#PRESS

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

КОМЕНТАРІ • 90

  • @maestrokiss7245
    @maestrokiss7245 3 місяці тому +13

    Nilikuwa naisubiri hii maana niliikosa ya LIVE. Ahsante Media team😊

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 3 місяці тому +16

    😂😂😂😂 haitajiii D mbili hiyo, uwe na fagio pamoja na kidumu 😂😂😂😂 Ali kamwe 🙌🙌🙌🙌🙌 nimechekaa kwa sauti hukuu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 місяці тому +1

    Moja Ya Chama La Mpira Linakua Kwa Kasi Sana Barani Africa,
    GOD BLESS YOUNG AFRICA FOREVER "

  • @JoshuaEmanuel-h8s
    @JoshuaEmanuel-h8s 3 місяці тому +6

    Karibu mwenye nyuma apo....Duh ali kamwe bhan

  • @ShabanPaschal
    @ShabanPaschal 3 місяці тому +8

    Hivi hawaogopi😱😱😱😱😱

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 3 місяці тому +1

    Sisi tulio nje ya mipaka ya Tanzania, watanzania tulio nje na pia wapenzi wa Yanga wasiokuwa Tz, tuweseje kupata taarija za timu yetu pendwa. Tunataka yanga habari pia. Ebu jamani fanyeni kitu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 місяці тому +1

    😂😂😊😂😂 Mambo Ni Mengi Muda ni Mchache Dunia inakwenda kwa Kasi Sana "

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 місяці тому +7

    Yanga Oyeee

  • @paraxedjoseph5174
    @paraxedjoseph5174 3 місяці тому +4

    Kuna watu wapo kijijini huko nilikuwa nakuomba kiongozi wetu tutafute namna ya kuwafikia

  • @LameckSichimata
    @LameckSichimata 3 місяці тому +2

    Mtatu koma mwaka huu 😂😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 місяці тому +3

    Hongera semaji Ali kamwe 🎉🎉🎉

  • @thomasmn2723
    @thomasmn2723 3 місяці тому +5

    Mimi niko Indonesia ni jinsi gani naweza kunjungan?

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 3 місяці тому

      Unamaanisha nn KUNJUNGAN?? Au umekosea😢

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 3 місяці тому

      ​@@muddymuzungu4357😅😅😂😂😂 kujiunga kakosea

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 3 місяці тому

      @@FatumaShabani-mp9vt fatuma usichekeeee😀😀😀😀😀nisaidieeeee

  • @law93king
    @law93king 3 місяці тому +4

    😅😅

  • @bennyteve3871
    @bennyteve3871 3 місяці тому +2

    Tupo pamoja sanaaaaa yanga damu

  • @salummaulid6252
    @salummaulid6252 3 місяці тому +6

    Ali Shaaban Kamwe, Akili nyingi Sana mtu wangu 🙌🙌🙌

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 3 місяці тому +1

    Tuisapoti klabu yetu

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 3 місяці тому

    Makolo Wanapitia Kipindi Kigumu Sana Hamna Namna inabidi Wahame nae Chama japo ni Ngumu Kumeza, Waje Tu Sisi Tuanawapokea Makolo...

  • @Ktz-kr1nk
    @Ktz-kr1nk 3 місяці тому +4

    Akili mingi 🎉🎉

  • @MohamediSaidi-g4h
    @MohamediSaidi-g4h 3 місяці тому +1

    Ni kweli kuhusu msiba wa yusufu manji ni msiba mkubwa sana kwetu sisi wanayanga.

  • @kidawajuma9597
    @kidawajuma9597 3 місяці тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂🎉

  • @martinabel3896
    @martinabel3896 2 місяці тому

    Eng chonchonde msije mkasahau kusajiri mbadala wa aucho, maana tumekosa kombe la shirikisho sababu aucho hakucheza, pia tumemkosa mamelodi sababu aucho hakucheza

  • @abdallahrashid2899
    @abdallahrashid2899 3 місяці тому +4

    Bado magazeti ya yanga😂

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 місяці тому

      Magazet kwa sasa ni biashara ngum na ndio inaend kutowek yan wangejitahid soon as possile wakafungua radio...wakapata pesa kupitia kutangaza matangazo ya wadhamin mbalmbali na kupitia youtube ktk kuckiliza radio hili ni kubwa zile billion 24 radio inawez kutupa ata billion mbili na kuendelea kwa mwaka na ata wadhamin kwa mf: Crdb, Sport pesa nk akitaka atangazwa pia ktk radio lazima aongez kiasi kwa ajili ya radio na si vinginevyo

  • @TwahirMohammed-x2h
    @TwahirMohammed-x2h 3 місяці тому +1

    Nawapongeza viongozi namna ya utoaji wa habari kutu rahisishia habari❤❤

  • @shalalishalali3101
    @shalalishalali3101 3 місяці тому +1

    Na ikubali sana hii club,ni wabunifu hatariiii

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 3 місяці тому +2

    huyu kijana wetu alliy kamwe ana poteza madili ya yanga nazani rais wa yanga ana takiwa alijuwehili hata siku tatu hazijesha aliekuwa muwasisi wayanga manji amefiriki dunia siku ileile alliy kamwe anaigiya mitaani nakufaya sherehe jee masalani jambo hili linge tokea kwa kharibu gsm agefayahivyo sisi tuko huku marekani tumesikitishwa sana yanga ipo chama yupo hakunashida

    • @LimseyMassawe
      @LimseyMassawe 3 місяці тому +3

      Acha ujinga.....kwani hukuona kitambaa Cheusi walivyofunguka mkononi kuonyesha majonzi???!! And by the way manji sio main sponsor sasaivi ila wamemuenzi vizuri tu as a club!! Club activities lazima ziendelee, tusipotembea na huu upepo wa chama mapato yatatokea wapi na wewe upo huko marekani ata card ya uwanachama wa msimu uliyopita..... haujalipa, na msimu huu haujalipa???.....Manji tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi, alale mahali pema peponi🙏

    • @PabloPembe-ne7oy
      @PabloPembe-ne7oy 3 місяці тому

      Ww naww umetokea wapi nanu 😅😅😅😅

    • @ellyelly9069
      @ellyelly9069 3 місяці тому

      Wee nawe ndim uko marekan ya buza

  • @ziadaidrisa16
    @ziadaidrisa16 3 місяці тому

    Usajl wa mwaka mmoja. Simba ipo na itabaki kuwa simba. Kulkuwa na Okwi na ndo kafnya makubwa. Aende tuu

  • @fadybeatsPro
    @fadybeatsPro 3 місяці тому +2

    Akili kubwa🔥

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222 3 місяці тому +3

    😮

  • @IsayaTweve
    @IsayaTweve 3 місяці тому +1

    Leo ni Dube tunampokea

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 3 місяці тому

    Hiyo apps ukiwa USA haifanyi kazi, please fanyia kazi hizo apps zimefanye kazi kimatiafa , kuna mashabiki wengi sana nje ya Tanzania

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 3 місяці тому +3

    huyu Njiti ana matusi sana Salehe Jembe aje hapa

  • @BillyBiliu
    @BillyBiliu 3 місяці тому

    Jee watu wa u s a watalipa vip bro

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 місяці тому +1

    Tuchangie tim

  • @shaibujuma6618
    @shaibujuma6618 3 місяці тому +1

    Hiii kubwa

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 3 місяці тому

    Mzee kamwe atapata presha kwa mtoto huyu😂😂😂

  • @LilianBitwale
    @LilianBitwale 3 місяці тому +2

    App yenyewe inasumbua kulipia toka juz nahangaika inakataa, mkitumiwa msg watsap hamko online 😢😢

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 3 місяці тому

    Paraaaa pitia na hapa😂😂😂😂 daaaah

  • @FrenkEliaKafene
    @FrenkEliaKafene 3 місяці тому +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiii

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 3 місяці тому

    Khaaa karatasi16 na Bado alikuwa anataka kuendelea kupiga dolegumba hii kali

  • @goodluckabdul7316
    @goodluckabdul7316 3 місяці тому +1

    Mbona inagoma

  • @MgetabarakaBukori
    @MgetabarakaBukori 3 місяці тому +1

    Bila D 2 huwez elewaa😅😅

  • @BarikiMlengu
    @BarikiMlengu 3 місяці тому +1

    Hii app haieleweki kabisa

  • @bakarimahenge
    @bakarimahenge 3 місяці тому +1

    Nipo zanzibar jumbi mm nimesha jiunga

  • @JohnMagessa-nw3qs
    @JohnMagessa-nw3qs 3 місяці тому

    Apo ally kamwe aunabaya na yanga yet niwatakie maandalizi memaý

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 3 місяці тому

    Makolo ya pale EFM yanatapatapa😅😅😅

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt 3 місяці тому

    Ndiyo munaifunguwa saa 3 usiku

  • @MonahMosafiri
    @MonahMosafiri 3 місяці тому +1

    💛💚💛💚💛💚💛

  • @NelsonMatambo-ob5zm
    @NelsonMatambo-ob5zm 3 місяці тому +1

    Yangaaaaa

  • @HajiHaji-v9f
    @HajiHaji-v9f 3 місяці тому +1

    Mbona halotel haikubal

  • @AliMassude-qk7zl
    @AliMassude-qk7zl 3 місяці тому

    Hongera raisi bora wa wananchi, dar, young africans sc, ing, hersi saidi, nakutakia kili la kheri, yanga oyeeeeeeeeee! Makame salum (kipa mstahafu) pande za kiromba chini nanyamba mtwara tz

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 3 місяці тому

    Allaah Akbar

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 місяці тому

    sasa kama upo nnje ya nchi?

  • @GilbertRashid
    @GilbertRashid 3 місяці тому +1

    Pamoja

  • @upendoomary1921
    @upendoomary1921 3 місяці тому

    Tayari unasubili habari

  • @AliMassude-qk7zl
    @AliMassude-qk7zl 3 місяці тому

    Pongezi kwako meneger wa habari na mawasiliano wa wananchi, young africans.

  • @JofuJafet
    @JofuJafet 3 місяці тому

    Ok

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 3 місяці тому

    Mwamba huyu hapa

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 місяці тому +2

    Ktk kitu kingeizia mapato mno ni redio kupitia matangazo na kupitia youtube na hakuna radio naamin itaishinda yang hebu itumien hii fursa mapema

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 місяці тому

      Aloo umeongea kitu sanaa yanı noma hebu mwambieni raisi wa yanha

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 місяці тому

      Yanı redio huku youtobe itagonga sana aisee tena wawe wanatuwekea Ngoma za yanga

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 місяці тому

      @@زيتونتنزانيا Ndio ivy na huend ikawa ktk top 3 ya radio zinazofanya vzur kama si ya kwanza...cz tyr fans wapo wakutosha ni wanayanga wenyew plus hao wengin ni atar

    • @rukiamtego
      @rukiamtego 3 місяці тому

      Mbn alishawahi kusema kua wapo kwenye mchakato wa ilo jambo na alisema radio itakua palepale jangwani kikubwa ni watangazaji t kujiaandaa na wanatakiwa kuwa wanyanga tu..... nenda kaisikilize Face to Face ya kishamba TV aliyohojiwa semaji aliyaeleza yote hayo

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 місяці тому

      @@rukiamtego saw nakubalian nawe ila wanalichelewesha mno... Nilitaman kuckia leo baada ya yanga habar nickie kwanza uzinduz wa radio cz hii itaingiza kipato zaid kuliko hii Yanga habar

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 3 місяці тому

    Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥

  • @fadhilisule
    @fadhilisule 3 місяці тому

    eti pitia na apa ila kamwe wewe ni mkeraji haijapata tokea

  • @BraisonIssack
    @BraisonIssack 3 місяці тому

    Wara mumetisha sana chama langu

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo 3 місяці тому +1

    149.04#

  • @petrochikawe1797
    @petrochikawe1797 3 місяці тому

    Yanga raha san

  • @mudyAlly-yv8qg
    @mudyAlly-yv8qg 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤yang chama kubwaaaa

  • @ignaskalembe4198
    @ignaskalembe4198 3 місяці тому

    Safi kabisaaaaaa

  • @TunguIzengo
    @TunguIzengo 3 місяці тому

    Namna iyoo

  • @mudyAlly-yv8qg
    @mudyAlly-yv8qg 3 місяці тому

    yang rahaaaaaa❤❤

  • @EmmanuelMulenga-bc7bj
    @EmmanuelMulenga-bc7bj 3 місяці тому

    me nipo zambia nafanyaje

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 3 місяці тому +1

    Kadi ya wanachama naipataje na kwa ghalama kiasi gani ?

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 місяці тому

      Tshs 29000 mnunulie na mzee Shabani Kamwe 😂

    • @odilomwakamela4889
      @odilomwakamela4889 3 місяці тому

      Ninatakiwa kuwa na kitu gani kingine nje ya hiyo 29??

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 місяці тому

      @@odilomwakamela4889 kitambulisho

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 місяці тому

      @@odilomwakamela4889 ingia kwenye website ya Yanga utaona kila kitu. Ukitaka kua shabiki ni shs 17000

    • @lydiadaudi4076
      @lydiadaudi4076 3 місяці тому

      We uko Tanzania au nchi gani?
      Kama uko Tanzania nenda CRDB au NMB na hiyo pesa utapata kadi. Au ulipo hakuna tawi la wanayanga? Mbona ukienda viongozi watakusajili

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 3 місяці тому

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @MchanaLive
    @MchanaLive 3 місяці тому +1

    tumekusoma kaka