🔴LIVE: HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MCHELE YEYE NDIO ALINIANZA KUNICHOKOZA NA AKANIFUKUZA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
UA-cam: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.co...
Ila. Huyu talented kwenye speech kama unampa hajielezee umfungi ata kama ameua
Karia ana wivu mnoo
Tena ana wivu na chuki hafai
Halafu hajifichi anajionyesha tu, ila MUNGU yupo kila kitu kinamwisho
Kwangu Mimi manala nili kupenda sana ukiwa Simba ulikua una hama sisha mashabiki wana itikia
Siku ya wananchi naomba nikuone live
Uongozi wa kalia mpira wetu umekuwa sana
Gombea ulaisi wa tff chaguzi ijayo
Jinga tu tu linajikweza jeuri
Haji ni muongo sana tena sana
Haji hawezi kua muongo uongo inaeleweka mtu anapoongea na ukweli inaeleweka mtu anapoongea,izo ni chuki kwny kazi viongozi wengi wanakuaga nazo uyo rais ana chuki na haji na ameona haji anakubalika na uyo rais hajui maana ya icho cheo ni kikubwa anafoka foka nn Kama rais eti rais!kwaio karia kwanza mda mrefu na ujue mtu akikufata data xn na kukukera ikifikia mwsho wa uvumilivu unaamua acha iwe mby unamropokea tu ndio kilichotokea kwa haji!uvumilivu umemshinda haji nae akamropokea
Hebu twambie wewe ukweli wako
Always anajihisi anaonewa gere
Who are you bana😆😆
Mind your business
Wananchi iiiiiiiiiiii
SEMA ULICHO MWAMBIA AU SEMA ULICHO ANZIA
Acha kudanganya watu muongo wwe unatuhuma sana
Wewe msemaji wa timu moja nchin Karia ni rais wa mpira nchini unamdharau kwasababu uliambiwa na hayati useme kidogo ikulu
Una maneno mengi sana wewe kiasi cha kua sasa unaelekea kuiharibu hata sifa ya yanga hiyo miaka miwili naona haikutoshi unatakankuingezewa adhabu kwa dharau zako
Huyu karia anamaliza muda wake,juhudi zake za kuibeba Simba zimeshafeli,ndio maana alikufungia pasipo na sababu ,kumbe siku moja utakuwa juu yake.Mungu akuzidishe mazuri.Thanks.
Mnafiki tu huyu
Mi nakuelewa xanaa haji izo chuki nazielewa!huyo rais hafai!haji ameongea Mambo ambayo kila mahali kwny kazi watu km uyo rais wenye vyeo kunyanyasa watu wa chini!adi haji anaamua kumropokea ujue amevumilia mengi Kama Ayo na atimae yamemfika kibinadaam lazma moyo uchoke rais mbayaaa
Mimi nakushauri Usiendelee Kumzihaki Mo Dewej Huna Hadhi nae Yule ni Mtu anaiongizia Taifa fedha Nyingi Kimsema Mo Unatukosea Simba wote wew Umemsema Mo ametambulisha familia yake Wewe huna Adabu
Una adabu ww karia levo nyingine tafuta kaz nyingine za kufanya
Kwaiyo inaeleweka haji nimekusoma uyo rais ana chuki ya mda mrefu na wewe kimya kimya!lakn iko wazi iyo
Acha ungo na wewe msenge nini
bwwege huyo hajui kuomba radhi. kila anapokosea anaanza kutaka kuongea povu. yanga kueni makini siku akikosea atakuja tena kwenye midia kuyamwaga. hilo box tu
Kumbe amewahi kukukemea mara nyingi siyo kwa sababu upo yanga bali ata ulipokuwa Simba,hivyo geuza ruga ya kusema kwa sababu ya wiki ya mwananchi
Hyo week ina nni cha mno hpo kakacrik 2 kuwa atafanyia wapi Tambo zake
Tunakuelewa sana kaka yetu haji manara sisi wana udsm hakika si kila mtu anapenda mafanikio yako
Kwenye rizki kuna majungu sana mwacheni mwenzenu mungu kampa kipaji. Hizi chuki binafsi zinaboa.
Mwisho wa ubaya ni aibu Manara! Bado unazidi kuchafua sio safi kaka.
Anachafua kweli na hawa yanga wasipo angalia wataingizwa cha kike
Daah viongozi wa tff wanatakiw wajiangalie wasitumie vyeo vyao kuathirin Waliochini.
Kakaliziki popote mimi nakukubali sana kaka mungu atakupiganiya kaka
Shida nikwamba unaweza ukawa kalibu na viongozi wakubw lakin ukataka kujikweza ndio shida we nimgonjwa wa akili
Kaliya simba huyo ndiomaana hapendi maendeleo yako ilakaka upo ok sana kwenye kazi pambana kaka
Manara apo umekosea kumzungumzia rais wa TFF ungenyamaza tu huoni kama unaanzisha mambo mengine kaka?
Pole sana papa from France 🇨🇱
Lakini karia ndo alikusamehe alivyopata urahis pili kipindi unatoka simba press zako unadai kisa umaarufu je ni kweli mo unamzidi umaarufu leo karia akuchukie kisa umaarufu wako kweli wakati crip inaonesha wew ndo ulikuwa mkali kwa picha tu
Yes Hana eshima anataka aeshimiwe
Kwa sababu ni fundi wa kuzungumza wasipo kujibu huwa inaonekana kweli..
Uyo kidau mshamba tu najopo lake watatoka tu tff sio yao wala yababa zao
Uyo presda Tff anachuki na yanga yetu eeh sawa baba lababa utajua hujui alah
Haji manala tuludu simba kumenoga
Kichwa kibovu hiki cfa za nn mropokaji TU wewe
Huyu jamaa ukimfutilia mambo yake unaweza kufa mapema. Alitutukana Sana wanayanga kuwa wote hatuna akili isipokuwa Baba yake na Kikwete tu. Na alisema hawezi kuwa Yanga labda akiwa Amaiti. Simba wamelifukuza likaletwa na GSM leo ndio haya linashida linatukana watu. Walifunfie maisha mrudisheni NUGAZI wetu.
Makolo mnwa wewe kadanganye makolo wenzio c anakukera halafu una act ka litoto wakat watu tunaelew we likolo zilipendwa Kuma ww
Bro huyu jamaa ni msakatonge
🤣🤣🤣🤣🤣
Ulivyokosa busara ilibidi ufate hatua za sheria na mkalizungumze panapohusika, na co kuongea uongo mbele za watu, huruma za watu hazipunguzi hukumu yako boys ww
Dah jamaa yani afanya wa Tanzania mazumbumbu kweli mpaka spitl ya mchongo dah
Huna eshima lazima ufokewe
Haji msema ukweli mnoo
Pole haji uyo kalia uwa anachuki sana na Yanga na Leo naamin Mungu yupo nasi tunayafunga😢
Mdomo wako unakuponza unatumia vibaya ,kuwa na kiasi sio lazima uongee
Mm nafikiria kuwa mkweli ni Jambo zuri huyu jamaa ni mkweli
Jamani viongozi wa mpira tendeni haki msituharibie mpira kama mmeshindwa pisheni
Na uyo rais hataamini jnc atakavyoporomoa huo mpira bila haji ata mi mwnyw sitaangaika na mpira nilihama na haji yn nampenda
Bro manara mungu yupo nawe ,hiyo karia tff siyo yake Iko siku muda wake utapita ,aje atune uku mitaani mwema Sana hiyo kwanza anaichukia Sana yanga hatufai ,hafai kuwa kiongozi wa nje hata ndani ya familia anaubaguzi mkubwa saaana ,siku ambayo yanga inacheza akiwa yeye uwanjani anataka yanga ifungwe ,na hata Kama tutashinda mechi inakuwa ngumu Sana ,mtoheni apo hafai , mpira hauhendeshwi hivi ,
Manala wewe ni ZAIDI ya Kalia katika Nchi hii, awezi kuishi milele TFF, Atamaliza mda wake na hao Wasaidizi wake, wewe uko juu ya Mpira wa Tanzania.
Nyie msikie tu. Kumuomba radhi mtu ambaye yeye anayetaka aombwe radhi ndio kakuko 11:25 ea. Ee Mwenyezi Mungu naomba mwisho Mwema.😢
Acheni unafiki hamkuona kilichofanyika watu msipendezewe na ushabiki😂😂😂
Kumbe hata ulivyo kua simba alikukanya nilijua kwavile upo yanga mzee badili tabia yako
Manara wewe muongo
Viongozi wapo ndiyo maana wametufikisha apa tulipo Kwa Sasa timu zetu zinafanya vizuri,tatizo mnaleta ushabiki kwenye ukweli
Bakiza maneno
Hapo manara anamsingizia Raisi wa Tff. Mimi nilikuwepo sijasikia hayo maneno machafu akiyatamka Raisi wa Tff. Huyu anatafuta kuwachonganisha yanga na Karia. Na hii ndiyo tabia ya manara.
Pole kaka hayonimaisha muombe mungu atakusimamiya yeye ndie muweza kaka
Wewe huna hekima ndo maana uliwai kumsema vikali mwandishi wa habari upandacho ndicho utacho kivuana
Acheni kumpa fulsa huyu zeruzeru, tumechoka naye! Ni kichaa siyo mwenzetu Huyu mbwa koko.
Tatizo lako ni kimbelembele chako. Ulipomwomba Kangi Lugora kuwa mgeni rasmi hukuwa na kibari cha Tff. Yule ni Waziri hawezi kualikwa na mtu baki bila kuishirikisha Tff. Uliyatafuta mwenyewe.
Acheni majungu huyo ni kiongozi Watford siyo simba
Acha uongo ulisha tuambia hujawahi kuwa simba sasa simba gani hiyo unayo izungumzia ww zeruzeru ufungiwe tu maisha
ivi kwa maelezo ya manara ugovi ulianza mwaka gani au Kuna nyuma ya pasia wanatuficha............. Mtu akushauti tu sijuwi Kama ni kweli
Haji unakumbuka rais stafu kikwete katika harusi yako alikusi kutulia
Na mimi nakuomba uende kwa mama samia akusaidia
Maisha ndivyo yalivyooooooo
Vp
Wanaotoa mawazo yao kwa kutoa hukumu dhidi ya manara, nadhani hatuhitaji mawazo yao.mpo wengi sana ambao hamumpedi manara .
Mbona unaongea wewe tuu acha kutengeza fitna ...we kila mmoja ni mkorofi kwako .umepishana na babra umepishana na mo.. uzuri kila kitu huwa unaongea wewe hawakujibu
Wanasema mjinga mmpe cheo na wote hao washamjibu kwa vitendo babra kamfukuza kazi, Mo kamkatia laini na Karia kashampiga nyundo 2 na milioni 20 atoe na hayo ndio majibu sahihi kuliko kelele zake
WW ulimdhalilisha barbara kushaenda kumuomba radhi?? Haji bobo umekwisha tusalmie kazi yako iliyobaki nikufitińisha watu haji goyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu ndio alikuwa msemaji na muhamasishaji hakuwahi kushika kispika na uwanja uliokuwa unakaa sio huyo Kuma anaebana sauti muimba tarabu
Kwendaa kafe mbele kwaNza wewe liongo njoo Morogoro tukupe mashamba ulime acha domo zege
Maelezo yako yanaonekana siyakweli wewe unaingilia mkubwa kwanza unaonyesha hunanidham kumuigizia rais wa tff sauti yahivyo hukoni kukosa nidhamu huna adabu manala wazazi wako walikudekeza wakati ukiwa mdogo
Ndio tutambue uonevu upo sana hasa mwenye madaraka kumuonea asiye na madaraka. Mungu tusaidie😢
Tff wanaakili sana awawezi kumjibu chizi anayetafuta umarufu Kwa lazima
Ana sanaa ya Ulumbi
Kuna Haji Sunday manara na stive Nyerere Hawa watu wanakitu kikubwa xana ndani Yao washabarikiwa na mwenyezi mungu chuki mnazowachukia zitawafikia pabaya xana 😢 Hawa ni talented
We kalia kumbe wew kumas tu
Kichwa gani muwongo mkubwa kwani hapo huoni aibu kuyasema hayo wewe Kiki ,inakutesa
Viongozi wa Simba walishakushitukia, viongozi wa TFF walishakushitukia, bado UTOPOLO nao watakuchoka mie nipo paleeeee
Huyo rais wa Tff si mtutsi lkn! kwaiyo arudi kwao Rwanda!! Sijuwi somalia!!
Ise hongera unapambana hatar unaweza kuja kuwa rais
Na icho ndio karia anachokiona kwa haji na Sasa anapanga kumshusha kabisa haji km haji anafaa anafaa tu ataaibika cku moja uyo karia akae akijua cheo ni zamana
Ukimya wako ingekua dawa lkn kwa vile unaweza kuongea kuliko kila mtu ww nimuongo Kwa nn hukuyaongea napema haya?
Wkt uliwadhalilisha waliokupa heshma aaaahhhhh bwana haji huna lako jambo tena utaharibu kila pahala ww
Tuheshimu mamlaka hata sasa unazi kukosea rais akutafutie wewe kadi hizo dharau jifunze kuheshimu mamlaka
una taka watu wakuone huluma sasaivi kila m2 ana ana pambna mwenyewe
Huyu jamaa Kama unataka kumfunga usimpe nafasi ya kujitetea no talent mbaya Yani ni Makini na hasahau neno la mwanzo Ila haimaanixhi hajafanya kosa
Nimependa sana uliposema japo kamchango wako kidogo ktk soka,nikweli uliitwa nani vile kipindi uganda wanatuachia ndugu zao?
tunakumisi sana haji
Hiyo press yako haipunguzi hukumu yako, nyundo 2 na milioni 20 ziko palepaleee🤣🤣🤣
We Haji Manara tulia na maneno yako ihache Simba yetu😂
Mti wenye matunda ndo sikuzote hupigwa mawe
Ukweli usemwe karia hafai kuwa raisi wampira hapa tanzania
kwasababu kamfungia manala
Adani umeonaee afai ana Roho mbayaaaa
@@nahanakadiri3969 kiongozi huwezi kuonyesha Kuw Ww unatiimu aangaliee mfano waraisi wajamhuri yatanzania hayati magufuli kwaweli bora hata oscaosca anafaa kuwa raisi wampira mana mpka Leo sijamuelewa yupo timu gani huyo ndoanafaa kuwa raisi wampira mana hana timu
Wewe umapotea soon anza kuandaa kutengeza mgahawa kama Shishi maana kinavhofwata wote wanaekudanganya watakuwacha.
Manara wewe ni kundi maarumu la wahitaji na wakusaidiwa kwa hiyo usijiulize ni kwanini magufuri alikwita
Rasmi siyo tetesi usajili yanga n'a Simba
Achana nao simba wachawi ndomana lana inawavaa sasaiv
Wewe sasa unataka kusema unakata rufaa au mimi hadi sasa sikuelewi
Shirikisho la mpira wa miguu Tff mbele kwa mbele na mkimfunguria haji Manara basi na wale wariotenda makosa na mkawafungia na faini pesa juu nao muwafungurie sawa jmn haki kwa wote
Kama Laila amekuwa lais tunakuombea uwe rais wa tff manara
Mpira wa Tz hauna viongozi , Bali una washsbiki wa timu zao
2 Samweli 22:
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka; Mitego ya mauti ikanikabili.
7 Katika shida yangu nalimwita BWANA, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;
Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake,
Kilio changu kikaingia masikioni mwake.
*MATESO, AIBU, WASIWASI, HOFU NA TAABU VIKITUSHIKILIA, TUMTAFUTE BWANA, TUMLILIE, TUMLALAMIKIE NAYE ATASIKIA NA KUTUOKOA!!!*
Amen 🙏
Nyinyi waandishi wa habari kila anapotaka kupiga porojo huyu jamaa mnakeenda sasa siku mtakayotukanwa nyinyi kwa ujumla ndio mtamuona huyu jamaa hana adabu maana alipokua simba alimtukana yule dada muandishi wa habari hamkuchukua hatua ila ngojeni awape mitusi siku ndio mtamjua kama haji hamnazo
Hatuwezi kukuamini ww ni muongo hata kwa brbrb uliwahi kumshutumu