DEVIL'S HOUSE | Full Movie |.
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- Nyumba ndio chanzo cha matatizo yote ya hapo kijijini, ikiwemo mauaji na watu kupotea ovyo.
Je familia hii mpya itaweza kupambana na majaribu hayo? Karibu kufatilia kisa hiki cha kusisimua.
Follow us on INSTAGRAM 👇 www.instagram....
Follow us on TIKTOK 👇
www.tiktok.com...
WHATSAPP ONLY
+255 764 397 711
Wasio elewa maana ya movie ndo watalalamika kuhusu rangi, lakini kwa upande wangu kila kitu kipo sawa ❤🎉 tuna wapenda. 🌎
Kweli
Chibu pamoja na team yako ninawapongeza❤❤🎉🎉🎉
Team chiebway tuna wa kubali saanaa ❤❤ huku ndo tuna angalia movie kama za wazungu na cyo bongo movie zenu hizo 😂 😂 😂 😂 😂
Chibuzooooooombi umetisha mkali
Bi migombaaa ,,, hongeraaa na waigizaji wote ,,filamuu zenuuu zote nzuri na zenye mafundishooo,asanteni mungu awabarikii, naa awazidishie uwezoo ,katika kazi zenu,Kila la heri nawatakia
Big up ❤❤❤❤
Noma san💯💯💯
Mko vizur saña🎉🎉🎉🎉🎉
Ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Much respect bro
Movie zenu tamu Sana nazipenda Ila ushirikina nao aisee
wangapi wanapenda kazi za #CHIBU
😂😂😂bi migomba anadeka sio
🎉🎉🎉 SUBSCRIBE
Iyo movie umetulia sana😊😅
Nmependa Maa Sandra anavyoongea❤
mumeamua raundi hii vitu motomoto zinakuja👌👌 nawafatilia kutoka kenya
Kazi tamu
Vizuri
Kubwa
Butua uko swa bila pombe una act poa Sanaa bila pombe nimeipenda niko kennya
nakubali
🎉❤
haaaa uo mji mi sikaii😅😅😅
Hiyo nyumba hata kama nimelipa codi ya miez6 nahama tu
😅😅😅😅😅😅 ata mimi
Wabongo ubunifu zero kabsa, hii movie haina mbele wala nyuma, nmemaliza bandle langu la bure, matukio katika movie hayana uhusiano kabisaa, ovyooooooooooo kabisa
Watu hamna shukurani,amekosea hii tu au anakoseaga kila picha ?msifie mtu kwanza kisha mwambie jaribu kurekebisha kwa hapa au hii picha ume wrong kwa sehemu moja.
We unae laumu kuhusu hii movie igiza wew ufurahishe watu kuigiza kaz sana ujue
🔥🔥
ila bibi migomba😅😅
Hii ndio movie sasa
🙏 KAKA! Huu mfumo wa kupost part 1 kisha part 2 halafu unakuja tena kupost FULL FILM unachosha ndugu yangu. Hata zile za EP kupost episod mpaka mbeleni unaweka tena FULL inakera. Weka part 1 weka 2 tusonge mbele. Kama hakuna umuhimu wa hizo nusu nusu tengeneza nzima moja kwa moja post full usiweke nusu nusu 🙏 NI MAONI YANGU
Hujambo...Sababu ya kufanya hv ni Hv Episode ni biashara ya You tube na Ile Full ni biashara ya VCD na DVD huwez toa series ya DVD kw episode .....
Hyo ndio maana yke ......
@@HassanSadiki-l5c ukiwa unamaanisha watu wadownload wakabani kwenye CD ?. Kwasababu ni watu wachache sana walioangalia ep wakaja kuangalia na full. Wakiangaliabwatakuwanapeleka peleka mbele sana na wengine wataangalia kidogo wakizania ni video mpya wakishaona wanaifahamu wanaachana nayo...
Oora man vunga 4:52
Strory haileweki mbnaa xaxa
Oora man vunga
“Samahani kwa majina naitwa Tabia ni mwenyeji wa hichi kijiji,unaweza nielekeza kule unaishi?” Vipi mtu atakusalimia kisha akuulize tu hivyo unakoishi nawe bila kufikiria unajieleza,huogopi hata bila ya movie,kiualisia tu kisha ww naye unayeulizwa unakoishi haumuulizi pia anakoishi huyo muulizaji wala hakuulizi jina lake waaah hapo bila Shaka nitashuku kuna jambo….haya tuendelee na mama Tabia mwenye tabia ya kuuliza watu wanakoishi 😂😂😂😅😢
Mungu awazidishie . Ni wenu director inspecteur innocent kutoka Congo 🇨🇩 . Nawa omba SUBUSCRIBE zenu.🎉
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Afu nyie jamaa hamnaga idea nyingine? Kila movie mnayotoa inahusu imani za kishirikina, ina maana mmeshindwa kuja na angle nyingine tofauti na hii mlozoea?
Wanazipenda hizi story kwasababu azitumii pesa nyingi
Taja sasa mfano wa angle ili waone, usitoe ushauri bubu
wwe mxhilikina nn mbna vinakukela😂😂
Hii ni bongo ndomana wanaleta movie za kishilikina ingekuwa vita ungekaa urus
Uwezo mdogo wa kufikiri
Hiiiiii
RANGI JAU
Oora man vunga 4:52