KUVUNJA LAANA YA UMASKINI - PR DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 80

  • @GloryDhahabu-u5h
    @GloryDhahabu-u5h 20 днів тому

    Pr mungu aendelee kukupigania uzidi kutufundisha zaidi tumjue mungu

  • @MrmobAmoc
    @MrmobAmoc 3 місяці тому +1

    Pr mbaga unanigusa sana mahubiri yako Mungu akuongezee karama yako hiyo maradufu❤❤

  • @RehemaRMakengo
    @RehemaRMakengo Місяць тому +1

    Barikiwa Pr kwa fundisho nzuri

  • @user-tk7cd8vp9m
    @user-tk7cd8vp9m 2 місяці тому +1

    You have change my life Thank you and be blessed

  • @rachelwilson5289
    @rachelwilson5289 Рік тому +2

    Yesu nirehemu nisiestahili, nakuhitaji Yesu Sana moyoni mwangu

  • @definitelykoechy8726
    @definitelykoechy8726 Рік тому +6

    Mimi ni mkenya tunakupenda Sana pasy May God continue to protect you

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 Рік тому +3

    Amen, Amen utukufu kwa Mungu juu, tunakiri ushindi na kupokea neema

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 місяці тому +1

    Mungu akubariki sana pastor 🙏 😢

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli Місяць тому

    Barikiwa saana Mbaga

  • @bernakimario
    @bernakimario Рік тому +13

    Pastor mbaga mungu akubariki sana na mahubiri yamenitoa mbali sana sitokusahau maisha yangu yote.ubarikiwe sana na familia yako.

    • @racheljumbe5614
      @racheljumbe5614 3 місяці тому +1

      Kabisa mm niliwahi kumsikiliza mahali Fulani nikiwa kazini nikawa napata shida nilimsikiliza kwa Imani niliondoka pale kwa kuitwa kwenye kazi nyingine Mungu ambariki sana

  • @niyongaboanaclet46
    @niyongaboanaclet46 Рік тому +1

    Barikiwa sana pastor kwa masomo mazuri yanayo jenga kiroho,kimwili na nyanja nyinginezo za maisha!!!!

  • @LENATUSJULIUS-xz1nc
    @LENATUSJULIUS-xz1nc Місяць тому

    Nabarikiwa na mafundisho yako mchungaji Mmbaga, kwasababu unafundisha na kuhubiri pia, pamoja na hayo unafundisha psychology unagusa kila eneo barikiwa sana.

  • @jaynice-hn7jn
    @jaynice-hn7jn Місяць тому

    Mungu akubariki

  • @peterkimani7503
    @peterkimani7503 Рік тому +2

    Nimesikiliza somo hili huku nikimwaga machozi.nitaishi na madeni hata lini????naomba kufanikiwa katika jina la Yesu.Amen

  • @janethdavid1026
    @janethdavid1026 Рік тому +1

    Pastor MUNGU akulinde na kukubariki Amen 🙏🥰

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 Рік тому +1

    Nakusikiza from nrbi kenya, barikiwa sana mchungaji.

  • @neemamgeta2955
    @neemamgeta2955 Рік тому +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho haya

  • @PhilbertJoachim
    @PhilbertJoachim 3 місяці тому

    Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo

  • @carolinechelangat9243
    @carolinechelangat9243 2 місяці тому +1

    Mafundisho ya nehema kubwa sana

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Рік тому +1

    Aminaa nimebarikiwa sana Mungu kubariki mchunganji

  • @jenipharobert9694
    @jenipharobert9694 8 місяців тому

    Mungu akubariki sana pastor mmbaga nsomba tu nikwambie ukwel ubatumiwa na Mungu mim nimekuwa mrahibu wa masomo yako kila siku lazima niweke bando nisikilize mahubiri yako hata masomo mawili. Ila kila siku lazima nisikilize na mara nikisikiliza nabarikiwa nafunguliwa nsinuliwa kiwango cha juu.Mungu akubariki sana

  • @PhilbertJoachim
    @PhilbertJoachim 3 місяці тому

    Ubarikiwe pastor Kwa SoMo Hilo Kuna point ambazo ninzr sana

  • @RachelBariki
    @RachelBariki 2 місяці тому

    Mahubirazuri yananitia moyo mungu akubariki pastor

  • @johnbarasa9052
    @johnbarasa9052 3 місяці тому

    Man of God am from Kenya. You teachings are very powerful indeed .

  • @jacksonsungwana2344
    @jacksonsungwana2344 4 місяці тому

    Leo nimejifunza kitu kikubwa sana,barikiwa sana Mchungaji.

  • @upendobaina2171
    @upendobaina2171 2 місяці тому

    Mch barikiwa,hakika nabarikiwa na mafundisho yako,yananitoa gizani na kuniweka niruni.Bwana apewe sifa.

  • @WemaAlex-be1rb
    @WemaAlex-be1rb 3 місяці тому

    Bwana,asifiwe,naomba msaada nahitaji kuonana na pastor

  • @yohanashingashinga3974
    @yohanashingashinga3974 Рік тому

    Asante pastor kuanzia leo sitatumia kauli dhaifu ktk lolote nifanyacho

  • @everlynemoraa6214
    @everlynemoraa6214 Рік тому +1

    Kazi nzuri mchungaji, ninalo swali kati ya Petero na Yohana ,ni nani YESU alipenda sana????

  • @user-nb3ov1gc4z
    @user-nb3ov1gc4z 6 місяців тому

    Namshukuru Mungu kwa karama aliyokupa ninatiwa nguvu naujumbe

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Рік тому

    Ameni kwaimani navunja laana ya magonjwa navunja laana ya kuto kufanikiwa Amen

  • @PauloKihaga-oo9jr
    @PauloKihaga-oo9jr 3 місяці тому

    Na barikiwa Santa na mafundisho Yako.

  • @user-wy6cs8kj4y
    @user-wy6cs8kj4y 3 місяці тому

    Amen, ubarikiwe sana pastor

  • @elizabethgurti4157
    @elizabethgurti4157 Рік тому

    Amen pastor unazidi kunibariki

  • @eustina0
    @eustina0 Рік тому +1

    Mungu azidi kukupa nguvu na uzima tele barikiwa sana aminaa🙏🙏🙏🙏

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 3 місяці тому

    Pastor Naitaji msahada wa maombi kuusu kazi nipo America 🇺🇸 natamani ufungulifu tu 🙏🏻🙏🏻

  • @petrosteven-jl9gi
    @petrosteven-jl9gi Рік тому +1

    Barkiwa pasta

  • @MaselinaMbapila
    @MaselinaMbapila 2 місяці тому

    Umebadlisha mawazo yangu pastor

  • @msafirimachibya
    @msafirimachibya Рік тому +1

    Pro nabarikiwa sana na masomo yako MUNGU aendelee kukutumia wa ajiri ya neno lake

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Рік тому +1

      Amen

    • @linetokuku5390
      @linetokuku5390 3 місяці тому

      @@MahubiriPrMmbaga Kenya tunakufutilia sana wingi tumeona Mungu kupitia were Bwana akubariki

  • @eddahmateba5185
    @eddahmateba5185 5 місяців тому

    Ndio tuko hapa nrb tunasikia pastor barikiwa sana

  • @elewanenobalisimaneno698
    @elewanenobalisimaneno698 Рік тому +1

    Be blessed pastor

  • @AlyMusirima
    @AlyMusirima 23 дні тому

    Amina

  • @anthonymichweya5800
    @anthonymichweya5800 3 місяці тому

    Wise teachings,God bless you 🙏

  • @elienew3788
    @elienew3788 3 місяці тому

    Asante sana kwa fundisho hili Mchungaji naamini Mungu anaenda kuvunja laana za umaskini kwa Familia Yetu Naendelea kuomba hata sasa asante sana Eee Kristo kwa kuzichukua laana na umaskini wetu ili sisi tu barikiwe na kuwa Marajiri Halleluya moyo wangu unafurahi na kumtukuza Mungu kwa kuzivunja laana za Umaskini ❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💜

  • @busagibelias2005
    @busagibelias2005 Рік тому +1

    Thanks pastor, hii imekaa vizuri sana

    • @lyahnours8872
      @lyahnours8872 Рік тому +1

      Nabarikiwa Sana na mahubiri yako natamani nipate mda wa kuongea na wewe Sina namba yako nisaidie kuipata

    • @busagibelias2005
      @busagibelias2005 Рік тому

      Bilashaka wasaidizi wake watakusaidia

  • @PendoEmmanuel-pq8yo
    @PendoEmmanuel-pq8yo Місяць тому

    ukweli haujifich unaonekana 😢

  • @yohanashingashinga3974
    @yohanashingashinga3974 Рік тому

    ubarikiwe sana Pastor

  • @RadhiaIsmail
    @RadhiaIsmail 3 місяці тому

    Kuitia mahubiri haya nimemuona yesu

  • @EDWARDLAZARO-es7tm
    @EDWARDLAZARO-es7tm 8 місяців тому

    Amen pastor

  • @LucyWensilauswiliam
    @LucyWensilauswiliam 3 місяці тому +1

    Naweza kupata namba ya mchungaji naitaji

  • @godsonmollel1
    @godsonmollel1 10 місяців тому

    Amen, blessed

  • @SamuelMlipu
    @SamuelMlipu 3 місяці тому

    Bab mbariki paste izidi kupata nguvu ya kuhubir

  • @Amina-ej1kp
    @Amina-ej1kp 2 місяці тому

    Kila ninapokusikiliza pst napata nguvu mpya yakusonga mbele

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v 5 місяців тому

    Amina 🤔💖🙏

  • @SaimonRichard-wv5yx
    @SaimonRichard-wv5yx Місяць тому

    Nawezaje kuwasiliana na wewe?

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Рік тому +1

    🙏🙏🙏

  • @kissanselu8569
    @kissanselu8569 Рік тому

    Amen

  • @AjilyJuma-ob8fz
    @AjilyJuma-ob8fz 10 місяців тому

    🙏🙌

  • @crealmarwa
    @crealmarwa Рік тому +1

    Message you Young people 🛖🎁

  • @benjaminmuema
    @benjaminmuema День тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakenya

  • @mariamaswani832
    @mariamaswani832 2 місяці тому

    Nimebariwa na mhubiri yako ila naomba maombi kwa ajili ya kaka zangu wanamiaka 45,50 hawajaoa mpaka leo

  • @PhilbertJoachim
    @PhilbertJoachim 3 місяці тому

    Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo

  • @petrosteven-jl9gi
    @petrosteven-jl9gi Рік тому +1

    Barkiwa pasta mbaga

  • @katotodrivingschool4603
    @katotodrivingschool4603 Рік тому +1

    🙏🙏🙏