MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 січ 2025

КОМЕНТАРІ • 133

  • @evelynmukama6033
    @evelynmukama6033 3 місяці тому +3

    Natamka kuzaa watoto mapacha wa kiume na wa kike kwa jina la Yesu Kristo aliye Hai.... Amen

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m Рік тому +6

    Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏

  • @JoyceKadii-b8y
    @JoyceKadii-b8y Рік тому +7

    Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Рік тому +15

    Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️

  • @ISAYAMAULID
    @ISAYAMAULID Рік тому +5

    Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Рік тому +5

    Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤

  • @ruthnyakundi6861
    @ruthnyakundi6861 Рік тому +6

    Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 3 місяці тому +1

    Kwa jina la Yesu mimi ni mzima kuanzia leo, nakataa udhaifu, nakataa kulala kitandani, nimepona kwa jina la Yesu Ameen 🙏

  • @tabithamasesa7390
    @tabithamasesa7390 9 місяців тому +2

    Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen

  • @jacquelinesalugole6400
    @jacquelinesalugole6400 Рік тому +5

    Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb Рік тому +3

    Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote

  • @amkenikumekucha
    @amkenikumekucha Рік тому +9

    Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏

  • @MaxmizerStarking
    @MaxmizerStarking 3 місяці тому +1

    Mm nitajl namba Moja dunian🎉🎉🎉

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Рік тому +4

    Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Рік тому +2

    Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏

  • @sue743
    @sue743 Рік тому +8

    Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen

  • @EllenMbota
    @EllenMbota Рік тому +5

    Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san

  • @benjaminmuema
    @benjaminmuema 5 місяців тому +2

    Nimekuwa nikifanya maombi kwa kutamka, nikiomba sana na sipati majibu....but nikitamka tuuuu....naaza Kuona watenja...nikilala natamka keshoye watenja wanajaa...na sikuwa nimesikiza hiii😊😊😊😊😊😊😊...so it's treu

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 Рік тому +1

    Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu

  • @ElvinaLuvuno-d7u
    @ElvinaLuvuno-d7u Рік тому +2

    Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen

  • @veronicaaugustino9521
    @veronicaaugustino9521 Рік тому +4

    Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.

  • @ElishaSedekia-w2o
    @ElishaSedekia-w2o Рік тому +1

    Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway

  • @phydloramnyaka3026
    @phydloramnyaka3026 4 місяці тому

    Bwana nitakase Kisha unibariki .Mtumishi barikiwa

  • @MaryanneAuma-l4u
    @MaryanneAuma-l4u 6 місяців тому

    Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Рік тому +2

    Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️

  • @fermeagro-pastoraledekaghu2589
    @fermeagro-pastoraledekaghu2589 5 місяців тому

    Pastor Mungu akubariki sana kwa fundisho hili nzuri. Kweli sisi wenyewe tumebaki tukisumbuliwa na umaskini sababu ya kujitamkiya vibaya. Tangu leo Mungu atusamehe kabisa. Tunaenda kuanza na maombi ya kutamka ili Mungu afungue familia zetu, afungue watoto wetu, afungue biashara zetu kwa jina la Yesu.

  • @priscaalphonce1662
    @priscaalphonce1662 Рік тому +4

    Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.

  • @Grolia-i4y
    @Grolia-i4y Місяць тому

    Natamka kufunguliwa Kwa afya yangu na familia yangu

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 Рік тому +3

    Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏

  • @annettegeorge2424
    @annettegeorge2424 Рік тому +4

    Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga

  • @lizm8598
    @lizm8598 Рік тому +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 6 місяців тому

    Mungu ni mwema.

  • @wittiebanie3194
    @wittiebanie3194 Рік тому +1

    Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 Рік тому +3

    Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana

  • @neemamahenge2735
    @neemamahenge2735 Рік тому +1

    Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.

  • @BilaliLwebula-du3gd
    @BilaliLwebula-du3gd 9 місяців тому +1

    Nipenda mahubiri haya

  • @tulimgaya6250
    @tulimgaya6250 Рік тому +1

    MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Рік тому +1

    Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu

  • @jennysabina8696
    @jennysabina8696 2 місяці тому

    Amen MUNGU atusaidiye

  • @WivineNikola
    @WivineNikola Рік тому

    Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Рік тому +3

    Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu

  • @Edinahnyaboke-b9o
    @Edinahnyaboke-b9o 8 місяців тому

    Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @JACQULYNEMUASA
    @JACQULYNEMUASA Рік тому

    Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu

  • @magrethmichael3881
    @magrethmichael3881 7 місяців тому

    ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu

  • @VeronicaKisinga
    @VeronicaKisinga Рік тому +3

    🙏🙏 more blessing pastor Mbaga

  • @sarahpaschal-nj9ix
    @sarahpaschal-nj9ix 7 місяців тому

    Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤

  • @TheclaDeogratius-ol1mv
    @TheclaDeogratius-ol1mv 8 місяців тому

    Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura Рік тому +1

    Naiwe hivyo.

  • @zaiokari1698
    @zaiokari1698 2 місяці тому

    Natamka nitaolewa na Wojtek nitazaa watoto wazima Katika jina la yesu

  • @elienew3788
    @elienew3788 Рік тому

    Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 6 місяців тому

    Nataka msamaha wa dhambi

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 Рік тому

    Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 6 місяців тому

    Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu

  • @scholarmgalla8778
    @scholarmgalla8778 10 місяців тому

    Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉

  • @victoriaprotas2976
    @victoriaprotas2976 Рік тому

    Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili

  • @AbellyPhilemon
    @AbellyPhilemon Рік тому

    Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m Рік тому

    Amen Barikiwa sana David Mmbaga

  • @JanetSidi-g7f
    @JanetSidi-g7f 2 дні тому

    Amen amen

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Рік тому

    Aminaaa 🙏🙏

  • @eustina0
    @eustina0 Рік тому

    Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Рік тому

    Amen!

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому +1

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 6 місяців тому

    Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema

  • @cyrusmuthee9191
    @cyrusmuthee9191 Рік тому

    Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .

    • @PheadaKasigwa
      @PheadaKasigwa 5 місяців тому

      Hakika neno la Mungu ni tamu na n kali kama upanga,BWANA WANGU YESU KTK JINA LAKO NATAMKA KUFUNGULIWA ZIDI YA NGUVU ZA MWOVU NA KUJAZWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU.

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Рік тому

    Amen

  • @RahabuAndrew
    @RahabuAndrew 2 місяці тому

    Asnte YESU

  • @EstherMwenze-dx6qj
    @EstherMwenze-dx6qj 7 місяців тому

    Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo

  • @AmosElie
    @AmosElie Рік тому

    Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏

  • @andrewmogire
    @andrewmogire 4 місяці тому

    Thanks

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Рік тому

    Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako

  • @beatricemageka0708
    @beatricemageka0708 Рік тому

    Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi

    • @joramjaphet2740
      @joramjaphet2740 Рік тому +1

      Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka

    • @faustermtavangu8212
      @faustermtavangu8212 Рік тому

      Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.

  • @pacshalfrenk8982
    @pacshalfrenk8982 Рік тому

    Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 Рік тому +3

    I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.

  • @justinchibule5692
    @justinchibule5692 Рік тому

    Mafundisho mazuri Sana

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 6 місяців тому

    Sisi tuliotazama kwa UA-cam tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor

  • @mildredmariera7733
    @mildredmariera7733 Рік тому

    Amen pastor nimebarikwa

  • @redemptakajungiro8599
    @redemptakajungiro8599 Рік тому

    Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.

    • @jackmasiko2583
      @jackmasiko2583 Рік тому

      Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Рік тому

    Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani

  • @RebecaKamwela-j1g
    @RebecaKamwela-j1g Рік тому

    Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.

  • @mariethanzallah6698
    @mariethanzallah6698 7 місяців тому

    Ameen

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio Рік тому

    Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !

  • @rebeccaonyando7214
    @rebeccaonyando7214 Рік тому

    Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 Рік тому

    Amina Amina 🇨🇩

  • @eustina0
    @eustina0 Рік тому

    Animaa❤❤❤❤

  • @kingmseti9205
    @kingmseti9205 Рік тому

    Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Рік тому

    Amene

  • @marthaseleman9957
    @marthaseleman9957 Рік тому

    Amina

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Рік тому

    Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому

    Amen Ameeeen

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 8 місяців тому

    Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu

  • @SamuelKambale-yb4vk
    @SamuelKambale-yb4vk 4 місяці тому

    Asanta mchungaji katika mahubiri hiyo nimepata bandiliko la Kiroho na miye naanza maombi ya kutamuka

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Рік тому

    Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???

  • @peninamwita3399
    @peninamwita3399 Рік тому

    Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Рік тому

    Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Рік тому

    😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢

    • @sarahratemo6239
      @sarahratemo6239 Рік тому +1

      Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.

    • @chagonjambaga5817
      @chagonjambaga5817 Рік тому

      Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Рік тому

      Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Рік тому +1

      Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.

    • @naomiissa8407
      @naomiissa8407 Рік тому

      muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому

    AMINA

    • @kwandundaki8568
      @kwandundaki8568 Рік тому

      Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli

    • @tumainimutatembwa4343
      @tumainimutatembwa4343 Рік тому

      Amen

    • @hadijaraphael8382
      @hadijaraphael8382 Рік тому

      Nilisha tamka kunguliwa kwa iman

  • @Deogerald-gj2um
    @Deogerald-gj2um 8 місяців тому +1

    natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada

  • @obadiazabroni6518
    @obadiazabroni6518 Рік тому

    Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu

  • @upendomaduhu1310
    @upendomaduhu1310 Рік тому

    Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 6 місяців тому

    Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji