HII SASA SIFA/TAZAMA ALI KAMWE AKIWALISHA CAKE ZA CHAMA WANANCHI JANGWANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лип 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 125

  • @michaelpengo8730
    @michaelpengo8730 2 дні тому +24

    Yanga mna Raha sana.
    Naweza kusema miongoni mwa watu wenye Raha duniani na Yanga mpo kwenye Top 10.🎉🎉🎉

  • @MosesTumusime-cz1dc
    @MosesTumusime-cz1dc 2 дні тому +6

    Yaani Jangwani tuko zaidi team uwanjani tu tuko family ndani ya uwanjani na inje ya uwanja kbsa

  • @MosesTumusime-cz1dc
    @MosesTumusime-cz1dc 2 дні тому +7

    Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi

  • @matendojumanne5823
    @matendojumanne5823 2 дні тому +2

    Yanga haoooo daimambele nyuma mwiko

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 2 дні тому +7

    Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma

  • @moshintagata100
    @moshintagata100 2 дні тому +6

    Sisi niwanainchi tunahitaji salamu mbili asalam lekum pia na bwana yesu asifiwi bilashaka mumenielaewa

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 2 дні тому

      tatiz imesemwa kiarabu .kiswahili maana yake amani iwe juu yenu .yohana 20 ...19

    • @user-fc7zp2nd4m
      @user-fc7zp2nd4m 2 дні тому

      Naipenda sana yanga jaman❤❤❤❤❤❤

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 2 дні тому +5

    Mpira ni burudani zaidi ya dk 90 za ndani ya uwanja. Hongereni sana viongozi vijana kwa ubunifu wa kiwango cha SGR.👏👏👏👏🤪🤪🤪

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 дні тому +7

    Yanga haina dogo, yanga inafurahisha sana 💚🇹🇿

  • @emmanuelfrance
    @emmanuelfrance 2 дні тому +2

    Mko vizuri sana wananchi

  • @ismailseleman2952
    @ismailseleman2952 2 дні тому +5

    Munguawajalie wotemlioletakeki

  • @user-bw1hs2nd8p
    @user-bw1hs2nd8p 2 дні тому +6

    Hii ndo inaitwa utajua hujui😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @25code
    @25code 2 дні тому +2

    Jambo tunalo na tunatamba nalo.karibu chama.na umeingia k wenye chama la kweli

  • @WatuShazi
    @WatuShazi 2 дні тому +2

    Chama,,chama kwell msichiukulie poa mnshaumia so kdog

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e 2 дні тому +4

    ❤❤❤❤❤I Love it, umwaaaaaaa

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 2 дні тому +5

    Mpora wa Bongo bana...😢 Ndo maan wachezaj wa kigan wakja Huwa hawapasahau

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 2 дні тому +1

    Dah hii timu kubwa sana

  • @VicentMbise
    @VicentMbise 2 дні тому +2

    Yanga nimeikubali

  • @Hassansalum-j3k
    @Hassansalum-j3k 2 дні тому +3

    Jamaniee maoniyangu chama mwenyewe ndioangewalisha wanachama mashabiki wapenzi iliaoneshe mapenziyake kwetu.

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises День тому

    jamani mim naupenda sana uwongozi wa yanga,wana mfano wa kuigwa.ningependa kwetu Moçambique tuige tanzania,.😊 nawapenda sana yanga.

  • @HusseinAlly-zp7sb
    @HusseinAlly-zp7sb 2 дні тому +3

    Yanga daima🎉

  • @ashorass4431
    @ashorass4431 2 дні тому +3

    Nice

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 дні тому +2

    Umependeza hiyo

  • @user-vr3hp4xs8m
    @user-vr3hp4xs8m 2 дні тому +5

    Hio sherehe ya keki chama yupo hapo kwenye keki anaziona

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 2 дні тому +4

    💛💚💛💚💛😀📸 Daima Mbele Nyuma mwiko

  • @AzamMgasha-qh9zc
    @AzamMgasha-qh9zc 2 дні тому +6

    Timu ya watu ila chamaa

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 День тому +1

    Alafu hii biashara ya kusalimia Salam moja hatutaki ubaguzi wa dini, timu ya yanga ina wakristo na waislam .

  • @CasianMchalo
    @CasianMchalo 2 дні тому +1

    Nawashukul sana

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 2 дні тому +5

    Haaaa.watajuta waoooo😂

  • @bakarmpily4473
    @bakarmpily4473 2 дні тому +2

    Hatunaga show mbovu

  • @saidmasengo7988
    @saidmasengo7988 2 дні тому +4

    CHAMA TUNAYE NA TUNARINGA NAYE🎉🎉🎉🎉

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 2 дні тому +2

    Kweli wanainchi hatuna jambo dogo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dittosanga3358
    @dittosanga3358 19 годин тому

    Welcome friend chama to Young Africans

  • @RamadhanMabwabwa
    @RamadhanMabwabwa 2 дні тому +3

    Mzee mpili anatia neno kimya kimya idara ya ufundi😂😂

  • @user-ue5wg4sz7w
    @user-ue5wg4sz7w 21 годину тому

    jasmine wajina wangu asante

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz 2 дні тому +3

    Alosema hasainiiiiiii
    Mbona kasainiiiiii alosema hasain mbona kasainiiii
    Tunae chama tunaeeee
    Tunae chama tunaeeee Tunaechama tunaeee tunae twatamba naeee

  • @user-xt1lh7hu7l
    @user-xt1lh7hu7l 2 дні тому +1

    ILike it🎉❤

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 2 дні тому +3

    Hongereni Sana hayomambo msimbazi hayapo kwann wachezaji wasije yanga namnaiyo lazima kuonesha mapenzi kwa wachezaji

  • @AngelMbanga
    @AngelMbanga 2 дні тому +2

    Ivi chama kwa mapokezi haya unatuaidi nini wannch ??? Yanga rahaaaaaaa

  • @nicksonmlay542
    @nicksonmlay542 2 дні тому +4

    Wananchi Wamefurahiiiii💚💚💚💚💚💚💚💚✅

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 2 дні тому +1

    Walikuja wachezaji wa maana kama Pacome na Jeshi wamefanya mambo makubwa lakini mapokezi yao yalikua ya kawaida tu

  • @PillyLushete
    @PillyLushete 12 годин тому

    Kalibu yanga Haina njaaaaaa

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 2 дні тому +2

    Hawa vijana yanga wamefiti kwenye kitengo wallah wanakela hawa hhhhh

  • @kessysenga8700
    @kessysenga8700 2 дні тому +3

    Suda yanga sijamuona hapo jaman mmemsahau wapi?

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 2 дні тому +2

    💛💚💛💚

  • @SuhuurFarxaan
    @SuhuurFarxaan 2 дні тому +4

    😂😂😂duuh ila yanga nangoja 10 za master ki na 39 za screen protector ntazila hizo

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 дні тому +2

    Ku. Be mzee mpiiili upo

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema 2 дні тому

    Makombe yaendelee🙏🙏🙏🙏

  • @Official83640
    @Official83640 2 дні тому +2

    Mzidishieni sifa awatende km Mayele maana mmezidisha tena hamjali km tuna msiba Wa Manji au kawakosea nn mpaka mnafuraha kupitiliza

    • @eidallyeidally5093
      @eidallyeidally5093 2 дні тому

      tumeshazika waislaam hatuna maombolezo ya wiki nzima hata akifa nan

    • @Official83640
      @Official83640 2 дні тому

      @@eidallyeidally5093 Ile siku yakuzika mmeanza shangwe hamuoni haya

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 2 дні тому +2

    Ma Dada keki siku ingine wa vae chochote kinacho onyesha mapenzi yao kwa Yanga Sports Club Tafadhali

  • @user-mv5kv5fh7g
    @user-mv5kv5fh7g 2 дні тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BakaryOmally
    @BakaryOmally 22 години тому

    Nashauri tuwe na wimbo wa utambulisho wa timu yetu ambao utapigwa kabla na baada ya mechi utawapa hamasa wachezaji kupambania timu

  • @SanchezMutiti-ie8ed
    @SanchezMutiti-ie8ed 2 дні тому +5

    Wakwanza

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 2 дні тому +2

    Mpili alitakuongeza keki ale😂😂😂😂

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana2111 2 дні тому +1

    YANGA 💛💚 team tunaipenda

  • @planctv5961
    @planctv5961 День тому

    Yanga 🙌

  • @PaschalHose
    @PaschalHose 2 дні тому +2

    Afu nasikia mwakani KAPOMBE tutatambanae

  • @Faharitvplus
    @Faharitvplus 2 дні тому +1

    Muuza cake kapata Fursa ya kutangaza biashara ya cake

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 2 дні тому +2

    Kadi ya kuwa mwanachama wa Yanga naipataje na ni shiling ngap ?

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 2 дні тому +3

    Ku?

  • @LucasMganga-f6l
    @LucasMganga-f6l 2 дні тому +1

    Young bab lao

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 дні тому +4

    Yanga raha

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha 2 дні тому +2

    🔥🔥🔥

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s 2 дні тому +1

    Hasa chamamwenyew hayupo hapo

  • @mbwanaoch9886
    @mbwanaoch9886 2 дні тому +2

    Sisi hao

  • @exautmwalukasa2092
    @exautmwalukasa2092 День тому

    Nyie yanga nyie hizi ni sifa sasa yanga tam taman

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9e 2 дні тому +2

    Tunamtaka mamelodi tunahasra nae

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 2 дні тому +1

    Huu sasa ni ushamba na ujinga watu na elimu zenu mnafanya vitu vya kipumbavu

  • @neemamollel6972
    @neemamollel6972 2 дні тому +2

    Sisi ni zaidi ya familia

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi564 2 дні тому +1

    💛💚🖤

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq 2 дні тому +2

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @terrence9477
    @terrence9477 2 дні тому +1

    Mkianza msimu, nitaleta keki kwa Pacome, lazima msimu uanze kwa mbwembwe

  • @ZuberiMaulid-s5d
    @ZuberiMaulid-s5d 2 дні тому +2

  • @user-wi4gt6us3s
    @user-wi4gt6us3s 2 дні тому +1

    wananchi hawana shoo mbovu

  • @vwambanjichibwe4893
    @vwambanjichibwe4893 2 дні тому +2

    🇿🇲🇿🇲

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 дні тому +2

    🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g День тому

    Punguzeni izo sifa mnaonekana washamba bana

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 2 дні тому +2

    💚💛🇹🇿

  • @MobileMobigo2
    @MobileMobigo2 День тому

    Yanga

  • @officialchokod1304
    @officialchokod1304 День тому +1

    ❤❤❤❤ 😂😂😂

  • @ramadhanmanyacolour5236
    @ramadhanmanyacolour5236 День тому

    The hevent cakes ofisi Jasmin

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 дні тому +2

    ❤❤❤❤❤😅

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 День тому

    Hayawi ayawi sasa yamekuwa

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g День тому

    Nyie ndo mnafanya mambo yawe magumu km kamali je mtaficha wapi sura zenu

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery8358 2 дні тому +3

    Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!

    • @law93king
      @law93king 2 дні тому +1

      kitu cha kawaida sana wote huu ni utani wa jadi tu hata wao tumewaheshimisha msimu mzima na tutaendelea kuwaheshimisha bila ubaguzi

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 дні тому +1

      Na pia nao walishawahi kufanya haya baaada ya kumchukua MORRISON tukaumia mpka JK akasema nasi tufanye kuwaibia sasa huu ndio mpango mzima 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

    • @law93king
      @law93king 2 дні тому +1

      @@jumannemsengi2195 yeah ni vitu vya kawaida tu hata wao wachezaji wanajua

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 2 дні тому

      Nao watandaliwa keki yao siku ya kufungua Kambi huko Avic Town!

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 дні тому +1

    njie niwapumbavu badala yakuomboleza mzamin wenu kafariki nyie mwala keki kwahio umeowa alieachika af unatamba hahaha

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 дні тому +1

    Mikeki kama yote 🧁🥮

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 2 дні тому +1

    Kazi kulishana cake ila kuwalipa wachezaji madeni ya
    ...aaah

  • @AnithaMussa-k2s
    @AnithaMussa-k2s 2 дні тому +1

    Usanii

  • @law93king
    @law93king 2 дні тому +1

    😂😂😂

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y 2 дні тому +1

    Mwamba waka dugu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 2 дні тому +1

    Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 дні тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @GodliverByarugaba
    @GodliverByarugaba День тому

    Matako yenu

  • @ramadhanmanyacolour5236
    @ramadhanmanyacolour5236 День тому

    Bosi wangu Jasmini
    Umenipa jukumu la kukutengenezea ofisi mpya hapa Temeke Stereo Bigbon karibu na mpaka tegemea matokeo mazuri kutoka kwetu

  • @amanizavala
    @amanizavala 2 дні тому

    Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu

  • @MarwaChacha-d8z
    @MarwaChacha-d8z 2 дні тому

    Simb

  • @ZuberiMaulid-s5d
    @ZuberiMaulid-s5d 2 дні тому +1