Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 20 лип 2023
КОМЕНТАРІ • 117
Наступне
Автоматичне відтворення
JE WAJUA SIRI HII JUU YA MAOMBI? | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)MAHUBIRI TV
Переглядів 26 тис.
KANUNI KUU MBILI ZA KUINGIA MBINGUNI | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)MAHUBIRI TV
Переглядів 31 тис.
(OFFICIAL VIDEO) UNAPOPITIA WAKATI MGUMU MAISHANI || PR DAVID MMBAGAMAHUBIRI TV
Переглядів 55 тис.
Ядерное озеро #ссср #россия #пермьПослезавтра
Переглядів 2,3 млн
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000MrBeast
Переглядів 104 млн
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 4,8 млн
Schoolboy - Часть 2⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 4,9 млн
Surah Mulk سورة الملك Relaxing beautiful recitation | SOFT VOICE | Zikrullah TVZikrullah TV
Переглядів 868 тис.
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.Sanga Richa
Переглядів 3,5 тис.
🔴#LIVE: 29/12/2022 - OMBA NGUVU HII IWE JUU YAKO: PR. DAVID MMBAGAMAHUBIRI TV
Переглядів 44 тис.
MACHO YAKIFUNGULIWA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)MAHUBIRI TV
Переглядів 15 тис.
UNAZIFAHAMU HIZI SANAMU?Apostle Mtalemwa Bushiri
Переглядів 56 тис.
MCHUNGAJI SIMBAULANGA AMALIZA UTATA JE? YESU NDIYE ISSA WA KISLAMU BIBLIA NA QURANI VYATOA MAJIBUMaks Media
Переглядів 42 тис.
UFALME WA MUNGU NDANI YAKOMAHUBIRI TV
Переглядів 59 тис.
MIFUKO YA KUTUNZA BARAKA IKO WAPI? PR. DAVID MMBAGAMAHUBIRI TV
Переглядів 45 тис.
Ayat Kursi 7x,Surah Yasin,Ar Rahman,Al Waqiah,Al Mulk,Al Kahfi,Ikhlas,Falaq,An Nas By Saad Al GhamdiZikir | ذِكِر
Переглядів 15 млн
Что под плащом? 😱 #тнт #shorts #юмор #шоу #однаждывроссии #моргунова #картункова #кошкина #летоОВР Шоу
Переглядів 3,4 млн
«Hummer - ласа ціль для окупанта» #shorts #війна #зсуСуспільне Запоріжжя
Переглядів 125 тис.
ВАТАЖОК Коростишівської банди та його дружина - хто вони такі?ТСН
Переглядів 1,1 млн
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 4,8 млн
«Не хочу, щоб мій син жив в країні, де війна», - за що воює 24-річний морпіх #україна #війна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 811 тис.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 9 млн
Сильна історія 🎥: 🎥: Kevin W. / X #спорт #олімпіада2024 #олімпійськіігри2024СПОРТ УКРАЇНИ SHORTS
Переглядів 1,2 млн
Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏
Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri
Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱
Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️
Ishakuwa kwa jina la Yesu. Amina
Amina❤
Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤
Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏
ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu
Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏
Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen
Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo
Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu
Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji
Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.
Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen
Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa
Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote
Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen
Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen
Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san
Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.
Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤
Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu
Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo
Mungu ni mwema.
Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu
Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana
Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga
Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu
Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️
MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake
Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
Amen
Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu
Asante Mungu.kwa kuondoa madeni ya binti yangu.
Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏
Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu
Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema
🙏🙏 more blessing pastor Mbaga
Sisi tuliotazama kwa UA-cam tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor
Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake
Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.
Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina
Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
Nataka msamaha wa dhambi
Nipenda mahubiri haya
Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .
Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema
Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway
Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu
MUNGU atusaidie sana AMEN
Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu
Naiwe hivyo.
Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba
Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉
Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏
I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.
Amen
Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake
Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.
Amen Barikiwa sana David Mmbaga
Amen pastor nimebarikwa
nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda
Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili
Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA
Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.
Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !
Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako
Amen!
Amina
Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.
Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie
Amen
Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏
Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.
Amina Amina 🇨🇩
Ameen
Amen Ameeeen
Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi
Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka
Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.
Aminaaa 🙏🙏
Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor
Mafundisho mazuri Sana
Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani
AMINA
Amene
Animaa❤❤❤❤
Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).
natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada
Amen
Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni
26:26 iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳
😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel
Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi
Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???
Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu
😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢
Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.
Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa
Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.
Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.
muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏
Amen
Amina
AMINA
Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli
Amen
Nilisha tamka kunguliwa kwa iman
Amen
Amen