NYUMBANI KWA MONICA MTOTO WA NABII MKUU GEORDAVIE, MFANYA BIASHARA NA MWIMBAJI, AMKUMBUKA NISHER

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 144

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 5 місяців тому +36

    Yeyote unaesoma comment hii Yesu Kristo anakuja kuchukua kanisa takatifu sana hivyo ushauri jiandae kwa kujitakasa, kujitenga na tamaa za kidunia na ubaya wote. Ukipuuza utajuta milele ukitii utafurahi milele

  • @DanielMakunja-n1x
    @DanielMakunja-n1x 2 місяці тому +2

    Mm naibari hii famili ya jodav mungu isimamie ipe maisha marefu ili iendelee kutubariki na kutuinua

  • @gracemwakibolwa7910
    @gracemwakibolwa7910 5 місяців тому +4

    Mtoto umetulia hadi raha.nakupenda sana binti maana una kila kitu mwingine hapo usingetoa hata ushirikiano wee ni bonge la binti mwema.kaa salama na ndoa yako mama.

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 5 місяців тому +6

    Dahaa ukiwa na wazazi wako wote na pia ni mzima mshukuru mungu sana wengine ilo jambo hatulijui tunasikiaga baba na Mama tokea utotoni na pia mshukuru mungu pale unapo pata changamoto alafu yupo wa kukutatulia..jambo la kushukuru sana

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 5 місяців тому +1

      ooh jmni pole sana kakaangu Mungu kwako umkimbilie Yeye ndo kila kitu kwakoo

    • @Afrikalove736
      @Afrikalove736 Місяць тому

      Pole sana kaka.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 місяців тому +4

    Mwenyezi Mungu awazidishie awape zaid na Zaid ili wasaidie na watu wengine

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 5 місяців тому +7

    Monica ana Sura ya Uaminifu sana.

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 5 місяців тому +4

    Yes is added after every single word yes, yes, yes duh

  • @herijaphet
    @herijaphet 5 місяців тому +16

    Hongera kwa kupachika kope.

  • @MonikaNjoolay
    @MonikaNjoolay 6 днів тому

    Babarikiwa sana MUNGU akussidie hongera

  • @prophetislael5265
    @prophetislael5265 4 місяці тому +4

    Hivi kwann maskini huwa wanahasila sana na walio fanikiwa
    Kama huamin angalia koment zawalala hoi wanatumia kigezo cha din kumbe nisshida naumaskini punguzen makasiliko

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 3 місяці тому +4

    Mimi sionagi Kama Nabii Mkuu uwaga anamchakato wa sadaka zaidi sana namwonaga yeye anatoa zaidi,sioni hata mshirika aliyekamuliwa hapo,labda kama ana VYANZO vingine!

  • @ChitaiElish
    @ChitaiElish 5 місяців тому +3

    Nimebahatika Kua mwl.wa Monicah kwenye moja ya sec nzuri Kisongo enzi hizo..àma kweli mwl. hawezi mtambua mwanafunzi wake alichokibeba..... hongera.

    • @talents7934
      @talents7934 5 місяців тому

      Acha kuwa chawa huendani na career yako

    • @schniderlivin
      @schniderlivin Місяць тому

      ​@@talents7934😂😂😂😂😂 unasema ukweli Hadi unaboa 😂😂

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 5 місяців тому +6

    Kazuri karembo

  • @RehemaChizumi
    @RehemaChizumi 5 місяців тому +4

    Hongera sana mwanangu Monica Mungu akuinue kwa viwango vya juu

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 Місяць тому +2

    Love you ❤❤❤

  • @DeviMpega
    @DeviMpega 4 дні тому

    Hongera kwa kuweka blichi

  • @CharlesMbunda-og5tn
    @CharlesMbunda-og5tn 5 місяців тому +4

    Mtoto wa 'Nabii Mkuu' 😂😂

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 5 місяців тому +8

    Mzuri sanaa mpolee❤

  • @DaheerK
    @DaheerK 5 місяців тому +22

    Masikini ndio wenye koment mbaya kwajili ya njaa 😂😂

  • @nurumollel5988
    @nurumollel5988 5 місяців тому +2

    Hongera Mona.

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 5 місяців тому +4

    Mwaka huu utaishaje sijui

  • @binseif2216
    @binseif2216 5 місяців тому +4

    Mtoto wa nabii anavaa uchi na kucha ndefu yani hizi dini mtihani sana

    • @meikoking
      @meikoking 5 місяців тому +3

      Uchi unaujua wewe

    • @bestforever-q2w
      @bestforever-q2w 5 місяців тому +2

      Ficha wako itakusaidia

    • @binseif2216
      @binseif2216 5 місяців тому +2

      @@meikoking Kamulize sister wa kanisa lako ndo atakujibu,mulize kwann nyie mnavaa kwa kujistiri atakujibu

    • @berithaandersonn2234
      @berithaandersonn2234 5 місяців тому +1

      Achana na huo mtihani fanya mitihani mingine

    • @binseif2216
      @binseif2216 5 місяців тому

      @@berithaandersonn2234 Nilipoona sura yko na mwili wako ni zaid ya shetan

  • @EmmanuelMajele-ny2hk
    @EmmanuelMajele-ny2hk 5 місяців тому +4

    Nimechunguza watu wanao koment mabaya ndio masikini sana ndivyo watakavyo kuwa masikini sana kwa sababu mioyo yao lmejaa chuki

  • @EstherLazaro-uo5pv
    @EstherLazaro-uo5pv Місяць тому +4

    Kila kitu ni YES 😂😂

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 5 місяців тому +6

    Abarikiwe sana huyu mchungaji anajitowa sana kwa kusaidia watu

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 4 місяці тому +2

    Yani tanzania mtu akipata ahueni ya maisha kidogo anaongea na pua kidogo kama mzungu!!!!!! Na mchanganyiko kiswahili kingereza mhhh

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 8 днів тому +2

    KOPE ZA MACHO YAKO,HUSIBANDIKE KOPE ZAKO,UNAMKOSOA MUNGU.

  • @SimonMwapinga
    @SimonMwapinga 26 днів тому +2

    Akipigwa atasema pesa anapata wapi

  • @theoemilian5838
    @theoemilian5838 Місяць тому +3

    Unabii kapewa na nani? Afu wewe dada mwogope mungu. Izo nywele ndo alizokupa mungu? Na vp izo kucha ndo ulizo zaliwa nazo?!!

  • @raiyaomary1988
    @raiyaomary1988 2 місяці тому +2

    Singida wenzangu hao

  • @Mery-f5p8c
    @Mery-f5p8c 5 місяців тому +2

    Nachenyewe ni kilimbukeni Dah! Kinapenda Camera kama Babaake 😂

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 5 місяців тому +2

    Yupo vizuri mdada wa watu 😊

  • @binseif2216
    @binseif2216 5 місяців тому +10

    Mtoto wa nabii anavaa uchi ya hizi dini mtihani sana

    • @charlesmtaita9664
      @charlesmtaita9664 5 місяців тому +3

      Dini haihusiki hapo

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 місяців тому +1

      Hakuna aliyezaliwa na nguo.. mavazi ni utamaduni tu.. wazazi wetu wa mwanzo ie Adam na Hawa (kadiri ya vitabu vya dini .. Bible, Qur'an, Torati) hawakuwa na mavazi yoyote

    • @DanielLukumay-h7c
      @DanielLukumay-h7c 5 місяців тому

      Don't judge my friend

    • @Elllllllllllly
      @Elllllllllllly 4 місяці тому

      Ni mtoto wa nabii,hajakuambia yeye ndo nabii😂

    • @HaikaFoya-m5r
      @HaikaFoya-m5r 2 місяці тому

      Kinahusika nini sasa?i​@@charlesmtaita9664

  • @FekiHappy
    @FekiHappy Місяць тому +2

    Nguo tu

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 5 місяців тому +4

    Dada wewe ni Mzuri sn, ila kope bandia hazikufai zimekuharibu

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 5 місяців тому +2

    Chawa msenge

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 5 місяців тому +16

    Duh,,Hawa hata shida hawazijuagi,,,,Raha kuanzia utotoni Hadi ukubwan,anahudumiwa na baba ,,hata kama kaolewa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 5 місяців тому +2

      Ndo maana yake,hata mume akimzinguwa ni kutoka mara moja tu,maana hana shida yeyote.

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 5 місяців тому +6

      Ninyi hamjui hawa wa hvyo nawao wanachangamoto zao ambazo hata kwa uwezo wao walionao kiuchumi wanashindwa kuyatatua unakuta magonjwa sugu au kitu ambacho kitamfanya asivimbe zaidi kujiona yy ni tofauti na watu wengine

    • @jeremiahcharles6027
      @jeremiahcharles6027 5 місяців тому

      @@philemonmagesa5548 pia mahusiano yanawatesaga sana

    • @vickytango5591
      @vickytango5591 5 місяців тому

      😂😂😂​@@philemonmagesa5548

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 5 місяців тому +2

      Subiri zamu yake ya kutolewa kafara ifike

  • @KideNetworks
    @KideNetworks 5 місяців тому

    Sijapenda hayo maswali😮

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 5 місяців тому +2

    Kapole ila unapenda sn urembo ila kucha hapanaaaaaas

  • @ijsound5149
    @ijsound5149 5 місяців тому +2

    Watu wengine waopewa platfom daah ila sawa bhan ni vyombo vyenu vya habar

  • @evelema6146
    @evelema6146 5 місяців тому +4

    Hakuna dini yakweli hata moja wote tumedanganywa na wazungu na aliye nyuma ya hiz din ni pepo mwenye uwezo mkuubwa kwa haya na mengi ya kushangaza mfuatilie Imani mcimbwa utube you will be shocked

    • @MagdalenaNnko
      @MagdalenaNnko Місяць тому

      Dini zipo na zitaendelea kuwepo ila zipo zinanazomwabudu Mungu wa kweli na nyingine zina Mungu wake

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 5 місяців тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MonicaBenitomwalongo
    @MonicaBenitomwalongo 5 місяців тому +2

    mzuri jamani

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 5 місяців тому +2

    Izo kelele za maiki sasa 😂😂

  • @ElmigloryMosha
    @ElmigloryMosha 3 дні тому

    Tatizo la wanadamu tunapenda kujede vitu ambavyo hata avieleweki ivi kwani Mungu ndio anataka watu wake wawe wako rafu? Maana ukipendeza tatizo ukiwa rafu tatizo duuh

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 4 місяці тому +2

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 5 місяців тому +2

    Safi sana

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 5 місяців тому +2

    Ya zamani hiiiiii wakati Nisha yupo hai

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 5 місяців тому +1

      Wewe hukasikia mdogo wake anasema nammiss kaka ake hii ni tyr nisha slikuwa kishafariki

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 5 місяців тому +2

    Anajishauwa huyo halafu mavazi hayaendani na huduma ya kanisani nguo fupi. Hayo mahela ya baba yako yawe tu ya haki. Hayo macho wamekuwekea .... Oversize nini maana ndefu sana 😅😅😅😂😂😂.

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 5 місяців тому +2

    Hiyo mikope mmmh!

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 5 місяців тому +2

    Yes yes yes

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 5 днів тому

    Inavyoonekana nisha alikataa chama la wana.

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 3 місяці тому

    Mwaka huuu ni mwaka wakuforce mtakemsitake mtamuita booosii🤣🤣🤣

  • @DaheerK
    @DaheerK 5 місяців тому +2

    Apo pasululuu tu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 5 місяців тому +2

    Hizo hela za kupewa bila kuzitolea jasho zina madhala katika ulimwengu wa roho

    • @meikoking
      @meikoking 5 місяців тому

      Kwako ndo umenena hivyo

    • @sylvetermtunga4587
      @sylvetermtunga4587 5 місяців тому +1

      Tafuta pesa na wewe wanao wawenamaisha

    • @shamsaabdalah7038
      @shamsaabdalah7038 4 місяці тому

      Kwanini shoga

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 4 місяці тому

      @@shamsaabdalah7038 Yaani ogapa saana mtu anakupa pesa nyingi hujàfanya kazi yoyote halafu unapokea Kuna wema mwingine nyuma yake umebeba uharibifu mkubwa mno lakini kwa wakati huo huwezi kujua utaona ni kawaida lakini hatukatai misaada ila kusudi lake ni Nini maana huyo mtu yeye anatafuta hela kwa ajili ya kuwagawia watu sio hela tu mpaka magari wewe huogopi

  • @HappyatHome-bn8wm
    @HappyatHome-bn8wm 5 місяців тому +2

    mikope, makucha.. ushetani tuu. hamna Mungu hapo

  • @GreenNicole
    @GreenNicole 5 місяців тому +2

    Lewis Ruth Thompson Brian Walker Mark

  • @sammimbuta4561
    @sammimbuta4561 5 місяців тому

    Safi sn

  • @philomenamueni30
    @philomenamueni30 5 днів тому

    Monica nizahidie nikuje uko.aki nalilia babako na vile nampenda.nataka nikuje nichambue hii mashetani wanamfua nguo

  • @mtangag774
    @mtangag774 5 місяців тому +4

    Maisha haya hatar

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 5 місяців тому +1

    Nimependa unavyojieleza japo nyie ni matajir lakn unaonekana huringi huna mapoz saf nimependa pia unapambana

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 5 місяців тому

    Ponda Raha mama maana imeandikwa Wana walawi watakula kwenye mathabahu

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 5 місяців тому

    Mhiii hyo Naisi yupo kazini kuwatafuta Maisha

  • @DaheerK
    @DaheerK 5 місяців тому

    Shida kupenda vitoto vip kaolewa mume wake yupo apo

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p 5 місяців тому

    Baba yake anaubiri mtoto kaweka makope ya bandia manywele kama kichaa

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 5 місяців тому +2

    Gd

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 місяців тому +1

    Matapeli tu hawa wahuni hamna nabii wala nini , ni watanzania tu wajinga wanaibiwa kutoa hela za sadaka, mtoto wa nabii anawazia fashion na nguo wahuni hawa 😅

  • @subiralema
    @subiralema 5 місяців тому

    Ayo makucha uchafu

  • @jumaalmasjuma1700
    @jumaalmasjuma1700 5 місяців тому +1

    Shida mnapenda vitoto

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 5 місяців тому +4

    Mdada mditarabu sana unaongea kwakujielewa ongera familya bora

  • @binseif2216
    @binseif2216 5 місяців тому +2

    Nabii fake mchawi huyu hakunabkitu hapo majitu majinga sana yanamfata huyu mtaendanae motoni

  • @NuruJara
    @NuruJara 5 місяців тому +1

    Dada unajisifia umeolewa mm nalia sababu ya hoa mabwana nimeumia sasa sai natafuta ndoa

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 5 місяців тому

    Hamna kanisa ,ni utapeli mtupu