Nimepokea uponyaji sasa hivi (saa 10:33pm)baada ya kusikiliza somo hili, nilikuwa nna maumivu ya mgongo na mguu ila katikati ya maombi nikasikia kitu kimeachia nikaanza kujinyoosha wakati mchungaji anaendelea kuomba kuhakikisha na alipomaliza nikajinyoosha tena ili kuhakikisha ,sina maumivu kabisa. ninamtukuza Mungu na Baba yetu wa mbinguni kwa hili na mengine yajayo ninaamini nmeshayapokea kwa imani na hili ni uthibitisho.
Kwa kweli mchungaji hilo la kutokupokea miujiza ni la kweli. mimi ni mtu ambayenilikuwa sikubali na rafiki zangu ambao ni kama wadogo zangu mmoja anaitwa irene,mary na angel walinishawishi kila mmoja kwa wakati wake niwe nafika kusali j5 katika maombi. wakati wa kiipindi cha maombi sikuwa nafumba macho nikifikiri kama kuna kitu. ninashuhudia hili mwaka 2022 kuingia 23 kuna somo nililikuta youtube lilikuwa linaongelea kuhusu Mungu akufumbue macho mwaka 2023 nafikiri ilitolewa december 31 mwaka 2022 nililisikiliza lile hubiri nikaomba na mchungaji. na niliwambia Mungu tatizo langu likajibiwa nikiwa ninatazama. sitaki kuliongea alichonifanyia kwa kuwani mambo ya ofcn na ninaogopa kulisema kilichotokea kwa kuwa wengi wanatazama humu. Tunakushukuru kwa kutufungua macho na mawazo kwa Mungu wetu
Pastor I have changed my life and living style anytime I listen to ur teachings I pick a point thank you from the bottom of my heart be blessed abundantly in Jesus mighty name Amen 🙏
Sioshwi dhambi.zangu bila damu yake Yesu hapendezewi Mungu bila damu yake Yesu hakuna kabisa dawa Ya makosa yakututakasa ila damu yake Yesu Asante sana nimeguswa
Mungu akuongezee siku za kuishi mchungaji mbaga maana wewe si mchungaji wa wasabato tu bali ni mchungaji wa madhehebu yote nayapenda sana mahubili yako hayana udhehebu ni yakuwapeleka watu mbinguni
Mm huwa natoa zaka zangu lkn nikitoa ak mambo yangu ndio yanazidi kuwa mabaya sana lkn nikiacha kutoa huwa naona afueni ss hii nayo ni nn naomba pst mungu akusaidie na kunipa mm muelekeo nifanyeje
Naam, ukweli ndio huo kwamba ikitokea mwandamu akamjua Mungu basi naye huyo atakuwa ni Mungu. Tunamjifunza huyu Mungu kila kukicha ila hana maana ya kumjua bali kuyajua mapenzi yake
Nimepokea uponyaji sasa hivi (saa 10:33pm)baada ya kusikiliza somo hili, nilikuwa nna maumivu ya mgongo na mguu ila katikati ya maombi nikasikia kitu kimeachia nikaanza kujinyoosha wakati mchungaji anaendelea kuomba kuhakikisha na alipomaliza nikajinyoosha tena ili kuhakikisha ,sina maumivu kabisa. ninamtukuza Mungu na Baba yetu wa mbinguni kwa hili na mengine yajayo ninaamini nmeshayapokea kwa imani na hili ni uthibitisho.
Amen!
Amina
Amen, hallelujah
Hallelujah
Amen
Napenda unavyo ubiri kwa nguvu na ujasiri,sichoki kukusikiliza,mungu akubariki zaidi milele
Ubalikiwe sana mchungaji Wetu Amen
Kwa kweli mchungaji hilo la kutokupokea miujiza ni la kweli. mimi ni mtu ambayenilikuwa sikubali na rafiki zangu ambao ni kama wadogo zangu mmoja anaitwa irene,mary na angel walinishawishi kila mmoja kwa wakati wake niwe nafika kusali j5 katika maombi. wakati wa kiipindi cha maombi sikuwa nafumba macho nikifikiri kama kuna kitu.
ninashuhudia hili mwaka 2022 kuingia 23 kuna somo nililikuta youtube lilikuwa linaongelea kuhusu Mungu akufumbue macho mwaka 2023 nafikiri ilitolewa december 31 mwaka 2022 nililisikiliza lile hubiri nikaomba na mchungaji. na niliwambia Mungu tatizo langu likajibiwa nikiwa ninatazama. sitaki kuliongea alichonifanyia kwa kuwani mambo ya ofcn na ninaogopa kulisema kilichotokea kwa kuwa wengi wanatazama humu.
Tunakushukuru kwa kutufungua macho na mawazo kwa Mungu wetu
I love how you speak with strength and courage, I never get tired to listening you,may God bless you forever.
Nifuraha kubwa saaana kwetu ssisi tuliyo bahatika kusikia ma fundisho yako pastor
Nipenda sn pastor mafundisho yako
Ubarikiwe tna na tna
Nabarikiwa sana
Na Mm nimo, Bwana Yesu aniguse
Mimi niko Saudi Arabia ni mkenya
Pastor I have changed my life and living style anytime I listen to ur teachings I pick a point thank you from the bottom of my heart be blessed abundantly in Jesus mighty name Amen 🙏
Amen, even me God using pastor Mbaga to reform my life spiritual and physically. Pastor be blessed a lot, and live longer.
Me too
Amen.
Same to me here ❤❤
Nayapenda madundisho yako mchungaji Mungu akubariki sana wewe pamoja na familia yako.
Munguazidi kukutumia Sana pastor Mbaga
Naomba mungu kila madhabau ya giza uyaondoe kwa familia yangu kupitia maombi haya kwa jina la yesu amen
Amen
Amen
Sioshwi dhambi.zangu bila damu yake Yesu hapendezewi Mungu bila damu yake Yesu hakuna kabisa dawa Ya makosa yakututakasa ila damu yake Yesu Asante sana nimeguswa
Ameen🙏💖
Nifanye niwe mwanafunzi pastor niko south Africa
Bwana ainuliwe sana kupitia mtumishi wake ..... Umenibariki sana kiongoz
Mungu akubariki pst nasukuru kwa kutuelimiza ,unatwambia ukweli ili tubadilike
Amen
Mchungaji mungu akulinde sana nabarikiwa sana na masomo yako nayafuatiliya nabarikiwa sana
Asante Yesu kwakuhurumia kutupa huyu mtumishi
Amina huwa nabalikiwa sana ninaposikia mahubiri yako mungu akubaliki
Mungu akuongezee siku za kuishi mchungaji mbaga maana wewe si mchungaji wa wasabato tu bali ni mchungaji wa madhehebu yote nayapenda sana mahubili yako hayana udhehebu ni yakuwapeleka watu mbinguni
Amen ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho
Mungu azidi kukupa Maisha marefu Mtumishi wa Mungu
Naomba namba ya whattssp ya mchungaji pastor David MMBAGA NAFAIDIKA SANA KUTOKA MUHUBIRI TV NIKO SOUTH AFRICA HASATENI
Ubarikiwe Sana
Mungu akubariki kwa mafundisho ambayo Roho mtakatifu anakupatia ili unene nasi
Nazani ni wakati wa kumiliki TV Yako pr
MUNGU wa mbinguni na atoe apendavyo
Nabarikiwa sana na mafundísho yako pastor
Barikiwa sana YESU azindi kukubariki
Amina papa ubarikiwe zaidi
Yehova Akuongezeye ujuzi
Kuna watu waliondokewa na mzazi mmoja je Hawa nao ni mayatima ama vipi na unaeza wasaidia nao
Pasta mungu akubariki sana miye Congo nime sambaza sana mahubiri yako na watu wana farijika sana
Mungu akubariki saaana
You are filled with the Holy Spirit. Thank God
Ameee ameee ameee mchungaj unakipind kimoja tu
Mm huwa natoa zaka zangu lkn nikitoa ak mambo yangu ndio yanazidi kuwa mabaya sana lkn nikiacha kutoa huwa naona afueni ss hii nayo ni nn naomba pst mungu akusaidie na kunipa mm muelekeo nifanyeje
Amen 🙏
Naam, ukweli ndio huo kwamba ikitokea mwandamu akamjua Mungu basi naye huyo atakuwa ni Mungu. Tunamjifunza huyu Mungu kila kukicha ila hana maana ya kumjua bali kuyajua mapenzi yake
Amina pastor.
AMINA
MUNGU atusidie sana AMEN
Hi pastor
good teachings
amen🙏🙏
Ameen
Pasta,nafatamafundi shoyako nakuyazingati mimi nimusabato lakini shida ukafundisha uoukweli ukukwetu mimbali kanisa ni upewitena,mutuombee RDC goma
Amina na Amina mtumishi 🙏, Asante Mungu Kwa ajili ya chombo chako hiki ili tuendelee kukujua wew kupitia mteule wako huyu
Barikiwa pastor
Pastor,,,ko Kuna yesu alaf Kuna mungu????
Aminaa
Uniombee mchungaji niwe nanguv yaiman
Asante
asante pastor tunabarikiwa sana familia ya mitandao
Wapendwa naombeni namba ya pastor
Mungu akubariki kwa kazi njema
Nimebarikiwa na uliza nitapataje number yako mtu wa mungu
Kweli mafundisho yako yananifaa Sana masomo yako yamenirekebisha kwa jina la Yesu vile neema ya Bwana isemavyo katika Tito 2:11
Amina Mungu akutunze ninabarikiwa sana
Nipenda sn pastor mafundisho yako
Amen
Amen
Amen