HAWARA | Full Movie
Вставка
- Опубліковано 31 тра 2024
- HAWARA | Full Movie
Ni filamu inayomuelezea mwanadada Susu ambaye ameamua kumsaliti mume wake na kuwa na mchepuko nje. Baada ya mume wake kufanya uchunguzi anakuja kugundua na kuanza kufuatilia hilo.
JEe mume wake atachukua uamuzi gani baada ya kumjua hawara wa mkewe, fuatilia filamu hii yenye kisa cha kusisimua..
Kwa filamu nzuri kama hizi hakikisha una subscribe chaneli yetu ili usipitwe na mambo mazuri.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #hawaramtamu #hawara - Розваги
Wa kwanza mm jaman like zangu hapa kama unamkubali adam leo tujuane kwa like
Shukrani sana
Hongera sana Adam Mungu aendelee kukuinua Kwa viwango vya juu sana kaka.
Ameen
kado actor kitambo sana nakubali sana
Yupo na anaupiga mwingi
Kazi nzuri sana Adam
Shukrani
Daaah 😂😂😂ila nimeipenda hii ya kado n huyu shaffy wallah hakuna kama hawa tena
Wametisha
Love from DRC 🇨🇩🇨🇩🇿🇦🤗
Thanks
Umeigia chakile kaka pole sana KBS ndodunia hiyo mzunguko ila wewe nimu wamaana sana napenda movie zako nzuri sana KBS ni ushauri mzuri sana KBS ❤😊🎉
Shukrani
Yani mkeo kabisa af anamlilia hawara Daa! Kaka filam zako zinafanya tuogope kabisa kuingia ndoani vijana 😢 nahis yatatukuta vilee Hongera mno Kaka unajua 🤝
Pole kikubwa ni kumtanguliza Mungu kwenye kila jambo🙏
Hongereni sana 🎉🎉🎉
Shukrani sana
❤🎉kaz nzur
Asante
Safi.sana
Shukrani
🎉❤ wewe unatisha KBS movie zako nzuri sana 💪 barikiwa kinjana
Asante
movie kali sana hii nimeinjoy
Asante
Ss wanawake sijui tunakosea wap jmn kazi zuri adam ❤🎉
Yaani acha tu
Nzuri sana imetulia na inafunza....Hongera sanaa Adam⚘️⚘️
Shukrani sana
Duh! Kazi nzur sana na inatufunza piah,,🙏
Shukrani
Na mim naomba like please 😢😂😂❤
Endelea kuenjoy!
Adam vp mimi nimempenda uyo demu nataka kumuoa@@AdamLeoStudios
Kunakit sijajua mta akiomba like anatak zanini
@@OZWIMsabatohta mimi sijui
Nakukubal sana kakangu Adam leo
Shukrani
Move kali san wanao mkubali shafii gong like ap ❤❤❤
Shafiih noma
Ila sauti iko chini kidogo boss wangu 💓 Adam, film ni nzuli
Shukrani
nazipenda sana muvi za adam leoo 👏👏❤❤
Shukrani
duuu mzngira kama yangu duu imenigusa love🎉❤
Pole
Leo nzuri mmezingatia muendelezo
Shukrani
Suzy nimtakayote ukosa yote 😂😂😂 kazinzuri washirika wote❤❤❤
Shukrani sana
Kazi nzuri kaka ❤❤❤❤❤
🙏🙏
Doh ila ahsee Adam bro unatisha kaka piga kazi bonge la movie ubarikiwe bro🎉🎉
Asante
Leo nimejifanya😂😂😂 funza kt movie tam sana
Shukrani
Kazi nzuri from Oman brother Adam
Thanks
Mob luv frm kenya
Thanks
Wallah move nzuri sana hongeren sana
Shukrani sana
move iko poa sana ♥♥♥
🙏🙏🙏
Nipeni like zangu kabla sijawashitaki 😂😂😂😂 from Oman
Duh
Kazi nzr kakaa❤
Asante
Kado my G💥
🔥🔥🫡🫡🫡
Nimwahi niko w 2.....kz nzuri mashallah ❤🎉
Shukrani
Mapenzi mapenzi oooh mimi saivi sijioni nikimpenda mtu tena na namuomba Mungu anisaidie kikombe hicho kiniepuke
Pole
Asante
Movie nzuri sanaa❤❤
Shukrani
Big Up sana Kazi Nzuri Mnoooo mpo good 👍
Tisha familia🤝🤝
Kazi nzuri sana Adam leo
Shukrani
Sinema nzuri sana, keep it up good work
Thanks
Nafurahi sana kutuletea picha mpya kwa wakati❤❤❤
Shukrani endelea ku enjoy
kaz nzur kaka Adam 🎉🎉🎉❤
Shukrani
Good job ❤❤❤❤
Thank you so much
Good job my broo Allah akupe afya njema ufke mbal zaid 🤗
Amen
Kazi nzuri
Asante sana
adam im back nice movies leta mob
Thanks
Good job❤❤ from🇧🇮
Thanks
Wa kwanza jamani😂
Asante endelea kufurahia kazi zetu
Nakubal jesca 😂😂😂barii😂😂😂
🔥🔥🔥
Wa mwisho leo
Enjoy
Nakukubaly sana Adamo leo
Shukrani
Amen ishiwa 😂😂😂😂😂😂
Si ndio eh
The movie is nice brother
Thanks
Tuko pamoja Adam leo❤,ila series ya utamu tunaisubiri
Sawa
Adam je t'aime trop mon frère
Thanks
Adam umenidanganya sana kwenye hii filamu bro! Mtu mwenye mchepuko anawezeje kuwa anaacha zana zake peupe kama simu na mkoba wenye kondomu
Karibu mtaani kwetu!
Wah!sio mimi talaka angekuwa ashaipatia kwao
Umeona eh
Jamani wee Dada mbaya wewe
Umeonae h
Safi sana
Shukrani sana
Ndoa inasiri kubwa sana, na wanaojua siri ya ndoa ni wanandoa wenyewe,
Kabisa
Susu noma
Noma
Dah imebidi nicoment mara mbili mbili mapenzi yanauma jamani hii story imenigusa sana 😢
Yanauma mno
❤❤
❤️❤️❤️
Nakukubal kaka hujawah fel
Shukrani
Kenya Watching, twapenda
Asante
Present ❤️
Thanks
bro wewe mukari sana nimekukubali
Shukrani
❤ kutoka cape town Africa
Shukrani
Imagine don't play with lady's kwamakin sana I feel your pain bro but I have learnt alot of things in this video
Thanks a lot🙏
Good job 👌❤
Thank you! 😊
Adamu ebu niambie nani kaimba huu wimbo nimeipenda nataka niupate please
Safellon
Hapa nimegifunza kitu mwanamuke nama nimalaya hauwezi kumubadirisha asanteni jamani❤❤
Jamani
Si hata basi ujue kuandika kwanza
@@kybtzearthmoney9984mwenzio anawai kukoment muache buana 😂😂😂
@@user-dm7mp2uq6u 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂wanawake tujifunzi kitu apo hatari sana
Umeona eh
yani adam ninacho pendea muvi zako zinafuza jamii pili muvie zako ni full HD yani unaangalia muvi moja mpaka mwisho akuna cha 1A wala 2 B
Shukrani
Umeonaee 😂
Cado jaman handsome ebu Adam mwambie akate iyo minywele yake 😅
Eti eh
Adam leo mambo vp mtu wangu😅
Poa kabisa
Lia kabisa unaudhi huna adabu ishi na ujeuri wako
Umeona eh
Oya ilo jina muhusika Shafii mkundi mmetoa wapi kunajamaa nimesoma nae anaitwa shafii mkundi
Haha tumebuni tu
Dada ana sura nzito.....ila Adam hongera kazi nzur❤❤❤❤❤
Asante wewe mwenye sura nyepesi
@@AdamLeoStudios😂😂😂
Asante sanaaa karibu
Sijapenda😂😂😂
Mpe yako nyepesi kisha umsaidie kutisha wtt mtaani kwenu 😂😂😂
Kweli nimeamini wanawake tunatafutaga kifo wenyewe 😢
Kabisa yaani
Tazama amekirudia kosa la pili! Kweli "mwonja asali haachi kuonja mara ya pili!"
Kabisaa
Mi nataka aibu yangu 2
Kesho saa 4
Nakubar
Shukrani
🎉🎉🎉
🙏🙏
Hehehe iyo kileleni ndo mtihni😂😂😂
Hahah yaani
@@AdamLeoStudios 😃😃😃😃😃😃
Kwa nini wana wake wenzangu rakini wamoja wamoja siote kwanini hamutosheki na wa ume zenu kwani munakuwa mumeolewa nawo kwa ku nguvu ama ?? Mujuwe wanawake wengine mimi munaniuzi 😢😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮
Yaani tabu tupu!
Andika lakini sio Rakini 😂😂😂
Bro tafuta wanawake wazuri Tuwez angalia movie kwa raha asa m inaanza Tuh naona manzi mbovu naaacha😂😂
Jamani
Nimewahi leo likes pia❤❤
Endelea kuenjoy
Adam tunakupongeza kwa kusimamia kipaji cha ndugu yetu na tena hapo alipo yupo kwenye mikono salaam kura siku tunamuona anazidi kukua tuna watatoa sana tuna mfatilia ndugu yetu cosms kwaiyo endelea kaka kumpigania kumshika tunaimani na wewe adamleo tuna kupenda endelea kumsaidia ndugu yetu cosms
Shukrani tupo pamoja atafika mbali bila shaka!
Ila sauti umezingua adam
Pole
Kaka kado mwanamke atakuua huyo
Umeona eh
Mtaka vyote hukosa vyote tamaa mbaya
Kabisa
❤❤❤❤
❤️❤️
kado alitakiwa kuongea kiswahili fasaha hawez kubaka uyo ni mwanaume ninachofahamu mwanamke ndo anabakwa kwann aseme atambaka mshkaji naomba nifafanuliwe @adam leo
Kubakwa ni kuingiliwa kimwili bila ridhaa ya muhisika!
Kado usiue bhana
Umeona wh
🎉❤
❤️
Mtaka yote hukosa yote😂😂😂
Umeona eh
Minjino imeoza balaa hahaha
Jamani
@@AdamLeoStudios hahaaaha utani bana kaka adamu
ADAm LEO
Naan
😂😂😂 janamke jangili hili Yaan hata halijui linataka nn hapa Duniani 😂😂😂😂 bora walivyoondoka wote 😅😅😅 akili ikukae Sawa mbwa ww😂😂😂😂
Yaani