NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 228

  • @HAAM670
    @HAAM670 6 місяців тому +3

    Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.

  • @fredrickomwega8250
    @fredrickomwega8250 11 місяців тому +4

    Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 11 місяців тому +2

    Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi

  • @HAAM670
    @HAAM670 6 місяців тому

    God bless chief Prophet GEOR DAVIE

  • @OmarKizinga
    @OmarKizinga 20 днів тому

    Mungu akubariki na kukuzidishia Mtumishi wa Mungu hakika umefanya jambo jema sana.
    1. kuwasaidia hawa watu na Wana wa Mungu.
    2.kueneza injili kwa mali na fedha zako.
    3. Na Mimi natamani siku Moja jicho la Mungu lililopo ndani Yako linitazame nipate fursa ya kwenda chuo cha biblia.

  • @MtumishiMwalabu
    @MtumishiMwalabu 8 днів тому

    Amen wewe nimwanaume baba piga kazi ya Yesu mana hata Yesu alipigwa mawe lakini mwisho ameshinda

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 11 місяців тому +2

    Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 3 місяці тому +1

    Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
    Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 10 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 11 місяців тому +4

    Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 11 місяців тому +1

    Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 11 місяців тому +7

    UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.

  • @ErickCosmas-o6y
    @ErickCosmas-o6y 9 місяців тому

    Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 7 місяців тому

    Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu

  • @CassianiusJohn
    @CassianiusJohn 8 місяців тому

    Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi

  • @ibrahimzabron4619
    @ibrahimzabron4619 11 місяців тому +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 11 місяців тому +1

    Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 11 місяців тому +6

    "Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 11 місяців тому +3

      Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie

    • @HappinessKitosi
      @HappinessKitosi 10 місяців тому

      Amina

    • @PaskalinaNgiliule
      @PaskalinaNgiliule 7 місяців тому

      Amina dada Roz

  • @OmarAli-bj2cw
    @OmarAli-bj2cw 11 місяців тому +2

    GOD bless u man of God

  • @dainessukosi
    @dainessukosi 11 місяців тому +4

    Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima

  • @SalmanSelah
    @SalmanSelah 3 місяці тому

    Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 3 місяці тому

    Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 4 місяці тому +1

    Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana

  • @RuthJeptoo-sc9ox
    @RuthJeptoo-sc9ox 8 місяців тому

    God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee

  • @IMODESIGNER-ej6gj
    @IMODESIGNER-ej6gj 3 місяці тому

    Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao

  • @mohamediradukunda3996
    @mohamediradukunda3996 11 місяців тому +2

    Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 11 місяців тому

    Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 3 місяці тому

    Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu

  • @lucylaizer-dv5yc
    @lucylaizer-dv5yc 11 місяців тому +1

    Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 10 місяців тому +1

    Ni kazi njema

  • @ReginaRombo-ug7uj
    @ReginaRombo-ug7uj 11 місяців тому +1

    Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo

  • @JaneGracious-t9l
    @JaneGracious-t9l 4 місяці тому

    Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 3 місяці тому

    Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!

  • @giftmed1a332
    @giftmed1a332 Місяць тому

    Haya ni mazahabu ya ushindi sana,barikiwa sana mtumishi na huu ndio utumishi unaotakiwa

  • @adenisaac7599
    @adenisaac7599 11 місяців тому +1

    Barikiwa sana mchungaji

  • @annamungure4335
    @annamungure4335 11 місяців тому

    Mungu akubariki baba unafanya kazi uliyoitiwa

  • @happynessyohana9568
    @happynessyohana9568 6 місяців тому

    Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 11 місяців тому +2

    Mungu akuongezee Nabii mkuu

  • @richardmollely2933
    @richardmollely2933 11 місяців тому

    Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI Місяць тому

    Yaanii baba umenifurahisha kweli kweli maana iyo labia ya kujiuza ni mbaya sana sana umewaokoa na moto wa jehanam. na wewe mkimbilie YESU kirsito nabii mkuu usiwaogope wanadamu jehanam ni moto. na YESU kiristo atakusaidia kama umeamua

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 11 місяців тому +2

    God bless your path,

  • @ChristinaShirina
    @ChristinaShirina 9 місяців тому

    Mungu akuinue sana

  • @GodfreyBashonsho
    @GodfreyBashonsho 3 місяці тому

    Mungu akubark sana

  • @SalhaLuge
    @SalhaLuge 2 місяці тому

    God bless you

  • @SALOMENkya-p4y
    @SALOMENkya-p4y 3 місяці тому

    Mungu azidi kukubariki mtumishi

  • @nehemiakahangwa1091
    @nehemiakahangwa1091 11 місяців тому +1

    Wewe niazina mungu akupe maisha malefu

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 6 місяців тому

    Mungu akuzidishie nabii mkuu

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 9 місяців тому

    Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 7 місяців тому

    Mungu akubariki sana nabii

  • @InnocentMlembe-qt9fd
    @InnocentMlembe-qt9fd 4 місяці тому

    Ubarikiwe na mungu

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 3 місяці тому

    Amina Nabii zMungu akubariki

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 11 місяців тому +1

    Prophet Mungu akutunze sana

  • @HAAM670
    @HAAM670 6 місяців тому

    God bless chief prophet

  • @GraciaMbayo-hb4jc
    @GraciaMbayo-hb4jc 5 місяців тому

    Mtumishi unachofanya unanibariki sana

  • @MariamuJumbe
    @MariamuJumbe 3 місяці тому

    Munguakulinde

  • @KasuumwemaMwema
    @KasuumwemaMwema 11 місяців тому

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @SeciliaNikolaus
    @SeciliaNikolaus 4 дні тому

    Baba naomb unisaidie milion mbili nifungue biashala na mungu atakuongezea utakapo toa nisaidie nabii wa mung

  • @enocktuza1819
    @enocktuza1819 11 місяців тому

    Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".

  • @johnelias2
    @johnelias2 11 місяців тому

    Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 11 місяців тому

    Mungu akubariki baba

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 10 місяців тому

    Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao

  • @kiyesterday
    @kiyesterday 11 місяців тому

    This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father

  • @MahamuduShabani-x8i
    @MahamuduShabani-x8i 11 місяців тому

    Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea

  • @janethsempiga970
    @janethsempiga970 11 місяців тому +1

    God's movement..fire fire 🔥

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 11 місяців тому

    Ubarikiwe sana baba

  • @GahimbareMariechantal
    @GahimbareMariechantal 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏

  • @JaneGracious-t9l
    @JaneGracious-t9l 4 місяці тому

    Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.

  • @tikisaelikivuyo4030
    @tikisaelikivuyo4030 11 місяців тому +1

    Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe

  • @JoshuaMuyanjizi
    @JoshuaMuyanjizi 3 місяці тому

    Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona

  • @JohnpNtilema
    @JohnpNtilema 11 місяців тому +1

    Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 11 місяців тому

    Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI Місяць тому

    Kwakweli nabii mkuu kwa huo wema uliowatendaea hao madada poa MUNGU akubariki sana sana.

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 6 місяців тому

    Mungu akubali nabii

  • @MusukwaAmos
    @MusukwaAmos 3 місяці тому

    More Grace nambii

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 11 місяців тому +1

    Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 7 місяців тому

    Mungu akubariki baba akupe miaka mingi

  • @ElizaSanga-y5u
    @ElizaSanga-y5u 9 місяців тому

    mungu akuariki

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 11 місяців тому

    Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 11 місяців тому +1

    Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel3107 11 місяців тому +1

    ❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 8 місяців тому

    Nakupenda San San baba yangu ❤

  • @joycehaule9686
    @joycehaule9686 11 місяців тому +2

    Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔

  • @josephlucas2786
    @josephlucas2786 11 місяців тому +6

    🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji

  • @Dancanchege
    @Dancanchege 11 місяців тому +2

    Glory be to God 🙏🙏🙏

  • @ElizaJohn-o6h
    @ElizaJohn-o6h 10 місяців тому

    Pole Sana nabii

  • @QueenS-k3t
    @QueenS-k3t 3 місяці тому

    Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 11 місяців тому +1

    Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo

  • @respiciuscronery1133
    @respiciuscronery1133 11 місяців тому +1

    We Mzee nimekupenda bure

  • @angelamarlow4834
    @angelamarlow4834 7 місяців тому

    Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute

  • @kagonjigodwin8307
    @kagonjigodwin8307 Місяць тому +1

    Hakika huyu ni Mungu wa kweli,acha tu Nabii watukane ila mambo unayoyafanya yanatoka juu kwa Mungu mwenyewe

  • @LovessAbll-sf2vp
    @LovessAbll-sf2vp 11 місяців тому

    Asante baba

  • @VisionVibes8
    @VisionVibes8 8 місяців тому

    Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 11 місяців тому

    Upendo mkubwa❤❤❤❤

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 5 місяців тому

    Yesu samehe watumishi wako..

  • @JoeNdungu-co2re
    @JoeNdungu-co2re 6 місяців тому

    Mara ya kwanza to watch this channel.
    Hope to get transport and to visit your church for deliverance, stagnation and rejection

  • @EmanuelLyimo-h6w
    @EmanuelLyimo-h6w 21 день тому

    I love you❤

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 11 місяців тому +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 11 місяців тому

    Tunashukuru Sana sana

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 8 місяців тому

    Mungu yakusadie jamani San baba yangu

  • @hassanzuberi9091
    @hassanzuberi9091 9 місяців тому

    Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉