TUIMBE KWA FURAHA- KMMM || Mtunzi: Paul Mike Msoka
Вставка
- Опубліковано 13 кві 2024
- Karibu Kutazama Wimbo Mzuri wa Kumsifu Mungu ,
Mtunzi: Paul Mike Msoka
Organist: Paschal P. (DUKE)
Sound Eng.: SHIMANYI FM
Video: Director MDETE TM
Audio: CGEN PRO
#kwayakatoliki #africangospel #praiseandworship #catholicchurch #trending #music #tanzania #choir #new
Woow, nafurahi hili tukio limenikuta hai❤. Wimbo mzuri, waimbaji wazuri, Kila kitu kizuri.. Up University of Dodoma. Keep it up lads 🎉
Hongereni sana waimbaji, safiiii❤🎉🎉
🎉🎉🎉🎉 mauwa yenu mko vizuri
Hakika mungu ni mwema mmeimba vizuri sana
Wow! Good job wana KMMM keep it Up❤
Congratulations 🎉
So nice 🙌🙌 Hakika nimebarikiwa na utume wenu. Mungu awabariki sana
Kazi nzur ,,,,,🎉
Kazi nzuri sanaa watumishi wa Mungu 🙏🙏
Nzuri ❤😊
Hongereni sana KMMM UDOM Ntakuja kuwapa surprise
Mungu awabariki Sana nyimbo nzuri hii jamani, hakika Mungu mwema mumeinjilisha vizuri sana
Kazi nzuri 👍
Thanks chair
🎉🎉🎉 wow ,so amazing kwaya kwa afya.....😊
Mungu awabariki kwa kufanya kazi ya mungu vyema ❤
waooh hongereni sana wimbo wenu mzur mno nimebarikiwa sana
Very nice KMMM Mungu ibariki kwaya hii pendeza sana
Amina
Furaha Tele
Wimbo wapendeza, mwapependeza sanapia🎉🎉🎉❤❤❤
Wimbo mzuri sana mbarikiwe sana wanakwaya wa kwaya ya Mtakatifu Marko Mwinjili
Mbarikiwe sana watumishi
Blessed voice .my favourite choir🤗🤗
Ogera kwa wimbo mzuri ❤
Wimbo mzuri sana, Mungu aendelee kuibariki kaz ya mikono yake♥️🙏
❤ Barikiwa sana
Tumshukuru Mungu asubuhi hadi jioni. Watu mnavutia na wimbo unapendeza.
Very nice song
Mungu azidi kuwainua na kuwaimarisha daima
Jamani mmeupiga mwingiii KMMM ♥️♥️ MUNGU awajalie kuupenda utume bila kuchokaa 🌹🥰🔥🔥🔥
Hongera pia mhasibu
Mungu na aibariki kazi ya watumishi wake🙏🙏👏🤝
Kuimba ni kusali mara mbili ongeren sana Marco mwinjil kwa utume🎉
Hongeren saàn Hakikika kuimba ni kusali mara Mbili alivyosema Mt.Augustiono wa Hippo
💯❣️Hongereni kwa uimbaji mzuri.
Asante mwl
Safi sana waimbaji,
Asante sana wimbo mzuri, ila nawaomba waimbaji wa kike msifuni Mungu kiukweli kwa kutotumia nwele za bandia kwasabu hapo mnamsahihisha Mungu kazi yake ya uumbaji .Asanteni sana.❤🎉❤🎉
Imebarikiwa mikono ya Paul Msoka...
Hongeren waimbaji kwa kutendea haki wimbo
Asante kaka Deule Gervas wasalimie wana Moyo
Unyama ni mwing sn....mpk unamwagika #ecowater
Asante kaka
Asante sana kiongozi
❤
Yeye ndiye Mungu wetu 🤝🤝Kazi nzuri maengineer ,,be blessed Sana💞🫂
Haki zote zimehifadhiwa hakika tumuombe Mungu atujalie Karama zetu zikawe chachu ya injili na Habari njema za ukuu wa Mungu 🙏🤲
Waaaaoh, I just have to say BRAVOOOOO🎉🎉🎉
Hongereni Sana wapendwa Kwa kazi nzuri🙏🙏
Hongereni sana nimefurahi sana kumuona mdgo wangu Marco Edward Busalu, 🎉🎉❤
😅😅❤❤❤
Vyema watumishi wa Bwana shambani mwake.. wimbo mzuri sana umenibariki, Mungu awabariki zaidi 🌹❤️
My all time choir...nawapenda hongereni kwa kuimba vizuri
"Tuimbe sifa, sifa za MUNGU wetu,
"Tuimbe sifa, Leo hata milele.🙏
Barikiwa sana
Hongereni wimbo mzuri
Nice
Nice, well deserved more claps, congratulations
Thank you very much!
🔥🔥
Hallelluya ,Atukuzwe Mungu tuimbe kwa shangwe, Hongereni sana ❤❤❤
Kazi nzur sana mbarikiwe tusapotiane wote nas tuna kazi coming soon
Asante karibuni
Hongera Wana KMMM
Hongereni sanaaaa wanaMarko
VIDEO KALI SANAAAAA,NYIMBO KALI SANAA
Love it❤
Kazi nzuri sanaaaa❤❤❤❤❤😁😁 Hongereni sanaa sana
waooo hongeren Sana nasilikiza wimbo wenu nikiwa Jimbo la singida ,,hongeren kwa utume wanakwaya wenzangu kwa kuchochea INJILI kwa njia ya uimbaji ,,,na mwona teacher kelvini 🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana karibu sana dodoma
@@mt.markomwinjiliciveudom Asante Sana nitakaribia tuombe uzima 🙏🙏
Ahsante sana karibu 😊😊😊
Waoooo❤
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kazi nzuri sana familia ya Mt.marko mwinjili Mungu awabariki sana
Asante sana kiongozi
Amina asante
Be blessed Kaz nzur wapendwa
Mungu aendelee kusifiwa kupitia watumishi wake. Wimbo mzuri sana , mubarikiwe na muifanye kazi yake Mwenyezi bila kuchoka ..Nimebarikiwa sana ❤️❤️🙏🙏
Barikiwa mtumishi
Amina
❤🎉
Ongeleni sana
Hongeren sana
I like it ❤.... Mungu azidi kuwasimamia KMMM
❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
KMMM UDOM wonderfull
Hongereni sana wapendwa 🥰 kazi nzuri
Hongera sana wana wa Marko muinjili mmeupiga mwingi
🎉🎉🎉🎉❤❤❤ KAZI nzuri Marko Mwinjili hakika Mungu ametukuka sana ❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
woow so amazing mmeimba vizuri wote wazuri na vibe kama lote. Mungu awabariki utume wenu uenee dunian kote watu wamtukeze Mungu kupitia wimbo huu. nawapenda ❤ wote .Hakika mlipendeza sana na wimbo mzuri sana 🎉
Asante sana Madame
Ongereni sana 🎉🎉
Hongereniii sana KMMM👏👏 Kazi ni Nzuriii imetukuka🙏 Mbarikiwe sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
hongereni sana watumishi wa Bwana,nabarikiwa kwa nyimbo zenu
Wow kazii nzuri mnoo waimbaji mmestahili kuwa na wimbo bora namna hii. Jina la bwana litukuzwe
Tumshukuru Mungu,Amina 🙏🙏
Niceee song ,,mmechangamka vzur ,,,Mary umewakilisha vyemaa hongeren saanaaa
Waoooh Wanashiirikisho wenzetu, nmefurah kumwona my advance choir mate bro Thomas🙏🙏
Asante
Kaz bora sanaa😊😊😊
❤
Ongereni sanaa❤❤
❤❤❤❤🎉
🙏🙏🙏
Good job 👏👌
Kaz nzuri pongez ziende kwenu mungu awabariki sana
Hongeren Kwa utume kazi nzuri , ni kweli mnamtukuza Mungu, mbarikiwe sAna
Jamani nawapenda mno mmefanya kazi nzuri Mungu awabariki kwa utume katika kwaya yenu🎉🎉🎉🎉
Mmeua KMMM hongereni mno
Aminaaa, mpo vizuri wanakwaya wangu🎉Mungu na awakirimie mema yote mnayoyatamani katika maisha yenu hasa wa uanafunzi wenu!
Mungu atukuzwe milele ❤🎉
good video
Tuendeleee na kazi njema❤ya Bwana
Still Blessing My Choir
Mbarikiwe sana❣️❣️Mungu awatunze muzidi kumusifu na kumutumikia bila kuchoka🤗🥰🙏
Asante Barikiwa sana
MUNGU awabariki Zaidi!!!
Kila raheli katika utume
Shimanyi 🔥
Kazi nzuri pongezi kwenu
Mmejitaidi sana wapendwa, Mungu awabariki 🙏🙏
This is amaizing... Mungu aibariki kaz ya mikono yetuu ❤❤❤❤
hongereni sana.familia yangu pendwaaa.keep it up
the blessed voices of organized write up mmeutendea haki wimbo hakika congratulations
Amazing 😍🥰🔥🔥🔥