Hi inchi ya ajabu sijapata kuona, hospital hakuna vitendeakazi,hakuna madawa et mnanunua helikopta mnampa mama zawadi kweli nmeamini kuna watu na viatu hii ni hatarii na nusu
Watanzania bhana, kuna watu hawwana ajira wanakosa hata hela ya matibabu si bora mngefungua hat veta msaidie vijana wapate hata ujuzi watengeneze vitu wauze waache kuagiza vitu China
Haija kaa sawa,sijui imepewa taasisi ya urais au amepewa samia kama samia,au ccm kufanyia kampeni, ndege wapewe muhimbili kubebea waliozidiwa au wanaopata ajali mikoani
Basi hawa wakandarasi ni wapumbavu sana. Siku zote wakandarasi huwa wanalia kukosa vitendea kama mashine na mitaji. Msituone vichaa bana ni bora mngekaa kimya. Is better angenyamaza tuu
Ndo utajua wenye madaraka wengi hawana mawazo wote ni wakulupukaji maana naamin wangejenga hospital au shule zenye thaman hizo hata Mungu angewapa maisha marefu ila Cha ajabu wanamnunulia raisi ndege ya kampen hakika Hongera nchi yangu TZ
Yaani hizi ni Fikira finyu,,Mainjinia ambao tunawaamini ndio Wasomi wanakuwa na Fikira Mgando kiasi hiki,Hivi hizo Bilioni kumi wangefikiria kujenga zahanati pamoja na kununua vifaa tiba vyake tungepata zahanati ngapi?hiyo ndio ingekuwa kumsaidia Rais kwenye kampeni positive sio Hivi mlivyofanya
HIVI MNATAKA KUTUAMBIA NINI KWA KITENDO HIKI? 10b. Gift! Aisee hapana mchezo. Sisi hatuna Bima ya afya, dawa hospitalini vitendea kazi zahanati clinic vijijini hamna. Barabara hamna, maji hamna, umeme hamna. Samaki kitoweo na biashara ndogondogo hamna tena. ☁️ *GIZA NENE. MBELENI HATUJUI KUNA NINI*
hapa inaonyesha hawa watu wanapata pesa nyingi sana lakin ss wengine maisha ni magumu sana, barabara za vumbi, folen za ajabu, gharama kubwa za matibabu n.k
Hongera mumeamua jambo jema, ni haki yenu kutumia fdha zenu kwa namna mmunayoona inafaa.,na wao wanaofkiiri tofauti wamchangie au wakichangie hicho wanachokiona wao ni muhimu .Watu tuache wivu
Mmemnunulia yeye binafsi au mmenunua kwa ajili ya RAISI ? na kama ni kwa ajili yake binafsi kutokana CHEO chake hiyo ni Siasa ndg, ndege hiyo ipelekwe Ikulu iwe ni Mali ya SARKALI.
Wanafiki wakubwa,kwa nini hiyo pesa msisaidie kundi la maskini wanaolala bila ya kula kwa ajili ya haki ngumu ya maisha?? Tena Rais angewaona watu wa maana sana kuliko hicho mlichokifanya😊🙏🏻
kiukweri wakandarasi hiki mulicho kifikilia hongereni sanaaa maana mama anapambana na hiiinchi umungu awa fikikirie na awaongeezeee wakuwasapoti na mm nawasapoti
Mafundi walio wengi inchini mwetu tunakufa masikini na mchango wetu kwa bahati haionekani leo mnakwenda kutoa rushwa kwa raisi ili azidi kuafumbia macho wawekezaji waendelee kutunyonya muogopeni Mungu.
Rais akitokea pwani watanzania wengi wanalia hasa wahali yachini....watu wapwani wanapenda starehee na safari za nje haya kanunuliwa Helikopta bado boat
Daaah!!kwa kweli hii nchi kweli ya ajabu sana vitu km hivi kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea huwezi kuvisikia,sababu hata mngejenga mashule,mahospital,kununua madawa,kutengeza mabarabara mabovu bado ingekua big support na respect hata kwa wananchi kwa jumla instead of individual.
HII INAMAANA GANI MAANA HAIJAWAHI KUTOKEA KUANZA CAMPAIGN MAPEMA. WANANCHI SIYO KONDOO KULAZIMKUMCHAGUA RAIS.KUNAMASHAKA NA WASIWASI NA NI HONGO.JPM ALISIMAMIA UJENZI WA MABARABARA AKAJULIKANA !
Tunavyo yaona haya ndo tujue mama amelegeza mvuma mpaka mpaka nati zinadondoka zenyewe na tunako elekea kalibia hata supana yeyewe itapwaya kama sio kupotea...😭😭 Tanzania yangu.
Rushwa hiyo, mnataka kumpa raisi rushwa hadharani kabisa ili awape tenda zaidi baadae. Changieni kwenye maendeleo mengine kama shule na Balabala. Samia say no to that, please!!! Rushwa hiyoo
Kutumia wakandarasi wa nje kutekeleza miradi Mikubwa inafanya fedha nyingi kwenda nje ya Tanzania nadhani kuwawezesha Wakandarasi wa ndani itatupa faida kubwa
Hi inchi ya ajabu sijapata kuona, hospital hakuna vitendeakazi,hakuna madawa et mnanunua helikopta mnampa mama zawadi kweli nmeamini kuna watu na viatu hii ni hatarii na nusu
Watanzania bhana, kuna watu hawwana ajira wanakosa hata hela ya matibabu si bora mngefungua hat veta msaidie vijana wapate hata ujuzi watengeneze vitu wauze waache kuagiza vitu China
Wameiba vya kutosha, wakaona watoe na zawadi kwa bakishishi za wizi
Zingeongezwa kwenye mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu angalau
Tuna shida ya akili
Wamesoma lakini hawana akili😮😮😮😮
Haija kaa sawa,sijui imepewa taasisi ya urais au amepewa samia kama samia,au ccm kufanyia kampeni, ndege wapewe muhimbili kubebea waliozidiwa au wanaopata ajali mikoani
Mmehonga helcopter, mmefanya vizuri sana. Basi muangaliage na maslahi ya wafanyakazi wenu. Furaha ya Raisi ni maslahi ya wafanyakazi kukaa sawa.
Hii ina maana HATA kazi wanazopewa wanazifanya kisiasa zaidi kuliko kitaaluma
Ni Rushwa tu ,hakuna maelezo zaidi .
Wapeleke hizo hela vijijni masikini kuwajengea nyumba,, maji,umeme nakadhalika hivyo ndio kumsaidia Raisi wa Tanzania itakua ni bora zaidi🙏
Kwa Nini msiwanunulie JKT,askari wa wanyama pori na wengineo wanaotaabika na ulinzi wa watanzania na Mali zao ?????.
Kwani hawana
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Hii nchi ya ajabu sana awajui izo pesa niza wananchi wallpa kodi.Asante kazi zenyewe mbovu kula pesa za wananchi walipa kodi
Kuwa na degrees au masters haimaanishi kuwa ndio kipimo sahihi cha akili salama.
Basi hawa wakandarasi ni wapumbavu sana. Siku zote wakandarasi huwa wanalia kukosa vitendea kama mashine na mitaji. Msituone vichaa bana ni bora mngekaa kimya. Is better angenyamaza tuu
Wakati wa Mungu ukiwadia serikali ya wananchi itazichukua Mali zote za ccm kwa kuwa ni jasho la watanzania wote.
Mmepiga pesa kwenye barabarani. Mnajua mtapata zaidi
Hiyo ni hongo
Muulizeni Mzee Butiku
Sahihi
Nibola hiyo hela mngeongeza mitambo ya kisasa mkabolesha kampuni zenu tu
Ndo utajua wenye madaraka wengi hawana mawazo wote ni wakulupukaji maana naamin wangejenga hospital au shule zenye thaman hizo hata Mungu angewapa maisha marefu ila Cha ajabu wanamnunulia raisi ndege ya kampen hakika Hongera nchi yangu TZ
Yaani hizi ni Fikira finyu,,Mainjinia ambao tunawaamini ndio Wasomi wanakuwa na Fikira Mgando kiasi hiki,Hivi hizo Bilioni kumi wangefikiria kujenga zahanati pamoja na kununua vifaa tiba vyake tungepata zahanati ngapi?hiyo ndio ingekuwa kumsaidia Rais kwenye kampeni positive sio Hivi mlivyofanya
wasomi ni wengi lakini wenye elimu na maarifa ni wachache
Bora wangenunua kwa ajili ya kubeba wagonjwa kuwakimbiza rufaa huo ni unafiki
Siasa tupu msitufanye mboya hizo ni maswala ya siasa
HIVI MNATAKA KUTUAMBIA NINI KWA KITENDO HIKI?
10b. Gift! Aisee hapana mchezo. Sisi hatuna Bima ya afya, dawa hospitalini vitendea kazi zahanati clinic vijijini hamna. Barabara hamna, maji hamna, umeme hamna.
Samaki kitoweo na biashara ndogondogo hamna tena.
☁️ *GIZA NENE. MBELENI HATUJUI KUNA NINI*
Ndege hainunuliwi na mtu au watu binafsi akapewa Rais wa Nchi hapo mwandishi unaongea Na mwehu
😂😂😂 Mwehu
Nyie ni machawa wapigaji mnanunulia rais elkopta ili apite muendelee na upigaji wenu
Mungu! Mungu! Huruma ys Yesu ishuke juu ya masikini watanzania. Mungu! Watanzania tunaoteseka tunakuita! Mungu angalia! Mungu shuka Baba uone
Hiyo ni rushwa
Wanaomba kazi hao cha msingi wafanye vizuri wasiripue wachina wamefanya kazi vizuri sana na wako makini sana kazi
Haya ndiyo sliyoyskataa mwl. JK. Nyerere. Kuna maslahi Gani nyuma ya ununuzi wa helkopta hiyo kwa walioinunua?
@@stanslausbernard5950 ukisikia kumkaanga samaki kwa mafuta yake ndiyo hii.
@MILLARD AYO Waulizeni hao machoko maswali ya msingi kwanini hawachangii maendeleo au wasiojiweza ?????????????
Are not competent kabisa kwann wasiulize kuna hospital hazina dawa majengo matupu why asiulize maswali mazito yenye tija
Sawa lakini kisiasa hii ni mbaya sana kwa Rais kupewa zawadi kama hizi yeye kama yeye inaleta tafsiri mbaya yenye lengo la ufisadi.
Mipango yote ya maendeleo inaibuliwa na raisi au ni ya ujenzi tu?. Pelekeni kwenye huduma za jamii mkajenge miundo mbinu ya shule.
Zawadi au rushwa au takrima helkopta jeshi zipo kwani anitumia kila siku? Haya yetu macho Chinyumba uko vizuri sana
Acha kujikanyaga, mmezingua pelekeni huo msaada Kwa raia, wanashida sana, mmeonyesha mko mlengo upi, ni siasa hiyo
Rushwa ya helcopta ili muendelee kupewa Kazi ya kutujengea bara bara mbovu hongera sana
Mulimchangial. Lissu kununa gari kwann msipeleke jkt
Tanzania tangu magufuli alivyo fariki hatuna muelekeo tupo kama Kenya.
Wewe ndiye huna muelekeo,by the way unaweza kumfuata Magufuli ili ukapate mwelekeo huko
Utofauti upo kwenye utaifa,wao wakenya sisi ni Watanzania .
@@walidmgonja3644kuna wasi kwako
Kweli kabisaa uyu bibi hamna ki2...!!
Kweli kabisaa uyu bibi hamna ki2...!!
Ngoja kwaza nicheke mie🥴🥴
hapa inaonyesha hawa watu wanapata pesa nyingi sana lakin ss wengine maisha ni magumu sana, barabara za vumbi, folen za ajabu, gharama kubwa za matibabu n.k
Hongera mumeamua jambo jema, ni haki yenu kutumia fdha zenu kwa namna mmunayoona inafaa.,na wao wanaofkiiri tofauti wamchangie au wakichangie hicho wanachokiona wao ni muhimu .Watu tuache wivu
Hongereni pia wahandisi Mainjiniana wotewahusika waZawadi hiyo uo ni uugwana mkubwa sana
hongera Máma Samia kwa kuwajali wazawa
Mmemnunulia yeye binafsi au mmenunua kwa ajili ya RAISI ? na kama ni kwa ajili yake binafsi kutokana CHEO chake hiyo ni Siasa ndg, ndege hiyo ipelekwe Ikulu iwe ni Mali ya SARKALI.
Ikiwa nmali ya serekal naweutapanda
duh! JPM aliwabania hawa upigaji ndo maana saivi wanarudisha fadhira
Ebu acheni kutufulia chama chetu na Rais wetu . Hii itatafasiriwa kama takrima.
Changieni miradi ya maendeleo bhana.
Point
YAN BONGO BONGONI UNAONGEZA MAJI BAHARINI NYIE😅😅😅
hata Aibu huna eti tunachangia wizi huo
Ni vibaya sana mlipaswa kununua kwa akili ya msaada ya watu maskini pesa hizo wSiojiweza ni wengine
Hongera msemaji wa wainjinia tanzania haikuwai kutokea kwamara ya kwanza ndooo tunaona mungu awabarika
Dah mungu tulindie tanzania ye sijui tuko mbele au mwanzoni au nyuma atuelewekii sasa ndio maisha ganiii ayaa
Magufuli alikataa kusapotiwa na mijitu kamahaya ili asijekua mtumwa wao
Hongeren sana kwa Hilo nawapongeza kwa aslimia100%
Ukiskia umburula ndio
Huu Yani mnatufanya
Watanzani ni wajinga
Huyo jamaa hayupo sawa nchi s ni ya matajiri tu ila wa chini tukichoka kazi ipo❤❤❤❤❤❤❤❤
Ata mwanangu wa nursery kaelewa km ni rushwa 😢
Rais hapewi zawadi akiwa madarakani. Watanzania sio wajinga.
ukwel mtupu
Rais kulingana na govt standing orders akipewa zawadi anatakiwa kuitoa kwa serikali.Sio ni personal property yake.
Zawadi anapewa ila anaiwasirisha kwa jamii,
SGR NA DARAJA LA BUSISI IMESIMAMA KUNAMANTIKI GANI.HII ITAMWANGUSHA RAIS ASICHAGULIWE.
aisee hii nchi inapoendea sijui
Huu ndio uchawa halisi.
Mama nakupenda sana lakini hiyo chops waliyo kinunuliya sipande Bora tumiya gari kama marehemu mkufuli
Liaiijekuwa tego, MUNGU mlinde RAIS wetu
Wahandisi na mainjinia maana ni moja rekebisha
Mwandishi unasumbuka bure huyo sawa na dr. Shika
Duh 😂😂😂😂
Wanafiki wakubwa,kwa nini hiyo pesa msisaidie kundi la maskini wanaolala bila ya kula kwa ajili ya haki ngumu ya maisha??
Tena Rais angewaona watu wa maana sana kuliko hicho mlichokifanya😊🙏🏻
KUWAPA TENDA WAZALIWA NI WAJIBU WAKE KAMA RAIS. WATANZANIA TUNAJIKAANGA NA MAFUTA YETU WENYEWE. HII NI RUSHWA
R.I.P MY BEST PRESIDENT MAGUFULI,,,ANGEKUWEPO WOTE MNATIWA NDANI MTOE RIPOTI YA HIZO PESA
Mama anatakiwa afanye kampeni na Gari ili ajionee Shida za wananchi
Hiyo pesa mngeongeza upana wa barabara ya changombe ambayo haieleweki ni njia moja au ni mbili
Barabara zote zinatakiwa ziwe njia nne. Miaka 60+ ya uhuru bado barabarani ni finyu. Hata ajali zingepungua sana.
kiukweri wakandarasi hiki mulicho kifikilia hongereni sanaaa maana mama anapambana na hiiinchi umungu awa fikikirie na awaongeezeee wakuwasapoti na mm nawasapoti
Yaani wananunua Kwa pesa za Tanzania harafu wanapitisha nyuma ya mgongo
Huyu jamaa ndio hao wanaojilimbikizia makontrakti ya hewa.
Anastahili na zaidi
Hizo ni kampeni na huo ni uongo sio nyinyi mliotoa pesa.
kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kodi zetu hiziiii
Weziii sanaaa
Kw nini hamuigi Burkina faso chini ya Ibrahim Traore? Yule ni mwanaume bwana. Mwaana Africa halisi. Viva Traore
Mafundi walio wengi inchini mwetu tunakufa masikini na mchango wetu kwa bahati haionekani leo mnakwenda kutoa rushwa kwa raisi ili azidi kuafumbia macho wawekezaji waendelee kutunyonya muogopeni Mungu.
Hao mainjinia waikague ubora wake isije ikakuangushia kwenye mbuga ya selou kama iliyomuua Filip Njombe.
Mbona hamkupa jpm au alikuwa sio rais
Amechangiwa kwa kazi nzuri na sio pesa ya serikali muache roho za husuda
Huyu mwandisi hafananii na hela anazo sema inaonyesha dhahiri kuwa hizi ni fedha za wananchi wanazipigia kampeni
Rais akitokea pwani watanzania wengi wanalia hasa wahali yachini....watu wapwani wanapenda starehee na safari za nje haya kanunuliwa Helikopta bado boat
😂😂😂😂😂mtaelewa tu cimnajifanya wazalendo nyinyi 😅😅😅😅
Daaah!!kwa kweli hii nchi kweli ya ajabu sana vitu km hivi kwenye nchi za wenzetu zilizoendelea huwezi kuvisikia,sababu hata mngejenga mashule,mahospital,kununua madawa,kutengeza mabarabara mabovu bado ingekua big support na respect hata kwa wananchi kwa jumla instead of individual.
Simngeenda kuboresha huduma za jamii kama hospital au shule za umma kuliko kwenda kununua chopa ya ccm.
Tukiona barabara mbovu chini ya KIWANGO mwanzo huu hapa
Aseeee huu niuni kabisaa iyoo ni laaana wee baba umeshiba uwezi kukumbuka mweny njaaaa
Kunawatu wanauwitaji si wangewawezesha hao watu izo bilion 10
Hivi nisawa rais kupewa zawadi akiwa madarakani au rugha ya mwandishi ndio imezingua
.. 🤔
Mngemzawadia ujennzi wa barabara zilizochakaa ni nyingi na hazipitiki.mngeeleweka.
Jenga hosptari acha unafiki (Raisi ndege anayo)
Pumbafu kabisa ila hii nchi inawajinga wengi sana
Hiyo ni kazi ya ccm,je mmepeleka ombi lenu kupitia ccm kwa sababu maamuzi mengine ni ya kujipendekeza tu
HII INAMAANA GANI MAANA HAIJAWAHI KUTOKEA KUANZA CAMPAIGN MAPEMA. WANANCHI SIYO KONDOO KULAZIMKUMCHAGUA RAIS.KUNAMASHAKA NA WASIWASI NA NI HONGO.JPM ALISIMAMIA UJENZI WA MABARABARA AKAJULIKANA !
Watu wa ajabu sana hii nchi,, Kumbe usomi nao ni ujinga tyuuu,,
Machawa wakubwa nyie!! Mnapiga pesa zetu halafu mnajipendekeza kwa Rais ili muendelee kupewa miradi, Wanafiki wakubwa nyie, labda nyie sio Watanzania.
Raisi wetu watakusema watu waupinzani achana nahio helkopta tunaelekea kwenye uchaguzi achana nahizo zawadi wakikupa ipokee itoe hadharani kwajeshi
A Tanzanian contractor must be given job mpaka aonge is it not their right
Rushwa
Jinga kweli
Kwanza huyo siyo engineer ni mujinga flani tuu
Injinia na muhandisi ni mtu mmoja, tofauti ni Lugha tu. Engineer ni kingereza na muhandisi ni kiswahili
Tunavyo yaona haya ndo tujue mama amelegeza mvuma mpaka mpaka nati zinadondoka zenyewe na tunako elekea kalibia hata supana yeyewe itapwaya kama sio kupotea...😭😭 Tanzania yangu.
Samia wafutie vyeti vyao vya ukandarasi wanakuchafua.
Rushwa hiyo, mnataka kumpa raisi rushwa hadharani kabisa ili awape tenda zaidi baadae.
Changieni kwenye maendeleo mengine kama shule na Balabala. Samia say no to that, please!!! Rushwa hiyoo
Jamaa hata kujielezea anashindwa , mmefeli
Kutumia wakandarasi wa nje kutekeleza miradi Mikubwa inafanya fedha nyingi kwenda nje ya Tanzania nadhani kuwawezesha Wakandarasi wa ndani itatupa faida kubwa
Hiyo ni hongo wanataliwa kuchukuliwa hatia
🎉Astahiki. Si hata Mbowe atembelea hiyo?
Kenya zaidi ya Mawaziri 10 wana helicopter binafsi.
Kwani mama amewamembia Ako na shida ya hekofta jipendekezeni tu
Magufuli hakutakaga hayo Mambo yenu hadharani
Hiyo ni rushwa, bila kupepesa macho.
Nimeishia kati kusikiliza huu ujinga
Helikopita kwaajili ya kampeini..hii ni hongo ila takukuru kimya