Mwanamke Shujaa Ni Nani? | Night Of Miracles Mbeya | Pastor Tony Kapola
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- Je wafahamu hadithi ya Esther, Tujifunze kupitia Shujaa huyu namna ya kuishi ndani ya Mungu.
Link to full video from this series:
ua-cam.com/users/li...
Connect with Pastor Tony Kapola Ministries:
Facebook:
/ pastortonykapola
Instagram:
/ pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)
Ni kweli nilifunga na ile saa ya kwanza ya siku ya kwanza nikajibiwa. Fasting works
Napokea kufanikiwa, Napokea ndoa nzuri Napokea biashara mkubwa katika kila eneo kwa jina la yesu kristo amen and Amen 🙏🏻🙌👏🏿❤
Ameeni
Lakin ili upokee yote hayo lazima umpokee yesu kuwa bwan na mwokoz wako na yote hayo utapata
Nikweli kaka
@bonansamusnic7801 nikweli kaka
@@Mt.Baraka mtumishi mm ni mwana wa mungu, yule ambaye alikufa kwa ajili yangu, God bless you my brother ❤🙏🏻I love you
Tafazali pastor wangu, ambia wa kaka wasiwe wanaingia kanisani na kofia kichwani
Nilifikia maamuzi magumu na mabaya ila baada ya kumsikiliza huyu mtumishi nmejielewa na nmebadilika sana mungu akubariki mtumishi aleluyaaa
❤Hallelluya❤
❤Hallelkuyaaa Napokea ujasiri na Akiri na hekima .❤Napokea kufanikia juu ya kaz na biasharaaa❤ Ameeen
Mungu umetuonyesha inawezekana naomba nioneshe mimi na familia yangi🙏🙏🥺
Mungu atujalie imani tunapoomba amina
Amen
Amen naenda kupokea aman kwa jina la yesu.nimeteseka kwenye mahusiano kwa muda mrefu San.Mungu nisaidie
Huu mkesha nilikesha hadi bujeeeee 🔥🔥🔥🔥🇦🇪🇦🇪Mungu Anajibu kwa wakati barkiwa @pastor Tony Osborn 🪛🪛🪛🙌🙌🍷💪💪
I'm waiting the word of God.
I call him katika ulimwengu wa roho kupitia madhabahu hii na neno hili kwa Damu y Yesu
Anitfute 🙏🙏
AMEN BWANA nipe moyo wa Shujaa na ujasiri ndani yangu 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙇♀️🤲🤲🤲🤲
Kuna kitu kikubwa mno nimejifunza hapa ubarikiwe baba
Napokea ndoa nzuri in Jesus name amen Amen
TONY IS MY PASTOR
Amen Amen Amen ❤❤❤ God bless you pastor ❤❤
Huyo ndiye pastor TONY ni yeye tu hakuna mwingine
Amen dearest dady 🙏
Kweli mwanamke wa kweli ni mvumilivu
Amina napokea
Amen 🙏🙏🙏
HALLELUJAH BABA nisiende kwa hisia nitie nguvu
Mweny ratb Kamil y ibad y wik hii.... anisaidie
Alhamic sa10 :30Jion na jumapili8:00 mchana mkuyuni
Pia ijumaa atakuwa mbeya
@@neemachuwa6819 Samahan atakuwa mbeya sehem gani hiyo ijumaa?
@@anethmichael6888 ukumbi wa st. Marys
Nadhan tangazo linaweza toka kesho
❤
Amen
Amina napokea kwa jina la Yesu ameni
Ameen
Ameeeen 🙏🙏🙏
😂😂mbon km pastor kweny emotions ankuw personal 😂
You Can not Miss the Person you Hate
Imekua fupi mno 😢😢...ningali narecherge...kumbe imeisha
Ameeen
Ameen ameen
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Da mtandao unasumbua jaman
Mnoo😢
Emeni
Ameeeen
Kinyume cha Utaratibu
Am in dar es salaam...how can I get the timetable of your preachings... I've so many things to say to that altar
Every Thursday 10:30 jioni, Sunday 8:00 mchana Millennium Towers 2 floor number moja
Mtumishi napenda mafundisho yako sanaa,ila hapa kwa ESTA soma Tena vzr,modekai na ESTA ni mtu na binamu yake Wala sio mjomba,mfalme pia alimpenda ESTA,Wala hakumkumbuka vasht akiwa na ESTA,lkn pia ulikuwa utaratibu wa jamii ya umedi na uajem kwa mfalme kuwa uwandani mda kadhaa kwa kwa ajili ya kuabudu miungu yao.so nakupenda na tuko pamoja ila hapo kuna mahari hapajakaa sawa
Alimkumbuka vasht bn
Amen
Ameen
Ameeeeen
Amen
Amen
AMEN