2 KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Semina ya neno la Mungu Singida || Day 2 || Tarehe 18 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
0752 888 847
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Eeee Mungu tunakushukuru kwa kumleta Mwakasege wetu, endelea kumtunza na kumtengenezea mrithi wa huduma,, ili huduma ya MANA isiwe na kikokomo mpka kuja kwake Kristo
Mungu amtunze baba na mwalimu wetu mzuri
Amen
Kwani mrithi wake ni nanai
Amina amina
Yesu nakushukuru kwa ajili ya somo hili,naomba unikumbuke juu ya mifumo mibaya katika maisha yangu,biashara,ndoa,uchumi,familia nitoe katika nyavu walizofunga miguu yangu ili nisivuke kwa damu yako yesu ya agano jibya nisaidie yesu nakuamini,wakumbuke watoto wangu,mime wangu,ndugu zangu,ukoo wa baba na mama.ameeee!! asante yesu kwa msaada wake kwutu,ameeen!
2:24
Eee Baba nipe ufahamu wako
Asante kwa neno lako Bwana, asante kwa mtumishi wako Bwana. Mtie nguvu zako Bwana. Mlinde kwa Damu ya Yesu❤
Somo nzuri Sana barikiwa mtumishi was Mungu
Nimda wa Maduio baba naomba nielewe kimoja hadi kingine😢😢Mifumo ya familia yangu baba ingilia kati 😢😢🙇♂️📌📌🇦🇪
Amina
Aminaa
Asante mungu cwez kueleza naamin nitafunguliwa naogopa mate ndo Yako kwel mungu akupe maisha marefu kupitia ww mtumishi wake tunapokea uponyaji
Eeh mwenyezi mungu bariki kila moja wetu kwa nafasi yake
Yakima umenisamehe na kunitendea mema. Asante Mungu
Mungu akutunze mtumishi wa mung amen
amen
Yesu nitetee,maana naamini upo nami hujawahi kuniacha
Nisaidie YESU jinsi ya kusimamia maono yangu
Barikiwa mnooooooo Mungu awatunze pia kuiendeleza huduma ya MANA.
MUNGU NISAIDIE NAOMBENI MAOMBI Mungu aniweze kupata watoto wakiume mapacha
MUNGU ninakutukuza kwa kwa somo xiri.Halelluyaa
Barikiwa sana mtumishi
Neno lako na liwe Halisi kwangu kama lilivyo nifunguliwe kila ninapoliskia mifumi isizuie lolote au chochote kwenye Maisha yetu Mapenzi yako Eee Bwana Yesu kristo yatimizwe kwangu😢❤
Eeeée mungu ufalme wak ukae kwenye mifumo yang
Huu ni wakati wangu asante mungu
Amen Amen Amen 🙏
Barikiwa sana mwalimu, Mungu akutunze.
Eeh Mungu usinipite
Ameeeen
We are blessed 🎉be blessed Teacher
Ameen
Asante mungu
Ameni.hakika.mbingu.ziendelee.kufunguka.haleluya
Hakika Mungu ameikumbuka Tanzania kwa jinsi ya ajabu.Ngazi ya familia,huduma Taifa .Utukufu kwa Bwana.
Eee Mungu unikumbuke
Eeeh Mungu wangu nijakuhitaji, nihurumie na unitete katika kazi yangu.
Mungu azidi kukupa mafunuo ya kuwaokoa wanadamu
Nimebarikiwa kutoka bahama
Germany
YESU niponye miguu
Ee Bwan bila ww ss atuwez jamb lolote
Amen