NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.
Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.
Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi
God bless chief Prophet GEOR DAVIE
Mungu akubariki na kukuzidishia Mtumishi wa Mungu hakika umefanya jambo jema sana.
1. kuwasaidia hawa watu na Wana wa Mungu.
2.kueneza injili kwa mali na fedha zako.
3. Na Mimi natamani siku Moja jicho la Mungu lililopo ndani Yako linitazame nipate fursa ya kwenda chuo cha biblia.
Amen wewe nimwanaume baba piga kazi ya Yesu mana hata Yesu alipigwa mawe lakini mwisho ameshinda
Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli
Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.
Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako
Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake
Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world
UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.
Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote
Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu
Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi
Barikiwa sana mtumishi
Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐
"Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤
Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie
Amina
Amina dada Roz
GOD bless u man of God
Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima
Ana majengo ya hekima?
Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;
Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana
Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana
God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee
Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao
Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki
Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia
Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu
Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako
Ni kazi njema
Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo
Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results
Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!
Haya ni mazahabu ya ushindi sana,barikiwa sana mtumishi na huu ndio utumishi unaotakiwa
Barikiwa sana mchungaji
Mungu akubariki baba unafanya kazi uliyoitiwa
Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤
Mungu akuongezee Nabii mkuu
Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa
Yaanii baba umenifurahisha kweli kweli maana iyo labia ya kujiuza ni mbaya sana sana umewaokoa na moto wa jehanam. na wewe mkimbilie YESU kirsito nabii mkuu usiwaogope wanadamu jehanam ni moto. na YESU kiristo atakusaidia kama umeamua
God bless your path,
Mungu akuinue sana
Mungu akubark sana
God bless you
Mungu azidi kukubariki mtumishi
Wewe niazina mungu akupe maisha malefu
Mungu akuzidishie nabii mkuu
Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora
Mungu akubariki sana nabii
Ubarikiwe na mungu
Amina Nabii zMungu akubariki
Prophet Mungu akutunze sana
God bless chief prophet
Mtumishi unachofanya unanibariki sana
Munguakulinde
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Baba naomb unisaidie milion mbili nifungue biashala na mungu atakuongezea utakapo toa nisaidie nabii wa mung
Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".
Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia
Mungu akubariki baba
Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao
This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea
God's movement..fire fire 🔥
Ubarikiwe sana baba
Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏
Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.
Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe
Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona
Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen
Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤
Kwakweli nabii mkuu kwa huo wema uliowatendaea hao madada poa MUNGU akubariki sana sana.
Mungu akubali nabii
More Grace nambii
Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb
Mungu akubariki baba akupe miaka mingi
mungu akuariki
Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩
Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana
❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa
Nakupenda San San baba yangu ❤
Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔
🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji
Nisaidie hata Mimi ndugu, utabarikiwa
Huko hawako!??
Mimi nipo hapa
Ivi ndivovitu serekali ingeviunga mkono
0654
Glory be to God 🙏🙏🙏
Pole Sana nabii
Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲
Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo
We Mzee nimekupenda bure
Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute
Hakika huyu ni Mungu wa kweli,acha tu Nabii watukane ila mambo unayoyafanya yanatoka juu kwa Mungu mwenyewe
Huna akili wewe
Huna akili wewe
Asante baba
Geordavie ni mtumishi WA mungu WA mbinguni Alie hai
Upendo mkubwa❤❤❤❤
Yesu samehe watumishi wako..
Mara ya kwanza to watch this channel.
Hope to get transport and to visit your church for deliverance, stagnation and rejection
I love you❤
MUNGU AKUBARIKI SANA
Tunashukuru Sana sana
Mungu yakusadie jamani San baba yangu
Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉