2 KUONDOA MAZUIO KATIKA MIFUMO YANAYOZUIA KUFANIKIWA KWAKO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || Singida

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Semina ya neno la Mungu Singida || Day 2 || Tarehe 18 JULAI 2024
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    0752 888 847
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

КОМЕНТАРІ • 46

  • @EliazeliAbely
    @EliazeliAbely 6 місяців тому +25

    Eeee Mungu tunakushukuru kwa kumleta Mwakasege wetu, endelea kumtunza na kumtengenezea mrithi wa huduma,, ili huduma ya MANA isiwe na kikokomo mpka kuja kwake Kristo

    • @graceabednego1257
      @graceabednego1257 6 місяців тому +2

      Mungu amtunze baba na mwalimu wetu mzuri

    • @IrineKimaro
      @IrineKimaro 6 місяців тому

      Amen

    • @hurumajosephat6333
      @hurumajosephat6333 5 місяців тому +1

      Kwani mrithi wake ni nanai

    • @waithirahnaomy1573
      @waithirahnaomy1573 5 місяців тому

      Amina amina

    • @gastonmodestkaziri2566
      @gastonmodestkaziri2566 3 місяці тому

      Ndugu yangu haiwezekani kumpata mwingine kama Mwl. Christopher Mwakasege! Huyu aliletwa na Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki, akichukuliwa kwenda zake mbinguni uwe na uhakika hatapatikana mwingine kama yeye! Kwanza huwa unasikiliza vizuri anavyochambua neno la Mungu, jinsi anavyooanisha uhalisia na ukweli uliopo na namna anavyotafsiri mistari ndani ya Biblia Takatifu? Kwa kifupi nimekuwa nafuatilia mafundisho yake kila nikisikiliza mafundisho yale yale napata neno jipya na uelewa tofauti na mara ya mwisho niliposikiliza mafundisho hayo! Hii maana yake Mwl. Mwakasege anaongea na Mungu na Yesu moja kwa moja na anaongozwa na Roho Mtakatifu kwa ukaribu zaidi kuliko tunavyodhania! Kwa hakika kama nimfuatiliaji wa mafundisho yake na una Roho Mtakatifu utagundua hilo! Hata Shetani akisikia sauti ya Mwl. Mwakasege anakaa chonjo maana anajua Mutumishi wa Mungu anaunguruma, madhabahuni au popote pale anapotamka neno la Mungu kwa sababu yoyote ile! Ukitaka kujua ni kwa kiwango gani Mwl. Mwakasege yupo karibu na Mungu, sikiliza anavyotoa shuhuda au kuongelea jambo ambalo kwa kawaida ungempongeza. Yeye utamsikia akisema "Utukufu kwa Bwana, Utukufu Kwa Yeye aliye hai!" Kuhusu mwingine kama yeye kupatikana akinyakuliwa kwenda mbinguni, jifunze kwa watumishi wa Mungu waliomtangulia! Ulishawahi kuona au kusikia mbadala wa Askofu Moses Kulola? Hakuna.

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 6 місяців тому +7

    Yesu nakushukuru kwa ajili ya somo hili,naomba unikumbuke juu ya mifumo mibaya katika maisha yangu,biashara,ndoa,uchumi,familia nitoe katika nyavu walizofunga miguu yangu ili nisivuke kwa damu yako yesu ya agano jibya nisaidie yesu nakuamini,wakumbuke watoto wangu,mime wangu,ndugu zangu,ukoo wa baba na mama.ameeee!! asante yesu kwa msaada wake kwutu,ameeen!

  • @rachelpeter87
    @rachelpeter87 6 місяців тому +4

    Eee Baba nipe ufahamu wako
    Asante kwa neno lako Bwana, asante kwa mtumishi wako Bwana. Mtie nguvu zako Bwana. Mlinde kwa Damu ya Yesu❤

  • @NguseloJacquline
    @NguseloJacquline 6 місяців тому +4

    Somo nzuri Sana barikiwa mtumishi was Mungu

  • @TumainiSanga-i2k
    @TumainiSanga-i2k 6 місяців тому +2

    Asante mungu cwez kueleza naamin nitafunguliwa naogopa mate ndo Yako kwel mungu akupe maisha marefu kupitia ww mtumishi wake tunapokea uponyaji

  • @ElizaWawa
    @ElizaWawa 6 місяців тому +2

    Mungu akutunze mtumishi wa mung amen

  • @EliaMhile
    @EliaMhile 6 місяців тому +1

    Barikiwa sana mwalimu, Mungu akutunze.

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 6 місяців тому +2

    Yesu nitetee,maana naamini upo nami hujawahi kuniacha

  • @anethsiame8789
    @anethsiame8789 6 місяців тому

    We are blessed 🎉be blessed Teacher

  • @EdsonJoseph-zl8vv
    @EdsonJoseph-zl8vv 6 місяців тому +1

    Barikiwa mnooooooo Mungu awatunze pia kuiendeleza huduma ya MANA.

    • @JimmyJoyce-bh3jv
      @JimmyJoyce-bh3jv 6 місяців тому

      MUNGU NISAIDIE NAOMBENI MAOMBI Mungu aniweze kupata watoto wakiume mapacha

  • @lightnesslaizer-fy4ff
    @lightnesslaizer-fy4ff 6 місяців тому +2

    MUNGU ninakutukuza kwa kwa somo xiri.Halelluyaa

  • @AnnoyedPrayingMantis-bp2qf
    @AnnoyedPrayingMantis-bp2qf 6 місяців тому +1

    Eeh mwenyezi mungu bariki kila moja wetu kwa nafasi yake

  • @stephensaro2657
    @stephensaro2657 6 місяців тому +1

    Mungu azidi kukupa mafunuo ya kuwaokoa wanadamu

  • @asiaelias-m6q
    @asiaelias-m6q 6 місяців тому +2

    Nisaidie YESU jinsi ya kusimamia maono yangu

  • @ZakayoJacob-r4x
    @ZakayoJacob-r4x 6 місяців тому +2

    Huu ni wakati wangu asante mungu

  • @juzika_online
    @juzika_online 6 місяців тому +3

    amen

  • @benadethamlay3395
    @benadethamlay3395 6 місяців тому +1

    Eeh Mungu usinipite

  • @Magrethw-xp4ru
    @Magrethw-xp4ru 6 місяців тому +3

    Nimda wa Maduio baba naomba nielewe kimoja hadi kingine😢😢Mifumo ya familia yangu baba ingilia kati 😢😢🙇‍♂️📌📌🇦🇪

  • @GloryMakundi-m6z
    @GloryMakundi-m6z 5 місяців тому

    Yakima umenisamehe na kunitendea mema. Asante Mungu

  • @victoriadaniely
    @victoriadaniely 6 місяців тому +1

    Eeeée mungu ufalme wak ukae kwenye mifumo yang

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 6 місяців тому +1

    Ameni.hakika.mbingu.ziendelee.kufunguka.haleluya

  • @yustersimkwai6140
    @yustersimkwai6140 6 місяців тому

    Eeeh Mungu wangu nijakuhitaji, nihurumie na unitete katika kazi yangu.

  • @TERESIAYOHANA
    @TERESIAYOHANA 2 місяці тому

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @tereziamwashiuya8682
    @tereziamwashiuya8682 6 місяців тому

    Barikiwa sana mtumishi

  • @moseskapola552
    @moseskapola552 6 місяців тому +1

    Neno lako na liwe Halisi kwangu kama lilivyo nifunguliwe kila ninapoliskia mifumi isizuie lolote au chochote kwenye Maisha yetu Mapenzi yako Eee Bwana Yesu kristo yatimizwe kwangu😢❤

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 5 місяців тому

    Asante mungu

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 6 місяців тому +1

    Ameen

  • @judmerus7400
    @judmerus7400 6 місяців тому +2

    Ameeeen

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 6 місяців тому

    Hakika Mungu ameikumbuka Tanzania kwa jinsi ya ajabu.Ngazi ya familia,huduma Taifa .Utukufu kwa Bwana.

  • @yustermunga557
    @yustermunga557 6 місяців тому

    Eee Mungu unikumbuke

  • @Lovenessimon-zz8qg1jz6j
    @Lovenessimon-zz8qg1jz6j 6 місяців тому

    Amen Amen Amen 🙏

  • @dddiii2330
    @dddiii2330 6 місяців тому

    YESU niponye miguu

  • @ArestidaKonyani
    @ArestidaKonyani 6 місяців тому

    Nimebarikiwa kutoka bahama

  • @dorismfalamagoha3119
    @dorismfalamagoha3119 6 місяців тому +1

    Germany

  • @MarthaMollel-jc5kf
    @MarthaMollel-jc5kf 6 місяців тому +3

    Ee Bwan bila ww ss atuwez jamb lolote

  • @rehemamwamundela2717
    @rehemamwamundela2717 6 місяців тому +1

    Amen

  • @aristaricklekule4932
    @aristaricklekule4932 3 місяці тому +1

    Amen