Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi
Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma
Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa
Yanga mna Raha sana.
Naweza kusema miongoni mwa watu wenye Raha duniani na Yanga mpo kwenye Top 10.🎉🎉🎉
Yaani Jangwani tuko zaidi team uwanjani tu tuko family ndani ya uwanjani na inje ya uwanja kbsa
Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi
Yanga haoooo daimambele nyuma mwiko
Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma
Sisi niwanainchi tunahitaji salamu mbili asalam lekum pia na bwana yesu asifiwi bilashaka mumenielaewa
tatiz imesemwa kiarabu .kiswahili maana yake amani iwe juu yenu .yohana 20 ...19
Naipenda sana yanga jaman❤❤❤❤❤❤
Mpira ni burudani zaidi ya dk 90 za ndani ya uwanja. Hongereni sana viongozi vijana kwa ubunifu wa kiwango cha SGR.👏👏👏👏🤪🤪🤪
Yanga haina dogo, yanga inafurahisha sana 💚🇹🇿
Mko vizuri sana wananchi
Munguawajalie wotemlioletakeki
Hii ndo inaitwa utajua hujui😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Jambo tunalo na tunatamba nalo.karibu chama.na umeingia k wenye chama la kweli
Chama,,chama kwell msichiukulie poa mnshaumia so kdog
❤❤❤❤❤I Love it, umwaaaaaaa
Mpora wa Bongo bana...😢 Ndo maan wachezaj wa kigan wakja Huwa hawapasahau
Dah hii timu kubwa sana
Yanga nimeikubali
Jamaniee maoniyangu chama mwenyewe ndioangewalisha wanachama mashabiki wapenzi iliaoneshe mapenziyake kwetu.
jamani mim naupenda sana uwongozi wa yanga,wana mfano wa kuigwa.ningependa kwetu Moçambique tuige tanzania,.😊 nawapenda sana yanga.
Yanga daima🎉
Nice
Umependeza hiyo
Hio sherehe ya keki chama yupo hapo kwenye keki anaziona
💛💚💛💚💛😀📸 Daima Mbele Nyuma mwiko
Timu ya watu ila chamaa
Alafu hii biashara ya kusalimia Salam moja hatutaki ubaguzi wa dini, timu ya yanga ina wakristo na waislam .
Kabisaaa ,
Nawashukul sana
Haaaa.watajuta waoooo😂
Hatunaga show mbovu
CHAMA TUNAYE NA TUNARINGA NAYE🎉🎉🎉🎉
Kweli wanainchi hatuna jambo dogo🤣🤣🤣🤣🤣
Welcome friend chama to Young Africans
Mzee mpili anatia neno kimya kimya idara ya ufundi😂😂
jasmine wajina wangu asante
Alosema hasainiiiiiii
Mbona kasainiiiiii alosema hasain mbona kasainiiii
Tunae chama tunaeeee
Tunae chama tunaeeee Tunaechama tunaeee tunae twatamba naeee
ILike it🎉❤
Hongereni Sana hayomambo msimbazi hayapo kwann wachezaji wasije yanga namnaiyo lazima kuonesha mapenzi kwa wachezaji
Ivi chama kwa mapokezi haya unatuaidi nini wannch ??? Yanga rahaaaaaaa
Wananchi Wamefurahiiiii💚💚💚💚💚💚💚💚✅
Walikuja wachezaji wa maana kama Pacome na Jeshi wamefanya mambo makubwa lakini mapokezi yao yalikua ya kawaida tu
Kalibu yanga Haina njaaaaaa
Hawa vijana yanga wamefiti kwenye kitengo wallah wanakela hawa hhhhh
Suda yanga sijamuona hapo jaman mmemsahau wapi?
💛💚💛💚
😂😂😂duuh ila yanga nangoja 10 za master ki na 39 za screen protector ntazila hizo
Ku. Be mzee mpiiili upo
Makombe yaendelee🙏🙏🙏🙏
Mzidishieni sifa awatende km Mayele maana mmezidisha tena hamjali km tuna msiba Wa Manji au kawakosea nn mpaka mnafuraha kupitiliza
tumeshazika waislaam hatuna maombolezo ya wiki nzima hata akifa nan
@@eidallyeidally5093 Ile siku yakuzika mmeanza shangwe hamuoni haya
Ma Dada keki siku ingine wa vae chochote kinacho onyesha mapenzi yao kwa Yanga Sports Club Tafadhali
❤❤❤❤❤❤❤❤
Nashauri tuwe na wimbo wa utambulisho wa timu yetu ambao utapigwa kabla na baada ya mechi utawapa hamasa wachezaji kupambania timu
Wakwanza
Mpili alitakuongeza keki ale😂😂😂😂
YANGA 💛💚 team tunaipenda
Yanga 🙌
Afu nasikia mwakani KAPOMBE tutatambanae
Muuza cake kapata Fursa ya kutangaza biashara ya cake
Kadi ya kuwa mwanachama wa Yanga naipataje na ni shiling ngap ?
Ku?
Young bab lao
Yanga raha
🔥🔥🔥
Hasa chamamwenyew hayupo hapo
Sisi hao
Nyie yanga nyie hizi ni sifa sasa yanga tam taman
Tunamtaka mamelodi tunahasra nae
Huu sasa ni ushamba na ujinga watu na elimu zenu mnafanya vitu vya kipumbavu
Sisi ni zaidi ya familia
💛💚🖤
Daima mbele nyuma mwiko
Mkianza msimu, nitaleta keki kwa Pacome, lazima msimu uanze kwa mbwembwe
❤
wananchi hawana shoo mbovu
🇿🇲🇿🇲
🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🤣🤣🤣🤣🤣
Punguzeni izo sifa mnaonekana washamba bana
💚💛🇹🇿
Yanga
❤❤❤❤ 😂😂😂
The hevent cakes ofisi Jasmin
❤❤❤❤❤😅
Hayawi ayawi sasa yamekuwa
Nyie ndo mnafanya mambo yawe magumu km kamali je mtaficha wapi sura zenu
Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
kitu cha kawaida sana wote huu ni utani wa jadi tu hata wao tumewaheshimisha msimu mzima na tutaendelea kuwaheshimisha bila ubaguzi
Na pia nao walishawahi kufanya haya baaada ya kumchukua MORRISON tukaumia mpka JK akasema nasi tufanye kuwaibia sasa huu ndio mpango mzima 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@@jumannemsengi2195 yeah ni vitu vya kawaida tu hata wao wachezaji wanajua
Nao watandaliwa keki yao siku ya kufungua Kambi huko Avic Town!
njie niwapumbavu badala yakuomboleza mzamin wenu kafariki nyie mwala keki kwahio umeowa alieachika af unatamba hahaha
Mikeki kama yote 🧁🥮
Kazi kulishana cake ila kuwalipa wachezaji madeni ya
...aaah
Mchezaji gani anadai?
Usanii
Sawa msanii mwenzetu
Msaniii anajulikana "MO"😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Mwamba waka dugu
Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa
Mpira ni furaha Sasa makasiliko ya nn
Pole kolo kwa povu
Kolo hutoooooooo😂😂😂😂😂😂
Oya uko sahihi kila kitu bango wasenge
😂😂😂😂😂😂
Matako yenu
Bosi wangu Jasmini
Umenipa jukumu la kukutengenezea ofisi mpya hapa Temeke Stereo Bigbon karibu na mpaka tegemea matokeo mazuri kutoka kwetu
Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu
Lia 😂😂😂😂😋😋🤭
Acha wivu kolo wewe hiyo ndio team ya wananchi
Utopilo wengi akili hakua
Unateseka ukiwa wapi nikiletee panadol za kenya
Kwenye period yako niletee Panadol ukipona nikutafune
Simb
❤