Monica ni binti mzuri, hajui kujikweza maana amezaliwa akiwa anakuta pesa kwao, nimeishi nae pamoja na mdogo wake shule ya msingi aliyosoma, by that time sikuwa najua kuna siku nitatafuta hata namba yake ya simu nisiipate, Monica nitafute pls nipate tamko la Nabii Mkuu
Natamani nipate fursa ya kumuona nabii ingawa nilikuwa nasali ngurumo dar kawe na Arusha kisongo nakujua ila kitu kilichokihitaji kutoka kwa Mungu wa nabii mkuu sijakipata Hadi leo.nilitaka muujiza kutoka kwa Mungu wa nabii J
Nimezoea kukuuona ukiripoti habari ya mambo makubwa! Skujua kama nawe mwandishi msomi unaweza fanya mambo ya kiki tv! Globo tv ni media kubwa hapa nchini! Nawashangaa kuona mnafanya mambo ya kitoto kama haya!
Jamani tujitahidi kwanza kutanguliza ubinadamu wa mtu na kujua kila binadamu ni unique halinganishwi wala kufanana na kila mtu ana uwezo wake, talent binafsi. Usitegemee aonye muda wote mambo unayoyataka wewe tu na usiwe mbinafsi kwa maana kuna watu wengi wamependa na kufurahia interview. Unataka aonyeshe nini hasa.
Monica huna kiki za kijinga. Wangekuwa hawa wanzangu na mimi zawadibya harusi tungeambiwa nilipiwe nyumba na gari. Ila wewe umesema biblia endelea kunyenyekea mbele za MUNGU
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
tumebonyeza tayari
Monica ni binti mzuri, hajui kujikweza maana amezaliwa akiwa anakuta pesa kwao, nimeishi nae pamoja na mdogo wake shule ya msingi aliyosoma, by that time sikuwa najua kuna siku nitatafuta hata namba yake ya simu nisiipate, Monica nitafute pls nipate tamko la Nabii Mkuu
Anajibu kwa utulivu,Safi Sana mdada
Anafanana na Maimatha
Monica nakupenda dada mzuri mtoto wa Baba yangu mh nabii mkuu dkt GEORDAVIE BALOZI WA AMANI..unajibu kwa utulivu uko na akili mingi sana
Nampenda sana mrembo
She is so cute 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kazuri sn
Hongera sana Monica.
God bless you.
Vizur
Hongera sana Monica umejielezea vizuri sana pia umejibu maswali vizuri sana.
Jamani mtoto ni mazur sana ila naomba KAZI kwake jamani KAZI za ndani maana sina elimu
Mwanangu Monica W
ewe ni Mtumishi Mkuu kabisa❤
Acheni kumdhihaki Mungu enyi watumishi.
Kazuri sana jamani ❤❤
Ni Mrembo kwel Kweli ❤
She's so cute ❤️❤️
Nimeipenda hii interview Monika wewe ni mrembo na hujikwezi ..
Cute but what happened to ur handsome bro Nisher😢😢😢
kumbe nisher ni mtoto wa GEORDAVE duh
Hongera
Nabii kuu baba yanguu
Savi Sana gd
Kadada kanaongea vizuri sana.
Nakupenda umesha olewa
Kweri
Mwana wa nabii mzungu
Hahahaaa mtoto wa nabiii haya
Mm nampend bwan
Natamani nipate fursa ya kumuona nabii ingawa nilikuwa nasali ngurumo dar kawe na Arusha kisongo nakujua ila kitu kilichokihitaji kutoka kwa Mungu wa nabii mkuu sijakipata Hadi leo.nilitaka muujiza kutoka kwa Mungu wa nabii J
Mnavuruga fedha ya Sadaka za wanyonge!
Umehamahama shule kama binti yangu wa pekee nikiona shule inachangamoto kidogo namuhamisha 🤣🤣
Kaz zingine ni simpo ila ya ndoa ndo ngum sana
Kwanini 😢?
Tuletewe na mama yake kwani Nabii Hana mke😂
kweliii wewe
Mke anae uwa anakaa mbele kule kanisani
Hahahaaa nabii
@@jeniphafignas381 Usiniambie kumbe aliona mke mwenzie akionyesha Dunia ile tattoo🤔🤔🙌🙌
@@cheiknamouna2058 😂😂
Dada nakutafuta jamaniiii
Nimezoea kukuuona ukiripoti habari ya mambo makubwa! Skujua kama nawe mwandishi msomi unaweza fanya mambo ya kiki tv! Globo tv ni media kubwa hapa nchini! Nawashangaa kuona mnafanya mambo ya kitoto kama haya!
Mwandishi wa habari unatakiwa uripoti kila kiti tusimlaumu
Pole
Jamani tujitahidi kwanza kutanguliza ubinadamu wa mtu na kujua kila binadamu ni unique halinganishwi wala kufanana na kila mtu ana uwezo wake, talent binafsi. Usitegemee aonye muda wote mambo unayoyataka wewe tu na usiwe mbinafsi kwa maana kuna watu wengi wamependa na kufurahia interview. Unataka aonyeshe nini hasa.
Monica huna kiki za kijinga. Wangekuwa hawa wanzangu na mimi zawadibya harusi tungeambiwa nilipiwe nyumba na gari. Ila wewe umesema biblia endelea kunyenyekea mbele za MUNGU
Mtoto wa mchungaji kama vile mhuuni hivi
Kivipi?
Huon tu alivyo jiweka mungu kamuumba hivyo ka mhuni shida hawa hawaubiriwi neno wamejaa tu udunia anajaribu kuleta marekebisho kwenye kazi ya mungu
Uhuni wa binadamu haupo kwenye muonekano bali ni siri ya moyo wake unaweza kuona mtu wa Mungu kumbe amevaa nje ila ndani ni mdhambi kupita wote
Natamani kuonana n'a nabii mkuu jamoni
Maliza kufunga Ramadan 😂
unataka pesa😅😅😅
Watu ni mafala kweli huyu anauzuri gani???? Nyie ni mazuzu ya geordavie
@@hilaliusjohn8386 ni bint mzuri kweli sidhan kama ana ubaya na wewe
Ulikua kilaza wewe shule zote izo unahamishwa tu..yaani kichwa kizito hicho
Mwandishi msomi ameanza safari, kick ya kuchota mpunga kwa mtume
Kawaida Man
nyie na huyo nabii wenu wote motoni kaz kujipa majina matukufu ata hamuogop adhabu za mungu
😂😂
Ivi Yule jamaa dereva wa sabaya aliendapi
Yuko vizur