Ni vizuri sana kwà jeshi la polisi lakini ombi langu taharifa hizi tupate majibu yake pia na kuhusu makosa ya mtandaoni Kuna hitajika namba inayo husiana na tatizo hili namba ambayo ni ya moja kwa moja na kitengo mahalumu Cha makosa ya mtandaoni na sio kama tcra wao namba Yao inafanana na ya mitandao ya simu ya 100 asa hii aisahjdii kitu
Kumbe mnajiweza polic kukamata watu je nawale wanoitwa wasiyojulikana vipi msiwakamate maana.wanateka watu watoto nawakubwa. Au hawatumii sim kwa kaxihizi nalaazimatu wanapigiana sim katikakutekeleza uharamia nao wakamateni tuwajue nawahukumiwe kishelia. . Inshaallah. Allah awapenguvu polic wetu mtende haki
Hivi huwa najiuliza mafisadi walishatubu hawaibi tena wametubu kabisa sasa tumebaki na dhambi moja tu ya kuwasema waheshimiwa na naona hiyo ndio dhambi pekee iliobaki naona tuelekeze nguvu zetu zote kupambana maana wezi wote wa mali ya umma mafisadi wameshatubu
Sasa kuna ubaya gani mtu kujipanga ili kugombea Urais. Mbona 2025 wanasisiem wanatakiwa kugombea wengiiiii kama 2015 walipogombea 40+. Tunataka kuona Demokrasia ndani ya CCM inaruhusiwa ili tupate watia nia wengiiii. Wakati sis tukiandaa vichinjio, tunataka kuona watia nia watakaokatwa kwenye michujo ya sisiemu. Ujue raha sana kusikia Nape kakatwa awamu ya kwanza. Makamba kakatwa sasa kabaki Samia😂
Polisi mumeshindwa kudhibiti utekwaji wa watoto kweli? Mpaka mnatupa jukumu hilo sisi wazazi wakati sisi tunatimiza jukumu letu la kualinda wanapo kua maeneo ya nyumbani wanapotoka nje ya nyumba zao linakua ni jukumu lenu polisi kama mnavyosema kazi ya polisi ni kulinda watu na mali zao sasa inakuaje watoto kila siku wanatekwa na kuchinjwa ?
Ila serikal bana, kamateni watu wenye makosa nyeti, sasa kwel vijana wadogo tu ambao hata chanel Yao ya UA-cam Haina wafuatiliji wengi ndo mnna deal nao
POLISI MNAONEA SANA WATU, KILA KONA HABARI NI JANUARY MAKAMBA KWELI ANAUTAKA URAIS , SASA KWANINI MNAWAKAMATA WATU WAKATI HILO LINAJULIKANA WAZI. UNAFIKILI KWANIN RAIS SAMIA KAMTUMBUA JANUARY MAKAMBA?? ACHENI KUONEA WATU BADALA YA KUCHUNGUZA KAMA TAARIFA NIYA KWELI.
January Alipotaka urais Aligombea live kila mtu Akamuona.Nakua Ameshakua mwanasiasa mkubwa hakuna Anaepinga.Ila namuona haya mambo yanamkataa ni bora Aelekee kwenye mrengo mwengine wa maisha Aachane na Siasa.Maana mwishowe Atajikuta kubaya ima kwa makosa yake ya kweli.Au kwa kuchomekewa na mahasimu wake.
Acheni uhuni nyie, acheni kukamata wanyonge badala yake kamateni watu wanao hujumu uchumi wa nchi kwa mabilioni ya fedha na kusababisha umaskini kwa watu walio wengi.
Pamoja na hayo,nafikiri Jeshi la polisi mngekuwa mnakamata mafisadi wa nchi hii mkishirikiana na Takukuru, inchi ingenyooka.
Watakuŵa wanaingilia kazi za wengine.
Polisi mnatengeneza mabo ya uongo Ili kumzuga president. Mme jaa unafki sana.
Siku jeshi letu la police likitia mafisadi wanchi yetu ambao wanapoteza mabiloni ya fedha nitafurahi sana
Ni vizuri sana kwà jeshi la polisi lakini ombi langu taharifa hizi tupate majibu yake pia na kuhusu makosa ya mtandaoni Kuna hitajika namba inayo husiana na tatizo hili namba ambayo ni ya moja kwa moja na kitengo mahalumu Cha makosa ya mtandaoni na sio kama tcra wao namba Yao inafanana na ya mitandao ya simu ya 100 asa hii aisahjdii kitu
Kazi nzuri saana jeshi la Polisi, wanatumia mitandao vibaya saaana na kuleta fitna na taharuki
Makamba hatumpi kura
Amna kazi za kufanya
❤JPM✋
iv ana kisikia anachokisoma au ameandikiwa tu
Namm nimemuona kama wewe
Shida kubwa ni kwamba mapolisi mmekuwa wanasiasa mnaacha majukumu yenu na kulinda viongozi mafisadi ni hivyo tu.
duh tz yangu
Una nikumbusha rock city Mwanza kamanda jumanne pigakazi bila kuchoka
Sioni titles zikiendana na simulizi
Anyway
Sioni tija
Kumbe mnajiweza polic kukamata watu je nawale wanoitwa wasiyojulikana vipi msiwakamate maana.wanateka watu watoto nawakubwa. Au hawatumii sim kwa kaxihizi nalaazimatu wanapigiana sim katikakutekeleza uharamia nao wakamateni tuwajue nawahukumiwe kishelia. . Inshaallah. Allah awapenguvu polic wetu mtende haki
Kumbe yule mtabiri ni wa kweli jamani
Mtabili yupi huyo
Wacha mvua imyeshe tuone wapi panavija
Hivi huwa najiuliza mafisadi walishatubu hawaibi tena wametubu kabisa sasa tumebaki na dhambi moja tu ya kuwasema waheshimiwa na naona hiyo ndio dhambi pekee iliobaki naona tuelekeze nguvu zetu zote kupambana maana wezi wote wa mali ya umma mafisadi wameshatubu
Sasa kuna ubaya gani mtu kujipanga ili kugombea Urais. Mbona 2025 wanasisiem wanatakiwa kugombea wengiiiii kama 2015 walipogombea 40+. Tunataka kuona Demokrasia ndani ya CCM inaruhusiwa ili tupate watia nia wengiiii. Wakati sis tukiandaa vichinjio, tunataka kuona watia nia watakaokatwa kwenye michujo ya sisiemu. Ujue raha sana kusikia Nape kakatwa awamu ya kwanza. Makamba kakatwa sasa kabaki Samia😂
Wanahitaji Neno la wakati kwa mjumbe wa agano duniani ili waikolewe na mambo mabaya.
Polisi mumeshindwa kudhibiti utekwaji wa watoto kweli? Mpaka mnatupa jukumu hilo sisi wazazi wakati sisi tunatimiza jukumu letu la kualinda wanapo kua maeneo ya nyumbani wanapotoka nje ya nyumba zao linakua ni jukumu lenu polisi kama mnavyosema kazi ya polisi ni kulinda watu na mali zao sasa inakuaje watoto kila siku wanatekwa na kuchinjwa ?
Mkundu wako. Acha ufala. Police wapo sawa
@@twalibulomy-cd4zd acha usenge we jamaa kafilwe na baba yako huyo jamaa kaongea ukweli
@@handenitakuru6696 ukweli ni Mkundu wako Tafuta kazi.
@@twalibulomy-cd4zd Tanzania nchi ngumu sana😅😅😅😅😂😂😂😅
@@twalibulomy-cd4zdkwa mitusi hiyo huifai dunia wala kuzimu sijui uitwe nani maana upo duniani kwa hasala huna faida
Hamna maana kabisa msitufanye wajinga jueni tunawachora 2
Ila serikal bana, kamateni watu wenye makosa nyeti, sasa kwel vijana wadogo tu ambao hata chanel Yao ya UA-cam Haina wafuatiliji wengi ndo mnna deal nao
POLISI MNAONEA SANA WATU, KILA KONA HABARI NI JANUARY MAKAMBA KWELI ANAUTAKA URAIS , SASA KWANINI MNAWAKAMATA WATU WAKATI HILO LINAJULIKANA WAZI. UNAFIKILI KWANIN RAIS SAMIA KAMTUMBUA JANUARY MAKAMBA?? ACHENI KUONEA WATU BADALA YA KUCHUNGUZA KAMA TAARIFA NIYA KWELI.
Tena kweli
Kweli kaka kitu Kiko wazi halafu wanatesa watu bure
Hamna lolote Kuna mafisadi wanapiga mabilioni mnajifanya hamuwaoni ila vibaka kama hao munawaona halaka. Labda kwakuwa wanakula pekeyao
Mama Mama Mama yetu. Hatoki ng'oo
Mnashindwa kukamata wanaoiujumu nchi hiii mnakimbilia kumg'oa rais wakati Kuna watu wanaitwa wasiojulikana nao mlikamata wangapi😮😮😮
Aliyemsaliti mwenzio unamuamini vip ? Wote problem wache wasalitiane .
January Alipotaka urais Aligombea live kila mtu Akamuona.Nakua Ameshakua mwanasiasa mkubwa hakuna Anaepinga.Ila namuona haya mambo yanamkataa ni bora Aelekee kwenye mrengo mwengine wa maisha Aachane na Siasa.Maana mwishowe Atajikuta kubaya ima kwa makosa yake ya kweli.Au kwa kuchomekewa na mahasimu wake.
Mgeamua kuthibiti rushwa kikamilifu taifa lingekuwa tajiri. Uwezo mnao.
Acheni kuzuga bhana kamateni mafisadi
Atoke tu uyo mama
Mkundu WA bibi yako. Toka magetoni Mkundu wako Tafuta kazi.
Police ni waongo sana. Wanabandika wtu makesi ya kijinga hku wakiacha mafizadi wa mabilioni wa inchi ytu ,
Jeshi la polisi la ovyo coz hawatendi haki katika nchi hii
7:06 Ww Matatizo acha ujinga hakuna Tanganÿika kuna Tanzania mjinga we😊
Endeleeni kukamata sindio kazi zenu.na msiangqoie nyuma
Ccm.laana.ya.magufuli.imeanza.kuwatafuna.piganeni.mpaka.ccm.ife.
Hapa hata sijaelewa
Inshu ndogondogo kama hizi marekani hua wanamaliza kimiakimia tu. Sasa nyie matangazo kibao mnatumalizia mb
Weka Mbaroni wote wanaotumia mitandai ya kijamii vibaya
Kamanda futiliya wtu kupoteya tuwajuwe wasiojulikana wanapoteza watt wetu tutunze taifa letu,zamani siasa hazikuwepo
Kamanda piga kazi, big brain, wewe ndio polisi wa kweli
Hawa polisi ni chawa wa ccm mshaanza uoga wa uchaguzi
Acheni uhuni nyie, acheni kukamata wanyonge badala yake kamateni watu wanao hujumu uchumi wa nchi kwa mabilioni ya fedha na kusababisha umaskini kwa watu walio wengi.
kichwa cha habari tofauti na kilichoandika
Pale polisi anapotaka raia awe mlinzi sasa nyie kazi yenu ni nini hasa
😂
Yani rais akisikia maneno ya propa ganda za wapinzani bila kufanya uchunguzi anawakubali ina mana yuko na wapinzani wanamuingiza chaka
Chunguza wewe basi! Polisi wakifanya kazi mnalaumu! Wakikaa kimya mnasema hawafanyi kazi! Lipi jema waja??😢😢
Kakojoe ulale
WACHE OANDOLEWE NA ARUDI KWAO ZANZIBAR! WAZANZIBARI WAKO NA NCHI YAO NA SIO TANGANYIKA!
Na mwinyi na muje mumchukue arudi kwao tanganyika mkuranga huko ndiko kwao zanzibar sio kwao
@@hajiameir8688 kwani kuna nini😢😢
Acha roho mbaya wewe