KWANINI WENGI WANASHINDWA KATIKA MAISHA? - PR. DAVID MMBAGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 86

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 9 місяців тому +3

    Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi

  • @SarahSangwa-d2u
    @SarahSangwa-d2u Рік тому +2

    Mungu akubariki pasta tunatosheka n'a mahubiri

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 11 місяців тому +7

    Asante Mungu nimezidi kujengeka kiroho huyu Mungu kwangu ni rafiki yangu amenitendea mengi na namuomba anipe Hekima yakumtumikia bila kuchoka

  • @mariamagdalenamwamyalla4849
    @mariamagdalenamwamyalla4849 Рік тому +2

    Martha musafiri pastor mungu akubariki sana unatusaidia tulio weng na mungu akubariki sana🙏

  • @joyikaya7429
    @joyikaya7429 5 місяців тому +2

    Amina. ZIDI KUBARIKIWA PASTOR.

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Рік тому +5

    Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,

  • @JudyMihila-eo1lg
    @JudyMihila-eo1lg Рік тому +2

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @paschal04tv84
    @paschal04tv84 Рік тому +4

    Amen nabarikiwa sana Mungu akubariki pastor.

  • @elifurahamnkeni2759
    @elifurahamnkeni2759 Рік тому +3

    Amina mtumishi ubarikiwe Sana Naomba uniombee Nina shida nyingi. Ningekuwa na Namba yako ya simu tungeongea ila kwa imani nitapona

    • @prosmacharius7074
      @prosmacharius7074 Рік тому

      Asema mpe mda mwingi Yesu utapata kila ukitakacho kiurahisi.tuanze wote Leo ndugu tuone maajabu

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 Рік тому +2

    Mungu akubariki kwa mafundisho unayotufundsha stayblessed mch Mmbaga

  • @yobike9680
    @yobike9680 Рік тому +1

    Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo .
    asifiwe mungu na mungu akupariki sana

  • @damaricemkanyika8293
    @damaricemkanyika8293 Рік тому +3

    Amen , mafundisho yako posta mbaga mungu akubariki sana nko kenya taita.

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Рік тому +7

    Amen,kweli bila Mungu tunafanya kazi bure

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 Рік тому +3

    Naanza leo kukupa mda wangu Yesu.mambo yangu yamegoma sababu nimeyapa mda Sana kuliko wewe

  • @selfaakinyi2986
    @selfaakinyi2986 Рік тому +7

    This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,

  • @ESPERENCEGilBERT
    @ESPERENCEGilBERT Місяць тому

    Naitaji maombe pastor🙏🙏naumwa🙏

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 Рік тому +4

    Ameeen Pastor Nabarikiwa sana na Mahubiri haya nakupata vizuri kutoka Muscat 🙏🙏

  • @eunicemathias8574
    @eunicemathias8574 Рік тому +2

    Amina mchungaji mbaga ùbarikiwe naomba roho mtakatjfu anisaidie kumjua mungu alivyo nilidhani najua kumbe sijui chochote

  • @DanielLuhunga-iy4hl
    @DanielLuhunga-iy4hl 3 місяці тому

    Barikiwa San pastor

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Рік тому +2

    Amen Amen 🙏🏻

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Рік тому +1

    Fundisho nzuri asante kwa kunielimisha umenisaidia sana barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @marthajepkogei5845
    @marthajepkogei5845 Рік тому +2

    Kweli mungu ni mwema Kila saa,na wakati wake ni sasa.Amina pastor.barikiwa sana 🙏🙏🙏🙏

  • @AtimGrace-yk8sn
    @AtimGrace-yk8sn Місяць тому

    Akika nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu mungu azidi kukuinwa

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 Рік тому

    Nimebarikiwa na somo hili. Barikiwa pastor

  • @maorinebarongo7789
    @maorinebarongo7789 Рік тому +1

    Amen

  • @Petro757
    @Petro757 Рік тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @aggywilson6984
    @aggywilson6984 Рік тому

    Ameen mafundisho yananifungulia mengi 😭ubarikiwe sana pastor🙏🙏🙏

  • @JuliethyManyama
    @JuliethyManyama 3 місяці тому

    Amina

  • @robenragira1018
    @robenragira1018 Рік тому

    Ahsante sana mtumishi wa bwana Mungu awabaliki sana

    • @sabinamrema5493
      @sabinamrema5493 Рік тому

      Ameen Pastor nimepata moyo wakumjua huyu Mungu.

  • @revocatNgendakumana-xv5um
    @revocatNgendakumana-xv5um Рік тому

    Thank u

  • @froline5209
    @froline5209 Рік тому +2

    Your teachings pastor inspire me so much be blessed

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 Рік тому

    Amen
    Nimejifundisha mengi,
    Asante pastor

  • @mwendapolesdachurch
    @mwendapolesdachurch Рік тому +2

    Amina.

  • @ngolorose
    @ngolorose Рік тому +2

    Amina 🙏🙏

  • @callenonderi1708
    @callenonderi1708 Рік тому

    Amen nabarikiwa nikiwa labanon

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Рік тому +1

    Amen, nabarikiwe san 🙏🏾

  • @crealmarwa
    @crealmarwa Рік тому +2

    Graciàs🙌

  • @JahlayzahEbrahimovc
    @JahlayzahEbrahimovc 5 місяців тому +1

    Uzidi kubarikiwa mola

  • @juliuswambua5168
    @juliuswambua5168 Рік тому +1

    Amen -Thanks be to God

  • @beathapontian2187
    @beathapontian2187 Рік тому

    Mungu aendele kuku tunza 🙏🙏

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn 3 місяці тому

    Mchungaji nimiaka miwili imepita tangu ufundishe somo hili lakin nimepata kibali kwa bwana biashara yangu imekua sana asante mungu

  • @halimaelizabethamuli254
    @halimaelizabethamuli254 Рік тому +2

    Hivi mie nashukuru Mungu sana kwa kunikutanisha na mafundisho ya pst Mmbaga, kwani nilikua kwenye giza sana 🙏🙏🙏🙏

  • @shijantumba3164
    @shijantumba3164 Рік тому +7

    kuna kitabu kinaitwa THE MONEY CODE, aisee kinaelezea njia zilizowafanya wayahudi kufanikiwa katika biashara

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Рік тому +4

    Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Рік тому +1

    ASante kwa mahu

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 Рік тому +1

    Nikweli kabisa

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Рік тому +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @glorialaizer9450
    @glorialaizer9450 Рік тому +1

    Masaaa 6 yanatosha kulala

  • @abilityemmanuel3000
    @abilityemmanuel3000 Рік тому

    Pastor David mbaga,, samahan siku ukipata muda utuewekee sawa hali hii ya waadventsta kusherekea mwaka mpya limekaaje tusaidie

  • @PamelaMonyangi
    @PamelaMonyangi 7 місяців тому +1

    ninajekwa naomba maombi

  • @nicepallangyo1860
    @nicepallangyo1860 Рік тому

    Mimi nataka niongee na pastor moja kwa moja lakn nashindwa kuchukua namba

  • @BonfaceChacha-md2ux
    @BonfaceChacha-md2ux 9 місяців тому +2

    Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Рік тому +2

    Niukweli kbisa ukipumzka unpta nguvu

  • @peterdavid20149
    @peterdavid20149 2 місяці тому

    Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......

  • @chagamammbaga3457
    @chagamammbaga3457 Рік тому

    only point is to belive in GOD

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому

    Nashukuru mchungaji kwa kunipa akili ya chakula Cha roho

  • @UncleJonah-h8l
    @UncleJonah-h8l Рік тому

    Nilikuwa nimetanga mbali nawe Yesu Narudi nisaidie kuyaelewa haya na kuyafanyia kazi

  • @EstherLushino
    @EstherLushino Рік тому +1

    Pr naomba no yako ya. Cim yako ya Sasa tafadhali

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Рік тому

    yaani mch. umenena

  • @marsellah9295
    @marsellah9295 Рік тому

    Niko hapa nakufuatiria kutoka saudia

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Рік тому

    Ameen

  • @veronicajimisha61
    @veronicajimisha61 Рік тому

    Ninajifunza

  • @nazieleliakimu3625
    @nazieleliakimu3625 Рік тому +1

    ++

  • @damariskimaiga364
    @damariskimaiga364 Рік тому

    Thanks 🙏🙏 for inspiration massage pastor kindly assist me with your number Damaris from Kenya.

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Рік тому +2

    Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,

  • @mayalastephano6781
    @mayalastephano6781 Рік тому

    Amina

  • @roycekasoso6089
    @roycekasoso6089 Рік тому +1

    Amen

  • @verynicemkaro7116
    @verynicemkaro7116 Рік тому

    Amina .

  • @samwelgidion3401
    @samwelgidion3401 Рік тому +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @charleskibugachannel2210
    @charleskibugachannel2210 Рік тому

    Amina

  • @Uzima-Tv
    @Uzima-Tv Рік тому

    Amen🙏

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Рік тому

    Amen

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Рік тому

    Amina