Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

#PART2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 сер 2023
  • #PART2: ''BOSI ALINISINGIZIA NIMEMBAKA, NIKAFUNGWA MIAKA 30'' - KIJANA YASSIN...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 161

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 11 місяців тому +16

    Kwa Mara ya kwanza nimeshukuru huyo mama kufa.Kufa kabisa potea why umdhurumu kijana maskini Kama huyu

  • @bilihudasaidi3687
    @bilihudasaidi3687 11 місяців тому +7

    Pole kwa mkasa Ila chozi lako halijaenda Bure yuko wp Sai Ana mengi akujibu huko akher

  • @priscamagambo5320
    @priscamagambo5320 4 місяці тому +3

    Kumsingizia mtu jambo ambalo hata hajafanya daa!Mungu niepushe kwenye hii laana ambayo inaweza tafuna vizazi vyako

  • @nasrasalumu7005
    @nasrasalumu7005 11 місяців тому +4

    Kaka usidai tena Mungu atakulipia kwa njia nyingine

  • @josephnsabiyera6900
    @josephnsabiyera6900 9 місяців тому +2

    Pole sana ndugu, maskini atetewa na mwenyezi bora, mimi ni Joseph nikiwa DRCongo Goma mashariki mwa congo

  • @jumatamimu6841
    @jumatamimu6841 11 місяців тому +6

    Pole sana ndugu Yangu yote ni maisha tuu mungu amelipa

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q 11 місяців тому +7

    Pole sana kakaangu,Allah atakulipia 😭😭🤲

  • @user-uy3mm6nj2s
    @user-uy3mm6nj2s 2 місяці тому

    Ukiapa kwenye vitabu vya mungu kizuluma utaweza pona mirere onasasa kilicho mkta mama uyo

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 11 місяців тому +2

    😢😢😢😢mm nimesikia vibaya sana ilamungu jee yeye ndo zaidi so kaka pole sana namunguuu akupe akupe kazi nzuri sana enye kwa baada ya 2 uwe uko na kilakituuu unacho kitamannii

  • @AbdurazakiKisoma
    @AbdurazakiKisoma 4 місяці тому +1

    Pole Sana Wallah Mungu Yupamoja Nawe😢

  • @user-fw5is2fi7q
    @user-fw5is2fi7q 3 місяці тому

    Pore sana umri unaluhusu pambana maisha yapo mungu atakusimamia

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 11 місяців тому +4

    Nimekusimiliza vizuri nikweli hukubaka ili mungu atakuinua Sana mpaka utashangaa

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 11 місяців тому +6

    Masikini pole sana 😢yaan sisi wenye watoto wa kiume aki roho juu juu

    • @user-gu6wg6jp5n
      @user-gu6wg6jp5n 9 місяців тому

      Yaan we acha tu Mungu atusaidie kwakwel

  • @MOHAMMEDABDI-lb7yp
    @MOHAMMEDABDI-lb7yp 11 місяців тому +4

    Usijali mdogo wangu mungu yuko na ww huyo jama na mke wake ni kitu kimoja ni nia yao kukudhulumu tu

    • @Josephat-cw6co
      @Josephat-cw6co 3 місяці тому

      Pole kwa mara nyingine tena unanikumbusha mtoto mu marekani mweusi WA myaka 7 Alie hukumiwa hadhabu ya kifo kwa kuzingishiwa kuwa ame husika na kifo cha watoto2 WA kike wazungu huyu akanyongwa kwa umeme WA 6600 volt.

  • @jeanbigirimana9365
    @jeanbigirimana9365 11 місяців тому +2

    Pole kaka Mungu atakufata machozi

  • @MartinSilungwe-ws2se
    @MartinSilungwe-ws2se Місяць тому

    Pole sana kijana mwenzangu mngu akusaidie😢

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 11 місяців тому +3

    Pole sana ndugu

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 11 місяців тому +5

    Hukumu ya rushwa hiyo tu mahakimu wengne hawana utafiti wanahukumu tu bora mungu ana hukumu yeyote anayempenda mungu kazi yako nzuri kuliko dhuluma za watu na uonevu

  • @salma0000
    @salma0000 11 місяців тому +13

    Majaji wengi wa Tanzania watakua na sehemu yao maalum katika moto wa jahannam

    • @fabssaleh7273
      @fabssaleh7273 10 місяців тому

      USIWAHUKUMU WATU. SIRI YA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA. WATU HUTUBIA NA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA NI MWINGI WA KUSAMEHE

    • @salma0000
      @salma0000 10 місяців тому

      @@fabssaleh7273 kwani nikisema kama mtu akifanya dhambi ataenda motoni ndio nimehukumu hapo

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 5 місяців тому

      26:36 26:37 26:37 26:38

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 5 місяців тому

      ​@@fabssaleh7273😊

    • @user-uq3ol9jp2u
      @user-uq3ol9jp2u 5 місяців тому

      😅😊😊.

  • @abdallahhamic3586
    @abdallahhamic3586 11 місяців тому +1

    Daaah inasikitisha sana mungu atakulipia

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 10 місяців тому +2

    Wanaokwenda jera sio wote wanahatia, wengine wanakwenda jera kwa kesi ya kusingiziwa

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 16 днів тому

    Unajua ingekuwa imetengenezwa vizuri, haya yasingekuwa yanatokea. Hawa wanao singizia wangefungwa, wangelipishwa, na hawa wanao hukumu nao wangekuwa wanalipishwa haya yangekoma

  • @ZaitunSaambili
    @ZaitunSaambili 4 місяці тому

    Pole sana

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p 2 місяці тому

    Tatizo linaanza kwa wenye dhamana ya upelelezi sijuwi hawana weledi ama tamaa za hongo au kudharau viapo na wajibu wao,sidhani ishu km hii ilikuwa na sababu ya hata kufika mahakamani.sijuwi watu hawa wanaopewa dhamana kubwa km hizi zinazobeba maisha ya watu wengine hutumika taratibu gani.kuna haja ya chombo kizima cha polisi kiwe kitengo maalum cha jeshi la wananchi km wenzetu kenya kwa asilimia kubwa wako smart sn na wana mapenzi na raia na wanapendwa pia na raia.

  • @user-uk7or9bd9x
    @user-uk7or9bd9x 7 місяців тому +1

    Mungu kamuonesha mungu nimwema

  • @RadjboyBagalwa
    @RadjboyBagalwa 11 місяців тому +1

    Pole sana kakangu mungu atakusaidia

  • @ahmedmukolwe43
    @ahmedmukolwe43 11 місяців тому +3

    Thank God hiyo nuguu alikufa

  • @MkumboIddy
    @MkumboIddy 3 місяці тому

    Pole sana man

  • @flendersimba9301
    @flendersimba9301 11 місяців тому +2

    Pole sana pambana tuu.

  • @andrewmtandikile895
    @andrewmtandikile895 7 місяців тому

    Pole sana Mr Yassin maana Mungu alisimama nawe
    Sio swala jepesi mm imenigusa mno ila malipo ni hapa hapa .
    Boss wako malipo hapa weee umebaki yeye yuko wap

  • @user-fz8kc5dl3y
    @user-fz8kc5dl3y 10 місяців тому +1

    Poleee Sana

  • @user-pb7ig3ji3m
    @user-pb7ig3ji3m 11 місяців тому +1

    Dar. Pole sn broo.. ILa haki yk haipotei vumilia sn.. ILa Wana wake shida sn

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j 11 місяців тому +4

    Majaji pia wanadhulmaa kubwa sanaa

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 4 місяці тому

    Kaka mungu akutangulie katika maisha yako hv mm nimekuombea mungu akujalie

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 10 місяців тому

    Pole sana kijana mshukuru mungu kwa kuachiwa huru pia mshukuru mungu kwa kumuondolea pumzi yule dada mungu amejibu

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 11 місяців тому +2

    Mungu kalipa apa apa duniani

  • @richardmushi1062
    @richardmushi1062 9 місяців тому

    Pole Yasini. Nitakutafuta kwa maongezi pia niangalie namna ya kukusaidia.

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 11 місяців тому +4

    Hakikazuluma nikitu kibaya sana kinafupisha maisha kiliochako mungu kajibu naataendelea kajibu kwa waliotow ushahidi wa uwongo nawalio hukumu walaniwe hao

  • @user-sp2hk8ow7t
    @user-sp2hk8ow7t 11 місяців тому

    Pole sana ndg mungu atakupambania

  • @jeannekorona4016
    @jeannekorona4016 11 місяців тому +1

    Pole sana kabisa

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 10 місяців тому

    SUB HAANA ALLAH.
    KILA MCHIMBIA MWENZIWE KISIMA HUINGIA MWENYEWE.
    MTIHANI KWELI. ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA AMSAMEHE - AMEEN YAA RABB.

  • @nuriaabdiabdiyussuf3191
    @nuriaabdiabdiyussuf3191 11 місяців тому

    Pole sana bratha na pia malipo ni hapa hapa duniani na huyo mwanamke Allah kulipizia bado huyo jamaa pia apate chake insha'Allah

  • @nassornyanyagi5126
    @nassornyanyagi5126 6 місяців тому

    Ndg Yaasin pole sana kwa yote uliyopitia ALLAH atakulipa kwa subra yako,kama huyo JAMAA hapokei simu usimfuatile tena, yeye hataki kukulipa hapa duniani laakin atakulipa mbele ya Hakimu wa Mahakimu ambae ni ALLAH "S.W.T" Pambana kupata rizqi sehemu utapata In Shaa Allah

  • @user-zd9yn2nd2r
    @user-zd9yn2nd2r 11 місяців тому +2

    Pole dogo maisha ayo

  • @user-jz2qg8rq4u
    @user-jz2qg8rq4u 6 місяців тому

    Pole sana kaka Allah akupe mwisho mwema

  • @JacksonLaizer-ul6ek
    @JacksonLaizer-ul6ek 11 місяців тому +1

    Ama kweli Mungu nimkubwa

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 10 місяців тому +2

    Mm ni miongoni mwa whangarei nilifungwa miezi sita kwa dhulima

  • @JusterBagoka-ty7kq
    @JusterBagoka-ty7kq 3 місяці тому

    Jaman jaman nimeumia sana mungu tutetee sisi binadamu hatuna huruma jaman

  • @user-no2mq8vs2c
    @user-no2mq8vs2c 9 місяців тому

    Pole sana kaka angu mungu atakulipia kwahayo yaliyo kukuta

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 5 місяців тому

    Sio Tu Aliyemsingizia ana Makosa Ukisikiliza hapo, Utagundua Mahakimu ni Wapuuzi sana... Maana Hata Mtu asiye hakimu Angejua Hii Ni Kesi ya Kutunga... Hakimu Aliyemfunga ALAANIWE MILELE

  • @hashimmziray7416
    @hashimmziray7416 9 місяців тому +1

    pole saana kuhusu mambo ya ushahidi naona umechanganya kutokana na mteso au mfadhaiko wa kisaikologia kwa kuwa victim anayedai kubakwa na Dr lazima watoe ushahidi wao wote kisha ndo mtuhumiwa ajitetee hivyo ushahidi wake ni huo anaoita wa mara ya pili kwa kuwa aliutoa baada ya Dr kuongea.

  • @jumakibomola
    @jumakibomola 11 місяців тому

    Pole xana mungu Yu pamoja nawe

  • @user-fl5hw7jq9r
    @user-fl5hw7jq9r 4 місяці тому

    Pole sana hiyo kesi ilkuwa siihalalli kwa nini hukupelekwa kupimwa namahakama ilifanya makosa

  • @Josephat-cw6co
    @Josephat-cw6co 3 місяці тому

    Pole mwanangu

  • @rukaraephrem4423
    @rukaraephrem4423 10 місяців тому

    Mungu mkubwa hoyo mama mungu ari muhukumu. Pole sana

  • @betinesjulius
    @betinesjulius 2 місяці тому

    jaman pole san

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 9 місяців тому

    Pole sana mungu atakusimamia

  • @roseatienoogutu7641
    @roseatienoogutu7641 10 місяців тому +1

    vibaya sana kumdhulumu mwana wa mwezako utalipwatu

  • @jacksonbasenile-nu8bf
    @jacksonbasenile-nu8bf 7 місяців тому

    Pole Sana kupatwa na tatizo hilo

  • @user-dl2fs8cc8c
    @user-dl2fs8cc8c 5 місяців тому

    Aiseee yaan mmmmh,kwanzaa tumshukru Allah maana yeye ndo muweza wa yoteee lakn niskufchee ishi ukimpendeza sanaa mungu maana kesi ilikuwa ztooo huyooo mama cc hatulipiz ubaya wala hatutoi hukumu yeyotee ilaa kama kwer cc hatukufanya hcho kitendoo hakika Allah hachelew Anajibu kwa wakat.....Polee Sana kk mi nko Iringaa Ilulaa nmeskilza machoz yamenitoka kabsaaaaa pole Sana mungu atafanya njia paspo na njiaa kk

  • @demetriajohn2393
    @demetriajohn2393 9 місяців тому

    Pole kijana ,Mungu amekunusuru ,nakushauri bora uende nyumbani kwanza utulize akili maisha ya dar bila kazi ni mtihani kwako ,pili hapo kwa rafiki yako kuna mke pia, angalia usije kurukamkojo ukayakanyaga mavi.Alafu najiuliza kwa nini baadhi ya kina mama tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki ,! Hivi kweli mtoto wa mwenzio ni wa kwako??Au tunaimba kinafiki tu!!!

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 4 місяці тому

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo

  • @user-vw1vk3vc3h
    @user-vw1vk3vc3h 9 місяців тому

    Pole dogo, Hawa wanawake tujihadhari nao sana.

  • @SalehSalum-ri1jn
    @SalehSalum-ri1jn 4 місяці тому

    Dah yule mzee alie kua gerezan umshukuru

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q 11 місяців тому +2

    Wee ata usimdai tena, haki ya mtu haizami 😢😢

  • @AwzaMstafa
    @AwzaMstafa 3 місяці тому

    Angekutaka angesema

  • @zachariaobama8616
    @zachariaobama8616 7 місяців тому

    Pole sana broo

  • @SereneBoxer-kz4fs
    @SereneBoxer-kz4fs 7 місяців тому

    Pole mweye nguvu ni Mungu

  • @nyamhangamaseke
    @nyamhangamaseke 4 місяці тому

    Pole sana kaka

  • @abushaddad989
    @abushaddad989 11 місяців тому +3

    Huyo Mama bora kafa acha akambane aliyotanguliza

  • @user-qg5bq4sj9c
    @user-qg5bq4sj9c 11 місяців тому

    Pole sana arusha kuna kijana anitwa godfrey fund nagar alisingiziwa kulawitwi mungu ampiganie

  • @MohamedMohamed-dx8ve
    @MohamedMohamed-dx8ve 3 місяці тому

    Allah akbar

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 11 місяців тому +8

    Hizi kesi za kubaka zina mitihani sana .sasa hivi wanawake wengi ndio silaha yao ukimuudhi kidogo tu anakufanyia mtego ema yeye mwenyewe au mtoto wake wakike au wakiume na mahakimu wengi ni wanawake hawasikilizi chochote zaidi ya kufunga watu (huzuni sana)

    • @ahmedmukolwe43
      @ahmedmukolwe43 11 місяців тому +2

      Mungu yupo na ipo siku yao

    • @maryhanspeter8459
      @maryhanspeter8459 11 місяців тому

      Usiogope kijana na huna sababu yakumlani au kumlaumu muachie Mungu ndie mtoa hukumu alisema ktk maandiko matakatifu kua hasira na kisasi ni juu yake ona tayari amepata adhabu ya kifo maana kama yeye ni mke wa mtu ni nini kilipelekea kutoa mimba mpaka akafariki na huyo Mume wake pia Iko cku atapewa adhabu yake wewe endelea kumlilia muumba wako atafanya jambo ninahakika vile ulivyopata mtu gerezani akakusaidia kuandaa rufaa ninahakika utapata atakaekuinua na utainuka watashangaa hata huyo doctor wa mchongo atapata pigo tuu. Pole kijana wangu.

    • @AnnaSimon243
      @AnnaSimon243 11 місяців тому +1

      Naumia sana! Mimi nilihukumiwa miaka3, lakini nikakaa gerezani siku 90 nikatoka. Ila kwa kukata rufaa. Mahakamani hakuna haki hata kidogo.😮😮😮😮

    • @MRCHARLES277
      @MRCHARLES277 11 місяців тому

      ​@@ahmedmukolwe43qq

  • @user-hh4ex7ps7h
    @user-hh4ex7ps7h 9 місяців тому

    Pole sana kaka ila malipo ni hapa hapa ww muachie mungu

  • @user-xv8ji2bl1r
    @user-xv8ji2bl1r 11 місяців тому

    Mungu atakulinda kila jambo huja na sababu ili tujifunza haki haipotei

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn 6 місяців тому

    Malipo ni hapa hapa chini ya juwa ahera kwenda maesabu Kisha tangulia. Atakiona cha moto.

  • @aliymwazoa3051
    @aliymwazoa3051 11 місяців тому +1

    Nimewahi kusikia story kama hii zamani kidogo

  • @amarually5457
    @amarually5457 9 місяців тому

    Pole sana lakini umeona mungu alivyo kulipia uko aliko mungu anampa stahiki yake dhuluma mbaya sana hakiya mtu haipotei

  • @nicholaskavuwa6780
    @nicholaskavuwa6780 4 місяці тому

    Ukora wa mahakimu wakenya na tanzania wao ndio watakua kuni jikoni la jehonamu

  • @omarihasani7569
    @omarihasani7569 11 місяців тому +2

    Hakika haikuw rahx mung akubariki

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 11 місяців тому +1

    sasa kama kabakwa xiyuwsjua yy jaman 😭😭 watuwengine jaman😭😭 mungu Amshinde🤗🤗

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi 4 місяці тому

    Aloo kumbe alikufa mungu yupo 23:35 24:00

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 11 місяців тому +4

    Jamani Uwiii Kuna watu wataungua Kwa Mungu acha kabisa

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c 4 місяці тому

    Tatizo la mahakim wetu haki nyuma mwiko

  • @salma0000
    @salma0000 11 місяців тому +1

    Hivi Tanzania hamjaweza tu kucheki ushahidi wa dna za wabakaji mpk leo.

  • @JumaKhamissi-nh7qn
    @JumaKhamissi-nh7qn 6 місяців тому

    Jasho LA mtu aliliki hizo pesa zako alizo kudhululu atakulipa mbele ya Allah

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 10 місяців тому

    POLE SANA BRO,HAKI YAKO ITALIPWA TU NA HUYO MALUUNI ALIYEKUSINGIZIA MUNGU AMESHAMLIPA TAYARI NA BADO.

  • @user-fl5hw7jq9r
    @user-fl5hw7jq9r 4 місяці тому

    Wewe pia huku sema ukapimwe ndio ushadi ugepatikana soma sheriya maraigine

  • @PijeyWilliam
    @PijeyWilliam 3 місяці тому

    Pole san nduguyang unanikumbush mbali san maan Keaikama yako kuna mdogowangu kafungwa miak 30 kama hiyo mpaka sas sijuw yuko wap

  • @user-og5bq6qq6c
    @user-og5bq6qq6c 11 місяців тому

    Pole sana jamaa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 11 місяців тому +1

    Mhh 🤔🤔. Mbona alishahojiwa na Mbengo , miaka miwili iliyopita. Leo anasema katoka mwaka huu. Simuelewi kiukweli.

  • @salisali3738
    @salisali3738 11 місяців тому +1

    Aliapia kiapo cha uongo Mungu ame hukumu kiapo sio cha mchezo kuapia uongo

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 6 місяців тому

    SIKU ZOTE MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI...

  • @user-zd2zn8yj2e
    @user-zd2zn8yj2e 11 місяців тому +1

    Tuma,hiyo,number, tena,niko,hapa,Saudi, namimi,nimukenya,nitakutumia,pasa,kidongo,mwisho,wamwezi,

  • @user-xh4jt7nt7z
    @user-xh4jt7nt7z 7 місяців тому

    Dogo pole sana mimi kwanza nakuomba ata hapo kwa lafikiako uwondoke mana wanawake hawana huluma kabisa pambana dogo

  • @user-ro7xv7bk3y
    @user-ro7xv7bk3y 11 місяців тому

    Wewe kijana pole sana kijana bado mdogo tena mshamba sio jasiri kwanini hukumtafuta mumewake 😢😢😢

  • @JumaMario-px8tt
    @JumaMario-px8tt 11 місяців тому

    Pole kaka yangu

  • @stellah3844
    @stellah3844 11 місяців тому +3

    😢😢😢😢

  • @user-dj9wd9up6g
    @user-dj9wd9up6g 11 місяців тому +1

    Pole sana ila huyo bosi wako hanautu hatakkulipa huyo

  • @BarikiBariki-tk8tc
    @BarikiBariki-tk8tc 6 місяців тому

    Dah hivihawa mabosi wakike hasawaumezao wanaofanyakazi zakusafiri mbali wanashidagani? Kamani upwiru siamtafute wasaizi yake kulikolaana kamaivo EEmungu tusaidie