Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo . asifiwe mungu na mungu akupariki sana
This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,
Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo
Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu
Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi
Mungu akubariki pasta tunatosheka n'a mahubiri
Asante Mungu nimezidi kujengeka kiroho huyu Mungu kwangu ni rafiki yangu amenitendea mengi na namuomba anipe Hekima yakumtumikia bila kuchoka
Martha musafiri pastor mungu akubariki sana unatusaidia tulio weng na mungu akubariki sana🙏
Amina. ZIDI KUBARIKIWA PASTOR.
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Amen nabarikiwa sana Mungu akubariki pastor.
Amina mtumishi ubarikiwe Sana Naomba uniombee Nina shida nyingi. Ningekuwa na Namba yako ya simu tungeongea ila kwa imani nitapona
Asema mpe mda mwingi Yesu utapata kila ukitakacho kiurahisi.tuanze wote Leo ndugu tuone maajabu
Mungu akubariki kwa mafundisho unayotufundsha stayblessed mch Mmbaga
Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo .
asifiwe mungu na mungu akupariki sana
Amen , mafundisho yako posta mbaga mungu akubariki sana nko kenya taita.
Amen,kweli bila Mungu tunafanya kazi bure
Amen
Naanza leo kukupa mda wangu Yesu.mambo yangu yamegoma sababu nimeyapa mda Sana kuliko wewe
This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,
Naitaji maombe pastor🙏🙏naumwa🙏
Ameeen Pastor Nabarikiwa sana na Mahubiri haya nakupata vizuri kutoka Muscat 🙏🙏
Amina mchungaji mbaga ùbarikiwe naomba roho mtakatjfu anisaidie kumjua mungu alivyo nilidhani najua kumbe sijui chochote
Amen🙏
Barikiwa San pastor
Amen Amen 🙏🏻
Fundisho nzuri asante kwa kunielimisha umenisaidia sana barikiwa mtumishi wa Mungu
Kweli mungu ni mwema Kila saa,na wakati wake ni sasa.Amina pastor.barikiwa sana 🙏🙏🙏🙏
Akika nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu mungu azidi kukuinwa
Nimebarikiwa na somo hili. Barikiwa pastor
Amen
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Ameen mafundisho yananifungulia mengi 😭ubarikiwe sana pastor🙏🙏🙏
Amina
Ahsante sana mtumishi wa bwana Mungu awabaliki sana
Ameen Pastor nimepata moyo wakumjua huyu Mungu.
Thank u
Your teachings pastor inspire me so much be blessed
Amen
Nimejifundisha mengi,
Asante pastor
Amina.
Amina 🙏🙏
Amen nabarikiwa nikiwa labanon
Amen, nabarikiwe san 🙏🏾
Graciàs🙌
Uzidi kubarikiwa mola
Amen -Thanks be to God
Mungu aendele kuku tunza 🙏🙏
Mchungaji nimiaka miwili imepita tangu ufundishe somo hili lakin nimepata kibali kwa bwana biashara yangu imekua sana asante mungu
Mungu atukuzwe saaaana
Hivi mie nashukuru Mungu sana kwa kunikutanisha na mafundisho ya pst Mmbaga, kwani nilikua kwenye giza sana 🙏🙏🙏🙏
kuna kitabu kinaitwa THE MONEY CODE, aisee kinaelezea njia zilizowafanya wayahudi kufanikiwa katika biashara
Kitabu hicho unacho?
Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo
ASante kwa mahu
Nikweli kabisa
Amen 🙏🙏🙏
Masaaa 6 yanatosha kulala
Pastor David mbaga,, samahan siku ukipata muda utuewekee sawa hali hii ya waadventsta kusherekea mwaka mpya limekaaje tusaidie
ua-cam.com/users/liveM_9N3GilTmU?feature=share
ninajekwa naomba maombi
Mimi nataka niongee na pastor moja kwa moja lakn nashindwa kuchukua namba
Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu
Mungu akutendee muujiza
Niukweli kbisa ukipumzka unpta nguvu
Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......
only point is to belive in GOD
Nashukuru mchungaji kwa kunipa akili ya chakula Cha roho
Nilikuwa nimetanga mbali nawe Yesu Narudi nisaidie kuyaelewa haya na kuyafanyia kazi
Pr naomba no yako ya. Cim yako ya Sasa tafadhali
God bless you uendeleze kazi yake
yaani mch. umenena
Niko hapa nakufuatiria kutoka saudia
Ameen
Ninajifunza
++
Thanks 🙏🙏 for inspiration massage pastor kindly assist me with your number Damaris from Kenya.
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Nabarkiwa na mahbir amina pastor
Amina
Amen
Amina .
Amen 🙏🙏🙏
Amina
Amen🙏
Amen
Amena baba
Amina
Amen
Amin barikiwa kwakututiyamoyo