місяців тому +3

    Mwambaa unajuwaa tenaa sanaa 🔥🔥🔥🔥

  • @jerryandrew9989
    @jerryandrew9989 9 місяців тому +2

    Uandishi...💥💥💥💥💥

  • @k_voicetv
    @k_voicetv 9 місяців тому +3

    Namba inazidi kupanda kushuka ni mwiko 💯🔥💫

  • @HarunaGeorge-bp6hv
    @HarunaGeorge-bp6hv 9 місяців тому +2

    dah ila dizasta me natamani kila siku uwe unatoa ngoma sitachoka kusikilza wew ni number moja yang🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk 9 місяців тому +3

    1. DIZASTA 2. DIZASTA 3. DIZASTA 🙌🙌🙌🙌🫶💯✔️

  • @nackplankton1669
    @nackplankton1669 8 місяців тому +4

    Nilipata notification yahuu wimbo juzi lkn mazingira niliyopo nikashindwa hata kushika cm......... Hili nidarasa tena.....We jamaa watu wanakuelewa sana

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 9 місяців тому +2

    Dizasta your the Best All the time 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @James-xf9yk
    @James-xf9yk 9 місяців тому +2

    We mzee akili ni nyingi sana 🙌

  • @sostenesndemela8982
    @sostenesndemela8982 9 місяців тому +3

    Lyrical atheist n nobody can go against ma perspective coz its pure fact "YES"

  • @shihemicetamol6260
    @shihemicetamol6260 9 місяців тому +2

    Professor tungo🔥🔥🔥🔥

  • @officialeranho
    @officialeranho 9 місяців тому +3

    Black maradona another one🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🔥🔥🔥
    Anajua had anazidi sanaa sasa🔥

  • @corrosiveacid8306
    @corrosiveacid8306 9 місяців тому +2

    Jamani weekend ilikuwa mbya brother the top of the top best lyrical rapper never seen kabadilisha weekend ninaenjoy popot niendapao na MCHEZAJI WA TIMU💥💥

  • @mohamedomar34
    @mohamedomar34 9 місяців тому +3

    Hii ni zaidi ya nyimbi big brother dizasta vina..asiye kukubali ni mchawi..1000000000🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @reganmmasi1246
    @reganmmasi1246 9 місяців тому +3

    Ngoja nikomenti ili mwaka 2070 mtu akilike inirudishe kwenye hii masterpiece... hii biti sasa acha tu

  • @kigotymeentertainmentkigoy4858
    @kigotymeentertainmentkigoy4858 8 місяців тому +5

    Sikutaka kukurupuka kuisikiliza nilitaka nitulie kama hivi leo ndio niingie darasani. Shule ya bure ada bando lako tu✊

  • @anatii_podcast254
    @anatii_podcast254 9 місяців тому +4

    Great stroyline great punchlines lyrical genius

  • @ombenimesso5119
    @ombenimesso5119 9 місяців тому +3

    Hanaga ngoma mbovu💪

  • @muddyville
    @muddyville 9 місяців тому +2

    I use to like before watching.... Dizasta is 1000000000000 miles far away from these mumble rappers.....

  • @dattyjeremiah5877
    @dattyjeremiah5877 9 місяців тому +2

    Familia Dizasta brother unaweza man calm down utawauwa ao vijana

  • @amostereba9368
    @amostereba9368 9 місяців тому +4

    😂😂jesca akamuwahi we chizi Acha Usenge😂😂 unyama sana

  • @Ali-kl4zc
    @Ali-kl4zc 9 місяців тому +2

    Dizasta mashabiki tulimix nyimbo za move❤

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 9 місяців тому +5

    Dah!!! Kumbe raundi hii Maradona alikua usalama/mpelelezi bana😂 sema story tunaiombea part 2 coz hatujui kua mpenzi wke Dizasta alikua anaelewa kua bwana wake n usalama kwaiyo alitaka aende akamuuze faza wake au na yy pia hakua akijua😂

  • @gerardndugulile8614
    @gerardndugulile8614 9 місяців тому +2

    Sijawahi Jutia sikiliza Nyimbo za Huyu Mwamba💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @Sharifufaki
    @Sharifufaki 8 місяців тому +3

    Najifunza vitu vingi sana kutoka kwa Black maradona kweli huo umeme ni wa Cable nying

  • @kingdyzo4516
    @kingdyzo4516 9 місяців тому +1

    Dah speechless, nawaambia kila siku kitaa kuhusu huyu mwana. Umenifanya nifute nyimbo zote, nibaki na zako tu

  • @leonardgabriel6299
    @leonardgabriel6299 8 місяців тому +7

    Mpaka unatamani kama Kuna next episode... Mf you rock🔥

  • @davabackup7767
    @davabackup7767 8 місяців тому +4

    Dizasta wewe basi tena leo ndo nimethibitisha Upo kwenye Sayari Ya Peke Yako Hakuna Mtu Anaefikiria Kuandika More than U 🔥🔥🔥

  • @ommyjix6176
    @ommyjix6176 9 місяців тому +2

    Best lyrical rapper ever top 1 or pin to top1 unatsha sana D_vina🔥🔥🌋

  • @Deadskytz
    @Deadskytz 9 місяців тому +2

    My Teacher vina 🔥🔥

  • @meshack2559
    @meshack2559 9 місяців тому +2

    Vina!!! Kichupa kimenyooka we ni nyoko√√√

  • @king_mselem
    @king_mselem 9 місяців тому +2

    nimemsikia kaa humo ndan . hop kuna goma lingine atahusika mna chemistry nzuri saaana. goma limeenda bro

  • @widykicheko4872
    @widykicheko4872 9 місяців тому +3

    Dizasta Vina Ni kina Jo 70🙌

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 9 місяців тому +3

    Dah..!😢😢😢 Teacher unajua

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 9 місяців тому +2

    😂😂😂 baba jesca general kabsa.. ninja ninja hunter

  • @MussaFundi
    @MussaFundi 8 місяців тому +2

    daaah me cna neno mkuu umetisha humu✌️✌️✌️✌️✌️

  • @levelmtindo
    @levelmtindo 9 місяців тому +2

    Kutoka moyoni Nakuelewa sana Mr Tungo love ftom🇧🇮

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma1017 8 місяців тому +2

    Oaaa d vina ili tambo limesimaaa mnooo 100%

  • @PANCHWALL
    @PANCHWALL 9 місяців тому +2

    Heavy weight❤❤vina the role modal

  • @user-kh8wq6gc2b
    @user-kh8wq6gc2b 9 місяців тому +1

    Yo vina Team Nairobi tunakutambua Sana Hip hop ya bongo iko mikono salama❤❤

  • @lugazodecoration3262
    @lugazodecoration3262 8 місяців тому +3

    ANAE ITAKA PARTY 2 KAMA MIMI AGONGE LIKE 👍