WATU IMBENI (Official video). na Bernard Mukasa.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лис 2023
  • Karibu kutazama wimbo huu Kutoka Kwaya ya Mtakatifu Fransisko wa Asizi.
    Chuo kikuu cha Dar es Salaam ndaki ya Afya na Sayansi shirikishi Mbeya (UDSM-MCHAS)
    ⏩ Wimbo: WATU IMBENI
    ⏩ Mtunzi: Bernard Mukasa
    ⏩ Waimbaji: St Francisco of Asis Choir (SFAC)
    ⏩ Production: Holy Trinity studios
    ⏩ Kinanda: Baraka Thomas Mashibe
    Tafadhali Mpendwa, Subscribe, Like, Comment &Share.

КОМЕНТАРІ • 80

  • @eugenekeragori6533
    @eugenekeragori6533 17 днів тому +1

    Baraka Thomas mashibe...mwalimu wa kinanda hatari kubwa..i likenyour fingers mwalimu ❤❤

  • @OdethaDionizi-ty9xp
    @OdethaDionizi-ty9xp 28 днів тому +1

    Mumetisha sana kwa mtunzi na waimbajo .Hongereni sana Mungu awasimamie katika utume wenu

  • @user-db6ph1zu4h
    @user-db6ph1zu4h Місяць тому +2

    Nice ❤

  • @kennedychege9472
    @kennedychege9472 Місяць тому +2

    Kwa kweli tumshangalie na tumsifu pamoja na Malaika❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @biggmatatah278
    @biggmatatah278 2 місяці тому +1

    Thomas Mashibe my favourite

  • @fridoliusrushunju9093
    @fridoliusrushunju9093 7 місяців тому +8

    Nyimbo nzuri nimeijua kupitia makuburi walivyoiimba juzi kwenye tamasha la yesu ni mwema imenibidi niitafute japo Kuna kipande wanaimba wanaume ila Kwa hapa sijasikia how!

    • @silyvya2408
      @silyvya2408 7 місяців тому +1

      Na Mimi nimeletwa na haohao wanna kwaya ya Mt kizito Makuburi .nzuri mno sijui na wao watatoa 😅

    • @baziliosasila5064
      @baziliosasila5064 7 місяців тому +1

      Hata mm ndio nmeujua kupitia tamasha hilo.....

    • @rahabmacharia5020
      @rahabmacharia5020 7 місяців тому +2

      Same here

    • @albert-kkitwenga4889
      @albert-kkitwenga4889 6 місяців тому +1

      Same here🤣

    • @geraldncheye2094
      @geraldncheye2094 2 місяці тому

      wimbo ni wa Bernard Mukasa na kwaya ya chuo cha MUHAS ndiyo waliorekodi wimbo huu na Mukasa anaimba makuburi pengine inaweza ikawa sawa kuimbwa na makuburi pia.
      Kuhusu beti kuimbwa na wanaume kwa kwaya ya makuburi huo ni umahiri wa kwaya husika lengo ni kuleta ladha ya wimbo.

  • @paulmaigwa5549
    @paulmaigwa5549 5 місяців тому +3

    Watu imbeni watu imbeni paza sauti zenu imbeni
    malaika malaika malaika nanyi sifuni malaika
    malaika malaika wa mbinguni sifuni tumwimbie
    mungu wetu tumshangilie
    1.Njooni na tarumbeta,njuga na vinanda
    2. Anga ishangilie nchi iruke ruke
    3. Enzi zimwadhimishe zama zimhubiri
    4. Yeye amezipita sifa tupambazo

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 21 день тому +1

    💪💪💪👌👌😘😘

  • @AloyceSemkalami-xw3le
    @AloyceSemkalami-xw3le 2 місяці тому +1

    Mashibe mungu anamuona aisee

  • @immaculatenyamila5811
    @immaculatenyamila5811 6 місяців тому +2

    Bw. Mukasa B never disappoints 🔥🔥🔥❤️❤️🙏 beautiful composition ❤🎉 angelic voices😍🥰🥰🫂🥳🥳

  • @WinfridaOmary-ff3xh
    @WinfridaOmary-ff3xh 7 місяців тому +1

    Woow wimbo Mzuri Sana hongereni Sana wanakwaya 🙏🙏

  • @MagrethPaul-yh4dp
    @MagrethPaul-yh4dp 8 місяців тому +1

    Wimbo mzuriiiii yaaan....
    Tumwimbie Mungu wetu Tumshangilie🎉💝💝

  • @agatonngailo6632
    @agatonngailo6632 7 місяців тому

    Hongeren San kwa wimbo mzuri

  • @user-ic3vh9qm5e
    @user-ic3vh9qm5e 6 місяців тому

    Watu imbeni🙏🏾🙏🏾

  • @user-ee2dt4pu1x
    @user-ee2dt4pu1x 8 місяців тому

    Ana level👐👐👐👐 hongeren kwa uimbaj mzuriii

  • @reginamutua933
    @reginamutua933 5 місяців тому

    Hongereni❤

  • @danieldeo7769
    @danieldeo7769 8 місяців тому

    Hongereni sana ndugu kazi nzuri

  • @gabrielmidelojulius3501
    @gabrielmidelojulius3501 6 місяців тому +1

    God bless this Familia, Good Song 🔥

  • @AliceWikunge-zn6py
    @AliceWikunge-zn6py 8 місяців тому

    Hongereni sana,kwa kazi nzuri, nimemwona mdogo angu Efro

  • @EsterAmon
    @EsterAmon 7 місяців тому

    Wow nyimbo taamu sana jaman❤❤.nyumbani kumenoga💚💚🌲🌲

  • @BikiramariaMshindaji
    @BikiramariaMshindaji 7 місяців тому

    Mungu azidi kuwabaliki katika utume wenu

  • @user-or7uw9qi7r
    @user-or7uw9qi7r 8 місяців тому

    Hongereni kwa pamoja❤❤❤nawapenda sana

  • @Azchata
    @Azchata 8 місяців тому +1

    Nyimbo tamu jmn❤️‍🔥

  • @hebongidion5075
    @hebongidion5075 8 місяців тому

    Hakika Hawa kondoo wameongozwa vyema na kupata malezi yaliyosahihi katika Zizi lililo sahihi kwao🙏🤝

  • @vedastosixbert-yd4qx
    @vedastosixbert-yd4qx 7 місяців тому

    Wimbo mzuri na mtamu sana... @japhe mmetisha sana 🔥🔥🔥🔥

  • @francisdeus8062
    @francisdeus8062 8 місяців тому

    Kazi njema , nzuri sana hongereni

  • @Lusekelo98
    @Lusekelo98 8 місяців тому +1

    🙏🙏🙏🙏Utukufu kwa BWANA.
    Wimbo ni mzuri, mbarikiwe kwa kazi njema

  • @maximilianmabagala3850
    @maximilianmabagala3850 8 місяців тому

    Hongereni sana ndugu zangu kwa kazi nzuri ya kumtukuza Mungu. Naomba Mwenyezi Mungu azidi kuwakirimia baraka na neema zake.

  • @EmmanuelMalenga-sr6yr
    @EmmanuelMalenga-sr6yr 6 місяців тому

    Yes yes strong

  • @geradmahega1570
    @geradmahega1570 8 місяців тому

    Kazi nzuri sana , hakika watu tuimbe kumsifu Mungu ❤❤

  • @kulwamisalaba924
    @kulwamisalaba924 8 місяців тому

    Hongereni Sana mungu awabariki kwa uimbaji, kazi nzuri sanaaaa nawa❤❤

  • @joeabbby3306
    @joeabbby3306 8 місяців тому +1

    Juddy Amina Kubwa

  • @BernardMukasa
    @BernardMukasa 7 місяців тому

    Kazi nzuri sana. Hongereni sana

  • @teklamhagama8437
    @teklamhagama8437 8 місяців тому

    Anna mhagama nakuona 😂😂🥰

  • @martinsiay970
    @martinsiay970 8 місяців тому +1

    Good song 👍💚

  • @user-ch8zu5np3t
    @user-ch8zu5np3t 7 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤nice makuburi hoyeee

  • @user-ot9pt6sc8w
    @user-ot9pt6sc8w 8 місяців тому

    🔥🔥🔥watu imbeni msifuni Bwana

  • @user-bl3jn6dv7s
    @user-bl3jn6dv7s 8 місяців тому

    mungu awabark sana kaz nzur

  • @martinerichard5827
    @martinerichard5827 6 місяців тому

    Praise the Lord...

  • @deodatusmanamba7694
    @deodatusmanamba7694 8 місяців тому

    Mpaka mwaka huu unafika mwisho basi Kwaya yetu itakuwa top 5 Kwa nyimbo nzuri sana

  • @vitalisndinze1137
    @vitalisndinze1137 8 місяців тому

    Hiii motooo sanaa 🔥🔥🔥🔥❤❤

  • @japhetgabriel3048
    @japhetgabriel3048 8 місяців тому

    Kazi nzuri sanaa❤❤

  • @innocentmmasi6401
    @innocentmmasi6401 7 місяців тому

    Mbarikiwe sana kwa kazi nzuri #Watu imbeni

  • @mathiassamhenda5066
    @mathiassamhenda5066 7 місяців тому

    Wapi Midelo na Kijana wangu wa Babati😅🔥

  • @paschalamsi
    @paschalamsi 7 місяців тому

    Wimbo mzuri sanaaaa 💯

  • @ovanajuae-md5et
    @ovanajuae-md5et 8 місяців тому

    Wooow kazi Safi imetulia

  • @geraldcasmiry4237
    @geraldcasmiry4237 8 місяців тому

    kazi nzurii❤

  • @user-qy4ms6uz4x
    @user-qy4ms6uz4x 8 місяців тому

    hongereni sana kazi nzuriii❤

  • @feamb
    @feamb 7 місяців тому

    Hingereni sanaaa 🔥🔥

  • @ansbertseverine9204
    @ansbertseverine9204 8 місяців тому

    🔥🔥🔥safi sana vijana

  • @alexkabogo6865
    @alexkabogo6865 7 місяців тому

    ❤ hongereni sana waimbaji kwa kazi nzuri Mungu awabariki wote katika utume wenu

  • @yonalazaro6632
    @yonalazaro6632 8 місяців тому

    Kazi nzuri

  • @johnandrew3745
    @johnandrew3745 8 місяців тому

    Hongereni sana

  • @mt.cesiliampanda7062
    @mt.cesiliampanda7062 7 місяців тому

    ❤❤❤❤ hongereni

  • @eliasshirunga1572
    @eliasshirunga1572 8 місяців тому

    Wimbo umenibariki sana,,mbarikiwe sana waimbaji kwa kazi nzuri

  • @michaelonlinetv
    @michaelonlinetv 8 місяців тому

    Hongera sana Wanandugu❤

  • @deodatusmanamba7694
    @deodatusmanamba7694 8 місяців тому

    Namuona Luis anakazana 😂😂😂 aise bigup brothers and sisters hakika kazi imefanyika na inaonekana

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 8 місяців тому

    Good job

  • @brianmusyoka4355
    @brianmusyoka4355 5 місяців тому

    Kazi nzuri..naweza pata nota?

  • @Prisca_Regine
    @Prisca_Regine 7 місяців тому

    A very Beautiful song 💓🫶🫶🙏🙏🙏

  • @ovanajuae-md5et
    @ovanajuae-md5et 8 місяців тому

    ❤️❤️❤️❤️

  • @HamisiEdward-kz3vq
    @HamisiEdward-kz3vq 8 місяців тому

    ❤❤

  • @janenjeri134
    @janenjeri134 7 місяців тому

    Si mtu anjitplee anipeleke Tz jameni

  • @johnyurra-eb8yo
    @johnyurra-eb8yo 7 місяців тому

    Kuna mdada apo apinguze poda

  • @flomenalissu9889
    @flomenalissu9889 8 місяців тому

    Hongeren sana kwa kazi nzuri❤