NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 260

  • @fredrickomwega8250
    @fredrickomwega8250 Рік тому +5

    Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 7 місяців тому +2

    Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
    Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.

  • @HAAM670
    @HAAM670 10 місяців тому +4

    Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.

    • @stamilinyakunga
      @stamilinyakunga 2 місяці тому +1

      Ujue😢❤❤😢hata mmi nimemwelewa ujue

  • @twalibukassim6111
    @twalibukassim6111 26 днів тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kazi uliyoifanya wengine wanapitia haya kutokana na wanaume wanaotuzalisha wanakataa mimba pamoja watoto.

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz Рік тому +1

    Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Рік тому +4

    Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Рік тому +2

    Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi

    • @rostardsanga
      @rostardsanga Місяць тому

      tafuta hela wajina. acha tamaa mbaya

  • @HAAM670
    @HAAM670 10 місяців тому

    God bless chief Prophet GEOR DAVIE

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 11 місяців тому

    Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Рік тому +1

    Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world

  • @ErickCosmas-o6y
    @ErickCosmas-o6y Рік тому

    Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Рік тому +8

    UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Рік тому +7

    "Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 Рік тому +3

      Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie

    • @HappinessKitosi
      @HappinessKitosi Рік тому

      Amina

    • @PaskalinaNgiliule
      @PaskalinaNgiliule 11 місяців тому

      Amina dada Roz

  • @constantinnicoiconoppa587
    @constantinnicoiconoppa587 2 місяці тому

    Umejenga kizazi kijacho , hao watoto wao nawaza wangekuwa watoto wa aina ipi , maisha na kazi za wazazi wao zingewafanya watu wa ajabu zaidi. Mungu Ni Mwema . Apewe sifa Yesu Kristo

  • @NAFSIILIYOHAI
    @NAFSIILIYOHAI 5 днів тому

    Safi sana By mchungaji VENISTUS PACIFIC kutoka mwanza

  • @StanslausCostantine
    @StanslausCostantine 26 днів тому

    Mungu Baba akubariki sana mtumishi wa Bwana

  • @SalmanSelah
    @SalmanSelah 6 місяців тому

    Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;

  • @CassianiusJohn
    @CassianiusJohn Рік тому

    Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi

  • @MtumishiMwalabu
    @MtumishiMwalabu 3 місяці тому

    Amen wewe nimwanaume baba piga kazi ya Yesu mana hata Yesu alipigwa mawe lakini mwisho ameshinda

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 Рік тому

    Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia

  • @mohamediradukunda3996
    @mohamediradukunda3996 Рік тому +3

    Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 7 місяців тому

    Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu

  • @giftmed1a332
    @giftmed1a332 5 місяців тому

    Haya ni mazahabu ya ushindi sana,barikiwa sana mtumishi na huu ndio utumishi unaotakiwa

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому +1

    Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐

  • @OmarKizinga
    @OmarKizinga 4 місяці тому

    Mungu akubariki na kukuzidishia Mtumishi wa Mungu hakika umefanya jambo jema sana.
    1. kuwasaidia hawa watu na Wana wa Mungu.
    2.kueneza injili kwa mali na fedha zako.
    3. Na Mimi natamani siku Moja jicho la Mungu lililopo ndani Yako linitazame nipate fursa ya kwenda chuo cha biblia.

  • @IMODESIGNER-ej6gj
    @IMODESIGNER-ej6gj 7 місяців тому

    Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao

  • @christinakomba689
    @christinakomba689 7 місяців тому +1

    Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana

  • @richardmollely2933
    @richardmollely2933 Рік тому

    Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa

  • @lucylaizer-dv5yc
    @lucylaizer-dv5yc Рік тому +1

    Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako

  • @kagonjigodwin8307
    @kagonjigodwin8307 5 місяців тому +2

    Hakika huyu ni Mungu wa kweli,acha tu Nabii watukane ila mambo unayoyafanya yanatoka juu kwa Mungu mwenyewe

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 7 місяців тому

    Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana

  • @dainessukosi
    @dainessukosi Рік тому +5

    Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima

    • @josephstephen2047
      @josephstephen2047 Рік тому +1

      Ana majengo ya hekima?

    • @tollywycliffe
      @tollywycliffe 27 днів тому

      Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni zaidi ya upendo🇰🇪🇰🇪

  • @DenisNzowa-e2r
    @DenisNzowa-e2r 2 місяці тому

    Mtumish ubalikiwe Sana endelea kuinua watu wa mungu

  • @OmarAli-bj2cw
    @OmarAli-bj2cw Рік тому +2

    GOD bless u man of God

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 Рік тому

    Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga 2 місяці тому

    Balikiwa saana leo nimekuelewa❤❤❤

  • @RuthJeptoo-sc9ox
    @RuthJeptoo-sc9ox Рік тому

    God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI 4 місяці тому

    Yaanii baba umenifurahisha kweli kweli maana iyo labia ya kujiuza ni mbaya sana sana umewaokoa na moto wa jehanam. na wewe mkimbilie YESU kirsito nabii mkuu usiwaogope wanadamu jehanam ni moto. na YESU kiristo atakusaidia kama umeamua

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI 4 місяці тому

    Kwakweli nabii mkuu kwa huo wema uliowatendaea hao madada poa MUNGU akubariki sana sana.

  • @judicasarakikya9315
    @judicasarakikya9315 7 місяців тому

    Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!

  • @dianahussein8934
    @dianahussein8934 Рік тому +2

    Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli

    • @daudismart2142
      @daudismart2142 2 місяці тому

      Mungu azidi kukuinua baba iyo ndo maana ya nabii mkuu

  • @ibrahimzabron4619
    @ibrahimzabron4619 Рік тому +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @happynessyohana9568
    @happynessyohana9568 10 місяців тому

    Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Рік тому +2

    Mungu akuongezee Nabii mkuu

  • @annamungure4335
    @annamungure4335 Рік тому

    Mungu akubariki baba unafanya kazi uliyoitiwa

  • @SeciliaNikolaus
    @SeciliaNikolaus 3 місяці тому

    Baba naomb unisaidie milion mbili nifungue biashala na mungu atakuongezea utakapo toa nisaidie nabii wa mung

  • @GahimbareMariechantal
    @GahimbareMariechantal 7 місяців тому

    Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏

  • @ReginaRombo-ug7uj
    @ReginaRombo-ug7uj Рік тому +1

    Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo

  • @JaneGracious-t9l
    @JaneGracious-t9l 8 місяців тому

    Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results

  • @josephlucas2786
    @josephlucas2786 Рік тому +6

    🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji

  • @MahamuduShabani-x8i
    @MahamuduShabani-x8i Рік тому

    Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea

  • @KIYESTERDAY
    @KIYESTERDAY Рік тому

    This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father

  • @AmosiLazaro-i5i
    @AmosiLazaro-i5i 3 місяці тому

    Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 Рік тому +1

    Ni kazi njema

  • @nehemiakahangwa1091
    @nehemiakahangwa1091 Рік тому +1

    Wewe niazina mungu akupe maisha malefu

  • @enocktuza1819
    @enocktuza1819 Рік тому

    Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 9 місяців тому

    Mungu akuzidishie nabii mkuu

  • @adenisaac7599
    @adenisaac7599 Рік тому +1

    Barikiwa sana mchungaji

  • @QueenS-k3t
    @QueenS-k3t 6 місяців тому

    Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz Рік тому

    Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao

  • @JoshuaMuyanjizi
    @JoshuaMuyanjizi 7 місяців тому

    Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona

  • @janethsempiga970
    @janethsempiga970 Рік тому +1

    God's movement..fire fire 🔥

  • @tikisaelikivuyo4030
    @tikisaelikivuyo4030 Рік тому +1

    Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe

  • @SALOMENkya-p4y
    @SALOMENkya-p4y 7 місяців тому

    Mungu azidi kukubariki mtumishi

  • @bambuguyasamuel3107
    @bambuguyasamuel3107 Рік тому +1

    ❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому +2

    God bless your path,

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 Рік тому +1

    Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo

  • @johnelias2
    @johnelias2 Рік тому

    Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 Рік тому +1

    Prophet Mungu akutunze sana

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Рік тому

    Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 11 місяців тому

    Mungu akubariki sana nabii

  • @joycehaule9686
    @joycehaule9686 Рік тому +2

    Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 Рік тому +1

    Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana

  • @Ally-dc5tz
    @Ally-dc5tz 7 місяців тому

    Amina Nabii zMungu akubariki

  • @ChristinaShirina
    @ChristinaShirina Рік тому

    Mungu akuinue sana

  • @elizabethmushi7424
    @elizabethmushi7424 Рік тому +1

    Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb

  • @GodfreyBashonsho
    @GodfreyBashonsho 7 місяців тому

    Mungu akubark sana

  • @BAHATIAMRI
    @BAHATIAMRI Рік тому +3

    Zamani nilikuwa sikuelewi kabisa na nilikua nakupinga sasa nimekuelewa hakika una Mungu tena wewe ni nabii

  • @PaskalinaNgiliule
    @PaskalinaNgiliule 11 місяців тому

    Mungu akubariki baba akupe miaka mingi

  • @angelamarlow4834
    @angelamarlow4834 11 місяців тому

    Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute

  • @GraciaMbayo-hb4jc
    @GraciaMbayo-hb4jc 8 місяців тому

    Mtumishi unachofanya unanibariki sana

  • @JohnpNtilema
    @JohnpNtilema Рік тому +2

    Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen

  • @HAAM670
    @HAAM670 10 місяців тому

    God bless chief prophet

  • @QueenElizabeth-ws6rp
    @QueenElizabeth-ws6rp 9 місяців тому

    Mungu akubali nabii

  • @KasuumwemaMwema
    @KasuumwemaMwema Рік тому

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @InnocentMlembe-qt9fd
    @InnocentMlembe-qt9fd 8 місяців тому

    Ubarikiwe na mungu

  • @Dancanchege
    @Dancanchege Рік тому +2

    Glory be to God 🙏🙏🙏

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc Рік тому

    Ubarikiwe sana baba

  • @estarmwakatage220
    @estarmwakatage220 Рік тому

    Mungu akubariki baba

  • @MusukwaAmos
    @MusukwaAmos 7 місяців тому

    More Grace nambii

  • @respiciuscronery1133
    @respiciuscronery1133 Рік тому +1

    We Mzee nimekupenda bure

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Рік тому

    MUNGU NDIVYO ANAVYOFANYA KAZI YAKE❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ReubenMichael
    @ReubenMichael 11 місяців тому

    Nakupenda San San baba yangu ❤

  • @hassanzuberi9091
    @hassanzuberi9091 Рік тому

    Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 Рік тому

    Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩

  • @NicholasOloo-m7t
    @NicholasOloo-m7t Рік тому +1

    Nabii mkuu nimeguzwa na matendo hayo,natamani usaudizi wa maombi,nimekuwa kwa ndoa miaka mitano na Sina mtoto,Naomba uniombee.

    • @LucyTengeneza-ej4rb
      @LucyTengeneza-ej4rb Рік тому

      Nabii Mkuu haombi. Anatamka. Ameshapewa mamlaka ya kufanya hayo na Bwana Yesu.

  • @abibumbota5160
    @abibumbota5160 Рік тому

    Upendo mkubwa❤❤❤❤

  • @JaneGracious-t9l
    @JaneGracious-t9l 8 місяців тому

    Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.

  • @johnstony4938
    @johnstony4938 7 місяців тому

    Wanao tukana Yesu Yuko karibu kuja mtumishi endelea mbele

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 9 місяців тому

    Yesu samehe watumishi wako..