Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 лип 2023

КОМЕНТАРІ • 117

  • @user-ws8xr7fs1u
    @user-ws8xr7fs1u 7 місяців тому +4

    Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏

  • @MaryanneAuma-l4u
    @MaryanneAuma-l4u 5 днів тому

    Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri

  • @user-et9hj1wl8o
    @user-et9hj1wl8o 10 місяців тому +5

    Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 10 місяців тому +11

    Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 10 місяців тому +4

    Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 9 місяців тому +3

    Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏

  • @magrethmichael3881
    @magrethmichael3881 Місяць тому

    ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Рік тому +6

    Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏

  • @sue743
    @sue743 Рік тому +8

    Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen

  • @ruthnyakundi6861
    @ruthnyakundi6861 7 місяців тому +2

    Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo

  • @jacquelinesalugole6400
    @jacquelinesalugole6400 10 місяців тому +2

    Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 17 днів тому

    Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji

  • @priscaalphonce1662
    @priscaalphonce1662 Рік тому +3

    Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 11 місяців тому +3

    Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen

  • @TheclaDeogratius-ol1mv
    @TheclaDeogratius-ol1mv 2 місяці тому

    Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 8 місяців тому +2

    Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote

  • @user-sd6bo1xs2z
    @user-sd6bo1xs2z 7 місяців тому

    Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen

  • @tabithamasesa7390
    @tabithamasesa7390 3 місяці тому

    Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen

  • @EllenMbota
    @EllenMbota Рік тому +4

    Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san

  • @veronicaaugustino9521
    @veronicaaugustino9521 Рік тому +3

    Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.

  • @sarahpaschal-nj9ix
    @sarahpaschal-nj9ix 2 місяці тому

    Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 21 день тому

    Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu

  • @EstherMwenze-dx6qj
    @EstherMwenze-dx6qj Місяць тому

    Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 17 днів тому

    Mungu ni mwema.

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 8 місяців тому

    Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 Рік тому +3

    Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana

  • @annettegeorge2424
    @annettegeorge2424 Рік тому +4

    Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga

  • @wittiebanie3194
    @wittiebanie3194 11 місяців тому +1

    Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 10 місяців тому +2

    Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️

  • @tulimgaya6250
    @tulimgaya6250 Рік тому +1

    MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 10 місяців тому +1

    Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Рік тому +1

    Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 Рік тому +2

    Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Рік тому +3

    Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu

  • @lizm8598
    @lizm8598 Рік тому +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema

  • @user-ef1ud3pu3k
    @user-ef1ud3pu3k 10 місяців тому +3

    🙏🙏 more blessing pastor Mbaga

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 5 днів тому

    Sisi tuliotazama kwa UA-cam tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 11 місяців тому

    Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake

  • @neemamahenge2735
    @neemamahenge2735 11 місяців тому +1

    Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.

  • @user-rq6ik3ef2i
    @user-rq6ik3ef2i 11 місяців тому

    Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 2 місяці тому

    Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 21 день тому

    Nataka msamaha wa dhambi

  • @BilaliLwebula-du3gd
    @BilaliLwebula-du3gd 3 місяці тому

    Nipenda mahubiri haya

  • @cyrusmuthee9191
    @cyrusmuthee9191 Рік тому

    Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 29 днів тому

    Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema

  • @user-dp6vg1fi7r
    @user-dp6vg1fi7r 10 місяців тому

    Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway

  • @user-zs9ml2qk6u
    @user-zs9ml2qk6u 11 місяців тому

    Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому +1

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 2 місяці тому

    Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura 11 місяців тому +1

    Naiwe hivyo.

  • @elienew3788
    @elienew3788 11 місяців тому

    Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba

  • @scholarmgalla8778
    @scholarmgalla8778 4 місяці тому

    Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Рік тому

    Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 Рік тому +2

    I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.

  • @eustina0
    @eustina0 10 місяців тому

    Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake

  • @user-eu8ri7se7p
    @user-eu8ri7se7p Рік тому

    Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 9 місяців тому

    Amen Barikiwa sana David Mmbaga

  • @mildredmariera7733
    @mildredmariera7733 Рік тому

    Amen pastor nimebarikwa

  • @user-yv2gm2kb6z
    @user-yv2gm2kb6z Рік тому

    nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda

  • @victoriaprotas2976
    @victoriaprotas2976 11 місяців тому

    Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili

  • @user-fm7fx6rr4x
    @user-fm7fx6rr4x 10 місяців тому

    Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA

  • @rebeccaonyando7214
    @rebeccaonyando7214 Рік тому

    Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio Рік тому

    Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Рік тому

    Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 9 місяців тому

    Amen!

  • @user-th1bb9ye5f
    @user-th1bb9ye5f Місяць тому

    Amina

  • @redemptakajungiro8599
    @redemptakajungiro8599 Рік тому

    Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.

    • @jackmasiko2583
      @jackmasiko2583 9 місяців тому

      Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie

  • @Utukufuzazy
    @Utukufuzazy 5 місяців тому

    Amen

  • @AmosElie
    @AmosElie Рік тому

    Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏

  • @pacshalfrenk8982
    @pacshalfrenk8982 Рік тому

    Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 Рік тому

    Amina Amina 🇨🇩

  • @mariethanzallah6698
    @mariethanzallah6698 Місяць тому

    Ameen

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому

    Amen Ameeeen

  • @beatricemageka0708
    @beatricemageka0708 Рік тому

    Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi

    • @joramjaphet2740
      @joramjaphet2740 Рік тому +1

      Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka

    • @faustermtavangu8212
      @faustermtavangu8212 Рік тому

      Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 11 місяців тому

    Aminaaa 🙏🙏

  • @kingmseti9205
    @kingmseti9205 Рік тому

    Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor

  • @justinchibule5692
    @justinchibule5692 Рік тому

    Mafundisho mazuri Sana

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Рік тому

    Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani

  • @jdm1459
    @jdm1459 Рік тому

    AMINA

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 11 місяців тому

    Amene

  • @eustina0
    @eustina0 Рік тому

    Animaa❤❤❤❤

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Рік тому

    Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).

  • @Deogerald-gj2um
    @Deogerald-gj2um 2 місяці тому +1

    natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada

  • @peninamwita3399
    @peninamwita3399 10 місяців тому

    Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni

  • @nundabe
    @nundabe Рік тому

    26:26 iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 4 дні тому

    😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel

  • @upendomaduhu1310
    @upendomaduhu1310 11 місяців тому

    Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 11 місяців тому

    Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???

  • @obadiazabroni6518
    @obadiazabroni6518 11 місяців тому

    Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Рік тому

    😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢

    • @sarahratemo6239
      @sarahratemo6239 Рік тому +1

      Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.

    • @chagonjambaga5817
      @chagonjambaga5817 Рік тому

      Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Рік тому

      Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Рік тому +1

      Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.

    • @naomiissa8407
      @naomiissa8407 Рік тому

      muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 9 місяців тому

    Amen

  • @marthaseleman9957
    @marthaseleman9957 Рік тому

    Amina

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Рік тому

    AMINA

    • @kwandundaki8568
      @kwandundaki8568 Рік тому

      Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli

    • @tumainimutatembwa4343
      @tumainimutatembwa4343 Рік тому

      Amen

    • @hadijaraphael8382
      @hadijaraphael8382 9 місяців тому

      Nilisha tamka kunguliwa kwa iman

  • @edinahmoraamageto7344
    @edinahmoraamageto7344 11 місяців тому

    Amen

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 11 місяців тому

    Amen