NABII MKUU ATOA ZAIDI YA MILIONI 13 KWA WADADA WALIOKUWA WAKIJIUZA SASA WAFANYE BIASHARA HALALI.
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Great work... Man of God.. I salute your efforts to support those ladies. They deserve a second chance in life. Umewatoa misri.
Nabii i highly commend you for that wonderful work you have done. You have saved those young women. May the Almighty God bless you and rerr member you in His Kingdom.
Mimi ni mama Florence Mushi[ Kimambo] former Arusha NIC. Manager. My regards to your good family.
Ok. Huyu sasa ndo nabii mkuu, leo ndo nimemjua mwenyewe kwa akili zangu. Sio huyo mnaye msema sema. God bless you chief prophet.
Ujue😢❤❤😢hata mmi nimemwelewa ujue
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kazi uliyoifanya wengine wanapitia haya kutokana na wanaume wanaotuzalisha wanakataa mimba pamoja watoto.
Mungu akubariki sana baba wewe nimtumishi wa mfano mimi nalia tu nikiangalia jinsi unavohudumia watoto wako
Amen..Amen Glory be to God kwa kazi hii kubwa ya Mungu ...❤❤❤❤...Thank u God kwa Nabii mkuu...kwakwel anayesema huyu sii Nabii mkuu shetani yuko nyuma yake
Je mungu afanye nini kwa ajili yako nabii naamini mungu atakuzididishia mapesa mengi sana mkono unaotoa ndio unaopokea zaidi
tafuta hela wajina. acha tamaa mbaya
God bless chief Prophet GEOR DAVIE
Amina nabii mkuu mungu akubariki baba na ninaomba na mimi unifungue kwa damu ya yesu na umponye mwanangu
Mungu akuzidishie nabii mkuu geordavie the king of father over the world
Nakukubali sana prophet wewe ni mfano wa kuigwa ukiwasaidia wengne kwangu Mimi inatosha sio lazima tusaidiwe wote
UBARIKIWE SANA NABII MKUU!MUNGU AKUTUNZE!KAZI YAKO NI NJEMA SANA.
"Kazi nizifanyazo mtafanya na kubwa kuliko.....",Hii ndiyo maana yake 🙏🙏 Daddy ❤
Aminaaaaaa,, waache wasiomjuwa Mungu na matendo yake wapuyange midomo,Hawana hela,Hawana Elimu,Hawana chochote na wala hawajui nini maana ya Ukuu wa Mungu na wala hata Yesu mwenyewe hawanjui na matendo yake makuu,wanekalia kupiga ngumu ukuta, Mungu akubariki baba Geordavie
Amina
Amina dada Roz
Umejenga kizazi kijacho , hao watoto wao nawaza wangekuwa watoto wa aina ipi , maisha na kazi za wazazi wao zingewafanya watu wa ajabu zaidi. Mungu Ni Mwema . Apewe sifa Yesu Kristo
Safi sana By mchungaji VENISTUS PACIFIC kutoka mwanza
Mungu Baba akubariki sana mtumishi wa Bwana
Asante Baba;kuwa saidia hao nahisi umenisaidia mimi na wengineo zaidi;
Baba Asante mungu akubali maneno machache kazi kubwa zaidi
Amen wewe nimwanaume baba piga kazi ya Yesu mana hata Yesu alipigwa mawe lakini mwisho ameshinda
Nimebarikiwa na uduma yako mungu akubaliki kupitia uduma yako nimeona mtandaoni ukiwaudumia watu ata Mimi nimependezewa na uduma yako ninaitaji unikumbuke naitaji msaada wako ninashida na milioni moja naitaji kufanya biashara Sina mtaji baba Niko mbeya mungu akuzidishie uishi miaka mia
Baba Sisi warundi tunakukubari san mungu azidi kukubariki
Kweli baba nimekuelewa sana na nimekukubali sana baba naomba unisamehee sana nimekuwa nikikulaumu sana kwa sababu nilikuwa sikuelewi mtumishi wa Mungu
Haya ni mazahabu ya ushindi sana,barikiwa sana mtumishi na huu ndio utumishi unaotakiwa
Baba, Mungu amekuita kweli. Asante sana nabii mkuu 🙏🏻🙏🏻👍🏽👍🏽🌺🌺🌹🌹🌻🌻💐💐
Mungu akubariki na kukuzidishia Mtumishi wa Mungu hakika umefanya jambo jema sana.
1. kuwasaidia hawa watu na Wana wa Mungu.
2.kueneza injili kwa mali na fedha zako.
3. Na Mimi natamani siku Moja jicho la Mungu lililopo ndani Yako linitazame nipate fursa ya kwenda chuo cha biblia.
Asante kwa Tendo hili Umefanya Jambo jema la kuwafunika miili yao
Mungu atakulipa acha wakutukane,mimi nakupenda sana
Wewe ubarikiwe sana nakutakia mafanikio makubwa Amen kazi hiyo ndio kazi wito Mkuu wa Mungu kweli kabisa
Daah hii sijui tusemeje lakini ni zaidi ya upendo, baba Mungu akubariki na uzao wako
Hakika huyu ni Mungu wa kweli,acha tu Nabii watukane ila mambo unayoyafanya yanatoka juu kwa Mungu mwenyewe
Huna akili wewe
Huna akili wewe
Mfano wa Kuigwa Baba Mchungaji, Mungu Akubariki Sana
Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni ZAIDI ya upendo yaani machozi yamenitokankwa majengo yako ya hekima
Ana majengo ya hekima?
Baba mungu akutunze haya unayoyafanya ni zaidi ya upendo🇰🇪🇰🇪
Mtumish ubalikiwe Sana endelea kuinua watu wa mungu
GOD bless u man of God
Ukwer mzee nakufatilia sn Ila ww na diamond platinumz umebalikiwa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kwer mzee nime elewa maana ya kua Kiongozi bora
Balikiwa saana leo nimekuelewa❤❤❤
God bless you daddy hii yote inanikusa Sanaa mimi pia niko hivyo daddy uniombee nifanikiwe nitoke kwenye hii shida kama wao nina watoto watatu daddy secondary sina jojote ninajiusa pia ndio nipate pesa ya nyumba na school fees ninapitia mambo mingi daddy ninakufutia kwa simu uniombee
Yaanii baba umenifurahisha kweli kweli maana iyo labia ya kujiuza ni mbaya sana sana umewaokoa na moto wa jehanam. na wewe mkimbilie YESU kirsito nabii mkuu usiwaogope wanadamu jehanam ni moto. na YESU kiristo atakusaidia kama umeamua
Kwakweli nabii mkuu kwa huo wema uliowatendaea hao madada poa MUNGU akubariki sana sana.
Baba Mungu Akulinde tu na hilo Kundi la Mwisho usije ingia majaribuni mahana , kwa mtazamo wangu naona wao dhairi ksbisa shida zao ni hela tu na endapo hela ikisha wanaonekana tu watarudia mambo yao !! Angalia hata wakivyo vaa utazani siyo kanisani!!
Ivi mungu amekushusha ujeukomboe vizazi kiukweli
Mungu azidi kukuinua baba iyo ndo maana ya nabii mkuu
Barikiwa sana mtumishi
Baba mungu akubaliki kwa kazi nzuri❤❤❤❤
Mungu akuongezee Nabii mkuu
Mungu akubariki baba unafanya kazi uliyoitiwa
Baba naomb unisaidie milion mbili nifungue biashala na mungu atakuongezea utakapo toa nisaidie nabii wa mung
Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu 😭😭😭😭😭😭😭 nitakupataaje uniombee mutumishi wa Mungu kwakweli namuomba Mungu akubaliki sana sana 🙏🙏🙏🙏
Baba mungu akubariki sana Kwa upendo na utu uliyo nayo
Congratulations prophet, for taking them through processing, because processing is always greater than the results
🙏 naomba na Mimi nimsaidie mmoja 1mln ya mtaji atakao itaji
Nisaidie hata Mimi ndugu, utabarikiwa
Huko hawako!??
Mimi nipo hapa
Ivi ndivovitu serekali ingeviunga mkono
0654
Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu wewe wa kweli umeponya kondoo waliopotea
This is amazing and very believable you really a man of God royal prophet and I'm proud me saying you my spiritual father
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Ni kazi njema
Wewe niazina mungu akupe maisha malefu
Kazihii imenitoa machozi ya furaha. Mungu wangu àkutunze. Umetimiza maandiko, " Nilikuwa na njaa ukanipa chakula".
Mungu akuzidishie nabii mkuu
Barikiwa sana mchungaji
Jambo zuri la kusaidia binadamu wezetu wasipotee kiongozi huyu mungu atamlipa mazuri Amin🤲
Mungu azidi kikupa maono na kukuinua mtumishi qa mungu maana niwatumishi wachache wenyemzigo na wenye uhitaji maana yani apo mtumishi wa mungu umenisuru vifo vyao maana umepanda mbegu ndani yao
Baba kaz nzur wanaokusema vibaya mungu anawaona
God's movement..fire fire 🔥
Safi sana awa mliowapa pia wafatiliwe
Mungu azidi kukubariki mtumishi
❤Kazi Nzuri Inaonekana Kabisa
God bless your path,
Baba nimelia Hadi kichwa kinauma hakika umechaguliwa na Mungu Mengi. Alikua mfadhili wa walemafu kimwili ww. Umeinuliwa nyanja. Zote kimwili na kiroho makahaba wahitaji na wote wenye shida Baba nashindwa. namna ya kutafakari hekima uliyonayo niseme 2 Mungu akupe miaka 120 ya kuishi dunia I ukiwa smati kama ulivyo
Heshima kwako na kwa Mungu wako IMEKUWA alama kwetu pia
Prophet Mungu akutunze sana
Ubalikiwe sana baba mungu akutunze baba❤❤
Mungu akubariki sana nabii
Unamoyo wa huruma xn Mungu akutunze 🙌😔
Nabii mkuu Mungu akupeleke mbali sana
Amina Nabii zMungu akubariki
Mungu akuinue sana
Nakufuatilia Sana kuna siku mama y'ako alisimama madhabahuni akielezea namna ulinyokua nilikufurahiya Sana kipaji Chako ulikianzia tumboni mwa mama Mungu akutunze Bb
Mungu akubark sana
Zamani nilikuwa sikuelewi kabisa na nilikua nakupinga sasa nimekuelewa hakika una Mungu tena wewe ni nabii
Mungu akubariki baba akupe miaka mingi
Mtumishi wa Mungu ninashida naomba msaada maana mbaka naamua kukutafuta si kwa uwezo wangu bali Mungu ndo amenionyesha nikutafute
Mtumishi unachofanya unanibariki sana
Baba pia nawanaume wanao nunuwa shiva's nao waje waokoke ngurumo Ina sauti Dunia nzoma ammmmmmmen
Wake sawa
Waje sawa😂😂😂😂wanunuaji??
God bless chief prophet
Mungu akubali nabii
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe na mungu
Glory be to God 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana baba
Mungu akubariki baba
More Grace nambii
We Mzee nimekupenda bure
MUNGU NDIVYO ANAVYOFANYA KAZI YAKE❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda San San baba yangu ❤
Nimependezwa na utendakazi wako mtumishi🎉
Mungu aku bariki sana 🇨🇩🇨🇩
Nabii mkuu nimeguzwa na matendo hayo,natamani usaudizi wa maombi,nimekuwa kwa ndoa miaka mitano na Sina mtoto,Naomba uniombee.
Nabii Mkuu haombi. Anatamka. Ameshapewa mamlaka ya kufanya hayo na Bwana Yesu.
Upendo mkubwa❤❤❤❤
Y❤❤es Prophet, remain focus that God has called you to do, Remember, what people doesn't know they call names, and they know they destroy,.
Wanao tukana Yesu Yuko karibu kuja mtumishi endelea mbele
Yesu samehe watumishi wako..