UTASHANGAA AMBROS ALIVYOLIPA SHILINGI MIA KUMUOA MTOTO WA NABII MKUU GEORDAVIE "TULITUMIA ESCORT"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 151

  • @nibakweedith9281
    @nibakweedith9281 6 днів тому +6

    Mahari iliyotolewa leo ndio tunaelewa maana yake. Thank you GOODLUCK GOZBERT

  • @HappynessLukumay
    @HappynessLukumay 6 днів тому +1

    Jamanijamni mbona kama wamefungwa ufahamu? Inamaana nafsi ya watu wawili imewekwa kwenye mia ikachukuliwa. Kweli dunia kwisha. Siku hizo mia alizochukua akasema ni monica na wewe, zikipotea na ninyi mnapotea. Poleni

  • @djurio
    @djurio 2 дні тому +1

    Kwa Yeyote ambaye ni Mkistu.
    Nabii wa mwisho katika maandiko ni Yohane Mbatizaji. Baada ya hapo hayupo nabii tena. Na kanisa la Kristu aliongozwi kinabii bali kwa Roho mtakatifu na kazi za mitume/utume.
    Wataalamu wa maandiko na teolojia tuleteeni empirical evidences watu wajue ukweli

  • @RAUNATION
    @RAUNATION Місяць тому +3

    Kumbe nisha alifariki jmn😢😢😢

  • @seifntandala9137
    @seifntandala9137 3 місяці тому +1

    Mungu atupe macho yakuwatambua mana kila mtu anajiita nabii. freemason wamepitia kwenye huduma ya mungu kuwapoteza watu wasiuone ufalme wa mungu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 5 місяців тому +3

    Mmmmh apo sasa,kweli mahari inafaa kuwa effort ana the extent to which you can go to acquire "her"as "your wife"

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Місяць тому

      Your right but why does the money have to be specific. Am sorry something in the milk ain't right

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe451 7 днів тому

    wakak vibonge wa namna hii wanajua kucare mwanamke pamoja na familia wanamioyo ya huruma hawajuagi kufokafoka nawapenda sana

  • @Daniella249
    @Daniella249 5 днів тому

    Hiyo mia imeenda kufanya nini huko nyie 🙌🙌 mia kama mia, haya ngoja kunyeshe tuone panapo vuja

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb 4 дні тому +1

    Huyu jamaa pamoja na uchawa ni mshamba wa kutupa

  • @AndrewKisava
    @AndrewKisava 7 днів тому +2

    Li chawa

  • @fatmamussa6134
    @fatmamussa6134 5 місяців тому +5

    Hao manabii wengi wako kwenye Chama cha blaki kadi usoni wa naweka sura ya unabii

  • @giztony2009
    @giztony2009 22 дні тому

    Ushamba wzma arusha ni kuona vitu vya kawaida kama exclusive interviews aise ni ushamba sana

  • @bless.2559
    @bless.2559 5 місяців тому +6

    Miaka 8 hamchezeani kumbe ndo maana mmeamua kuchezea akili zetu..😂😂

    • @witnessfelix3336
      @witnessfelix3336 5 місяців тому

      😅😅😅

    • @Dj2nyi
      @Dj2nyi 5 місяців тому

      😂😂😂

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому

      @@bless.2559 waongo hawa wanafiki hamna watu wanafiki kama hawa wahuni tu huyo demu wa nabii feki ameshiriki miss ingawa ni mbaya mara fashioni Na nguo Na mitindo yote mambo ya kidunia wanafiki tu

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 27 днів тому +1

    Kwamba ww ukimpenda dada yangu then unakuja kunambia mm mmmh, duh! Ungechezea teke la sehemu za siri

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 місяців тому +6

    Hawa wanaojiita manabii ni matapeli wamejua asilimia kubwa watanzania ni rahisi kudanganyika kwa hiyo wanatajirika na sadaka za watanzania masikini

    • @tonie5447
      @tonie5447 5 місяців тому

      Ausio bwana Kabwela.😅

    • @neemaneychricious6493
      @neemaneychricious6493 5 місяців тому +1

      angaikaa na umaskini wako

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому

      @@neemaneychricious6493 mpuuzi wewe unataka kusikia unavyotaka kusikia wewe , unafikiri watu wote ni masikini mimi siko kwenye kundi la watu masikini uko nilishatoka miaka kibao

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому

      @@neemaneychricious6493 masikiriko ya nini acheni utapeli eti nabii 😅😅😅

    • @frankchipasura1814
      @frankchipasura1814 5 місяців тому

      hakuna masikini Tanzania, waza nje ya box

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 4 місяці тому +2

    Kapigwa kichawi,,we shi 100 ya nyerere ikawe mahari?

  • @NursamiaKiligaliga
    @NursamiaKiligaliga 5 місяців тому +5

    Et nabiii mhii mtihaan

  • @SaimonKazimoto-xt1zo
    @SaimonKazimoto-xt1zo 5 місяців тому +2

    Nice sana

  • @MariaEvance
    @MariaEvance 7 днів тому +1

    Mbona km demu huyo kaka

  • @eliurumamalisa4700
    @eliurumamalisa4700 5 місяців тому +3

    Abari ya mitano Tena mh!

  • @theoemilian5838
    @theoemilian5838 Місяць тому +1

    Jo dav unabii kapewa na nani? Hakuna unabii unaoendelea baad y mtume Muhammad

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 днів тому

    Yaani mwenye macho haambiwi tazama ukitaka kupotea wewe jipoteze mwenyewe maana hata hizo maali zao zinajieleza wao ni akina nani sasa wewe jichanganye na kujifanya mshilika itakula kwako bibilia ipo bule ni juu yako kubukua uupate ukweli usipobukua ukajifanya maamuma itakula kwako

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 20 днів тому +1

    Uchawi upo mwingi hasa kitengo cha freemason watawaonyesha.mtaona tendency tu

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 6 днів тому

    Pesa za zamani zipo mpaka leo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 5 місяців тому

    Mwenye Nacho Ataongezewa Masikini Hata Kidogo Alicho Nacho Atanyang'anywa Uzeni Mashati Mkanunue Mapanga Kwamana Mmewekwa Katikati Kwa Watenda Zambi Inamana Tafuta Pesa Uzidishiwe

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 місяців тому +9

    Hivi siku hizi kuna manabii 😮 hamna cha unabii hapo ni matapeli ni kutaka kujitajirisha kupitia sadaka za watanzania masikini , na hii habari mbona haina public interest 😅

  • @devissyprian1526
    @devissyprian1526 5 місяців тому +8

    Mtu wa maana kabisa

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 5 місяців тому

    Upuuuz mtupuu sh mia bebore 1961 hakuna freemanson unaendelea hapo bro umeolewa

  • @geraldkayanda6075
    @geraldkayanda6075 Місяць тому +1

    Ili jamaa tahaira!

  • @RechorMwamedi
    @RechorMwamedi 5 місяців тому +3

    Jamaa mbona anarembuwa

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 5 місяців тому +4

    Hakuna sh 100 ya 1961. Tumekuwa na pesa ta Tz kuanzia 1966.

    • @naftalkileo5224
      @naftalkileo5224 5 місяців тому

      Anaonekana kabisa msanii

    • @brendashao36
      @brendashao36 5 місяців тому

      Shuguli kweli kweli

    • @jumahassankimwaga7719
      @jumahassankimwaga7719 5 місяців тому +1

      Wakati huo tulikuwa na sarafu ya Afrika Mashariki iliyokuwa inatolewa na East African Currency Board na zilikuwa na Malkia wa Uingereza. Sarafu ya Tanzania ilianza kutolewa 1966 baada ya kuanzishwa Benki Kuu ya Tanzania (BOT)

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 5 місяців тому

      ​@@jumahassankimwaga7719heee kumbe

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 5 місяців тому

      ​@@jumahassankimwaga7719nilikuwa sijuwi kama tulitumia pesa yenye nembo ya malkia wa uwingereza

  • @MtanganyikaTanganyika
    @MtanganyikaTanganyika 3 місяці тому

    Nabii wa wapi uyo malaya Monika alikua bikira hapana uyo alikua mke wa mke mtu

  • @majariwabarasokoroza9701
    @majariwabarasokoroza9701 5 місяців тому +4

    Freemasonry baba Yao

    • @Benny318m
      @Benny318m 5 місяців тому +1

      Ndio mawazo ya kila masikini

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 5 місяців тому +1

      Hahaaaaaa🎉

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx 5 місяців тому +1

      Kuma la Mama yako wewe acha mawazo ya kimasikini mmbwa wewe

    • @karibunyumbani3824
      @karibunyumbani3824 5 місяців тому +1

      Umaskini wa pesa ni jambo la kwanza halafu jambo baya zaidi ni umaskini wa akili Tena pale usipojua Kuna mipaka mingine ya kumuacha MUNGU ashughulike nayo maNa yeye ndio ana kurasa kila mtu

    • @neemamjema1067
      @neemamjema1067 5 місяців тому +1

      Tafuta hela

  • @Fortune-x5q
    @Fortune-x5q 5 місяців тому +1

    Mmmmm tuta tubu san

  • @hamzaibrahimu
    @hamzaibrahimu 5 місяців тому +4

    Nabii kutokea wapi hao na matapeli tu 😂

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 27 днів тому

    Unamwambia mdogo wake wa kiume kuwa unampenda dada yake, duuh,

  • @dommycash1
    @dommycash1 5 місяців тому +3

    Sasa RAIS kaingiaje hapo?😂😂😂😂😂😂

  • @rechokusilimka5739
    @rechokusilimka5739 Місяць тому

    Ipo siku

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 5 місяців тому +3

    ❤❤❤

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Місяць тому

    Hawa nao hawaishiwi kiki

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 20 днів тому +1

    Pumbavu eti samia chizi kibonge wewe

  • @Backtz
    @Backtz 5 місяців тому

    😢😢😢

  • @LadislausyStanislausy
    @LadislausyStanislausy 14 днів тому

    Dawa ya utajiri mnapata wapi jameni

    • @yusuphmatinya8560
      @yusuphmatinya8560 11 днів тому

      Fanya kazi

    • @JoyceHaule-o8c
      @JoyceHaule-o8c 5 днів тому

      ​@@yusuphmatinya8560hahahhahaaa

    • @Liberatus-k2c
      @Liberatus-k2c 3 дні тому

      Jifunze kwa walio fanikiwa

    • @LadislausyStanislausy
      @LadislausyStanislausy 2 дні тому

      @Liberatus-k2c wamefanikiwa nini?unaona wanawapa watu magari yanataka kuwaua,gari linageuka jeneza!mara nyoka,mpaka wanadiriki kuyachoma,unaleta masihara nini??

  • @Clex-f5s
    @Clex-f5s 5 місяців тому +1

    Doh hilo bleach la nni sasa?

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 5 місяців тому

    Hizi comedy

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 5 місяців тому

    Upuuzi mtupu

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 5 місяців тому

    Vizuri

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 5 місяців тому +1

    Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 Місяць тому

    Ila binadamu nyie muna maneno ya ajabu jamani mhhhh baba yake amejisikia kumwambia mkwe wake atafute hizo pesa

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 5 місяців тому

    Hizo kucha mhh

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 5 місяців тому

    Mmmmmmmmmh

  • @RaymonDbertha
    @RaymonDbertha 5 місяців тому

    Mmmmm

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 5 місяців тому

    Kaolewa hiyu

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому

      @@davidmalisa8043 limeolewa hilo bonge kwa tamaa ya kupata dezo maishani ndio maana limeoa demu baya sura la kiume

    • @ProsperReuben-fg6uh
      @ProsperReuben-fg6uh 5 місяців тому

      Hyo mwenyewe ni mtoto wa tajir wananmasheli kibao hata ile ya panone pale kisongo ni Yao hajatoka familia ya kichov

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 5 місяців тому

    🤭🤭🤭😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @AgnessMgaza
    @AgnessMgaza 5 місяців тому

    Mh

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 5 місяців тому +1

    Mia

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 5 місяців тому

    Kweli

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 5 місяців тому

    Huyu kibonge itakuwa anataka kitonga cha kula sadaka yaani Arusha kuna pisi kali kwenda kuoa mwanamke mbaya sana sura mbaya hata vimiguu kama vibiriti au spoki usafiri mbovu kabisa! Mbona huyo mke wake huyo mwanamke sura ni mbaya sana yaani hata baba yake ana sura nzuri , au mke wa nabii ni mbaya sana kama mke wa nabii ni mzuri ina maana nabii amepigwa kwa huyo mtoto au ni mtoto wake wa kufikia? 😅😅😅😅

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 5 місяців тому +9

      Duu hata kama ni chuki sio hivi. Unaweza kunyamaza tu kuliko kuandika chuki wazi wazi hivi. Laiti kama tungekuwa tunaweza sura zetu sidhani kama ungeandika hivi.

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 5 місяців тому

      @@josephjohn2114 miongoni mwa wajinga wa karne na wewe umo.katika karne hii bado kuna watu wanafikra za namna hii?tuonyeshe wa kwako mzuri.

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 5 місяців тому +1

      @@odilomwemeziernest646 bro sio mimi niliemponda huyo dada ni yule jamaa pale juu. Mimi pia nimeshangaa sana kuona jamaa anamponda dada wa watu utadhania yeye ni malaika

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому +1

      @@josephjohn2114 mkuu Mimi wangu mzuri na siwezi kuwa Na demu mwenye sura ya baba yake au ya kiume huyo aliyeowa inaonekana alitaka kitonga cha maisha kupata hela za sadaka ! Tuwe ukweli Nani anataka kuwa kitandani na mwanamke mwenye sura ya kiume as if uko na mwanaume mwenzake kwa bed 🛌 that’s nightmare 😅😅😅😅🤣🤣🤣

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 5 місяців тому

      @@josephjohn2114 sasa huyo demu si ana sura za kiume Na ni mbovu sasa wengine sio wanafiki kupindisha maneno watanzania mmezoea unafiki !

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 5 місяців тому +4

    Hawa waabudu mashetani manabii wa uongo watakokota wengi kuzimu