NJAA MBAYA SANA LEO KAVALISHWA UNIFORM YA CCM ANASEMA ETI NI KATIBA NZURI HIVI HUYU JAMAA AMELOGWA KABISA PIA ANASEMA ETI TUNAJENGA UCHUMI WAKATI TUNAANZISHA RASMU YA KATIBA UCHUMI ULIKUWAJE.NDIYO MAANA NASEMA NJAA MBAYA SANA
Benni mochiwa hana unafiki wowote na wala njaa kwani yeye ndiyo mwenye maamuzi peke yake hii nchi ya watanzania ukitaka kufuatilia mambo ya katiba soma na wewe unataka afanye nini mjinga wee
Yaani wewe ulikuwa mkweli weeeeeeewe, lakini baada ya kuvaa rangi ya kijani, mambo yamebadilika nani kakuroga Polepole mwanangu!!! Jamaniii maneno uliyoongea ukiwa na suti nyeusi ni Excellent!!! Hebu jaribu kuriwaindi kanda ya 2014, 2015 hukuwa hivi nawaza sana mwanangu nnnnannni kakuroga.
Tatizo ulishaingia upande wa pili, wanajitoa fahamu. Hazina kubwa inapotea kama kufungulia bomba la maji. Inaumiza sana vichwa kama hivi vinageuka ghafla!!! Mungu atusaidie
Kama munapiga Tundu lussi vijembe. ili asigombaniye urais..hayo maradhi. Nilimpa nyiyi. Kwa kama watanzaniya munaakili yachambuweni. Anayayasema. Polepole Hadi muwe Malini anayoyasema muyatafakari si maneno mazuri. Siyo mkaye na kuse ndiyo na kupiga makofu mutafakari kwa.kina. kiirefu mutajuwa nini anachoongeya
Polepole ulikuwa mtu wa kuikomboa tz yetu kupitia mchango wako ktk katiba mpya, mtu yeyote ambae ameisikiliza hotuba yako hii leo anakushangaa kama mimi ninavyokushangaa, hivi nikuulize umerogwa na nani mpaka ukakengeuka? Nakushauri geuka utazame nyuma uone ni wapi ulijikwaa ukaanguka urudi upya tudai katiba yetu mpya tuikoe Tanzania. Mkumbuke mtumishi wa Mungu Yona,japo alimezwa lakini ninawi iliokolewa. Mungu akujaze nguvu na hofu yake ili uyaseme tena maneno haya kwa Watanzania.
Hakurogwa na mtu,.ila aliridhishwa na utumishi wa Mh Magufuli. Akaona Mambo yataendelea kunyooshwa lkn puu! Paa, Baba Magufuli alitwaliwa juu mbinguni.
Duuh, kweli pesa ilimuua yuda,wamekununua wewe na akili zako mr.polepole akili ulizokua nazo enzi hizi wamezichukua baada ya kukubali kupokea vipande30 vya fedha.
Polepole umekula tunda la katikati ambalo linaitwa uongo,na mti wake ni wa kijani jamani wewe,na hapa dhambini utarudi na uongo utakualia matuna,na kwa hila,chuki,ubinafsi na tamaa,,machozi yetu watanzania yatakumwagikia na ndio yatakua maji yako ya kunywa.
Isaack polepole unamhukumu nini yeye ndiyo mwananchi peke yake hayo ni maamuzi ya wananchi walioko kwenye majadiliano ya katiba sasa yeye hawezi kushindana na serikali unataka wamuue muache mtoto
Ukweli nkwamba ccm wanaogipa kuruhusu katiba kwasababu mbili 1 hiii nchi hii ikiwa na katiba huru watang'oka kwasababu wao wenyewe wamegawanyika ndani na kura nisiri koo wakiwa hawaja ridhiana ndani kama kipindi chalowasa alipat kura nyingi sana zingine waliuza wenyewe koo ukichanganya na kura zawapinzani ccm hawatoboi nasiyo kwamba hatujuwi tunajuwa kuwa uraisi nitaasisi inayo chaguliwa na mfumo sisi niwawakilishi hata kwenye maamuzi hatumo nasaizi ndombaya wabunge wanaheshimu chama kuliko wananchi chama kikimtangaza ndokiongoz tunaletewa kiongozi nchi hii inamambo ya hovyo sana nchi yakifalume hii
Lissu atupishe kabisaaa inatosha sababu ni mgonjwa wa kutupwa mda mrefu aangarie afya yake kwanza atuwezi kuongozwa na mgonjwa kwa kipindi kilefu akishapona anaweza kugombea tena kama anaitaji ubunge wake
Cesilia hajarogwa na mtu yeyote kwani kuvaa nguo ya kijani ni hoja wewe huvai nguo kama ni chadema na wewe vaa nguo yako mambo ya serikali siyo ya kushindana nayo
Mtu kuitwa shujaa,au kuandikwa kwenye historia hua ni shughuli pevu,inatakiwa ukubali kupoteza maslahi yako,heshima yako,thamani yako na kila kilichobora kwako,kwa ajili ya wengine,hapo ndipo ukisalimika na kuishi,utaweza kuona matunda yake hapo baadae,, Lakini ukiogopa kufa na kutengwa,utakua bendera,, Na ndio hawa akina Polepole,Kabudi nk,,
Kiongozi upo sawa mungu akulinde hoja zako ni zaidi yauwazi kimawazo ili nchi iwe na amani
Mr.PolePole is the late Mwalimu Nyerere reincarnation. Mwalimu's spirit still living.
Jaman PolePole! Hivi ni wewe kweli! So fantastic
Huyu alikuwa anaitwa Polepole yule wa kijani anaitwa Chakubanga.
To be honestly your the role model Mr Pole Pole many time I heard you u had fact in your speaking.Keep it up brother
Hon Hamphrey Dah, Be Blessed aiseh
NJAA MBAYA SANA LEO KAVALISHWA UNIFORM YA CCM ANASEMA ETI NI KATIBA NZURI HIVI HUYU JAMAA AMELOGWA KABISA PIA ANASEMA ETI TUNAJENGA UCHUMI WAKATI TUNAANZISHA RASMU YA KATIBA UCHUMI ULIKUWAJE.NDIYO MAANA NASEMA NJAA MBAYA SANA
ukiwa na njaa unakuwa mnafiki sana, yani hiki ki pole pole kinafkri watanzania tumesahau kauli zake
Benni mochiwa hana unafiki wowote na wala njaa kwani yeye ndiyo mwenye maamuzi peke yake hii nchi ya watanzania ukitaka kufuatilia mambo ya katiba soma na wewe unataka afanye nini mjinga wee
Yaani wewe ulikuwa mkweli weeeeeeewe, lakini baada ya kuvaa rangi ya kijani, mambo yamebadilika nani kakuroga Polepole mwanangu!!! Jamaniii maneno uliyoongea ukiwa na suti nyeusi ni Excellent!!! Hebu jaribu kuriwaindi kanda ya 2014, 2015 hukuwa hivi nawaza sana mwanangu nnnnannni kakuroga.
Tatizo ulishaingia upande wa pili, wanajitoa fahamu. Hazina kubwa inapotea kama kufungulia bomba la maji. Inaumiza sana vichwa kama hivi vinageuka ghafla!!! Mungu atusaidie
Njaa
Huyu kijana yuko vizuri sana. Naomba Mungu asibadilike
Umeangalia hii ni ya lini na Leo yupoje huyu jamaa?:ndumilakuwili haingii mbinguni, asilan. .
Polepole nikichwa sana
Kali hii jamm
Unganeni na gwajima
Wewe Ni hazina ya nchi
Kazi kwako polepole
Pole pole wewe ndie kiongozi wa kweli, lakini kwa sababu tumesha fanwa misukule. Viongozi waliopo madarakani watakupiga vita
Jembeee!!
Ameongea vizuri sana tatizo hitimisho lake bado
Mbona hii kitu ni nzito sana
Huyu ndiye PolePole tunaemjua
Ila huyu wa sasa ni #Chakubanga a.k.a Mr. VX
Polepole amenena sana, ni mbobezi wa siasa
Polepole ameogopa Mwenyezi na Rais wetu aangarie mbele siku ya kiama mizani hakh
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
Huu ni mgodi unaotembea. MUNGU AKULINDE,AKUTUNZE NA KUKUBARIKI.#HAPA KAZI TU.... KAZI IENDELEE
Kipindi kile polepole Yuko sawa
Tunakuhitaji 2025
Njaa sio toka Mwaka 2016 yote haya Pole pole aliweka pembeni majumuisho USIMWAMINI MWANASIASA MDA WAKO WOTE WA UHAI WAKO
Polepole nimekukubali endelea kusema ukweli utabalikiwa
Kama munapiga Tundu lussi vijembe. ili asigombaniye urais..hayo maradhi. Nilimpa nyiyi. Kwa kama watanzaniya munaakili yachambuweni. Anayayasema. Polepole Hadi muwe Malini anayoyasema muyatafakari si maneno mazuri. Siyo mkaye na kuse ndiyo na kupiga makofu mutafakari kwa.kina. kiirefu mutajuwa nini anachoongeya
Good speech
But
TBC rusheni hii
Huyu pole pole ni tu ni ya taifa
sisi atumtaki samia mzanzibar ajui kuongoza nchi msenge uyo
Kumbe mnajua wazi katiba halali ni ipi mbona hadi leo haipatikani? Hapo kuna uongozi bora?
Mla jana mkaribishe mla leo
POLE POLE WAJANA SIO POLE POLE WA LEO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣PESA TAMU SANA
Huyu ndugu sijawahi kuchoka kumsikliza!
Baada ya hapa kazi tu,naona utarudi kwenye hali yako ya asili.maana awamu ya sita umejitambua kazana
Polepole ulikuwa mtu wa kuikomboa tz yetu kupitia mchango wako ktk katiba mpya, mtu yeyote ambae ameisikiliza hotuba yako hii leo anakushangaa kama mimi ninavyokushangaa, hivi nikuulize umerogwa na nani mpaka ukakengeuka? Nakushauri geuka utazame nyuma uone ni wapi ulijikwaa ukaanguka urudi upya tudai katiba yetu mpya tuikoe Tanzania. Mkumbuke mtumishi wa Mungu Yona,japo alimezwa lakini ninawi iliokolewa. Mungu akujaze nguvu na hofu yake ili uyaseme tena maneno haya kwa Watanzania.
Hakurogwa na mtu,.ila aliridhishwa na utumishi wa Mh Magufuli. Akaona Mambo yataendelea kunyooshwa lkn puu! Paa, Baba Magufuli alitwaliwa juu mbinguni.
Huyu ndie pole pole aliyekuwa mkwelii sio wa leo aliyeko ccm jamnii
Polepole rudi kwenye ulingo
SELIKALI TATU, DUH SIX YEARS AGO, MUNGU TUHURUMIE
Bado ana msimamo hou?
Huyu Hamphrey wa leo ndiye yule wa tume au???????. Watu wa aina hii ni hatari sana. Cheo kinakuondoa kwenye ulichokitetea kwa hoja???
Siasa! Siasa! Siasa! Kweli si hasa😳😳😳
Ngachokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ni huyu tulie nae au mwingine! Itunzwe katika maktaba za Taifa.
WEPWA
Duuh, kweli pesa ilimuua yuda,wamekununua wewe na akili zako mr.polepole akili ulizokua nazo enzi hizi wamezichukua baada ya kukubali kupokea vipande30 vya fedha.
Mnafiki Ni mnafiki tu
Polepole ccm tumeshaichoka inatosha basi
Vikishaenda ccm vinakuwa kama vimelogwa
Zawadi akiwa Polepole kweli
Zamani
Hakika utandawazi unatushitaki, Yu wapi Polepole huyo?, maana siyo huyu tuliyenaye kwa sasa.
Naomba niulize huyu ni pole pole kweli wa ccm
Ndio yeye kipindi kile alikua na njaa
Kwanini tz kunawatu wanamaneno yamdomoni lakini badaye anayasaliti wenyewe!!! Au niubinafsi tu auninjaa zinawasumbuwatu,lazima tujilekebishe!!!!
Upo CCM pigania hiyo katiba
Anaongea kama mwal Nyerere
Njaa ni mbaya,njaa huleta usaliti jmn,njaa ikizidi waweza kufanya maajabu hadi watu washangae huku wewe mwenyewe ukiamini upo sawa sawa
Polepole umekula tunda la katikati ambalo linaitwa uongo,na mti wake ni wa kijani jamani wewe,na hapa dhambini utarudi na uongo utakualia matuna,na kwa hila,chuki,ubinafsi na tamaa,,machozi yetu watanzania yatakumwagikia na ndio yatakua maji yako ya kunywa.
Isaack polepole unamhukumu nini yeye ndiyo mwananchi peke yake hayo ni maamuzi ya wananchi walioko kwenye majadiliano ya katiba sasa yeye hawezi kushindana na serikali unataka wamuue muache mtoto
Wewe usimhukumu polepole wewe sio mungu mungu ndio anaejua kuhukumu sio wewe
Mbona mambo muhimuyote waliyafuta? Kwani hiyo ilikuwa katiba amanini
Polepole je unapitia pitia hizi?? Ulikuaga mzuri lkn wakakupa cheo ukajisahaulisha yote
I really do like politics. I wish..... I could be one of "those" politician.
Hawa Ccm wakubari tu Katina mpya wajipime Kama kweri wanapendwa
MMMMMMMMH
Chezea tumbo wewe mama hio
Jamani siamini Kama Polepole huyu ndio tulienae sasa.sijui Kala nini sasa
inafaa umeongea yanayoingia akilini kabisa
huyu ni mtumwa was fikra na hajitambui Tena,alishajiunga na genge la wanyanganyi,amechafuka Hadi kwenye kope
Ukweli nkwamba ccm wanaogipa kuruhusu katiba kwasababu mbili 1 hiii nchi hii ikiwa na katiba huru watang'oka kwasababu wao wenyewe wamegawanyika ndani na kura nisiri koo wakiwa hawaja ridhiana ndani kama kipindi chalowasa alipat kura nyingi sana zingine waliuza wenyewe koo ukichanganya na kura zawapinzani ccm hawatoboi nasiyo kwamba hatujuwi tunajuwa kuwa uraisi nitaasisi inayo chaguliwa na mfumo sisi niwawakilishi hata kwenye maamuzi hatumo nasaizi ndombaya wabunge wanaheshimu chama kuliko wananchi chama kikimtangaza ndokiongoz tunaletewa kiongozi nchi hii inamambo ya hovyo sana nchi yakifalume hii
Lissu atupishe kabisaaa inatosha sababu ni mgonjwa wa kutupwa mda mrefu aangarie afya yake kwanza atuwezi kuongozwa na mgonjwa kwa kipindi kilefu akishapona anaweza kugombea tena kama anaitaji ubunge wake
Up ukweli
Before an angel becomes a recent satan
Satan to be.
Haya,kaka,
The video is real the speaker is fake
Watanzania buana!!!!
Ukivaa tu nguo za kijani ,
Unabadirika mpaka akili.
Ukipigiwa makofi ukumbuke kuyalinda ukipata nafasi. Je ulilinda makofi yako pindi ulipopata nafasi?
hapo kabla hajanunuliwa na ccm
hakika wewe unastahili kufungwa jiwe na utoswe kwenye bahari
uishi katika maneno yako humphrey
Shetani bwana !
You was good here 😊
Vijana kama
Hivi huyu ndio polepole tulie nae sasa ama ??? Mbona sielewi
Shetani kampitia
Ughahidi wambowe uko wapi watanzania
Kweli kabisa mbowe siyo gaidi
Cesilia hajarogwa na mtu yeyote kwani kuvaa nguo ya kijani ni hoja wewe huvai nguo kama ni chadema na wewe vaa nguo yako mambo ya serikali siyo ya kushindana nayo
Mtu kuitwa shujaa,au kuandikwa kwenye historia hua ni shughuli pevu,inatakiwa ukubali kupoteza maslahi yako,heshima yako,thamani yako na kila kilichobora kwako,kwa ajili ya wengine,hapo ndipo ukisalimika na kuishi,utaweza kuona matunda yake hapo baadae,,
Lakini ukiogopa kufa na kutengwa,utakua bendera,,
Na ndio hawa akina Polepole,Kabudi nk,,